A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Saturday, September 17, 2022

TCB YAKABIDHI MSAADA KWA JESHI LA POLISI KIBAHA

 Mkurugenzi wa Hazina wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Wenceslaus Fungamtama (wapili kushoto), akikabidhi msaada wa kompyuta na viti vitano vya mbao kwamatumizi ya ofisini kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani (RPC) Pius Lutumo kwaajili yakusaidia jeshi la polisi kukabiliana na kudhibiti uhalifu makosa ya kimtandao. Kushoto ni Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta na kulia ni Meneja wa Tawi la TCB Kibaha Juvestina Julius pamoja na maafisa wa jeshi la polisi kutoka kituo kikuu cha polisi kibahaMkurugenzi wa Hazina wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Wenceslaus Fungamtama (kushoto), akikabidhi msaada wa viti vitano vya mbao pamoja na kompyuta kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani (RPC) Pius Lutumo kwaajili yakusaidia jeshi la polisi kukabiliana na kudhibiti uhalifu makosa ya kimtandao. Wengine ni ma afisa wa polisi kutoka kituo cha kibahaKamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani (RPC) Pius Lutumo akisalimiana na Meneja wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Tawi la Kibaha Juvestina Julius wakati wa hafla ya Benki hiyo kukabidhi msaada wa viti vitano vya mbao pamoja na kompyuta kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani (RPC) Pius Lutumo kwaajili yakusaidia jeshi la polisi kukabiliana na kudhibiti uhalifu makosa ya kimtandao.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani (RPC) Pius Lutumo akizungumza na wanahabari mara baada yakupokea msaada wa kompyuta na viti vitano kutoka Tanzania Tanzania Commercial Bank (TCB)

Picha ya pamoja



Share:

Friday, September 9, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA ELIMU YA FEDHA KWA WASTAAFU DAR ES SALAA

1E1A2485Meneja Mwandamizi wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Ramadhani Mganga akizungumza wakati wa Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam ili kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba jijini humo.



02Meneja Masoko wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Theresia Soka akizungumza wakati wa Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam ili kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba jijini humo.1E1A2578Afisa Masoko wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Dorothea Lymo, akimsikiliza mmoja ya mteja na Mstaafu wakati wa Semina maalum ya wastaafu iliyoandaliwa na TCB kwaajili yakuwapa elimu ya kifedha pamoja na kuwaaminisha kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao
1E1A2226Meneja Mwandamizi Idara ya Mikopo wa Tanzania Commercial Bank (TCB),Joanitha Deogratias (kushoto), akitoa huduma kwa wazee wastaafu zaidi ya 5000 waliojitokeza kwenye Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam ili kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba jijini humo.
1E1A2233
Afisa wa Tanzania Tanzania Commercial Bank akiendelea kufanya usajili kwa wazee waliokuwa wakiingia kwenye Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam yenye lengo la kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba jijini humo.

01

Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Tanzania Commercil Bank TCB Adolphina William akizungumza wakati wa semina maalum kwa wastaafu iliyoandaliwa na TCB kwa wastaafu wote wa jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndoto zao. , hafla hiyo imefanyika leo katika Ukumbi wa Karume uliopo katika viwanja vya sabasaba, wengine pichani ni Maafisa kutoka TCB"1E1A2600Meneja wa Tanzania Commercial Bank TCB Tawi la Metropolitan Lilian Mbaya, akitoa huduma kwa mteja wa Benki hiyo ambae pia ni mstaafu wakati wa Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam ili kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba1E1A2534Meneja wa Tanzania Commercial Bank TCB Tawi la Kariakoo Faraji Basso akizungumza wakati wa Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam ili kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba jijini humo.
1E1A2426
Meneja wa Tanzania Commercial Bank akizungumza na wazee wastaafu waliohudhuria Semina iliyoandaliwa na TCB kwaajili ya wastafu wote wa jiji la Dar es Salaam ili kuwajenga na kuwapa elimu ya fedha na kuamini kuwa kustaafu sio mwisho wa ndotozao hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Karume hall uliyopo katika viwanja vya sabasaba jijini humo.
Share:

MAENDELEO BANK YASHEREHEKEA MAFANIKIO YA MIAKA 9 TANGU KUANZISHWA KWAKE

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Bank Dr. Ibrahim Mwangalaba akizungumza wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 9 toka kuanzishwa kwa benki hiyo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Bank Dr. Ibrahim Mwangalaba akizungumza wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 9 toka kuanzishwa kwa benki hiyo. Wenginepicha ni ma Afisa wa Maendeleo benki pamoja na wachungaji wa makanisa ya KKKT Dar es Salaam.Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Bank Dr. Ibrahim Mwangalaba (kushoto), Pamoja na Mchungaji Mkuu wa Jimbo la kati Frank Kimambo (katikati) ambae pia amemuakilisha Askofu Mkuu wakikata keki kuashiria uzinduzi rasmi ya sherehe za kutimiza miaka 9 toka kuanzishwa kwa Maendeleo Benki, ambapo leo kutafanyika shughuli mbalimbali za kijamii ikiwemo uchangiaji wa damu salama unaofnyika katika makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam.
Mchungaji Mkuu wa Jimbo la kati Frank Kimambo akimlisha keki Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Bank Dr. Ibrahim Mwangalaba wakati wa sherehe ya kufurahia miaka 9 ya Maendeleo Bank wengine ni wachungaji wa Makanisa ya KKKT.
Wafanya kazi wa Maendeleo Bank wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa kusherehekea miaka 9 ya Benki hiyo.

Imeelezwa kuwa ongezeko la wateja zaidi ya elfu 60 katika kipindi cha miaka tisa kwa benki ya maendeleo nchini kumeifanya benki hiyo kufikisha mali za thamani ya shilingi bilioni 102 huku ikifikisha amana ya shilingi bilioni 72 hali inayo ifanya benki huyo kuwa mbioni kuingia katika benki za kitaifa


Akizungumza leo jijini Dare slaamu  katika hafala ya kutimiza miaka 9 ya benki ya maendeleo mkurugenzi mtendaji wa benii ya maendeleo nchini ibrahim mungalaba amesema benki hiyo imeendelea kukua kimtaji na wateja huku katika kipindi cha miaka tisa imechangia shilingi bilioni 10 kama kodi kwa serikali huku ikitoa mikopo ya zaidi ya shilingi bilioni 200.


Ameongeza Mkurugenzi kuwa maendeleo bank  katika kipindi cha nusu ya mwaka benki hiyo imepata faida ya zaidi ya shilingi milioni 754 huku wakitarajia ongezeko la mara mbili kufikia mwisho wa mwaka na hivyo kuifanya kutoa gawio  kubwa kwa wana hisa.


Pia amewataka watanzania na wateja wa benki ya maendeleo waendelee kuitumia benki hiyo kwani wamejipanga kuboresha huduma zake na kutanua wigo ili kuhakikisha maendeleo benki inamfikia kila mmoja ndani ya Tanzania.


Kwa upande wake mwakilishi wa askofu wa Dayosisi ya mashariki na pwani ambao ndio waanzilishi wa benki hiyo frank kimambo ameeleza kuwa mipango ya baadae ni kutanua wigo wa huduma matawi ya benki hiyo ili kutoa nafasi kwa watazania kuhudumiwa na benki hiyo popote walipo  kutoka matawi  machache yaliyopo sasa.

Share:

Thursday, September 1, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI BUNJU B

 
Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta (watano kulia) akikabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali ya kibinadamu ikiwemo Unga, sukari ,mafuta maziwa, mchele na vinginevyo kwa Mkuu wa Kitengo cha Wanafunzi wenye ulemavu wa akili kilichopo katika shule ya msingi Bunju B, jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Afisa Masoko wa Benki hiyo Dorothea Lymo, watoto pamoja na Msaidizi wa Mkuu wa kituo hicho Asaph Marere. Hafla hiyo imefanyika leo shuleni hapo.
Afisa Masoko wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Dorothea Lymo, akikabidhi msaada wa mahitaji mbalimbali ya kibinadamu ikiwemo Unga, sukari ,mafuta maziwa, mchele na vinginevyo kwa Mwenyekiti wa kituo hicho Salehe Athuman cha wanafunzi wenye ulemavu wa akili katika shule ya msingi Bunju B, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano waTanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta, uongozi wa kituo hicho pamoja na wanafunzi hao hafla hiyo imefanyika leo shuleni hapo.
Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta (watatu kulia), akimsikiliza Mkuu wa Kitengo cha Wanafunzi wenye ulemavu wa akili kilichopo katika shule ya msingi Bunju B, Gloria Mataba, wakati wa hafla ya benki ya TCB ilipokwenda kutembelea kituo hicho nakutoa misaada ya vitu mbalimbali vya kibinadamu. Wengine pichani ni Mkuu wa kituo msaidizi Asaph Marere pamoja na wanafuzi hao.
Meneja wa Mawsiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta (wanne kulia), pamoja na Meneja Masoko wa Benki hiyo Dorothea Lymo wakiwaraki watoto wenye ulemavu wa akili wanaolelewa katika kituo kilichopo ndani ya shule ya msingi Bunju B walipokwenda kuwatembelea na kuwapa msaada wa mahitaji mbalimbali.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive