



A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.
CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.
TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.
THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.
BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week
Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia Leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama zilizoandaliwa na mamlaka ya Teknolojia ya habari na Mawasiliano TEHAMA.
ambapo katika Tuzo hiyo YAS imeibuka mshindi wa jumla kwa makampuni yanayoongoza kwa matumizi ya Teknolojia ya habari Tehama,ambapo imekuwa ikishindanishwa na makampuni mengine yanayotoa huduma kwa jamii.
Yas imekuwa kinara kwenye matumizi Teknolojia ambapo imekuwa ikijikita Zaidi katika Kutoka huduma mbalimbali ikiwemo Data, Mawasiliano ya simu,pamoja na kumbe FUPI sms,
Mwishoni mwa mwaka Jana kampuni ya Yas iliweza kuibuka kinara na hatimaye kutwa Tuzo ya mshindi wa jumla Africa Tuzo zinazoandaliwa na shirika la kimataifa la OOKLA lenye maskani yake Nchini MAREKANI ambapo Yas zamani Tigo ilifanikiwa kuibuka mshindi mara mbili wa Tazo hiyo
Mshindi wa kwanza Kilomita 21 Mbio za Yas Half international Marathon kwa upande wa wanaume Mtanzania, Inyasi Sule, akimaliza mbio hizo ktika mashindano Kilimanjaro Marathon zilizofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro
Hatimaye watanzania wamefanikiwa kung'ara kwenye mashindano ya mbio za Kili marathon 2025, zilizofanyika Jana Moshi mkoani Kilimanjaro.
Katika mbio hizo mtanzania Suleiman Inyasi aliibuka Mshindi wa kwanza wanaume kwenye mbio za km 21.
Ambapo nafasi nyingine 3 zilishikwa na watanzania wengine wa 4 huku nafasi ya 5 ikuenda Kenya kwa Bernard Kiplagat ambaye amemshinda,shumeli Said WA Tanzania na Theophile Rugamba wa Rwanda.
Inyasi amefuatiwa na Watanzania wenzake, Samhenda Sombi na Peter Mwangi huku washindani wawili kutoka nchi za Kenya na Rwanda wakiambulia kuingia kumi bora.
Mbio za Kili International Marathon zinazoshirikisha wakimbiaji kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni ambapo kipengele cha km 21 maarufu kama Nusu Marathon kinadhaminiwa na Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas kwa mwaka wa kumi sasa.