A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, June 10, 2019

SUGUYE CUP YAFIKA HATUA YA MAKUNDI MAMBO NI MOTO

Beki wa Profession  FC,  Juma Ngandile, akijaribu kuokoa moja na mashambulizi wakati wa mchezo dhidi ya Miyosha FC kwenye mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Miyosha iliibuka na ushindi wa 2-1.  Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Miyosha FC, Salum Ally, akijaribu kuwatoka mabeki wa Profession FC, wakati wa mchezo  wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu ya Miyosha iliibuka na ushindi wa 2-1.  Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Miyosha FC, Mohamed Ramadhani akijaribu kuwaacha mabeki wa Profession FC, wakati wa mchezo   wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Miyosha iliibuka na ushindi wa 2-1.  Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive