A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Sunday, February 23, 2025

KAMPUNI YA YAS YAIBUKA KINARA TUZO ZA TEHEMA

Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia Leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama zilizoandaliwa na mamlaka ya Teknolojia ya habari na Mawasiliano TEHAMA.

ambapo katika Tuzo hiyo YAS imeibuka mshindi wa jumla kwa makampuni yanayoongoza kwa matumizi ya Teknolojia ya habari Tehama,ambapo imekuwa ikishindanishwa na makampuni mengine yanayotoa huduma kwa jamii.

Yas imekuwa kinara kwenye matumizi Teknolojia ambapo imekuwa ikijikita Zaidi katika Kutoka huduma mbalimbali ikiwemo Data, Mawasiliano ya simu,pamoja na kumbe FUPI sms, 

Mwishoni mwa mwaka Jana kampuni ya Yas iliweza kuibuka kinara na hatimaye kutwa Tuzo ya mshindi wa jumla Africa Tuzo zinazoandaliwa na shirika la kimataifa la OOKLA lenye maskani yake Nchini MAREKANI ambapo Yas zamani Tigo ilifanikiwa kuibuka mshindi mara mbili wa Tazo hiyo

Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive