A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Monday, March 27, 2023

Absa Bank Tanzania bids farewell to its Managing Director during a special Iftar Gala

Outgoing Managing Director of Absa Bank Tanzania, Abdi Mohamed (left), serves Iftar dish to the Director of the Human Resources of the bank, Parick Foya, during a special iftar gala organized by the bank for its employees during the Holy Month of Ramadhan, an event that doubled as farewell platform for Abdi. The event took place in Dar es Salaam over the weekend. Third left is Absa’s Chief Internal Auditor, George Binde, and the Head of Business Banking, Melvin Saprapasen.
Outgoing Managing Director of Absa Bank Tanzania, Abdi Mohamed (centre) receives a prize from the bank’s Finance Director (CFO), Obedi Laiser, during a special Iftar party organized by the bank for its employees to spice the Holy Month of Ramadhan in Dar es Salam over the weekend. Left is the Director of Human Resources of Absa Bank Tanzania, Patrick Foya.
The outgoing Managing Director of Absa bank Tanzania, Abdi Mohamed (second left), enjoys the company of the Head of the Marketing and Corporate Relations, Aron Lubanga (left), during a special Iftar dinner organized by the bank for its workers, in Dar es Salam over the weekend.
Head of the Business Banking of Absa Bank Tanzania (Melvin Saprapasen (left), Chief Operating Officer of the bank, Oscar Mwamfwagasi, and the Director of Corporate and Investment Banking, Hugo Chilufya, serves food during a special Iftar set up by the bank for its employees and also to bid farewell to out-going Managing Director, Abdi Mohamed in Dar es Salaam over the weekend.
A cross- section of Absa Bank Tanzania employees enjoy their meal during an Iftar gala organized by the bank, in Dar es Salaam over the weekend. The function doubled as farewell arena for out-going Managing Director, Abdi Mohamed.
Some Absa Bank Tanzania workers ready to serve their meal during a special Iftar party organized by the bank in Dar es Salaam over the weekend. The function doubled as farewell venue for out-going Managing Director, Abdi Mohamed.
Share:

Wednesday, March 22, 2023

FREIGHT MANAGEMENT YAJA NA MPANGO KUBORESHA HUDUMA ZA USAFIRISHAJI NCHINI

 


Meneja Operation wa Freight Management Ltd, Dorine Gibson akifafanua jambo wakati wa semina fupi ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa Kampuni hiyo mbinu za kisasa za kuboresha huduma wa usafirishaji nchini.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KAMPUNI inayotoa huduma za anga za ugavi na usafirishaji nchini, Freight Management Company Ltd (FMCL), imetangaza mpango wake mpya wa kutoa huduma bora za anga za ugavi na usafirishaji kama sehemu ya mchango wake katika kukuza uchumi wa Taifa.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Ofisa Mtendaji Mkuu wa FMCL Witness Panga amesema wantaka huduma za anga za ugavi na usafirishaji ziwe kwenye kiwango bora ndani ya nchi na kimataifa.

Akirejea jitihada na marekebisho yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuchochea uwekezaji wa sekta binafsi, Witness amesema kampuni yake imejipanga vizuri kusaidia mipango ya Serikali inayolenga kuboresha utoaji wa huduma kwenye ugavi na usafirishaji na huduma zingine nchini Tanzania.

Alielezea huduma za ugavi na usafirishaji kama nguzo muhimu katika kuchechemua ukuaji wa biashara na uwekezaji na hivyo kukuza uchumi wa taifa na kuleta maendeleo kwa watanzania.

“Matokeo chanya katika uchumi wetu yatainua na kuboresha hali ya maisha ya Watanzania wa kawaida,” amesema na kuongeza kwamba: “Kwa vile sisi ni sehemu ya jamii hii, mchango wetu kwa maendeleo haya ni muhimu na haukwepeki.”

Amesema kampuni yake ina wabia wenye mtandao mkubwa na ulioimarika, unaoiruhusu kampuni kutoa huduma zinazoaminika na zenye gharama nafuu kwa wateja wake (wa ndani na kimataifa).

Pamoja na huduma zingine, kampuni ya FMCL inatoa huduma za anga za ugavi na usafirishaji, ambazo ni pamoja na usafirishaji wa mizigo kwa njia ya anga, usafirishaji wa kuunganisha kwa njia ya anga, kubadili meli/kuhamisha shehena na huduma za kukodisha.

“Tunatoa huduma mbalimbali za ugavi na usafirishaji baharini, ikiwa ni pamoja na usafiri wa kuunganisha kwa njia ya anga, kubadili meli/kuhamisha shehena na huduma za kukodisha, ukaguzi wa mizigo na kutoa hati ya utakaso wa ushuru,” amesema.

Kampuni inatoa pia huduma za ushauri na uchanganuzi. “Wafanyakazi wetu wana uzoefu wa kuweza kutoa suluhisho lililo bora zaidi kwa mchororo wa mahitaji ya ugavi na usafirishaji.”

Katika kufanya kazi zake, Freight Management inatoa huduma za usafirishaji wa kimataifa kwa njia ya anga na baharini kutoka huduma za usafirishaji wa kawaida hadi huduma changamani.

Kimsingi, FMCL ina uwezo wa kutoa huduma yoyote ya usafirishaji, kutoka vifurushi vidogo hadi makontena makubwa. Wafanyakazi wetu wazoefu wanajituma kuhakikisha shehena za wateja wetu zinafika muda wake, salama na ndani ya bajeti.

“Tunajivunia pia huduma ya usafirishaji wa mizigo baina ya nchi na nchi, tukitoa kwa wateja wetu fursa za uchaguzi wa njia ya kutumia, kwa viwango nafuu zaidi na kwa huduma bora.

Huduma za utaratibu wa ugavi na usafirishaji ni pamoja na utakaso wa ushuru, kufunga mizigo, kuhifadhi mizigo ghalani, usambazaji, usimamizi wa orodha/hesabu ya vitu/bidhaa na usafirishaji.
Share:

WAKAZI WA NYAMIKOMA WAISHUKURU TANZANIA COMMERCIAL BANK KWA UJENZI WA ZAHANATI

  Meneja wa Tanzania commercial Bank (TCB), Tawi la Musoma Hagai Gilbert (kulia) akimkabidhi sehemu ya msaada wa mabati 135 yaliyotolewa na Benki hiyo kwa Diwani wa kata ya Kyanyari kijiji cha Nyamikoma wilaya ya Butiama  Mkoa wa Mara, Mkingi Itagata, kwa ajili ya kusaidia kuendeleza ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Nyamikoma wilayani humo.


Maofisa wa Tanzania Commercial Bank wakiongozwa na Meneja Benki hiyo tawi la Musoma Hagai Gilbert pamoja na uongozi wa kijiji cha Nyamikoma wakikagua ujenzi wa kituo cha Afya kinachojengwa kwa nguvu za wananchi ambapo TCB imeguswana kuchangia kwa kutoa msaada wa mabati 135 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi huo


Wananchi wa kijiji cha Nyamikoma wilayani Butiama wakisaidia kushusha mabati 135 yaliyotolewa na Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa ajili ya kusaidia kuendeleza ujenzi wa zahanati.



Tanzania commercial bank imekabidhi mabati 135 katika kijiji cha Nyamkoma kilichopo wilaya ya Butiama mkoani Mara kwa dhamira ya kuunga mkono juhudi za serikali katika juhudi zake za kuhakikisha kila mtanzania anapata huduma ya afya.

Msaada huo ulitolewa leo katika kijiji cha Nyamkoma kilichopo wilaya ya Butihama mkoani mara na kupokelewa na Diwani wa kata ya kinyare Mh. Mkingi Itagata. 



Pamoja ya kuishukuru Benki ya TCB wakati akipokea msaada huo, Diwani wa kata ya Kinyare Mh Mkingi Itagata amesema kuwa bado kuna uhitaji ili ujamilisha ujenzi wa kituo cha afya kwani gharama ya ujenzi ni milioni 150 lakini hadi sasa kiasi walichokusanya ni milioni 47.



“Serikali pamoja na wazazi tutaongeza nguvu kwenye ujenzi  huu maana wananchi wamekuwa wakifuata huduma ya afya mbali kidogo na kijijini hapo.” Amesema Mingi


Akiongea baada ya kukabidhi msaada huo, Meneja wa Benki ya TCB Tawi la Musoma Gilbert Hagai   aliwasihi wananchi wa kijiji hicho kuwa TCB itaendelea kuunga mkono juhudi za wananchi wapenda maendeleo na kuhakikisha kuwa benki hiyo inasogea huduma zake karibu.


Aidha  pia amewapongeza wazazi na uongozi wa kijiji kwa jitihada zao za kuchangia na kuanza ujenzi wa zahanati hiyo toka mwaka 2017 hii inaonesha kuwa ni kwa namna gani kumekuwa na uhitaji.


“Benki yetu ya Tanzania Commercial Bank ni mdau mkubwa wa  Maendeleo, kwa kawaida kila mwaka tunatenga fungu kutoka katika faida yetu kwa ajili ya kurudisha katika jamii na tunaipa kipaumbele kwani Kuwekeza kwenye Elimu, Afya  na maeneo mbalimbali tukiwa kama benki tunaamini vitu hivi vyote vinatusiaida kupata wateja na wafanyakazi wa benki yetu wa baadaye.


 Tutaendelea kuchangia na kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassani katika kuboresha sekta ya afya kwa kadri tunavyoweza na tunaahidi kwamba huu si mwisho.” Ameongeza gilbert.

Share:

Thursday, March 9, 2023

Halmashauri ya Jiji la Dar yaishukuru Benki ya Biashara ya DCB kusaidia sekta ya elimu

Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mhandisi Amani Mafuru (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Isidori Msaki (kulia), Diwani wa Kata ya Bonyokwa, Tumika Malilo (wa pili kushoto) na Ofisa Elimu wa jiji, Spora Tenga wakishangilia baada ya Benki ya DCB kukabidhi msaada wa madawati 30 kwa shule ya msingi Kifuru ikiwa ni sehemu ya kampeni yake inayoendelea ya elimu iitwayo “Elimu Mpango Mzima na Mama Samia”, shuleni hapo, Kinyerezi, nje kidogo kutoka katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam (DCC) imeishukuru Benki ya Biashara ya DCB katika kusaidia uboreshaji wa elimu kwa kuchangia madawati 30 katika shule ya msingi Kifuru iliyopo Kinyerezi, Ilala nje kidogo kutoka katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa DCC Eng. Aman Mafuru amesema hayo katika hafla ya kukabidhi madawati shuleni hapo ambapo amesema tayari serikali ipo katika mchakato wa kuhakikisha shule zote za msingi zinazokabiliwa na changamoto ya madawati zinapatiwa madawati hayo.

"Tutahakikisha kwamba ushirikiano wetu na benki ya DCB Commercial Bank unasonga mbele katika kuhakikisha kuwa tunatatua changamoto nyingi za huduma za kijamii zinazoikabili manispaa na jamii kwa ujumla," alisema.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Isidori Msaki, alisema katika jitihada za kuisaidia Serikali ya Tanzania kuboresha sekta ya elimu nchini, benki ya Biashara ya DCB ina mpango wa kuchangia angalau madawati 1,000 katika shule mbalimbali za msingi nchini kati ya mwaka 2023/2025.

Msaki alisema madawati 30 yanayotolewa katika Shule ya Msingi Kifuru iliyopo Kinyerezi, Ilala, Dar es Salaam ni miongoni mwa madawati 150 ambayo benki hiyo itasaidia shule mbalimbali za msingi za Manispaa ya jiji hilo.

Alisema pamoja na kuboresha sekta ya elimu, madawati hayo pia yatahakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri, hivyo kusaidia kuboresha ufaulu wa wanafunzi katika shule za sekondari.

"Tunaunga mkono kampeni yetu iliyopewa jina la 'Elimu Mpango mzima na Mama Samia' inayotambua umuhimu wa elimu katika maendeleo ya taifa," alisema.

Msaki alisema kupitia Bodi ya wakurugenzi ya Benki ya DCB inayoongozwa na Bi Zawadia Nanyaro inalenga kuhakikisha kuwa wanafunzi wa shule za msingi wanakuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia.

Alisema benki hiyo pia inaunga mkono mipango ya manispaa katika kuboresha sekta ya elimu mkoani humo na nchi nzima kwa ujumla ambapo katika hafla hiyo benki inakabidhi madawati 30 kati ya 150 yaliyopangwa kukabidhiwa kwa halmashauri za manispaa ya Dar es Salaam.

"Tunaamini serikali kupitia kwa Rais Samia Suluhu Hassan inafanya kazi kubwa kuboresha sekta ya elimu, lakini serikali pekee haiwezi kumudu gharama zote za elimu kwa wanafunzi nchini," alisema.

Alisema benki hiyo itaendelea kusaidia mipango mbalimbali ya maendeleo ya serikali katika sekta ya elimu katika shule hiyo inayokabiliwa na changamoto lukuki ikiwemo majengo ya madarasa, vyoo, madawati pamoja na huduma nyingine za kijamii katika shule hiyo na nchi nzima kwa ujumla.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mhandisi Amani Mafuru ( kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Isidori Msaki wakikata utepe kuashiria makabidhiano ya msaada wa madawati 30 kwa shule ya msingi Kifuru yaliyotolewa na DCB ikiwa ni sehemu ya kampeni yake inayoendelea ya elimu iitwayo “Elimu Mpango Mzima na Mama Samia” jijini leo. Wengine kutoka kushoto ni Ofisa Elimu kata ya Bonyokwa, Sylvia Lyimo, Ofisa Elimu wa jiji, Spora Tenga, Diwani wa Kata ya Bonyokwa, Tumika Malilo na Mkuu wa Shule ya Kifuru, Wilfred Lwagaza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Isidori Msaki akishikana mikono na wanafunzi wa shule ya msingi Kifuru baada ya kuwakabidhi msaada wa madawati 30 kama sehemu ya kampeni yake inayoendelea ya elimu iitwayo “Elimu Mpango Mzima na Mama Samia” jijini leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Isidori Msaki akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa madawati 30 kwa shule ya msingi Kifuru shuleni hapo, Kinyerezi nje kidogo kutoka katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo.
Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mhandisi Amani Mafuru akizungumza kabla hajapokea msaada wa madawati 30 yaliyotolewa na Benki YA DCB, shuleni hapo, Kinyerezi, Dar es Salaam leo.
Diwani wa Kata ya Bonyokwa, Tumika Malilo akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa akipiga picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Kifuru mara baada ya hafla hiyo, shuleni hapo leo. DCB ilikabidhi msaada wa madawati 30 yakipokewa na Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mhandisi Amani Mafuru.
Mkuu wa Shule ya Msingi Kifuru akitoa neno la shukrani baada ya Benki ya Biashara ya DCB kukabidhi madawati 30 kwa shule yake kupitia kampeni yake inayoendelea ya elimu iitwayo “Elimu Mpango Mzima na Mama Samia”. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Isidori Msaki, Ofisa Elimu wa jiji, Spora Tenga, Diwani wa Kata ya Bonyokwa, Tumika Malilo na Kaimu Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Mhandisi Amani Mafuru.
Share:

Wafanyakazi wa Freight Forwarders Tanzania Ltd watoa msaada Hospitali ya Mloganzila katika kusherehekea Siku ya Wanawake duniani 2023

 


Naibu Mkurugenzi Mtendaji MNH-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi (wa pili kushoto) akipokeza msaada wa msaada wa kabati la kuhifadhia dawa za dharula (Trolley) lenye thamani ya shilingi milioni 2 kutoka kwa mwakilishi wa Kampuni ya Freight Forwarders Tanzania Ltd, Veronica Chilunda, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani.








KAMPUNI ya Freight Forwarders Tanzania Limited imekabidhi msaada wa kabati la kuhifadhia dawa za dharula (Trolley) kwa Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila lenye thamani ya shilingi milioni 2  ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani inayoadhimishwa Machi 8 kila mwaka.


Akikabidhi msaada huo Mwakilishi wa Kampuni ya Freight Forwarders Tanzania, Veronica Chilunda amesema kampuni imeguswa na huduma nzuri zinazotolewa Mloganzila hivyo wameona watoe msaada huo kama sehemu ya kurejesha kwa jamii.


Akipokea msaada huo Naibu Mkurugenzi Mtendaji MNH-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi ambaye alimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji, amewashukuru watumishi wanawake wa kampuni hiyo kwa msaada  waliotoa kwani umekuja wakati muafaka wakati hospitali ikiwa katika maboresho hususani katika  maeneo ya kutolea huduma na vifaa tiba.


Aidha Bi. Veronica ametoa wito kwa watu na makampuni mbalimbali kujitokeza kusaidia mahitaji katika hospitali hiyo ambayo kwa sasa imepanua wigo wa utoaji huduma.

Share:

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAWAFIKIA WANAWAKE WENYE UHITAJI HOSPITAL YA OCEAN ROAD WAKISHEREHEKEA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI

 

Meneja Mawasiliano na Uhusiano Tanzanian Commercial bank (TCB), Gloria Mutta (watatu kulia)  akikabidhi misaada wa vitu mbalimbali kwa  Afisa Ustawi wa jamii wa Hospitali ya Ocean Road Cancer Institute (ORCI) Devotha Kibanga Kwaajili ya kusaidia wagonjwa wanawake wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Ocean road jijini Dar es Salaam Ukiwa ni kusherehekea siku kuu ya wanawake inayofanyika kila tarehe 8 ya mwezi wa tatu kila mwaka wengine pichani ni wafanyakazi ya hospital hiyo Hafla hiyo imefanyika jana.


Katika kusherehekea sikukuu ya mwanamke duniani, Tanzania Commercial Bank (TCB) imeendelea kuwa karibu na wateja wake katika kuzingatia usawa wa kijinsia kwa maisha endelevu. 

Tanzania Commercial Bank (TCB) imetumia sikukuu hiyo kuwakumbuka na kuwatembelea wagonjwa wanawake wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Ocen Road na kutoa misaada mbalimbali.

Akizungumza wakati alipotembelea wagonjwa hao Meneja mawasiliano na uhusiano wa Benki hiyo Bi. Gloria Mutta ameeleza kuwa "Tanzania Commercial Bank(TCB) imeendelea kuwa karibu na jamii kwa kutoa misaada mbalimbali hususani kwa wenye mahitaji maalum".

Ameeleza kuwa " Tanzania Commercial Bank (TCB) imetambua mchango wa mwanamke katika kuleta maendeleo"

Aliwahamasisha wanawake hao kuendelea kuiamini na kuitumia Benki hiyo kwani tumekuwa tukitoa misaada mbalimbali pale tunapohitajika.

mutta aliongeza kuwa benki ya TCB  inatoa huduma nchi nzima ina matawi ambayo yanafanya kazi masaa 24 yote hayo ni kuhakikisha kuwa wateja wetu wanapata huduma  muda wowote.

Kwa upande wake Afisa ustawi wa jamii Ocean Road Cancer Institute (ORCI) Devotha Kibanga ameishukuru benki hiyo na kusema kuwa imekuwa mstari wa mbele katika kutoa misaada kwa jamii inayotuzunguka hususani sekta ya afya

Share:

Wednesday, March 8, 2023

Benki Ya Absa Yawataka Wanawake Kujiamini

Wito umetolewa kwa wanawake wafanyakazi pamoja na wengine nchini kujiamini wenyewe na kuwa imara ili waweze kutimiza malengo yao bila kusubiri kusukumwa kwani wanawake wamepewa uwezo mkubwa ndani yao.

Wito huo ulitolewa na Mkurugenzi wa Sheria na Udhibiti wa Sera na Kanuni wa Benki ya Absa Tanzania, Irene Sengati Giattas wakati wakifanya matembezi maalumu kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani akihimiza wanawake mahali pa kazi kuacha woga pale wanapopata nafasi za juu za uongozi na wasisubiri kutiwa moyo bali wao wenyewe wajitie moyo na kusonga mbele.

Akitoa mfano alisema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan ni mfano bora wa mwanamke mchapa kazi anayefanya mambo makubwa, wapo mawaziri wengi wanawake bora, wapo wabunge wengi wanawake na wapo pia viongozi wa taasisi mbalimbali wanawake wanaofanya vizuri katika utumishi wao.

Mmoja wa wafanyakazi wa Absa aliyeshiriki matembezi hayo, Aikande Kimaro alisema wameanza maadhimisho kwa kutembea kilomita nane wakisindikizwa na wafanyakazi wanaume kwa kuonyesha kuwa ushirikiano kutoka kwa wanaume ni muhimu katika kufanikisha majukumu yao mahali pa kazi na pia umuhimu wa mazoezi katika kuleta afya ya mwili na akili

Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio la matembezi hayo
Share:

Thursday, March 2, 2023

TANGA CEMENT NA MIAKA 20 UDHAMINI WA KILIMARATHON

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement PLC, Reinhardt Swart (kulia) akigawa maji kwa baadhi ya wakimbiaji wa kilomita 42 na 21 waliokuwa wakipita kwenye kituo cha maji na soda cha Simba Cement wakati wa mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Moshi mwishoni mwa wiki ambapo kampuni hiyo imetumia nafasi hiyo kusherehekea miaka 20 ya udhamini wa mbio hizo tokea zilipoanzishwa.

Meneja Mkuu wa Biashara wa Tanga Cement PLC, Peet Brits akigawa maji kwa baadhi ya wakimbiaji wa kilomita 42 na 21 waliokuwa wakipita kwenye kituo cha maji na soda cha Simba Cement wakati wa mbio za Kili Marathon zilizofanyika mkoani Moshi mwishoni mwa wiki ambapo kampuni hiyo imetumia nafasi hiyo kusherehekea miaka 20 ya udhamini wa mbio hizo tokea zilipoanzishwa.

Meneja Masoko na Mawasiliano wa Tanga Cement PLC, Mtanga Noor (kulia), akihudumia vinywaji kwa baadhi ya wakimbiaji wa kilomita 42 na 21 waliokuwa wakipita kwenye kituo cha maji na soda cha Simba Cement wakati wa mbio za Kili Marathon zilizofanyika Moshi mwishoni mwa wiki ambapo kampuni hiyo imetumia nafasi hiyo kusherehekea miaka 20 ya udhamini wa mbio hizo tokea zilipoanzishwa.

Simba Cement imeendelea kuwa kinara wa ufadhili wa mbio za Kili Marathon kwa miaka 20 sasa huku ikielezwa kuwa mbio hizo za kimataifa zimezidi kuboreka zaidi kila mwaka.

Akizungumza mara baada ya kumaliza kwa mbio hizo zilizofanyika 26 Februari 2023, katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Meneja wa Biashara wa Tanga Cement PLC, Peet Brits amesema, huu ni mwaka wa 20 wa ushiriki wao wakiwa wadhamini wakongwe na wakimbiaji kupitia timu za Simba katika mbio hizo ambazo Simba Cement na waandaaji wa Kili Marathon wamekuwa wakiziboresha hadi kufikia miaka 20 kwa mwaka 2023.

Amesema, udhamini wa mbio hizo ni kutokana na umuhimu wa michezo hasa Kili Marathoni ambayo huwakutanisha wafanyakazi wa Simba Cement na kufanya shughuli hii kwa umoja kama wanavyofanya viwandani pamoja kukutana na wadau pamoja na wateja wao.

"Katika ushiriki wetu hatukuangalia vyeo au nafasi zetu za kazi tuliona, Mkurugenzi Mtendaji akigawa maji kwa wakimbiaji, tulizungumza lugha moja kutoka langoni hadi kileleni kwa ushirikiano na wafanyakazi ambao ni wakimbiaji (Timu Simba) kwa pamoja na wakimbiaji wengine, wadau na wateja," alisema.

Pia alisema, wakati wa baada ya mbio hizo wafanyakazi ambao ni wakimbiaji wamekutana na wateja na wadau wao Kanda ya Kaskazini na kubadilishana mawazo ya uboreshaji katika huduma.

Kuhusiana na mafanikio kupitia mbio za Kili Marathon Peet amesema, wamefurahi kushirikiana katika mbio hizo zilizofanyika kwa mara ya 20 sasa na kufanya vizuri katika mbio hizo pamoja na kutoa huduma ya kugawa maji kwa wakimbiaji wa Kilometa 42 na 21 waliopita katika kituo chao cha kugawa maji.

"Tuna uhakika wakimbiaji wamefurahi kupita katika kituo chetu cha Point 8 wakati wa mbio hizi na kupata huduma, tutaendelea kushiriki katika tukio hili kila mwaka. Tunaipenda na kuithamini Kili Marathon na tunafurahi kudhamini kwa kugawa maji kwa wateja wetu na wadau wote waliopita katika 'Water Point' yetu na hawa ni kutoka katika mikoa ya Kaskazini ikiwemo Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Tanga na mikoa mingine," alieleza.

Aidha amesema, kwa mwaka huu walijipanga kufanya vyema zaidi ikilinganishwa na mwaka uliopita kwa kuongeza idadi ya wakimbiaji kwa timu Simba pamoja na kuongeza nguvu baina yao kwa kuwapa moyo wakimbiaji na kumaliza kwa ushindi.

Vilevile amesema, wamekuwa na Timu hiyo inayojumuisha wafanyakazi si kwa mashindano ya Kili Marathon pekee na kampuni ilihakikisha gharama zote ikiwemo vifaa, malazi, usafiri na burudani zinatolewa kwa kila mshiriki ili waweze kupata ushindi na kueleza kuwa wamekuwa na mashindano mbalimbali katika idara ambayo yameleta chachu kwa kampuni kudhamini timu hiyo ya Simba.

Peet amesema kwa mwaka huu, wamevunja rekodi kwa kuwa na jumla ya washiriki 28 na kupitia Kili Marathon, wamesherehekea kwa upekee mafanikio ya mwaka 2022 wakiwa washindi wa jumla wa tuzo ya Rais kwa mzalishaji bora wa mwaka na mshindi wa jumla wa tuzo ya taarifa ya fedha iliyotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA.)
Share:

Tuesday, February 21, 2023

RC SERUKAMBA AWATAKA WARATIBU KUONGEZA BIDII UTOAJI ELIMU YA VVU

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba akizungumza na waratibu wa UKIMWI wa Wizara,Mikoa na Halmashauri wakati wa kikao cha usambazaji wa taarifa ya mapitio ya fedha za UKIMWI kwenye sekta za umma na sekta binafsi ya mwaka 2022. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa fedha na Utawala wa TACAIDS, Yasin Abasi na kushoto ni Mratibu wa UKIMWI Mkoa wa Singida, Patrick Kasango.

Na Mwandishi Wetu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida, Peter Serukamba amewaagiza waratibu wa UKIMWI nchini kuzungumza na jamii kwa uwazi kuhusu mabadiliko ya tabia katika kujikinga na maambukizi ya VVU ifikapo 2030 kuwe na Tanzania isiyokuwa na UKIMWI.

Akizungumza leo Februari 20,2023 wakati wa uzinduzi wa usambazaji wa taarifa ya mapitio ya fedha za UKIMWI kwenye sekta za umma na sekta binafsi ya mwaka 2022 iliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana aalisema iwapo jamii itaelewa vizuri na ikakubali kubadili tabia Tanzania itafikia malengo ya Dunia ya 2030 ya kumaliza UKIMWI.

Serukamba alisema kuwa Serikali imekua ikipambana kudhibiti maambukizi ya VVU pamoja na madhara yake kwa zaidi ya miaka thelathini, ambapo kwa kiasi kikubwa mapambano haya yanategemea fedha kwa ajili ya utekelezaji wa afua za UKIMWi,ambapo amefafanua kuwa kwa mahitaji kwa mwaka ni takribani Sh. Trilini 1.3.

Aidha, aliongeza kuwa utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI umekua ukipata fedha kutoka kwenye vyanzo mbalimbali hivyo ni muhimu kufanya mapitio ya fedha zinazotumika kwenye afua hizo ili kubaini mchango wa taasisi za sekta ya umma na mchango wa taasisi za sekta binafsi ikiwa ni pamoja na kutambua Maeneo ambayo mchango huo unapelekwa kulingana na afua za VVU na UKIMWI lakini muhimu zaidi kutambua upungufu uliopo wa fedha katika kutekeleza afua za VVU na UKIMWI hapa ili Kuhakikisha utekelezaji wenye tija kwa Taifa, Jamii na mtu mmoja mmoja.

Akifafanua umuhimu wa kufanyika kwa zoezi la Mapitio ya Fedha za UKIMWI kwenye Sekta ya Umma na Binafsi (Public and Private Expenditure Review) ni kuwa zinaisaidia serikali kufahamu kiwango cha matumizi ya fedha za UKIMWI kinachopangwa na Sekta ya Umma na Binafsi.

Pia kufahamu maeneo ambayo fedha hizo zinaelekezwa, kujua kiwango cha utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI ili kubaini mchango wa sekta ya umma na binafsi katika mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI. Aidha, mapitio ya fedha za UKIMWI husaidia kubaini changamoto katika utekelezaji wa afua za VVU na UKIMWI nchini na kuweka mikakati ya kuzitatua.

Serukamba ameyataja mafanikio ya mafanikio yaliyotakana na zoezi hilo kuwa ni pamoja na kuboresha ugawaji wa rasilimali fedha za UKIMWI kulingana na afua zinazotekelezwa hapa nchini, kuimarisha mikakati ya kuhamasisha sekta binafsi na sekta za umma kupanga na kutekeleza shughuli za VVU na UKIMWI kwenye maeneo yao pamoja na kukuza mchango wa sekta ya umma na sekta binafsi katika mapambano dhidi ya VVU na UKIMWI hapa nchini.

Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TACAIDS, Yasini Abasi alisema kuwa uhitaji wa fedha za UKIMWI bado ni mkubwa kwani kwa sasa wafadhili wanaendelea kupungua na hivyo kuitaka jamii kuendelea kuchangia mfuko wa udhamini wa kudhibiti UKIMWI ili hata pale itakapo tokea waansitisha basi Mfuko uwe na fedha za kutosha kwa ajili ya huduma za UKIMWI.

Kikao hicho kiliwashirikisha waratibu wa UKIMWI kutoka baadhi ya Wizarani,Halmashauri na Mikoa.
Waratibu wa UKIMWI kutoka Wizarani, Halmashauri na Mikoa walioshiriki Kikao cha usambazaji wa taarifa ya mapitio ya fedha za UKIMWI kwenye sekta za umma na sekta binafsi ya mwaka 2022 kilichoandaliwa na Tume ya kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) wakiwa katika kikaohicho.
Mkuu wa MKoa wa Singida Peter Serukamba (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wawezeshaji wa zoezi la kukusanya taarifa za fedha za UKIMWI kwenye sekta ya umma na sekta binafsi pamoja na waratibu wa UKIMWI (aliyekaa kulia kwake) ni Mkurugenzi wa fedha na Utawala wa TACAIDS, Yasin Abasi na kushoto ni Mratibu wa wa UKIMWI MKoa wa Singida, Patrick Kasengo. Picha hii imepigwa mara baada ya uzinduzi wa kikao cha usambazaji wa taarifa ya mapitio ya fedha za UKIMWI kwenye sekta za umma na sekta binafsi ya mwaka 2022.
Mkuu wa MKoa wa Singida, Peter Serukamba ambaye alikuwa mgeni rasmi (katikati waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa UKIMWI kutoka wizarani na baadhi ya Waratibu wa Halmashauri nchini mara baada ya ufunguzi wa kikao cha uzinduzi wa kikao cha usambazaji wa taarifa ya mapitio ya fedha za UKIMWI kwenye sekta za umma na sekta binafsi ya mwaka 2022 kilichofanyika leo Februari 20,2023 mkoani Singida. Kulia kwake Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TACAIDS, Yasin Abasi na kushoto ni Mratibu wa UKIMWI Mkoa wa Singida, Patrick Kasango.
Mkuu wa MKoa wa Singida, Peter Serukamba ambaye alikuwa mgeni rasmi akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa UKIMWI kutoka wizarani na baadhi ya Waratibu wa Halmashauri nchini mara baada ya ufunguzi wa kikao cha uzinduzi wa kikao cha usambazaji wa taarifa ya mapitio ya fedha za UKIMWI kwenye sekta za umma na sekta binafsi ya mwaka 2022 kilichofanyika leo Februari 20,2023 mkoani Singida. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa TACAIDS, Yasin Abasi na kushoto ni Mratibu wa UKIMWI Mkoa wa Singida, Patrick Kasango.
Share:

Absa unveils revised mortgage version friendlier to prospective home-owners

Minister for Lands, Housing and Human Settlements, Dr. Angeline Mabula (centre), is accompanied by (from the left) National Housing Corporation Managing Director, Nehemiah Mchechu, Absa Bank Tanzania Head of Retail Banking, Ndabu Lilian Swere and Absa's Managing Director, Abdi Mohamed during the launch of the bank’s revamped mortgage proposition in Dar es Salaam over the weekend.

By Our Reporter, Dar es Salaam

Minister for Lands, Housing and Human Settlements Dr. Angeline Mabula has commended Absa Bank Tanzania, for entering into the pre-sale mortgage market segment that offer space.

The minister gave the thumbs-up during the launch of Absa's revamped mortgage proposition that was held simultaneously with the signing of the Memorandum of Understanding (MoU) between the bank and the National Housing Corporation (NHC) in Dar es Salaam over the weekend.

The minister said the move will help to address the challenge of availability of quality housing units in the country, noting that land investment was crucial as it has been playing a key role in improving the country’s income, thus contributing heavily to its development.

The government introduced mortgage financing company way back in 2010 to spearhead housing construction in the country and speed up development,” said Dr..Mabula.

She added, “The president’s vision is to see that the private sector partners with the government so that a lot more Tanzanians own houses.”

According to the 2022 Housing Population Census, at least 390,000 housing units were needed annually to meet the country’s housing demand.

The minister noted that there was need for the public and private sectors to borrow modern technologies to speed up housing construction in the country.

On his part, Absa Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed, said the bank will be partnering with an Insurance Service Provider through the Collateral Replacement Indemnity (CRI) to offer 100 per cent mortgage towards a property purchase facility to make the product even more affordable.

The move, he said, means that customers will not be required to deposit any down-payment.

Our flexibility in credit assessments also means that our customers will be able to include any verifiable additional incomes to be added into their disposable monthly income as a basis for the bank to determine loan amount eligibility,” said the Absa CEO..

The launched mortgage proposition has enhanced features, making it one of the most attractive mortgage propositions in the country.

Absa embarked on a journey to revamp its mortgage proposition in 2021 to ensure that the improved version meets and exceed current and anticipated customer needs, turning it from a standardized loan product into a home ownership solution for all Tanzanians.

Among the key improvements are reduction of the costs associated with the product to make it more affordable, by trimming down the required down-payment towards house purchase from 20 per cent to 10 per cent.

The bank has also enhanced the revision of the maximum loan size which has been revised upward from Sh500 million to Sh1 billion.

This change removes the loan size limitations for customers, enabling those with higher incomes to be able to purchase high-end house units that they previously would have not been able to.

Mr. Mohamed said to address the challenge of unavailability of quality affordable houses on sale, the bank has signed Memorandum of Understanding (MoU) with reputable property developers to finance the individual purchase of housing units sold by these developers on a pre-sale basis

We know that everyone wants to own a house as it is a basic need for every person. A lot of people use savings to build their own houses which takes up to ten years,” he said.

According to the MD the bank’s aspirations is that one can own a house as the bank has partnered with the National Housing Corporation and set up a one-stop shop covering all aspects of buying, building and renovating of houses.

The bank has also expanded its market base locally to accommodate other regions outside of Dar es Salaam that were previously not served with mortgage, meaning that customers in all regions where Absa is present (Dar es salaam, Arusha, Moshi, Mwanza, Mbeya, Tanga, Morogoro, Dodoma, Iringa, and Zanzibar) will be able to apply for Absa Mortgage.

The bank has also opened up its mortgage solution to the Diaspora, through its “Diaspora Mortgage”, which will offer home loan solutions to Tanzanians residing overseas wishing to invest in real estate back home.

Commenting on the cooperation, NHC’s Managing Director Nehemia Mchechu said NHC was partnering with 20 banks in construction of houses, targeting the middle and low income earners.

Mchechu said NHC will ensure that all its projects are within the Central Business District (CBD) of respective urban settlements to ease transport logistics to home owners.

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking.
Share:

Monday, February 20, 2023

VODACOM MAINTAINS MARKET LEAD, TTCL STRUGGLES

Vodacom has maintained the lead as the largest mobile network operator in Tanzania as the state-owned TTCL lost hundreds of thousands of customers in the first and second quarters of the current financial year, recently published Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) statistics shows.

The statistics show the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) listed Vodacom controls 30 per cent of the Tanzania market with a subscriber base of 18 million in the quarter ending December last year.

It is followed by Airtel, a subsidiary of Bharti Airtel of India, as the second-largest mobile network operator with 28 per cent of the market share from 16.6 customers.

MIC Tanzania Limited operating as Tigo follows with 26 per cent and 15.9 subscribers as of December last year.

The fourth largest operator is Viettel Tanzania trading as Halotel, which commands 13 per cent of the market share and 8.0 million subscribers followed by state-owned TTCL with three per cent and 1.5 million customers and Smile with 0.03 per cent from 15,547 customers.

Despite the increase in subscriptions, TTCL lost about 5,623 subscriptions in the quarter ending December.

The state-owned operator had lost 282,101 customers in the quarter ending September from 1,783,301 customers in June to 1,501,200 customers in September.

There is no operator with a significant market share in terms of subscriptions, which signifies that there is healthy competition among the operators in retaining consumers and recruiting new consumers.

The second quarter of 2022/2023 has experienced a significant increase in subscriptions which reached 2.2 million from 1.9 million in the first quarter, according to the data.

Total subscriptions have increased by 4 per cent from 58.1 million subscriptions, in September 2022 to 60.3 million as of December 2022.

TCRA says the reason behind such an increase may be associated with end of year festivals whereby many people like to communicate with families and friends around the world hence demanding new SIM cards.
Share:

Wateja wa Benki ya Absa kununua nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa kupitia mkopo wake ulioboreshwa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed wafurahi katika hafla ya utiaji saini makubaliano yatakayowawezesha wateja wa Absa kununua nyumba za NHC kwa mkopo. Ilikuwa ni katika hafla ya uzinduzi wa Huduma ya Mkopo wa nyumba ulioboreshwa wa Absa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (kulia), wakiangalia wakati Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu (katikati) akisaini makubaliano yatakayowawezesha wateja wa Benki ya Absa kununua nyumba za NHC kwa mkopo. Ilikuwa ni wakati wa uzinduzi wa Huduma ya Mkopo wa nyumba ulioboreshwa wa Absa jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed (kulia), akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam juzi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu (kulia), wakiangalia wakati Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed akisaini makubaliano yatakayowawezesha wateja wa benki hiyo kununua nyumba za NHC kwa mkopo kutoka benki hiyo. Ilikuwa ni wakati wa uzinduzi wa Huduma ya Mkopo wa nyumba ulioboreshwa wa Absa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya maofisa wa Benki ya Absa pamoja na wahudhuriaji wengine wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa mkopo wa nyumba ulioboreshwa wa Benki ya Absa katika hafla iliyofanyika pamoja na utiaji saini makubaliano yatakayowezesha wateja wa Absa kununua nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa mkopo.
Share:

PLAYERS SALUTE GOVERNMENT ON VAT EXEMPTION EXTENSION ON AIR CHARTER SERVICES

  

The government is mulling over prolonging value added tax (VAT) exemption on “Air Charter Services” for the next four years in its latest goodwill to spur aviation and tourism industries.

Once it goes through the Parliament, VAT exemption on “Air Charter Services” will stay through to June 30, 2026, offering a ray of hope to the aviation and tourism players to grow business and leapfrog other economic sectors.

Aviation and tourism are inherently interrelated, as tourism depends on aviation to bring in visitors, and aviation banks on tourism to generate demand and fill seats.

The Tanzania Air Operators Association (TAOA) board Chairman, Captain Maynard Mkumbwa has, on behalf of the aviation industry, overwhelmingly praised the measure of extending the VAT tax relief, expressing the aviation industry appreciations to the government with the considerate President Samia Suluhu Hassan, at the helm.

TAOA is the member base association that aims at fostering legal and responsible development of the aviation industry by ensuring safety, efficiency, regularity and economic operations.

It provides a common platform for the promotion of best practices and it engages in effective advocacy with the government through responsible authorities.

The association provides a range of services to its members such as taking part in policy formulation and reforms; providing access to relevant industrial information on travel, tour and tourism; and coordinating partnerships and business linkages between members and relevant players in the national economy.

My thanks have no boundary going to our considerate government under the President, Samia Suluhu Hassan. The reinstatement of VAT on air charter services was essentially shooting ourselves in the foot,” said Captain Mkumbwa who is also the Managing Director of Coastal Aviation.

Traditionally, air charter services were treated as exempt supplies as provided under both the VAT Act, 2014, and 1997, respectively. However, the Finance Act, 2022, provided for this exemption to end with effect from 31st December 2022, in a move to expand the VAT base.

As it happened, the Finance Act, 2022, amendment was squarely challenged by the aviation players through their high-profile association – TAOA, citing an immediate decline in advance bookings and its consequent negative impact on the tourism industry as vivid examples of ripple effects of the removal of the exemption.

TAOA Chief Executive Officer, Ms Lathifa Sykes, said the move to remove VAT exemption was counterproductive to President Samia’s initiative through her recently launched Tanzania The Royal Tour Film to promote tourism industry and investment.

The Tanzania Royal Tour film is part of Dr Samia’s ambitious commitment to achieve one of the pledges of the ruling CCM’s 2020-2025 General Election manifesto to spur the tourism industry for it to create meaningful employment and leapfrog other economic sectors.

Indeed, the CCM manifesto clearly stipulates that tourism will attract five million tourists who will leave behind nearly 6.6 billion US dollars by 2025 with expected massive multiplier effects to a critical mass of common folks in Tanzania, particularly women and youths.

The removal of VAT exemption on air charter services was countering what President Dr Samia and the ruling party is preaching. Aviation industry has been VAT exempt for years for a reason,” the TAOA CEO noted.

TAOA Vice-Chairman Mr Mrisho Yassin said the decision would go a long way in driving the two intertwined industries of aviation and tourism to a great height.

A Bill supplement issued on 20th January 2023, proposes to extend the VAT exemption on the supply of air charter services to 30th June 2026, implying to repeal the removal of the amnesty on 30th December 2022.

Part IX proposes to amend the VAT Act, Cap 148, whereby item 22 of the schedule is amended so as to extend the VAT exemption on air charter services in order to facilitate growth trajectory in the tourism industry.

The Bill Supplement (“the Written Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 2023”) proposes to reinstate the exemption and postpone its removal until 1st July 2026.

This implies that it has been recognised that the proposed removal of the exemption would have serious negative implications on the tourism industry.

Tourism is Tanzania’s largest foreign exchange earner, contributing an average of $2.6 billion annually, which is equivalent to 25 per cent of all exchange earnings, the government’s data indicate.

Tourism also contributes to more than 17 per cent of the national gross domestic product (GPD), creating over 1.5 million jobs.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive