A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Saturday, July 20, 2024

MADEREVA BODABODA TANGA WASHUKURU JESHI LA POLISI KWA KUTOA ELIMU KUHUSU USALAMA BARABARANI.

Na Mwandishi Wetu,Tanga

KAMANDA wa Polisi , Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Tanga ACP Bernard Zacharia amewataka madereva bodaboda katika Mkoa huo kuwa  mfano wa kuigwa na mabalozi wazuri wa kutii bila shuruti sheria za salama barabarani ili kuhakikisha wanakuwa salama wao na abiria zao.
Akizungumza na madereva bodaboda 204 waliohitimu mafunzo ya elimu ya usalama barabarani wilayani Tanga ,Kamanda Zacharia amesisitiza Jeshi la  Polisi linawahimiza watii sheria bila shuruti huku akiwashukuru Ubalozi wa Uswiss na Amend kwa ushirikiano wao na Jeshi la polisi kwa kuwaangalia vijana kwa ukaribu na kuwapatia mafunzo hayo.

"Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani tunafahamu kuwa bodaboda wamekua sehemu kubwa ya urahisishaji kwa abiria na mali zao,hivyo mafunzo waliyoyapata madereva bodaboda hao wa Wilaya ya Tanga na maeneo mengine ya mkoa huo yatawasaidia wao na abiria wao kuwa salama.

Amesema kwa Wilaya ya Tanga madereva bodaboda maarufu maofisa usafirishaji 204 wamehitimu mafunzo ya msasa ya usalama barabarani na kusisitiza waliopatiwa mafunzo wahakikishie wanakuwa.mabalozi kwa madereva wengine.Pia amesema anafahamu Kuna madereva bodaboda wengi waliofikiwa na mafunzo hayo katika Mkoa wa Tanga.

"Tunatarajia bodaboda Mkoa wa Tanga mtakua mfano wa kuigwa na mtakuwa mabalozi wazuri.Jeshi la Polisi linawahimiza kutii sheria bila shuruti na tunawashukuru Ubalozi wa Uswiss na Amend kwa ushirikiano huu na Jeshi la polisi kwa kuwaangalia vijana kwa ukaribu huu."

Kwa upande wake Mratibu wa Shirika la Amend Ramadhan Nyanza amesema wanaishukuru Serikali inayoongozwa na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kushirikiana kwa karibu na mashirika yasio ya kiserikali kuzifikia jamii. 

"Katika kipindi cha mwaka mmoja kwa ufadhili wa Ubalozi wa Uswiss nchini ,- Shirika la Amend kwa kushirikiana na wadau mbalimbali tumefanikiwa kutoa mafunzo kwa vijana zaidi ya 900 kwa mkoa wa na Tanga na Dodoma."
Share:

Thursday, July 4, 2024

ORYX YAMPA UBALOZI SHILOLE KUHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

KAMPUNI ya Gesi ya Oryx  imemtangaza Mama Lishe Zuwena Mohamed maarufu Shilole (Shishifood) kuwa balozi wao katika in kuhamasisha matumizi ya nishati safi kupikia kupitia mitungi ya gesi nchini.

Lengo la Oryx kumpa Ubalozi Shilole unalenga kuunga mkono jitihata za Rais Dk.Samia Suluhu ambaye ameweka malengo kuwa ifikapo mwaka 2032 asilimia 80 ya Watanzania iwe inatuminia nishati safi ya kupikia.

Akizungumza wakati wa tukio hilo lililofanyika Julai 4 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba yanayofanyika kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, Meneja Mauzo na Masoko wa Oryx Gas Shaban Fundi amesema wameamua kumchagua Shilole kwasababu ni miongoni mwa wadau wanaohamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Amesema kupitia kwa Shilole wanaamini kuna wengine ambao walikuwa nyuma kwenye matumizi ya Nishati Safi ya kupikia kuendelea kutumia gesi za Oryx kupikia.
"Tunafamu Shilole amekuwa mjasiriamali maarufu machi, anamiliki migahawa ya Shishifood katika miji ya Dar es Salaam na Dodoma, amekuwa mama Lishe wa kisasa na muumini  mzuri wa kutunza mazingira,hivyo Oryx tunaona fahari kumtangaza Shilole kuwa balozi wetu katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ili kwa pamoja kufikia malengo ya Rais Samia ya kuhamasisha nishati safi ya kupikia nchini."
Kwa upande wake Shilole ambaye pia ni Msanii maarufu nchini,amesema yupo tayari kushirikiana na wadau wengine kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Amesema Kampuni ya Oryx imekuwa ikiweka jitihada kubwa kuhamasisha matumizi nihati safi ya kupikia kwa Mama lishe na baba lishe nchini, hivyo ameona kuna umuhimu mkubwa wa kutoa ushirikiano.
Share:

Monday, July 1, 2024

Serikali ya Marekani Yashiriki Uzinduzi wa Ndondo Cup 2024, kupitia kampeni za SITETEREKI na FURAHA YANGU na CHANJO NI MAISHA

Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam akipata vipimo vya afya wakati wa hafla ya uzinduzi wa michuano ya Ndondo Cup 2024. Serikali ya Marekani, kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) nchini Tanzania, imetangaza ushirikiano na mashindano ya Ndondo Cup 2024  kupitia kampeni zake mashuhuri za ‘SITETEREKI’, ‘FURAHA YANGU’ na ‘CHANJO NI MAISHA’ ili kuchochea huduma za VVU na chanjo. Mashindano haya yatafanyika katika mikoa nane nchini Tanzania, ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Pwani na Kagera.

Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Serikali ya Marekani (USAID na PEPFAR) kupitia mradi wa Breakthrough ACTION, wameungana na kamati ya maandalizi ya Ndondo Cup, na wadhamini wengineo ikiwemo CRDB na ASAS, kusogeza huduma za afya hasa huduma za VVU na chanjo. Ushiriki huu kwenye Ndondo Cup 2024, unafanywa kupitia kampeni ya afya ya vijana iitwayo SITETEREKI, kampeni ya wanaume kupambana na VVU iitwayo FURAHA YANGU na Kampeni yab chanjo ya kitaifa iitwayo CHANJO NI MAISHA. Mashindano ya Ndondo Cup 2024 yatafanyika katika mikoa nane ya Tanzania - Dar es Salaam, Iringa, Mbeya, Ruvuma, Kagera, Dodoma, Mwanza, na Pwani.

Mashindano yalianza rasmi Juni 30, 2024, na mechi ya ufunguzi ya kusisimua kati ya Manzese Warriors na Makuburi FC kwenye Uwanja wa Kinesi, kata ya Sinza. Washiriki walipata huduma kamili za afya, ikiwa pamoja na vipimo vya VVU na matibabu na huduma za chanjo. Mgeni rasmi aliyefurahishwa na mpango huu wa ubunifu, aliipongeza kamati ya maandalizi na wadhamini kwa kujumuisha burudani na huduma za afya.

"Tumejitolea kubuni mbinu zinazotoa matokeo halisi ya kiafya," alisema Evangelina Chihoma kutoka Ofisi ya PEPFAR.

"Tunaamini kwamba michezo inaweza kuongeza nguvu kubwa katika kuleta mabadiliko ya tabia na kuboresha upatikanaji wa huduma, na tunafurahia kushirikiana na Ndondo Cup na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufanikisha mashindano haya."

Lulu Msangi, Mtaalamu wa Programu kutoka Shirika la maendeleo la Marekani (USAID) aliongezea, "Tunatumia michezo kuhamasisha Watanzania kupata chanjo na kulinda familia zao."

Mpango huu wa ubunifu utatekelezwa kwenye ngazi ya kitaifa na jamii, ukilenga kuwafikia vijana wanaoshiriki shughuli za kimichezo kupata elimu na huduma za afya hasa zinazohusu VVU na chanjo. Kwa kuingiza huduma za afya katika burudani, mpango huu unalenga upokeaji wa huduma za afya miongoni mwa wavulana na wanaume kwa kutumia umaarufu wa soka.
Mashabiki wa mpira wa miguu kutoka maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam wakifuatilia uzinduzi wa michuano ya Ndondo Cup 2024. Serikali ya Marekani, kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) nchini Tanzania, imetangaza ushirikiano na mashindano ya Ndondo Cup 2024 kupitia kampeni zake mashuhuri za ‘SITETEREKI’, ‘FURAHA YANGU’ na ‘CHANJO NI MAISHA’ ili kuchochea huduma za VVU na chanjo. Mashindano haya yatafanyika katika mikoa nane nchini Tanzania, ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Pwani na Kagera.
Evangelina Chihoma ambaye ni Mtaalamu wa taarifa za mkakati kutoka PEPFAR akizungumza wakati wa uzinduzi wa michuano ya Ndondo Cup 2024. Serikali ya Marekani, kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) nchini Tanzania, imetangaza ushirikiano na mashindano ya Ndondo Cup 2024 kupitia kampeni zake mashuhuri za ‘SITETEREKI’, ‘FURAHA YANGU’ na ‘CHANJO NI MAISHA’ ili kuchochea huduma za VVU na chanjo. Mashindano haya yatafanyika katika mikoa nane nchini Tanzania, ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Iringa, Ruvuma, Pwani na Kagera.
Share:

Monday, June 24, 2024

ACI Financial Markets Association of Tanzania Strengthens Stakeholder Engagement and Collaboration

ACI FMA Tanzania President, Ms. Naomi Mafwiri (second from left), exchanges ideas with some of the leaders of the ACI FMA in Dar es Salaam recently, shortly after concluding their meeting which discussed the achievements of the association over the 100 days since their leadership came into power. This included setting various strategies to ensure the institution fulfills its set goals. Ms. Naomi affirmed the association’s commitment to strengthening stakeholder engagements and fostering a collaborative environment within the financial markets arena. From left are Mr. Lawrence Mlaki, Treasurer, Mr. Nicholas Mkisi, Vice President, and Ms. Catherine Mwita, Secretary of ACI FMA Tanzania.

By special correspondent, Dar es Salaam

The ACI Financial Markets Association of Tanzania has affirmed its commitment to strengthening stakeholder engagement and fostering a collaborative environment within the financial markets arena.

Speaking in Dar es Salaam during the association’s leadership team strategic meeting at the weekend, marking the charter’s first 100 days in office, ACI FMA Tanzania charter President Ms. Naomi Mafwiri Rhubera highlighted the substantial strides the new team has made in supporting financial market players while upholding rigorous ethical standards.

"One of the key initiatives we have undertaken during our first 100 days includes proactive engagement with the Bank of Tanzania (BoT) to ensure strict adherence to the 'FX Code of Conduct 2024'. Through a series of physical and virtual meetings, all stakeholders have been sensitized and briefed on this critical framework. Amid challenges such as the scarcity of the greenback, ACI FMA Tanzania has collaborated closely with stakeholders to enhance forex liquidity by implementing crucial measures," said Ms. Naomi.

Ms. Naomi also mentioned several impactful training sessions, notably a comprehensive exploration into the derivatives space led by market expert Brian Onyino, the Senior Financial Services Executive from Nairobi, Kenya. Additionally, the ACI Dealing Certificate training, facilitated by essential partner Petter Skerritt & Associates from Johannesburg, South Africa, has equipped market participants with essential skills for global market operations.

"Going forward, plans include further training sessions, panel discussions, and social gatherings aimed at promoting networking and addressing ongoing challenges," Ms. Naomi added.

She also emphasized the leadership team's 'open door policy', encouraging feedback and collaboration from financial market players to achieve shared goals and enhance ACI FMA Tanzania.

ACI FMA Tanzania is a non-profit organization under the umbrella of ACI FMA. The aim of ACI FMA Tanzania is to influence industry behavior and support best market practices by providing access to relevant training, engagements, and professional certifications in the attempt of creating ethical and professional financial markets practitioners.
ACI FMA Tanzania President, Ms. Naomi Mafwiri (second from left), shakes hands with ACI FMA Tanzania Treasurer, Mr. Lawrence Mlaki, in Dar es Salaam recently, shortly after concluding their meeting which discussed the achievements of the association over the 100 days since their leadership came into power. This included setting various strategies to ensure the institution fulfills its set goals. Ms. Naomi affirmed the association’s commitment to strengthening stakeholder engagements and fostering a collaborative environment within the financial markets arena. Looking on are the Association’s Vice President, Mr. Nicholas Mkisi, and Ms. Catherine Mwita, Secretary of ACI FMA Tanzania.
ACI FMA Tanzania President, Ms. Naomi Mafwiri (second from left), shakes hands with ACI FMA Tanzania Secretary, Ms. Catherine Mwita, in Dar es Salaam recently, shortly after concluding their meeting which discussed the achievements of the association over the 100 days since their leadership came into power. This included setting various strategies to ensure the institution fulfills its set goals. Ms. Naomi affirmed the association’s commitment to strengthening stakeholder engagements and fostering a collaborative environment within the financial markets arena. Looking on are the Association’s Treasurer, Mr. Lawrence Mlaki (left), and Mr. Nicholas Mkisi, ACI FMA Tanzania Vice President
Share:

Sunday, June 16, 2024

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KIDO BALOZI WA KAMPENI YA HOLELA-HOLELA ITAKUKOSTI

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu akipokea Zawadi kutoka kwa KIDO ambaye ni balozi wa kampeini ya Holela-Holela itakukosti mara baada ya kukutana na kufanya mazungumzo leo Jijini Dodoma. Kampeni ya Holela-Holela Itakukosti inazingatia udhibiti kuhusu usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) na magonjwa ya kipaumbele ya zuonotiki (magonjwa ambayo yanaweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa wanadamu) na inaratibiwa na ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Wizara ya Mazingira, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Kampeni ya Holela-Holea Itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya “Afya Moja" kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki. Holela-Holela ilizinduliwa mwishoni mwa mwezi uliopita ikiwa ni ushirikiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Afya, Wizara ya Mazingira, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID).

Dodoma Jumamosi 15 Juni 2024

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu leo amekutana na kufanyia mazungumzo na KIDO ambaye ni balozi wa kampeni ya Holela-Holela itakukosti. Kampeni ya Holela-Holela itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya "Afya Moja" kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki na ilizinduliwa Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa mwezi uliopita kwa uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana Wizara ya Afya, Wizara ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Wizara ya Mazingira huku ikifadhaliwa na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kupitia mradi wa Breakthrough ACTION.

Akizungumza leo Jijini Dodoma baada ya kufanyia mazungumzo na balozi KIDO, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu alisisitiza juu ya usugu wa vimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) na magonjwa ya kipaumbele ya zuonotiki (magonjwa yanayoambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu) ambayo kampeini ya Holela-Holela Itakukosti imelenga. ‘Naomba nichukue fursa hii nitoe wito kwa jamii kuwa Mtanzania anaweza kufanya mambo machache tu kukabiliana na UVIDA, kama vile kupata na kufuata ushauri wa mtaalamu wa afya kabla ya kutumia dawa, kutumia dozi ya dawa kikamilifu kama unavyoshauriwa na mtaalam wa afya, kufuata maelekezo ya mtaalam wa mifugo/kilimo juu ya matumizi sahihi ya dawa kwa mifugo/mimea, na kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni na usafi wa mazingiria kwa ujumla’.

Waziri Ummy aliongeza, ‘Suala la UVIDA ni tatizo kubwa sana, na athari zake ni kama vile ugonjwa kujirudia rudia na kuchukua muda mrefu kupona, kuenea na kusambaa kwa vimelea sugu vya magonjwa dhidi ya dawa, ulemavu na hata kifo. Mbali na hapo kuna athari za kiuchumi kama vile kutumia gharama kubwa kwenye matibabu, hivyo kupungua kwa pato binafsi, la familia na taifa’.

Waziri Ummy alisema kuwa Serikali inafanya jitihada kabambe za kukabiliana na UVIDA, ikiwemo kuzindua kampeni ya “Holela Holela itakukosti”, inayolenga kuongeza uelewa juu ya UVIDA na kuleta mabadiliko chanya ya tabia ili kukabiliana na UVIDA katika jamii. Pamoja na kampeni hiyo upo mpango kazi wa mapambano ya UVIDA (NAP AMR 2023-2028), na kamati ya Taifa ya Mapambano ya UVIDA (AMR MCC) inayofanya kazi chini ya mwamvuli wa Afya moja. Vilevile kuna miongozo mbalimbali ya Kisekta inayosaidia katika mapamabano ya UVIDA

Kwa Upande wake, Kaimu Mkurugenzi wa USAID nchini Tanzania Alex Klaits alisisitiza umuhimu wa juhudi za pamoja, akisema, "Kampeni inaonyesha jukumu muhimu la ushirikiano katika kuleta athari chanya na kuhakikisha uendelevu wa muda mrefu, ikiwaleta pamoja wadau wa Afya moja kutoka sekta mbalimbali kupambana na UVIDA na magonjwa ya zuonotiki.
Share:

Wednesday, June 12, 2024

Absa Bank Tanzania yazindua Huduma ya Mikopo ya Magari Ili Kusaidia Wateja Kununua Magari Mapya na yaliyotumika

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Swere (katikati), akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma ya mikopo ya magari ya benki hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Absa, Bwana Beda Biswalo na Mkuu wa Kitengo cha Mikopo, Bi. Patricia Nguma.

Absa Bank Tanzania imeendelea kuthibitisha kuwa mstari wa mbele katika uvumbuzi wa bidhaa na huduma kwa kuzindua Huduma ya Mikopo ya Magari (VAF) kwa lengo la kufanya umiliki wa magari kuwa rahisi na nafuu zaidi kwa wateja wake.

Huduma ya Mikopo ya Magari ya Absa (VAF) ni suluhisho la kifedha la muda wa kati lililobuniwa kusaidia wateja wa benki kununua magari mapya na yaliyotumika kutoka kwa wauzaji wa ndani bila hitaji la kuwa na fedha zote za malipo mkononi. Suluhisho hili linaakisi mkakati wa benki wa kutoa suluhisho za kifedha zinazowiana na maisha na matarajio ya wateja wake.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa Absa VAF, Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Bank Tanzania, Bi Ndabu Swere, alisema, “Tunafurahia sana kuzindua huduma ya Mikopo ya Magari. Hii ni ishara ya kujitolea kwetu kusikiliza wateja wetu na kutatua changamoto na mahitaji yao. Tunaelewa kwamba kununua gari si rahisi kwa sababu magari si rahisi, na kwa kuwa watu hawana fedha taslimu wakati wote, wanaweza kuhitaji msaada kutoka mahali pengine hasa wakati wauzaji wa magari wanahitaji malipo mapema. Hapa ndipo Mpango wa Mikopo ya Magari wa Absa unapoingia.

Kupitia Absa VAF, wateja wetu watafurahia ufadhili wa hadi 90% kwa magari mapya, na hadi 80% kwa magari yaliyotumika ambapo gari lililonunuliwa kwa mkopo linatumika kama dhamana. Bidhaa hii inatoa faida nyingi kwa wateja wetu, ikiwa ni pamoja na kuwawezesha wateja kupata fedha za kununua gari la chaguo lao wakati ambapo hawana fedha zote mapema. Inawaachia wateja uhuru wa kutumia fedha zao kwa uwekezaji au kwa gharama zisizotarajiwa zinazoweza kujitokeza wakati wa mwaka. Inampa mteja kupata gari lake mara tu benki inapokamilisha mchakato wa mkopo wa VAF. Inapunguza mzigo wa kifedha kwa mteja kwa kumruhusu kulipia gharama kwa awamu ndogo ndogo za kawaida na mteja anahitajika tu kutoa kiasi kidogo cha malipo ya awali.”

Kwa upande wake, Bw. Beda Biswalo, Meneja wa Masoko na Mawasiliano wa benki, alisema, “Suluhisho letu la Mikopo ya Magari sio tu nyongeza ya kimkakati ya kibiashara kwa huduma zetu, lakini pia lina uhusiano wa kina na Ahadi yetu ya Chapa inayosema, ‘Story Yako ina Thamani’. Katika Absa tunajali sana Story za wateja wetu na maendeleo wanayopata katika maisha. Tunavutiwa na safari za wateja wetu na tunataka kuwa sehemu ya maandiko yao, sehemu ya Story za kweli watakazopaswa kuhadithia kwa miaka mingi ijayo wanaposimulia safari zao za mafanikio. Tunaamini kwamba tunapowasaidia wateja wetu kupata vitu wanavyohitaji ili kuboresha ubora wa maisha yao, tunaishi lengo letu la kuiwezesha Afrika ya kesho, pamoja, hatua moja baada ya nyingine.

Katika hitimisho lake, Bi Swere aliwashukuru wateja wote wa benki na kuwataka Watanzania wote kuchukua fursa hii nzuri, akisisitiza kuwa upatikanaji wa huduma hii ni rahisi sana na haina usumbufu. Inaanza na mteja kuchagua gari analopenda kununua kutoka kwa moja ya wauzaji wetu wa magari walioteuliwa kwa makini, kisha kuomba huduma ya VAF kupitia maafisa wetu wa mikopo, tunapopitia ombi la mteja, kama mteja amekidhi vigezo ataombwa kufanya malipo ya awali katika akaunti ya Absa, Absa italipa malipo kamili (malipo ya awali + salio lililobaki) kwa muuzaji wa gari, mteja atapewa gari lake kufurahia safari yake mpya.

Mchakato wetu wa maombi ni wa haraka, rahisi, na wa gharama nafuu, unampa mteja utulivu wa akili, kwani tunasimamia kila kipengele, kuanzia kutambua wauzaji wa magari wanaoaminika hadi kuhakikisha magari yaliyokusudiwa yanakidhi viwango vya juu kupitia mpango madhubuti wa ukaguzi. Tumeingia makubaliano na wasambazaji na wauzaji wa magari wanaoaminika, ambao watakuwa wasambazaji wakuu wa magari mapya na yaliyotumika yaliyochaguliwa kwa wateja wetu. Pia tunahakikisha usimamizi wa mwanzo hadi mwisho, ikiwa ni pamoja na malipo ya kodi husika za serikali, ada za uhamisho, na bima kwa niaba ya mteja, ikimruhusu mteja kuzingatia mambo muhimu zaidi anapoendelea kuandika kurasa ya safari yake ya mafanikio.” alihitimisha.
Mkuu wa Kitengo cha Mikopo wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Patricia Nguma (kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma ya mikopo ya magari ya benki hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Wengine kulia kwake ni, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere na Meneja Masoko na Mawasiliano wa Absa, Bwana Beda Biswalo.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Beda Biswalo (kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma ya mikopo ya magari ya benki hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Wengine kushoto kwake ni, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Swere na Mkuu wa Kitengo cha Mikopo, Bi. Patricia Nguma.
Share:

Saturday, June 8, 2024

WABUNGE WANAWAKE NA KAMPUNI YA ORYX TANZANIA WAMPONGEZA RAIS SAMIA.

 

Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Gas kama Benoit Araman (wanne kushoto), akisoma ujumbe uliondikwa katika Tuzo ya Rais Samia Suluhu Hassan iliyotolewa na Kampuni hiyo kwa ajili ya kutambua mchango wa Rais katika kuhimiza matumizi ya Nishati Safi ya kupikia.Tuzo hiyo imepokelewa na Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson leo wakati wa Mashindano ya Siku ya Nishati Safi ya Kupikia Duniani ambapo kwa Tanzania Oryx wameshikiana na Wabunge wanawake kuadhimimisha siku hiyo

WABUNGE wanawake nchini kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania wametoa tuzo kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ya kutambua mchango wake katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tuzo hiyo kwa Rais Dk. Samia imetolewa leo Juni 7, 2024 Mjini Dodoma wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Nishati Safi ya Kupikia Duniani ambapo Oryx, wabunge wanawake, wabunge vinara katika nishati safi wametumia maadhimisho hayo kujadili kwa kina mchango wa Rais Dk. Samia katika kuhamasisha nishati safi ya kupikia Afrika, hususan Tanzania.

Akizungumza katika maadhimisho hayo Spika wa Bunge Dk. Tulia Ackson aliyekuwa mgeni rasmi, amesema kuna kila sababu kwa wabunge na Oryx kumpa tuzo Rais Dk. Samia kwa kuwa amekuwa kinara wa nishati safi ya kupikia na juhudi zake zinashuhudiwa na Watanzania, Afrika na dunia kwa ujumla.

Amesema Rais Samia alipokuwa nchini Dubai na hivi karibuni aliposhiriki mkutano kuhusu nishati safi ya kupikia Paris, Ufaransa ametambuliwa kuwa kinara wa nishati hiyo.
Hivyo wanaendelea kusisitiza Dk. Rais Samia ndiye kinara wa nishati safi ya kupikia.

Amesema katika Bara la Afrika kunachangamoto ya nishati ya kupikia na takwimu zinaonesha asilimia 80 ya wananchi barani humo wanatumia nishati isiyo safi ya kupikia na kwamba kutoka katika nishati hiyo itachukua muda. 

“Hivyo Rais Dk. Samia anasaidia kupunguza muda kwa kuendelea kutafuta fursa kubadilisha upikaji kwa kuacha kutumia nishati chafu na kuhamia katika nishati safi ya kupikia kama gesi.

“Juhudi hizo za Rais zimeanza Tanzania na takwimu nchini zinaonesha asilimia 90 ya wananchi hadi sasa wanatumia nishati isiyo safi ya kupikia.

“Hivyo juhudi za Rais zinatusogeza angalau kutoka asilimia 90 na kusogea hadi 25 ili wawe wachache wanaotumia nishati chafu ya kupikia,” amesema.

Akifafanua zaidi Dk. Tulia amesema wanafahamu nishati isiyo safi ina madhara kwa binadamu na kwa nchini takwimu zinaonesha vifo takribani 33,000 hutokea kila mwaka kutokana na athari za kutumia nishati isiyofaa, hivyo kupoteza nguvu kazi ya taifa.

Amesema mbali na vifo, kutumia nishati chafu kumekuwa kukisababisha athari za mazingira na kijamii huku akitumia nafasi hiyo kueleza namna ambavyo wanawake na mabinti wamekuwa wakitumia muda mwingi kutafuta kuni na mkaa badala ya kufanya shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Oryx Gas Tanzania Benoit Araman amesema kwa kutambua mchango wa Rais Samia katika nishati safi wameamua kumpa tuzo kumuunga mkono juhudi zake za kuhamasisha matumizi ya nishati hiyo.

Benoit amesema tuzo hiyo ina ujumbe usemao “Kampuni ya Oryx Energies inatoa tuzo hii kwa Mh. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutambua uongozi wake wa kipekee katika kushinda na kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania na Afrika.”

Akitoa ahadi ya kampuni hiyo, amesema hadi sasa wameshatoa mitungi ya gesi na majiko yake 35,000 kwa makundi mbalimbali nchini na wataendelea na mkakati wao kwani dhamira yao ni kuona asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2032 inafikiwa kama ambavyo Rais Samia ameelekeza.

Awali Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake nchini Shally Raymond, amesema wabunge wanawake pamoja na wabunge vinara wa nishati kwa kushirikiana na Oryx wameamua kutoa tuzo kwa Rais huku akitumia nafasi hiyo kupongeza jitihada zinazochukuliwa na Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia katika kuhamasisha nishati safi ya kupikia nchini.
Share:

Saturday, June 1, 2024

KAMPUNI YA ORXY TANZANIA YAWAPELEKA WASAMBAZAJI WA VILAINISHI VYA KAMPUNI HIYO DUBAI

 


Na Mwandishi Wetu

WASHINDI wawili wa Shindano la Wauzaji na Wasambazaji wa vilainishi vya Oryx wamejishindia safari ya kwenda Dubai ambapo wamekabidhiwa tiketi zao leo jijini Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kukabidhi tiketi kwa washindi wawili wa shindano hilo Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania Kalpesh Mehta amesema Kampuni ya Oryx Services and Specialties Ltd iliendesha shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya Maduka ya Oryx na wasambazaji wa Vilainishi vya Oryx.

Amesema shindano hilo lilianza Januari na kumalizika Desemba 2023 na kwamba leo Mei 31, 2024 wametangaza washindi wa shindano hilo ambao ni Mbise Oil Shop iliyopo Arusha (Oryx Shop) na Lwimba Investment Company Ltd iliyopo Dar es salaam (Msambazaji).

Amesema kuwa zawadi wa shindano hilo ni Safari ya kwenda Dubai ambapo leo washindi wao wamekabidhiwa tiketi zao tayari kwa safari huku akifafanua gharama zote za safari hiyo ya siku nne Dubai zimelipiwa na kampuni ya Oryx Services and Specialities Limited. Kila mshindi amepata tiketi mbili kwa ajili ya safari ya Dubai.

"Tunatarajia kutangaza mashindano yafuatayo hivi karibuni ambayo yatakuwa ya kusisimua zaidi kuliko shindano lililopita.Ni matumaini yetu wauzaji wetu wote watashiriki tena vyema kama mwaka uliopita.

"Oryx Energies ni kampuni kubwa na ya muda mrefu ya kimataifa inayotoa huduma za nishati barani Afrika. Oryx Energies huagiza, kuchakata, huhifadhi na kusambaza bidhaa za mafuta ya magari, machine na mitambo (Dizeli, Petroli, Vilainishi) na gesi za kupikia (LPG) zitumikazo katika sekta mbalimbali za uchumi.

"Ni msambazaji namba moja wa bidhaa za mafuta na vilainishi katika sekta ya uchimbaji madini (migodi). Pia Oryx Energies inaongoza kusambaza vilainishi katika sekta zingine za kiuchumi kama usafirishaji wa nchi kavu (pikipiki, magari, treni) na majini, viwandani, ujenzi na kilimo.

Pia Oryx Energies huzalisha na kusambaza vilainishi mbalimbali kuanzia vya magari, mitambo ya migodini na viwandani, uzalishaji wa umeme nk ambavyo vimeidhinishwa na Watengenezaji wakubwa wa Vifaa Halisi (Original Equipment Manufacturers) na vinakidhi au kuzidi viwango vya kimataifa.

Ameongeza katika kuhakikisha bidhaa na huduma zinapatikana kwa watumiaji kote nchini, Oryx Energies inaendelea kuboresha njia zake za usambazaji kwa kupitia Maduka ya Kipekee ya Kampuni (CODOs), Wasambazaji na vituo vya mafuta vya Oryx.

Akizungumza kwa niaba ya washindi , Vaileth Cilwimba kutoka Lwimba Investment Company Ltd jijini Dar es salaam (Msambazaji) amesema ushindani ulikuwa mkubwa lakini anashukuru kituo chao kuibuka washindi kutokana na juhudi wanayofanya katika kukuza bidhaa za Oryx pamoja na kutafuta masoko.

"Tunashukuru kwa kushinda na kupata tiketi kwa ajili ya kwenda Dubai ambapo tumelipiwa kila kitu kwa maana ya gharama zote, kwetu hii inatufanya tuongezee bidii zaidi kwa kuuza zaidi bidhaa bora za Oryx zikiwemo za Vilainishi vya magari,bodaboda na bajaji."

Awali Arthur Awet ambaye ni B2C Key Account Manager Kampuni ya Oryx Services and Specialties Ltd amesema Oryx Services and Specialties LTD iliendesha shindano ya CODO na wasambazaji wao 50 ya kutafuta mtendaji bora wa mauzo katika bidhaa zao zote za vilainishi.

"Leo ni siku ya makabidhiano ya tikiti kwa washindi, ambapo kila duka iliyoshinda imejishindia tiketi mbili ya Kwenda na kurudi Dubai ambayo gharama zote za safari zimelipwa. Safari ya washindi hawa itakua baada ya mwezi wa Ramadhan."
Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania Kalpesh Mehta akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wa shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya Maduka ya Oryx na wasambazaji wa Vilainishi vya Oryx ambapo washindi hao wamezawadiwa tiketi ya kwenda Dubai. Hafla hiyo imefanyika leo Mei 31,2024 Jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania Kalpesh Mehta akimkabidhi mfano wa zawadi ya tiketi ya Safari ya kwenda Dubai Mwakilishi wa Kampuni ya Mbise Oil Shop iliyopo Arusha (Oryx Shop)(Msambazaji) ambaye ni mshindi wa shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya Maduka ya Oryx na wasambazaji wa Vilainishi vya Oryx. Zozi la ugawaji wa tiketi hizo limefanyika leo Mei 31,2024 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania Kalpesh Mehta akimkabidhi mfano wa zawadi ya tiketi ya Safari ya kwenda Dubai Vaileth Cilwimba kutoka Lwimba Investment Company Ltd jijini Dar es salaam (Msambazaji) ambaye ni mshindi wa shindano la wauzaji (mawakala) bora wa vilainishi vya Oryx Energies kati ya Maduka ya Oryx na wasambazaji wa Vilainishi vya Oryx. Zozi la ugawaji wa tiketi hizo limefanyika leo Mei 31,2024 Jijini Dar es Salaam.
Share:

Thursday, May 30, 2024

WANAFUNZI WA SHULE ZA MSINGI TANGA WAFURAHIA KUJENGEWA VIVUKO VYA WAENDA KWA MIGUU.

  


Na Mwandishi Wetu,Tanga

KATIKA jitihada za kupunguza ajali za barabarani kwa wanafunzi jijini Tanga ,Shirika la Amend kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswis wamefanikiwa kuweka miundombinu salama barabarani yenye lengo la kuhakikisha wanafunzi wanavuka salama katika safari ya kwenda na kurudi shuleni.

Miundombinu hiyo salama ya barabara imefanyika katika Shule ya Msingi Makorora pamoja na Shule ya Msingi Azimio kwa kuwekewa vivuko vya Pundamilia, njia za watembea kwa miguu pamaja na alama muhimu za usalama barabarani.

Akizungumza kuhusu mradi huo wa miundombinu salama ya barabara, Mkurugenzi wa Shirika la Amend Tanzania Simon Kalolo amefafanua mradi huo umehusisha ujenzi wa njia za watembea kwa miguu, vivuko 4 vya pundamilia, matuta saba ya kupunguza mwendo kasi, alama 15 za barabarani, na michoro 16 ya usalama barabarani.

Pia wametoa elimu ya usalama barabarani kwa wanafunzi 1,694 na walimu wa shule za msingi Makorora na Azimio ndani ya mwezi tano, 2024 Tanga na Tanzania kwa ujumla.

Kalolo amesema mpango wa kuboresha miundombinu salama ya watembea kwa miguu ni sehemu ya mradi wa mwaka mmoja unaoitwa "Usalama wa Pikipiki kwa Vijana Tanzania".

Amesisitiza mradi huo unaungwa mkono na Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania na una bajeti ya Sh. 424,983,396 huku akifafanua tangu Septemba 2023, shughuli nyingine za mradi zimejumuisha mafunzo ya waendesha pikipiki 300 jijini Tanga, waendesha pikipiki 253 Dodoma.

Pia kampeni a uhamasishaji kuhusu masuala ya usalama wa pikipiki, na kuanzishwa kwa 'Kanuni za Maadili' kwa madereva, Waendesha pikipiki 200 zaidi watapewa mafunzo jijini Tanga ifikapo Juni 2024 na tathmini ya athari za shughuli hizo zote inafanywa hivi sasa.

“Ajali za barabarani ndiyo chanzo kikuu cha vifo vya watoto na vijana wenye umri kati ya miaka 5 na 29 duniani kote nchini Tanzania na kuna zaidi ya majeruhi 330,000 wa ajali za barabarani kwa mwaka ambayo ni ya juu kuliko wastani katika Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara”amesema.

Amesema mradi huo wa kuokoa maisha unaonesha ajali za barabarani zinaweza kuzuilika kazi hiyo iliyoungwa mkono na Fondation Botnar na sasa Ubalozi wa Uswisi nchini Tanzania, itaendelea kupunguza ajali za barabarani na kuokoa maisha.

Ameongeza kupitia Mpango Kazi wao wa Usafiri Salama na Endelevu kwa Jiji la Tanga, wanalenga kuhakikisha kila mtoto wa Tanga anakuwa na safari salama ya kwenda na kurudi shuleni.

“Hakuna sababu ya kuchelewa kuchukua hatua hili linahitaji kuwa kipaumbele cha juu kwa watunga sera wetu na Tanga ina uwezo wa kuongoza nchi na bara letu katika kukabiliana na chanzo hiki kikibwa cha vifo kwa vijana,”alisema

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Tanga Dalmia Mikaya aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Tanga James Kaji , amepongeza kutekelezwa kwa mradi huo wa miundombinu ya barabara katika Shule hiyo Makorora na Azimio na matamio yao ni kuona mradi wa usalama barabarani unakwenda katika shule zote za Tanga.

Pia amewaomba wazazi na walezi kuhakikisha wanawalinda wanafunzi dhidi ya vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia.Tunafahamu suala la usalama barabarani ni muhimu lakini tuweke nguvu kusimamia usalama dhidi ya ukatili wanaofanyiwa katika jamii zetu.”

Kwa upande wake Mwakilishi wa Ubalozi wa Uswisi Rashid Mbaramula ambaye anashughulikia Miradi amesema nchi Uswis inahistoria kubwa wa kimahusiano na Tanzania na Jiji la Tanga ni miongoni mwao huku akifafanua kuanzia mwaka 1960 Uswis imekuwa mdau mkubwa wa maendeleo na imekuwa ilishiriki kikamilifu katika kufanikisha Miradi ya maendeleo.

Amesema kupitia mradi huo madereva bodaboda zaidi ya 550 wamepatiwa mafunzo ya usalama barabarani na kufanikiwa kwa mradi huo kunatokana na ushirikiano wa wadau mbalimbali huku akiwapongeza Amend kwa kazi kubwa wanayofanya ya kutoa elimu ya usalama barabarani.

Awali Inspekta wa Jeshi la Polisi Rajab Mhumbi aliyemwakilisha Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Tanga amesema vivuko vya barabarani ambavyo vimewekwa na Amend ni vema vikalindwa na kila mmoja wetau na si jukumu la wanafunzi na walimu peke yao.



Share:

Monday, May 27, 2024

KAMPUNI YA ORYX TANZANIA YAGAWA MITUNGI 800 KWA WANANCHI WA JIOMBO LA BABU TALE MOROGORO.

   

MITUNGI 800 ya gesi ya Kampuni ya Oryx Gas Tanzania ikiwa na makiko yake, imetolewa bure kwa wananchi wa Jimbo Morogoro Kusini Mashariki kuunga mkono juhudi za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.


Mitungi hiyo imetolewa kwa ushirikiano wa Kampuni ya Oryx na mbunge wa kimbo hilo Hamisi Taletale (Babu Tale) katika mkutano mkuu wa CCM Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki mgeni rasmi akiwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana.

Akizungumza kabla ya kukabidhi mitungi hiyo Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Abdulurahman Kinana amempongeza Mbunge Taletale kwa kushirikiana na wadau kugawa mitungi hiyo kwa wananchi hao kwani ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za Rais Dk Samia Suluhu Hassan

Amesisitiza Rais Samia ameanzisha kampeni ya nishati safi yenye lengo la kumtua mzigo wa kuni mwanamke na hatimaye kumpa muda mwingi katika kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo hasa kwa kutambua mwanamke ndio nguzo ya familia.

“Kampeni hii ya nishati safi ni matokeo ya sera na ubunifu kwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Mwaka jana alianzisha mchakato wa kuwatua akina mama mzigo wa kuni.

"Hivyo katika kufanikisha kampeni hiyo Serikali peke yake haitaweza kwasababu inahitaji fedha nyingi,hivyo nikupongeze Taletale kwa kuunga mkono jitihada za Rais katika kampeni hii,kwani tutakabidhi mitungi ya gesi kwa wananchi,lakini niwapongeze wadau wa gesi kwa kushiriki katika kufanikisha kampeni hii yenye lengo la kumtuamzigo wa kuni mwanamke,"amesema Kinana

Wakati huo huo akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania, Benoite Araman, Meneja wa Mifumo ya Gesi yenye Matumizi Makubwa Oryx Gas Tanzania LTD, Richard Sawere amesema hatua ya kushirikiana na Mbunge Taletale kugawa mitungi hiyo ni hatua hiyo ni kuunga mkono jitihada za Rais Dk. Samia.

Amesema Rais Dk.Samia amedhamiria ifikapo mwaka 2030 asilimia 80 ya Watanzania wawe wananatumia nishati safi ya kupikia huku akifafanua Kampuni ya Oryx pia umeamua kunusuru uharibifu wa mazingira na kulinda afya za wananchi kwa kutumia nishati safi na rafiki kwa afya za wananchi.

"Nchini Tanzania, wananchi 33,000) wanapoteza maisha kila mwaka kwa kuvuta moshi na chembe chembe zinazotokana na mkaa na kuni. Kupika na gesi ya Oryx itatatua jambo hili," amesema.

Awali akitoa elimu kuhusu matumizi sahihi ya mitungi na majiko hayo, Meneja Masoko wa kampuni hiyo Peter Ndomba amesema sera ya kampuni hiyo ni kuhakikisha nchi nzima inatambua umuhimu wa kutumia gesi.

 "Hii ni kampeni ya kitaifa ambayo Rais Samia Suluhu Hassan aliizindua kwa lengo la kuhakikisha kwamba miaka 10 ijayo zaidi ya asilimia 80 ya watanzania wawe wanatumia nishati safi".

 Katika hatua nyingine Mbunge wa amesema kuwa Rais Samia ameelekeza kutekelezwa kwa kampeni ya nishati safi,hivyo Wana Morogoro Kusini Mashariki wameona Kuna kila sababu ya kumuunga mkono Rais Samia kwa vitendo kwa kutumia nishati safi ya kupikia inayotokana na gesi ili kuachana na kuni na mkaa.










Share:

Wednesday, May 15, 2024

Absa Dar City Marathon 2024 donates hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital

Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga hands over a part of hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital In-charge, Dr. Delila Moshi (centre), at a function in Dar es Salaam yesterday. Looking on is the bank's Digital Marketing Manager, Mr. Albert Longfellow.

Absa Dar City Marathon donated hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital’s reproductive and child health (RCH) clinic in Dar es Salaam to support the government efforts to provide quality health services to all Tanzanians.

This follows from the successful event that was held on 5 May 2024 in Dar es Salaam. The occasion was running in parallel with a blood donation campaign organized by The Runners Club with the support of the marathon sponsors, partners, vendors, services providers and the general public.

The handover of the hospital equipment was attended by In-charge of Mnazi Mmoja Hospital, Dr. Delila Moshi, Ilala Municipal RCH Coordinator, Dr. Milka Mathania, leaders and members of The Runners Club and representatives of the sponsors of the marathon, Absa Bank Tanzania Limited, Hill Water, Alliance Life Assurance Limited and Gardaworld Security Services Limited.

Speaking at the occasion, Dr. Delila expressed her gratitude to Absa Dar City Marathon for choosing Mnazi Mmoja Hospital for the second consecutive year as their preferred institution for their charitable donation and urged them to continue supporting the hospital in the coming marathons.

She also praised The Runners Club blood donation campaign, informing that lack of adequate blood is one of the major challenges of the hospital which admits more than 200 expecting mothers in the maternity ward and attends to more than 400 children daily in the RCH clinic.

On her side, the Ilala Municipal RCH Coordinator, Dr. Milka advised that RCH is one of the major challenges of public health in Dar es Salaam and urged The Runners Club to continue with this initiative for the greater benefit of the community.

The spokesperson of The Runners Club, Mr. Godphrey Mwangungulu informed the audience that Absa Dar City Marathon that was held on Sunday, 5 May 2024 at Mnazi Mmoja Grounds, Dar es Salaam was the 4th edition and attracted more than 2,500 runners in the 21.1km, 10km and 5km race categories.

Theme of the marathon was aligned with the Club’s vision of healthy lifestyles and the donation of hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital RCH Clinic was to fulfil that vision.

The selection of Mnazi Mmoja Hospital was in line with the saying that charity begins at home given the close proximity of the hospital to Mnazi Mmoja Grounds, the venue of the marathon for the past four events.

The representative of Absa Bank Tanzania Limited, the main sponsors of the marathon, Mr. Aron Luhanga, who is the bank’s Head of Marketing and Corporate Relations said that Absa supports The Runners Club’s vision of healthy lifestyles through running, and this was one of the main reasons for sponsoring the marathon, which included this charitable donation of hospital equipment. In addition, Absa motivates and promotes healthy lifestyles amongst its staff members and clients through the Absa Health Club.

This donation is also aligned with our Citizenship agenda of being a force for good to our communities and play a major role in the society”, said Mr. Luhanga.

The representative of Hill Water, the sponsors of the 10km corporate run said that supporting the RCH Clinic is aligned with the company objectives particularly in the provision of quality drinking water to the community.

The company is delighted to support the community that has supported them over the years by providing by providing hospital equipment to Mnazi Mmoja Hospital and advocates for the community to live a healthy lifestyle."

This is for the sake of having and a strong and healthy generation for the growth of our country, our company will continue to support deserving charitable activities through its CSR initiatives”.

The representative of Alliance Life Assurance Limited, the sponsors of the 5km family fun run, Ms. Josephine Mfikwa said that the company supports The Runners Club vision of healthy lifestyles and this donation is a demonstration of their commitment to support the health needs of the society.

As a life assurance provider, healthy lifestyles are likely to prevent untimely deaths leading to long and happy lives”, said Ms. Josephine.
Absa Bank Tanzania Chief Internal Auditor, George Binde (second left), hands over medical equipment for Mnazi Mmoja Hospital to Dar es Salaam City Council non-communicable diseases cordinator, Dr Milka Mathania, donated by Absa to support the government efforts to provide quality health services in the country.
Share:

Wednesday, May 8, 2024

Gateway to growth: Absa opens new office in China

Absa Bank Tanzania Acting Corporate Director, Nellyana Mmanyi (right), addresses a media conference about the official opening of the bank's China office during a brief occasion in Dar es Salaam today. She was flanked by Absa Bank Tanzania's Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga.

BEIJING, China: 08 May 2024 - Absa Group marks a historic milestone with the official launch of a non-banking subsidiary in the People’s Republic of China, fortifying the vital economic bridge between Africa and China.

The African continent is endowed with talent, mineral wealth and a young population – and is poised to play an increasingly influential role in global trade, as investors recognise its status as the last true frontier in global growth. Through this expansion, Absa Group isn't merely acquiring a new location; we're affirming our dedication to expanding our global presence and playing our part in facilitating growth on the continent,” says Arrie Rautenbach, Group Chief Executive Officer of Absa Group.

The China-Africa investment relationship has flourished over the past few decades, with China emerging as the continent’s largest bilateral trade partner. This has been fuelled by Chinese investment in Africa’s vast natural resources and infrastructure projects, creating huge commercial opportunities for both regions.

Our decision to establish a presence in China was driven by our ambition to better connect trade, investment flows and clients into Africa, where we will serve them across our extensive continental footprint. Absa Group intimately understands the continent and seeks to be a partner of choice for organisations looking to access opportunities on the continent,” Rautenbach continues.

Absa Group’s expansion into China highlights Absa’s client-centric approach, in being able to innately understand their client’s needs. Its office in China will operate under a wholly foreign owned enterprise licence which permits the financial institution to provide general advisory services to clients based in China for concluding transactions across the African continent, as a non-banking subsidiary of Absa Group Limited.

This office allows the Absa Group to provide general advisory services to clients based in China for concluding transactions across the African continent, as well as distribute economic or general securities research reports permitted by Chinese regulation to corporate and institutional clients in China and across the African markets.

The new office will enable Absa Group to offer local support to Chinese clients and stakeholders to conclude transactions across the African continent, helping to support clients’ needs, goals, and ambitions. This is part of a wider commitment from Absa to expand its operations with an international presence in strategic markets and offer deep expertise in African markets to its overseas clients,” says Charles Russon, CE of Absa Corporate & Investment Bank.

He goes on to say, “Our presence in China will help to firmly establish Absa’s capability to provide general advisory services to clients based in China for concluding transactions across the African continent. This will not only give us a physical presence in the region but also help us to meet the needs of our clients operating in this rapidly growing market.

Being present in China allows us to be close to clients who see trade and investment in Africa as key to their strategic ambitions”, concludes Russon.

About Absa Group Limited

Absa Group Limited (‘Absa Group’) is listed on the Johannesburg Stock Exchange and is one of Africa’s largest diversified financial services groups. Absa Group offers an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth and investment management and insurance. Absa Group owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

For further information about Absa Group Limited, visit www.absa.africa.

For further information about Absa Corporate and Investment Banking (CIB), visit www.cib.absa.africa.

Media enquiries or to request interviews: PRmedia@absa.africa
Share:

Sunday, May 5, 2024

Absa Dar City Marathon 2024 zatimua vumbi jijini Dar es Salaam

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nusu marathon (Km 21) za Absa Dar City Marathon kwa upande wa wanaume, Dickson Paul kutoka Mwanza, mara baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Absa, Bi. Ndabu Lilian Swere.

*Benki ya Absa yaahidi kuendeleza udhamini wake

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam

MBIO za Absa Dar City Marathon 2024 zimetimua vumbi lake jijini Dar es Salaam jana katika hali ya hewa ya utulivu mara baada ya tishio la kimbunga Hidaya kupoteza uwezo wake Kwa mujibu wa taarifa kutoka mamlaka husika hivyo kuwafanya wakimbiaji kufurahia mandhari nzuri za jiji mashuhuri la Tanzania.

Ikiwa ni mara ya nne kufanya mbio hizi chini ya udhamini mkuu wa Benki ya Absa Tanzania, mtifuano huo ulishuhudia wanariadha zaidi ya 3000 wakifukuza upepo katika mitaa ya katikati ya Jiji hilo katika mbio hizo ambazo licha ya lengo lake kuu kuwa ni kusaidia upatikanaji wa vifaa tiba kwa ajili ya Wodi ya wanawake ya Hospitali ya Mnazi Mmoja, lakini lingine ilikuwa ni kutangaza vivutio vya utalii vipatikanavyo katikati ya Jiji la Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya kufanyika mbio hizo, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga alisema kutokana na mafanikio ya mbio hizo, Benki Yao itaendelea kuwepo kwa kipindi kirefu katika kudhamini mbio hizo.

Kama ahadi ya chapa yetu isemayo Tunadhamini Story Yako, Benki ya Absa itaendelea kuthamini story za maisha ya watanzania, kwani sehemu ya mapato ya mbio hizi yatakwenda kusaidia jamii kwa kuwezesha upatikanaji wa vifaa tiba kwa ajili ya wanawake na watoto.

Absa tunaamini kuwa mtu yoyote anaweza kuandika story yake kutokana na mazoezi na kukimbia ni moja ya mazoezi, lakini pia tunaamini utajiri upo kwenye afya, na kukimbia kunaleta afya, hivyo jamii na nchini itapiga hatua kubwa ya kimaendeleo kukiwa na watu wenye afya Bora,Absa tupo kihakikisha Story hizo zinaandikwa kwa ufanisi” alisema Bwana Luhanga.

Akizungumza kuhusu huduma zao za kibenki Bwana Luhanga alisema benki yao imesheheni bidhaa na huduma mbalimbali zenye ubora wa kamataifa ikiwa ni pamoja na akaunti za watoto, mikopo ya nyumba, magari pamoja huduma ya kadi ya mkopo (credit card) ya kipekee nchini kabisa inayomwezesha mteja kupata kadi huyo ikiwa tayari imewekewa kiasi cha pesa cha kuanzia.

Naye Mwenyekiti wa The Runners Club, waandaaji wa Absa Dar City Marathon, Godfrey Mindu aliishukuru Benki ya Absa pamoja na wadhamini wengine kwani kujitoa kwao kunaenda kuleta mabadiliko makubwa kwa maisha ya watanzania.

Dar City Marathon 2024 ilishirikisha mbio za KM 5, 10 na 21 huku kwa upande wa KM 10 wanawake mshindi wa kwanza alikuwa Anastasia Dolomongo kutoka Arusha akitumia muda wa DK 34:04:31, kwa upande wa wanaume mshindi alikuwa Emanuel Shahanga kutoka Hanang akitumia muda wa Dk 29:00:03.

Kwa upande wa mbio za KM 21 za nusu marathon upande wa wanawake, ushindi wa kwanza ulienda kwa Sara Ramadhani kutoka Arusha pia akitumia muda wa Saa 1:13:21:08, huku kwa upande wa wanaume, Dikson Paul kutoka Mwanza akiibuka kidedea kwa kutumia muda wa Saa 1:02:58:04.

Mbali na Benki ya Absa kama mdhamini mkuu, wadhamini wengine ni Kampuni ya Alliance Life Assurance, Hill Water, Kilimanjaro Milk na Kampuni ya Garda Security.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za nusu marathon (Km 21) za Absa Dar City Marathon kwa upande wa wanawake, Sara Ramadhani kutoka Arusha, mara baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki wa Absa, Bwana Aron Luhanga.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere (kushoto), akikabidhi zawadi kwa mshindi wa kwanza wa mbio za KM 10 za Absa Dar City Marathon kwa upande wa wanawake, Anastasia Dolomongo kutoka Arusha, mara baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki wa Absa, Bwana Aron Luhanga.
Share:

Saturday, May 4, 2024

Uzinduzi wa Sinza Kwa Wajanja Marathon watikisa Dar

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge (katikati), Diwani wa Kata ya Kijitonyama, Dama Lusangija, Mkuu wa Kituo cha Polisi Mabatini, ASP Soty Mtaki na mhamasishaji maarufu wa mtandaoni, Dotto Magari (kushoto), wakikata utepe kuzindua Sinza Kwa Wajanja Marathon 2024, jijini Dar es Salaam jana.

*Kusaidia wodi ya wazazi ya Hospitali ya Palestina

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam.

Uzinduzi wa mbio za Sinza Kwa Wajanja Marathon umefanyika jijini Dar es Salaam jana katika hafla iliyopambwa na shamrashamra mbalimbali huku mgeni rasmi akiwa ni Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge.

Sinza Kwa Wajanja Marathon inatarajiwa kufanyika Juni 16 mwaka huu katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama, wilayani Kinondoni huku wanariadha wakichuana katika mbio zenye umbali wa kilomita tano, 10 na 21 (nusu marathon), kulingana na mwenyekiti wa Klabu ya Marafiki wa Sinza, Bwana Geofrey Mhando.

Bwana Mhando alisema kwamba usajili wa Sinza Kwa Wajanja Marathon tayari umeshaanza na aliwasihi wadau wa michezo kujisajili ili kushiriki katika tukio hili la kihistoria.

Alisisitiza kwamba mbali ya kukuza maendeleo ya michezo, tukio hilo linalenga kukusanya fedha kusaidia wodi ya uzazi ya Hospitali ya Palestina.

"Tumejitolea kukuza afya njema nchini, ndio maana tumefanya uamuzi wa kuandaa tukio hili, sehemu ya fedha zitakazopatikana zitatumiwa kununua vifaa tiba kwa ajili ya wodi ya uzazi ya hospitali ya Palestina.

Tunatambua umuhimu wa Hospitali ya Palestina ya Sinza katika Wilaya ya Kinondoni, ikiwa msaada mkubwa si tu kwa wakazi wa Sinza bali pia kwa maeneo jirani, ni muhimu kuisaidia," alisema Bwana Mhando.

Aidha alisema mbio hizo zitashirikisha wanariadha wote wa kitaifa na wengineo kwani lengo kubwa hasa si kupata washindi bali ni kusaidia maendeleo ya watanzania wenzetu hususan wanawake na watoto wanaopata huduma za afya katika Hospitali ya Palestina.

"Mbio hizi zinatumika si tu kuunganisha wakazi wa Sinza kutoka maeneo tofauti bali pia kurahisisha kubadilishana mawazo, hivyo, wakazi wa zamani wa Sinza na wengine kutoka ndani na nje ya Sinza wanakaribishwa," aliongeza.

Bwana Mhando pia aliongeza kuwa kabla ya mbio kuanza, tarehe 15 Juni, kutakuwa na hafla ambayo wajasiriamali wataonyesha bidhaa zao kwenye viwanja vya Posta, ikiambatana na shamrashamra mbalimbali za burudani.

Kwa upande wake, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge, alipongeza waandaaji wa Sinza kwa Wajanja Marathon kwa tukio hilo litakalochangia kuhamasisha maendeleo ya michezo na afya njema kwa wakazi wa Sinza na maeneo jirani huku akihamasisha wadau wa michezo nchini kushirikiana na waandaaji kufikia malengo yao.

"Hii ni wazo zuri sana, hasa kwa Sinza Kwa Wajanja Marathon, ambayo inafanyika mara ya kwanza, nawasihi wadau wote kusaidia waandaaji na kushiriki kwenye tukio huli," alisema Mstahiki Meya akizindua rasmi tukio hilo.

Kwa upande wake, Diwani wa Kata ya Kijitonyama, Bwana Dama Lusangija, alisema kwamba mbio hizo zitaongeza hamasa kwa wakazi wa maeneo hayo na maeneo jirani ili kujenga tabia ya kufanya mazoezi na kudumisha afya njema.

"Tunashukuru waandaaji kwa kuandaa mbio hizi, zinazofanyika kwa mara ya kwanza kwa wakazi wa Sinza na maeneo jirani, hili ni tukio la kihistoria ambalo litakuza si tu afya njema bali pia kukuza maendeleo ya michezo," alisema Bwana Lusangija.

Kwa upande mwingine, Mkuu wa Kituo cha Polisi Mabatini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Soty Mtaki alisema kuwa wamejiandaa kutoa usalama kwa washiriki wote kabla na wakati wa mashindano.

Baadhi ya wadhamini wa Sinza Kwa Wajanja Marathon ni, Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo, Kampuni ya ulinzi ya SGA, IceDrop, Switch, Kuambiana Investment, Azam Media, Mapembelo Cargo na Gentlemen Club.
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge (katikati), Diwani wa Kata ya Kijitonyama, Dama Lusangija, Mkuu wa Kituo cha Polisi Mabatini, ASP Soty Mtaki na mhamasishaji maarufu wa mtandaoni, Dotto Magari (kushoto), wakionyesha fulana zitakazovaliwa wakati mbio za Sinza Kwa Wajanja Marathon 2024, zinazotarajiwa kutimua vumbi katika Viwanja vya Posta, Kijitonyama, Dar es Salaam Juni 16 mwaka huu.
Share:

Sunday, April 28, 2024

FOOD VENDORS IN ZANZIBAR READY TO SHINE

 A group of more than 1,400 women in Unguja and Pemba have graduated from an economic inclusion programme, called Mwanamke Shujaa, supported by Coca-Cola Kwanza.


Participants received training and mentorship, supported by the Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table.

Coca-Cola Kwanza MD Unguu Sulay said the company was committed to empowering women entrepreneurs and making a tangible difference in their lives.

“As a purpose-driven company, we help create a better shared future for everyone our business touches by working to provide access to equal opportunity and fostering belonging both in our workplaces and the communities we serve,” Sulay said.

“We continue to help enable the economic empowerment of a diverse network of customers, suppliers and communities across our value chain,” he said.

The programme is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania.

Coca-Cola Kwanza, a subsidiary of Coca-Cola Beverages Africa, supported training for 1,700 women last year, covering key areas like bookkeeping, customer care, stress management, and capital growth.

“Our aim is to create greater shared opportunity for the business and the communities we serve across the value-chain. Opportunity is more than just money, it’s about a better future for people and their communities everywhere on the African continent,” said Sulay.

The graduation ceremony at the Maisara grounds was attended by Zanzibar First Lady and Chairperson of the Maisha Bora foundation, Hon. Mariam Mwinyi, who was the guest of honour.

“We embrace the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) definition of economic empowerment, which we see as fundamental to strengthening human rights and enabling all people, particularly vulnerable and underrepresented groups, to have control over their lives and positively influence society. 


Speaking at the event, Ms. Shuwekha Omar Khamis, Oryx Gas Tanzania Limited General Manager for Zanzibar said, “I would like to thank our partners and stakeholders at Coca-Cola Kwanza. With this project, they have been working with us to distribute gas stoves in support of entrepreneurs since 2021.”

Coca-Cola Kwanza Ltd Managing Director Unguu Sulay welcomes Zanzibar First Lady and Chairperson of the Maisha Bora foundation Mariam Mwinyi to officiate an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania over the weekend in Zanzibar. More than 1,400 women in Unguja and Pemba received training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table courtesy of Coca-Cola Kwanza Ltd.




A section of women food vendors commonly known as Mana Ntilie from Unguja and Pemba keenly follow the proceedings of training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA) during an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania which was held in Zanzibar over the weekend. 


A part from the training, the women also received tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table courtesy of Coca-Cola Kwanza Ltd.

Oryx Gas Tanzania Limited General Manager for Zanzibar Shuwekha Omar Khamis (left) gives instructions to Zanzibar First Lady Mariam Mwinyi on how safely to use a gas stove during an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania over the weekend in Zanzibar.


 More than 1,400 women in Unguja and Pemba received training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table from Coca-Cola Kwanza Ltd, which is a subsidiary of Coca-Cola Beverages Africa. Witnessing are Zanzibar Minister for Community Development Rizki Pembe (2nd right) and Coca-Cola Kwanza Managing Director Unguu Sulay (right).


Zanzibar First Lady Mariam Mwinyi hands over a gas stove to one of Women food vendors who are commonly referred as Mama Ntilie Sauda Khamis during an economic inclusion programme called Mwanamke Shujaa which is a partnership between Coca-Cola Kwanza, ZEEA, Zanzibar Broadcasting Corporation and Oryx Gas Tanzania over the weekend in Zanzibar. More than 1,400 women in Unguja and Pemba received training and mentorship under the support of Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing and a table from Coca-Cola Kwanza Ltd, which is a subsidiary of Coca-Cola Beverages Africa.

Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive