A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Sunday, April 28, 2024

FOOD VENDORS IN ZANZIBAR READY TO SHINE

 A group of more than 1,400 women in Unguja and Pemba have graduated from an economic inclusion programme, called Mwanamke Shujaa, supported by Coca-Cola Kwanza.


Participants received training and mentorship, supported by the Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table.

Coca-Cola Kwanza MD Unguu Sulay said the company was committed to empowering women entrepreneurs and making a tangible difference in their lives.

“As a purpose-driven company, we help create a better shared future for everyone our business touches by working to provide access to equal opportunity and fostering belonging both in our workplaces and the communities we serve,” Sulay said.

“We continue to help enable the economic empowerment of a diverse network of customers, suppliers and communities across our value chain,” he said.

The programme is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania.

Coca-Cola Kwanza, a subsidiary of Coca-Cola Beverages Africa, supported training for 1,700 women last year, covering key areas like bookkeeping, customer care, stress management, and capital growth.

“Our aim is to create greater shared opportunity for the business and the communities we serve across the value-chain. Opportunity is more than just money, it’s about a better future for people and their communities everywhere on the African continent,” said Sulay.

The graduation ceremony at the Maisara grounds was attended by Zanzibar First Lady and Chairperson of the Maisha Bora foundation, Hon. Mariam Mwinyi, who was the guest of honour.

“We embrace the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) definition of economic empowerment, which we see as fundamental to strengthening human rights and enabling all people, particularly vulnerable and underrepresented groups, to have control over their lives and positively influence society. 


Speaking at the event, Ms. Shuwekha Omar Khamis, Oryx Gas Tanzania Limited General Manager for Zanzibar said, “I would like to thank our partners and stakeholders at Coca-Cola Kwanza. With this project, they have been working with us to distribute gas stoves in support of entrepreneurs since 2021.”

Coca-Cola Kwanza Ltd Managing Director Unguu Sulay welcomes Zanzibar First Lady and Chairperson of the Maisha Bora foundation Mariam Mwinyi to officiate an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania over the weekend in Zanzibar. More than 1,400 women in Unguja and Pemba received training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table courtesy of Coca-Cola Kwanza Ltd.




A section of women food vendors commonly known as Mana Ntilie from Unguja and Pemba keenly follow the proceedings of training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA) during an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania which was held in Zanzibar over the weekend. 


A part from the training, the women also received tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table courtesy of Coca-Cola Kwanza Ltd.

Oryx Gas Tanzania Limited General Manager for Zanzibar Shuwekha Omar Khamis (left) gives instructions to Zanzibar First Lady Mariam Mwinyi on how safely to use a gas stove during an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania over the weekend in Zanzibar.


 More than 1,400 women in Unguja and Pemba received training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table from Coca-Cola Kwanza Ltd, which is a subsidiary of Coca-Cola Beverages Africa. Witnessing are Zanzibar Minister for Community Development Rizki Pembe (2nd right) and Coca-Cola Kwanza Managing Director Unguu Sulay (right).


Zanzibar First Lady Mariam Mwinyi hands over a gas stove to one of Women food vendors who are commonly referred as Mama Ntilie Sauda Khamis during an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania over the weekend in Zanzibar. More than 1,400 women in Unguja and Pemba received training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table from Coca-Cola Kwanza Ltd, which is a subsidiary of Coca-Cola Beverages Africa.

Share:

WANANCHI wa Jiji la Arusha wakiwemo Baba na Mama Lishe waishukuru Kampuni ya Oryx Gas kwa kuhakikisha kundi hilo linatumia nishati safi ya kupikia


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na see Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo (katikati), Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ( wa kwanza kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia wa Oryx mmoja wa mama lishe wa Mkoa wa Arusha wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha

WANANCHI wa Jiji la Arusha wakiwemo Baba na Mama Lishe wameishukuru Kampuni ya Oryx Gas kwa hatua inazochukua za kuhakikisha kundi hilo linatumia nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuharakisha shughuli zao sambamba na kuwaepusha na madhara yanayotokana na kutumia kuni na mkaa wakati wa kupika.


Wakizungumza leo Aprili 27,2024 wakati wa hafla ya kukabidhiwa mitungi ya gesi ya oryx na majiko yake 1500  yotolewa na Oryx kwa kushirikiana na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mrisho Gambo ambapo wajasiriamali hao wameeleza kuwa hatua hiyo ya kupewa mitungi ya gesi inakwenda kuwaondolea adha waliyokuwa wakiipata kwa muda mrefu.

Wajasiriamali Asha Mtumwa na Karim Abdallah wamesisitiza kuwa ni jambo la kupongeza kuona kampuni ya Oryx inawakabidhi mitungi hiyo kwani inaenda kuondoa athari ambazo zimekuwa zikijitokeza kwa matumizi ya kuni na mkaa ambapo inaathari kuanzia kwenye afya pamoja na mazingira

Pia mitungi waliyokabidhiwa inakwenda kuwarahisishia shughuli zao kwa urahisi kutokana gharama nafuu ya gesi kuliko matumzi ya mkaa ambayo ni gharama na si rahisi kurahisisha kupikia.

Kwa upande wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo amesema takwimu zinaonesha watu milioni nne barani Afrika wanapoteza maisha kila mwaka kwasababu ya kutumia nishati chafu ikiwemo ya kuni na mkaa.

Amesema hatua hiyo ya makabidhiano ya mitungi inakwenda kuunga mkono juhudi za Rais Samia katika kampeni ya kuhamasisha nishati safi.

“Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan amekuwa na dhamira njema na ndio maana amekuja na kampeni ya nishati safi ya kupikia.Haya ni mapenzi yake na kwasababu tunafahamu nishati chafu inamadhara makubwa katika mazingira.

“Kwanza watu wanalazimika kutegemea kuni na mkaa kwa hiyo kuna uharibifu wa mazingira.Takwimu zinaonesha kila mwaka hekta 46242 zinapotea kwasababu ya kuni na mkaa,”amesema Dk.Jafo.

Pia amesema takwimu zinaonesha kuwa kina mama na wasichana kwa asilimia kubwa wanatumia wastani wa saa 20 kwa wiki kwa ajili ya kutafuta kuni na mkaa au wakati mwingine ni kinyesi cha wanyama.

“Leo hii ukiona nchi imejipanga katika nishati safi ya kupia ni jambo la msingi lenye kutia matumani.Watafiti  wanatuambia kitendo cha kutumia nishati safi ya kupikia kwa akina mama wajazito kunasaidia kurekebisha presha ya mama mjazito,”amesema.

Nae Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amesema katika kuunga mkono jitihada za Rais Dk.Samia kuhamasisha nishati safi ya kupikia wameona ni vema kuendelea kuyagusa makundi mbalimbali katika jimbo hilo.

Amesema kuwa kabla ya kugawa mitungi hiyo 1,500 ya Oryx kwa wana Arusha Mjini, tayari ameshagawa pia mitungi 1400 kwa wajasiriamali huku akisisitiza wataendelea na kuyafikia makundi yote yakiwemo ya watoto wanaolelewa vituo vya ya watoto yatima.

Vilevile kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya gesi ya Oryx Benoite Araman amempongeza Gambo kwa kuona umuhimu wa kuligusa kundi hilo kwa kuhakikisha linatumia nishati safi ya kupikia katika shughuli zao.

Ametumia nafasi hiyo kuelezea madhara yanayotokana na kutumia kuni na mkaa ambapo amesema nchini  Tanzania, wananchi 33,000 wanapoteza maisha kila mwaka kwa kuvuta moshi na chembe chembe zinazotokana na mkaa na kuni. Kupika na gesi ya Oryx itatatua jambo hili.

Aidha amesema kupika kwa kutumia gesi ya Oryx huzuia ukataji miti, kwa hiyo husaidia kulinda mazingira huku akieleza pia  kutumia gesi ya Oryx huzuia wanawake kutumia muda mwingi kutafuta kuni na mkaa msituni.

"Kupika kwa kutumia gesi ya Oryx ni kupika kwa haraka na kwa ufanisi zaidi; kwa hiyo, wanawake wataanda chakula kwa wakati na wanaume hawatalalamika juu ya kuchelewa kwa chakula kinachosababisha mizogo.

"Kwa hivyo, Oryx Gas Tanzania itaendelea kufanya kazi kwa bidii ili kutekeleza maono ya Rais kuhusu upatikanaji wa nishati.Namshukuru Mbunge wa Arusha Mjini Gambo na serikali ya Tanzania  kwa kutuunga mkono katika mipango yetu ya nishati safi kwa kuhakikisha matumizi ya gesi ya Oryx hapa Arusha na Tanzania kwa ujumla.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya gesi ya Oryx Benoite Araman akiwasikiliza mama lishe na baba lishe kwenye hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Baadhi ya watumishi wa Kampuni ya gesi ya Oryx wakiwa katika hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Meneja wa Masoko wa Kampuni ya Gesi ya Oryx, Peter Ndomba akitoa elimu ya matumizi sahihi ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Oryx wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya gesi ya Oryx Benoite Araman akizungumza jambo na Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha  
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha  
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya gesi ya Oryx Benoite Araman akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 

Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo (katikati), Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ( wa kwanza kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia wa Oryx mmoja wa mama lishe wa Mkoa wa Arusha wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo (katikati), Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ( wa kwanza kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia wa Oryx mmoja wa mama lishe wa Mkoa wa Arusha wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo (katikati), Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ( wa kwanza kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia wa Oryx mmoja wa mama lishe wa Mkoa wa Arusha wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt.Selemeni Jafo (katikati), Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ( wa kwanza kulia),Katibu wa NEC Idara ya Organaizesheni Ndg. Issa Haji Ussi (GAVU) (wa pili kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia wa Oryx mmoja wa mama lishe wa Mkoa wa Arusha wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha 
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya gesi ya Oryx Benoite Araman akiwa na watumishi wa Kampuni ya gesi ya Oryx wakiwa kwenye picha ya pamoja na mama lishe na baba lishe wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi ya gesi 1500 yakiwa na majiko yake kwa wananchi wa Jiji la Arusha wakiwemo wajasiriamali leo Aprili 27,2024 katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha.
Share:

Wednesday, April 24, 2024

Benki ya Absa yaendeleza udhamini wake Absa Dar City Marathon

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (wa pili kushoto) akionyesha fulana zitakazovaliwa siku ya mbio za Absa Dar City Marathon wakati wa hafla ya uzinduzi wa mbio hizo jijini Dar es Salaam jana, zinazotarajiwa kufanyika Mei 5 mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Ofisa Masoko wa Hill Water, Sylvia Shoo, Mkuu wa Kitengo cha Habari wa Klabu ya The Runners, waandaaji wa Absa Dar City Marathon, Godfrey Mwangungulu, Meneja wa Bima Kibenki wa Alliance Life Assurance, Juma Patrice na Meneja Bima Binafsi, Jumanne Muruga.

BENKI ya Absa Tanzania imeendeleza udhamini wake kwa mwaka wa nne mfululizo katika mbio za Absa Dar City Marathon , ikilenga kuifanya Tanzania kuwa Taifa lenye watu wenye afya njema.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mbio za Absa Dar City Marathon 2024, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Bwana Aron Luhanga alisema afya njema ni mtaji namba moja katika maendeleo ya Taifa la Tanzania na wanaokimbia wanajenga Afya.

Alisema lengo lingine kuu la Absa Dar City Marathon ni mapato yatayakayopatikana katika mbio hizo kuelekezwa katika shughuli za kijamii Kwa kununua vifaa vitakavyosaidia wodi ya wanawake katika hospitali ya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Pamoja na hayo kama kauli mbiu ya mbio hizi isemayo ‘Kata Mtaa, Ujue Jiji’ sisi kama Absa Bank, tukiwa na Matawi ya kibenki hapa jijini, tunajisikia fahari kusapoti mbio hizi zenye lengo pia la kutangaza vivutio vya utalii vilivyomo katika jiji letu."

Kauli yetu ya Absa inasema ‘Story Yako ina Thamani’ hivyo tunaamini kuwa ukienda kukimbia unaandika Story Yako, ukienda kusaidia jamii, unaandika Story Yako, nasi kama Absa, Story Yako Ina thamani sana kwetu”, alisema Bwana Luhanga.

Awali akizungumza katika hafla hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa The Runners Club, Bwana Godfrey Mwangungulu alisema mbio za mwaka huu zinazofanyika chini ya udhamini mkubwa wa Benki ya Absa Tanzania zitashirikisha mbio za Kilomita, 21, 10 na Kilomita tano.

Absa Dar City Marathon ya mwaka huu inayotarajiwa kufanyika Mei 5 mwaka huu ikianzia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, ni zaidi ya mbio, ni zaidi ya sherehe, ni kilele cha sherehe za mbio zote zinazoendelea kufanyika hapa nchini."

Tumefanya mbio hizi kwa miaka mitatu mfululizo, mwaka huu tunataka kuzifanya Kwa mafanikio zaidi, tunatarajia zaidi ya wakimbiaji 3000 kushiriki, tunawashukuru sana wadhamini wetu wakuu, Benki ya Absa pamoja na wadhamini wengine”, alisema Bwana Mwangungulu.

Mbali na Benki ya Absa kama mdhamini mkuu, wadhamini wengine ni Kampuni ya Alliance Life Assurance, Hill Water, Kilimanjaro Milk na Kampuni ya Garda Security.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (wa tatu kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasilino wa The Runners Club, Bwana Godfrey Mwangungulu (kushoto kwa Aron), pamoja na wawakilishi wa wadhamini wengine, wakionyesha fulana na vitu vingine vitakavyotumika wakati wa mbio za Absa Dar City Marathon, jijini Dar es Salaam Mei 5 mwaka huu, zikianzia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja. Hafla hiyo ilifanyika jijini humo jana.
Share:

Saturday, April 20, 2024

ORYX GAS TANZANIA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION WATOA MSAADA WA MITUNGI YA GAS YA KUPIKIA KWA WAUGUZI HOSPITALI YA MWANANYAMALA


Na Mwandishi Wetu 

JUHUDI za serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia zimezidi kuungwa mkono baada ya Kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania kuingia mkataba na Taasisi ya Doris Mollel, kuwapatia mitungi na majiko ya gesi wauguzi kutoka mikoa 10 nchini.

Akizungumza wakati wa hafla ya kutia saini makubaliano hayo leo Aprili 19, 2024 katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Kinondoni Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Oryx, Benoite Araman amesema lengo la hatua hiyo ni kutanua matumizi ya nishati ya kupikia katika jamii.

Araman amesema matarajio ya Kampuni hiyo ni kuhakikisha kila Mtanzania anatumia nishati safi ya kupikia.

“Kunahitajika elimu ya kuhakikisha watu wanaokolewa dhidi ya matumizi ya nishati isiyofaa, tunatarajia kutoa majiko mengi zaidi na hadi sasa tumeshatoa majiko 32,000,” amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation, Doris Mollel amesema lengo la kulifikia kundi la wauguzi anya ni kuhakikisha wanawaepusha na athari za matumizi ya nishati chafu ambayo ina madhara kwa jamii.

Doris, ameeleza ugawaji wa majiko hayo utawagusa wauguzi katika mikoa 10.

“Tunatambua nafasi ya wauguzi wa afya, wamekuwa na mchango mkubwa kwenye jamii, tunaona makundi mengine yakipewa majiko sisi tunaona ni muhimu tuwape wauguzi,” ameeleza.

Amebainisha kuwa, majiko hayo yatakabidhiwa kwa wauguzi walio katika mazingira magumu kuwaepusha na matumizi ya nishati yenye madhara 

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mwananyamala, Zavery Benela amesema matumizi ya nishati chafu ni moja ya sababu ya magonjwa mengi ya mfumo wa hewa kwa binadamu.

Ameeleza kati ya wagonjwa 500 wa nje wanaopokelewa katika hospitali hiyo, zaidi ya nusu wanasumbuliwa na magonjwa ya mfumo wa hewa.

“Haya ndiyo magonjwa namba moja kwa wagonjwa wengi kwenye hospitali yetu, tumekuwa tukiwapokea na ukiuliza namna anavyoishi utakuta anatumia nishati isiyofaa kupikia,” ameeleza.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel akisaini hati ya makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Oryx Gas kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.






Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel (katikati) akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubalinao na Kampuni ya Oryx Gas kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo
Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala mkoani Dar es Salaam Dk.Zavery Benela akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakionesha mkataba waliosaini kwaajili ya kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx mmoja wa wauguzi katika hospitali ya rufaa ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini makubalino kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akitoa elimu ya matumizi sahihi ya mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx kwa wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala katika hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Baadhi ya wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala wakifuatilia hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel akisaini hati ya makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Oryx Gas kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.






Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel (katikati) akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubalinao na Kampuni ya Oryx Gas kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo
Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala mkoani Dar es Salaam Dk.Zavery Benela akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakionesha mkataba waliosaini kwaajili ya kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx mmoja wa wauguzi katika hospitali ya rufaa ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini makubalino kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akitoa elimu ya matumizi sahihi ya mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx kwa wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala katika hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Baadhi ya wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala wakifuatilia hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Share:

Sunday, April 14, 2024

ASASI YAUNGANA NA ORXY GAS TANZANIA KUSAIDIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

   

Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa (kulia), akipokea Moja ya msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na Kampuni ya Oryx pamoja na Asas kwaajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Rufiji mkoani Pwani kutoka Kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Oryx Shabani Fundi hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika Leo.
Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa (katikati), akipokea Moja ya msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na Kampuni ya Oryx pamoja na Asas kwaajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Rufiji mkoani Pwani kutoka Kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Oryx Shabani Fundi, hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika Leo. Kulia ni Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Asas Abdul Ally.

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya Oryx Gas Kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula pamoja na mitungi ya gesi ya oryx kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Rufiji mkoani Pwani.

Msaada huo umekabidhiwa leo Aprili 13,2024 jijini Dar es Salaam kwa Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa.

Akizungumza wakati akipokea msaada huo Waziri Mchengerwa amesema kwa niaba ya wananchi  wanaushukuru kwa kupatiwa msaada huo unaokwenda kusaidia wananchi waliopatwa na mafuriko na kwa sasa wamehifadhiwa kambini kutokana na kukosa makazi pamoja na vyakula.

"Tunaashuhudia kuwepo kwa muamko wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan ambaye yeye ni mfariji namba moja katika Taifa letu alioutoa kwa siku ya jana alipokuwa kule Arusha lakini taarifa ambazo amekuwa akizitoa kuwataka Watanzania kuwa wamoja na kusaidia wale ambao wana nafasi basi wajitolee kwa ajili ya wenzao,"amesema.

Ameongeza kuwa hivyo leo wanashuhudia shehena ya vyakula ambavyo vimetolewa na ASAS pamoja na Kampuni ya Oryx Gas ambapo Oryx wametoa mitungi pamoja na majiko ambayo wananchi wa Rufiji hasa walioko makambini watakwenda kutumia.

Pia Oryx kwa kushirikiana na ASAS wametoa vyakula ambavyo vitakwenda kutolewa kwa wananchi wote walioko makambini ambao wanahifadhiwa na wanahudumiwa na Serikali kwa wakati huu huku akitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Samia kwani tayari amekwisha elekeza  utolewaji wa shehena ya vyakula 

Ametaja vyakula hivyo ni  mchele  Maharage, unga pamoja naa vyakula  vingine ambavyo Rais Dk Samia ameelekeza kwenda Rufiji kwa ajili ya kusaidia wananchi waliokumbwa na mafuriko kwa mwaka huu.

"Niendelee kuwasihi Watanzania wote katika maeneo yao wale wenye nafasi wanaona wanataka kutoa kwa ajili ya ndugu zao tunawakaribisha Rufiji.Nitume nafasi hii kuwashukuru na kuwaomba tuendelee kushikamana katika kipindi hiki kugumu, tuendelee kuwa wamoja na kwamba mafuriko hayo hayakuanza mwaka huu yamekuwepo tangu enzi wa baba wa Taifa."

Awali kabla ya kukabidhi msaada huo, Meneja Mauzo wa Oryx Gas Shaban Fundi  amesema kwa niaba ya  Oryx Energies wanatoa pole kwa waathirika wote wa mafuriko yaliyotokea nchini hususan watu wa Rufiji.

"Kampuni ya Oryx Gas ikishirikiana na wadau wenzetu ASAS tumeamua tuwashike mkono wenzetu wa Rufiji kwa kuwapa msaada wa vyakula na mitungi ya gas ili kusaidia watu waliopo katika makambi ya kutolea misaada ya kibinaadam.

"Tumetoa mchele, unga wa sembe, mafuta ya kupikia yenye thamani ya zaidi ya milioni 52. Zaidi tumetoa mitungi mikunwa 100 na majiko 100, pia tumetoa mitungi midogo 100 yenye thamani ya zaidi ya mili 25.Tunampa pole muheshimiwa Waziri Mchengerwa, Wananchi wa Rufiji na Serikali kwa ujumla,"amesema Fundi.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

FOOD VENDORS IN ZANZIBAR READY TO SHINE

Labels

Blog Archive