A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Wednesday, October 31, 2018

The government intends to roll out specialized and extensive training

DSC_6842%2B%25281%2529
Participants to the training of trainers workshop following proceedings of the programme, which was organized by the Law School of Tanzania (LST) in collaboration with Tanganyika Law Society (TLS) and sponsored by the Legal Services Facility (LSF). The training as part of government strategy to produce competent paralegals who would provide high quality legal aid and paralegal services in the country.


The government intends to roll out specialized and extensive training for paralegals in a move to enhance provision of quality legal aid and paralegals services delivery in the country.

Countrywide a comprehensive paralegal refresher training is expected to start early next month, targeting more than two thousand paralegals who are currently providing legal aid services in different parts of the country.

As part of the preparation for this training, last week the government through the office of the Registrar of Legal Aid Providers in the Ministry of Constitutional and Legal Affairs, organized a five-day training of trainers (ToT), which attracted around 40 participants (legal experts and non-lawyers) from legal aid organizations operating in Tanzania.

The ToT training was held in Dodoma, facilitated by the Law School of Tanzania (LST) in collaboration with the Tanzania Law Society (TLS) and sponsored by the Legal Services Facility (LSF)—a non-profit and non-governmental organization which provides grants and technical support to legal aid organizations involved in the implementation of the paralegal program and related activities.

In an exclusive with this paper yesterday, Mr. Suleiman Pingoni, facilitator of the ToT training, said the programme was meant to create a pool of qualified trainers who would conduct the envisaged training for existing paralegals throughout the country—starting from earlier November and to be completed before December 31, this year.

He said the ToT programme exposed participants to the basic training requirements for the certification of paralegals as specified in the Legal Aid Act of 2017 and its regulations of 2018. The implementation of the legal aid legislation requires existing paralegals to undergo a re-fresher training in order to be recognized, officially certified, and thus allowed to provide legal aid services to the needy people in the country.

“In fact, the Legal Aid Act recognizes paralegals who have been trained following a program recognized by the Government (MoCLA) and who are presently providing legal aid services. These paralegals will be issued with practicing   certificates/identity cards after they went through a special additional training or re-fresher course as required by the law,” said Pingoni.

In that context, he said, the government through the Legal Aid Providers Registrar Office conducted the ToT programme, in order to get qualified trainers who would train paralegals and enable them acquire requisite knowledge and skills specified in the Legal Aid Act.
At the end of the day, paralegals who would be trained by the recruited TOTs would receive certificates, thus making it easier for them apply for registration, and will later be issued with practicing certificates/identity cards.

“The main objective of all these processes is to get qualified and competent paralegals who operate in accordance with the standards and requirements of the Legal Aid Act and who provide high quality legal aid and paralegal services to the needy people across the country,” according to Pingoni.

Commenting, LSF Director of Program, Scholastica Jullu described the comprehensive paralegal trainings as “a major step” towards broadening the scope of legal aid provision and expedites realization of the national dream of enhancing access to justice for all in Tanzania.
Share:

Wednesday, October 24, 2018

NBC yapongezwa kwa kudhamini maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji mjini Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila (wa pili kushoto) akikabidhi cheti cha shukrani kwa  Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kusini, Salema Kileo kutokana na udhamini wa benki hiyo katika maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji, programu na vikundi vya kifedha yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) katika hafla ya ufungaji rasmi wa maonyesho hayo katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe mjini Mbeya jana. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mariam Mtunguja.

Mkuu wa Uhai wa Wateja wa NBC Tanzania, Gaudence Shawa (kulia) akizungumza na Mshauri wa Kilimo na Huduma za Fedha Vijijini wa Mfuko wa Kuendeleza Sekta ya Fedha Tanzania (FSDT), Samora Lupalla (katikati) huku Ofisa Habari wa mfuko huo, Victor Kyando akiangalia katika hafla ya ufungaji rasmi wa maonyesho hayo katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe mjini Mbeya jana. Kushoto ni Meneja Mahusiano wa NBC Tanzania, William Kallaghe.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (wa pili kushoto), akipewa maelezo kuhusu huduma na bidhaa za kibenki zitolewa na Benki ya NBC na Mkuu  wa Kitengo  cha Uhai  wa Wateja wa benki hiyo,  Gaudence Shawa wakati wa maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji, programu na vikundi vya kifedha yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na kumalizika  juzi katika  Viwanja vya Ruanda Nzovwe  Mkoani Mbeya
Ofisa Mauzo wa Benki ya NBC Tawi la Mbeya, Jasmine Kilalile (kushoto), akitoa ufafanuzi wa faida za kujiunga na huduma mpya ya NBC Kikundi Mobile kwa baadhi ya wakazi wa Mbeya waliofika katika maonyesho ya mifuko ya uwezeshaji, programu na vikundi vya kifedha yaliyoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) na kumalizika  juzi katika  Viwanja vya Ruanda Nzovwe  Mkoani Mbeya.
Share:

Monday, October 15, 2018

MKUTANO WA NBC NA WATEJA WAFANYIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA MKOANI SINGIDA

7-1
Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi.
6
Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru (kulia), akibadilishana mawazo na Katibu Tawala wa Wilaya ya Singida, Wilson Shimo (wa pili kushoto), wakati wa mkutano huo. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja wa Tawi la NBC Singida, Thomas Lijaji na Diwani wa Kata ya Minga, Mariot Charles. 
14
Meneja wa Tawi la NBC Singida, Thomas Lijaji (kulia), akizungumza wakati wa mkutano uliondaliwa na NBC kwa wateja wake na wengineo ili kuweza kupata mrejesho wa huduma na bidhaa wazitoazo. Mkutano huo ulifanyika mkoani Singida juzi.
8
 Baadhi ya wateja na washiriki wengine waliohudhuria mkutano huo mjini Singida juzi.
Share:

KAMPENI YA DCB DIGITAL YAZIDI KUPASUA ANGA

Mbunge wa Kondoa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (kulia), akifurahi na Mkuu wa Masoko wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa (wa pili kushoto), Meneja wa DCB Tawi la Dodoma, Joseph Njile (kushoto) pamoja na Ofisa Mikopo wa DCB Dodoma,  Nuru Ashraf, wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo ikiwa kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi wa Kondoa kujiunga na huduma yao mpya ya DCB Digital ili kupata  huduma za kibenki kwa kupitia simu ya mkononi katika hafla iliyofanyika katika Kata ya Pahi, wilayani Kondoa, Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki. Wa pili kulia ni mjumbe wa mkutano huo, Shamte Kapesa.
Mbunge wa Kondoa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (kulia), akisalimiana na Meneja wa Benki ya Biashara ya DCB Tawi la Dodoma, Joseph Njile huku Mkuu wa Masoko wa DCB, Rahma Ngassa (wa pili kushoto) na Ofisa Mikopo wa DCB Dodoma, Nuru Ashara wakiangalia, wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi wa Kondoa kujiunga na huduma yao mpya ya  DCB Digital ili kupata  huduma za kibenki kwa kupitia simu ya mkononi katika hafla iliyofanyika wilayani katika Kata ya Pahi, Kondoa mkoani Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki. Wa pili kulia ni mjumbe wa mkutano huo, Shamte Kapesa.
Mbunge wa Kondoa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (kulia), akisalimiana na Ofisa Mikopo wa Benki ya Biashara ya DCB Tawi la Dodoma, Nuru Ashraf huku Mkuu wa Masoko wa DCB, Rahma Ngassa (wa pili kushoto) na Meneja Tawi wa DCB Dodoma, Joseph Njile (kushoto) wakiangalia, wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi wa Kondoa kujiunga na huduma yao mpya ya  DCB Digital ili kupata  huduma za kibenki kwa kupitia simu ya mkononi katika hafla iliyofanyika katika Kata ya Pahi, wilayani Kondoa, Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki. Wa pili kulia ni mjumbe wa mkutano huo, Shamte Kapesa.
Mbunge wa Kondoa na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (kulia), akisalimiana na Mkuu wa Msoko wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa, huku Meneja Tawi wa DCB Dodoma, Joseph Njile (kushoto) na Nuru Ashraf, Ofisa Mikopo wa DCB  Dodoma  wakiangalia, wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi wa Kondoa kujiunga na huduma yao mpya ya  DCB Digital ili kupata  huduma za kibenki kwa kupitia simu ya mkononi katika hafla iliyofanyika katika Kata ya Pahi, wilayani Kondoa, Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki.
Mfanyabiashara ndogondogo mkazi wa Kata ya Pahi wilayani Kondoa, Subira Mohamed Ngwata (kulia), akifungua akaunti ya DCB Digital kwa kutumia simu yake ya mkononi huku maofisa wa benki hiyo, Vicent Speratus (kushoto) na Chuki Jarufu wakimpa maelekezo wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi  kujiunga na huduma yao mpya ya DCB Digital ili kupata  huduma za kibenki kwa kupitia simu za mkononi katika hafla iliyofanyika Pahi, Kondoa, mkoani Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki.
Meneja wa Benki ya Biashara ya DCB Tawi la Dodoma, Joseph Njile (wa pili kulia) akiwaelekeza wakazi wa Kata ya Pahi jinsi ya kujiunga na DCB Digital wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi  kujiunga na huduma yao mpya ya  DCB Digital ili kupata huduma za kibenki kwa kupitia simu za mkononi katika hafla iliyofanyika Pahi, Kondoa, mkoani Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki.
Mchuuzi wa mbogamboga na mkazi wa Kata ya Pahi wilayani Kondoa, Hadija Iddi (kulia) akipewa maelezo na Ofisa Mahusiano wa DCB Dodoma, Chuki Jarufu jinsi ya kujiunga na huduma ya DCB Digital  wakati wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Jimbo la Kondoa ambapo benki hiyo kama mdau wa maendeleo ilienda kuhamasisha wananchi  kujiunga na huduma yao mpya ya  DCB Digital ili kupata  huduma za kibenki kwa kupitia simu za mkononi katika hafla iliyofanyika wilayani humo mkoani Dodoma juzi. Ndani ya DCB Digital mteja anaweza kujiunga na akaunti ya muda maalum (Digital FDR) , Akaunti ya malengo (Kibubu Digital Account), huduma ya Malipo ya Nusu Mshahara (Digital Salary advance) na huduma ya ATM bila kutumia kadi ya benki.
Share:

Monday, October 8, 2018

TAXIFY BODA SASA YAZINDULIWA TANZANIA



Kampuni ya Taxify imezindua huduma ya Taxify Boda jijini Dar es salaam na huduma hii sasa inapatikana katika jiji la Dar es salaam na Mwanza.

Huduma  hii inawezesha watanzania kupata usafiri wa bodaboda kwa kutumia teknologia ya Taxify App inayopatikana katika simu ya kiganja kwa urahisi na bei nafuu.

Tanzania ni nchi ya tatu ambapo huduma hiii imezinduliwa.
Bw. Shivachi Muleji Meneja Mkuu Afrika Mashariki wa Taxify, alisema kuwa kampuni ilibuni huduma hii ya Taxify Boda kutokana na kuongezeko kwa uhitaji wa usafiri wa usalama na uhakika wa pikipiki.

"Tatizo la foleni Dar es salaam umechochea ukuaji wa uhitaji wa usafiri wa pikipiki katika jiji la Dar es salaam, na uhitaji wa usafiri wa usalama na uhakika ni mojawapo ya kipaumbele kwa wasafarishaji na huduma yetu inatoa suluhisho kwa changamoto hizi”* alisema
Bw. Remmy Eseka, Meneja Mkuu Tanzania alisema kuwa  huduma ya Taxify Boda imejikita katika kuhakikisha usalama wa madereva na abiria, na madereva wote ambao wamejisajili na huduma yetu wameelimishwa kuhusiana na hili.

 “Teknologia yetu inatuwezesha kufuatilia tabia ya madereva na huwezesha abiria uwezo wa kutoa maoni kuhusu huduma za dereva na safari yake kila anapotumia huduma zetu”
Kampuni imeweka mwongozo mkamilifu wa kuhakikisha usalama wa abiria. Wateja na madereva watahitajika kuvaa kofia ngumu na jaketi ya reflecta na tabia ya wateja kukaa upande ni marufuku kwa wateja na kuruhusiwa tu, kwa mteja aliye na ulemavu.

Pia, kuhakikisha usalama zaidi kwa wateja na madereva, kampuni inafutiliwa ushirkiano na makmpuni mbalimbali inayotoa huduma ya kwanza baada ya ajali na makampuni ambayo yanaweza kutoa usaidizi kwa dereva au abiria wakati wa dharura au ajali.

Kampuni imewekeza pia na mafunzo ziada ya udereva na huduma ya kwanza na kutoa vyeti kwa wote waliojisajili na huduma. “Tunatamani kupunguza pengo la ufanisi wa madereva kwa kutoa mafundisho na vyeti vya ubora,” alisema Eseka.  Pia kampuni itashirikiana na Jeshi la Polisi  kwa kutelekeza miongozo ya usalama.

Aidha Bw. Eseka alielezea kuwa huduma yao itasaidia madereva bodaboda kujiendeleza kila moja na maendeleo ya kibinafsi kutokana na mfumo wao wa biashara. "Tunataka kusaidia madereva wa pikipiki kufanya biashara zao kwa njia ya kitaaluma zaidi kwa kutoa jukwaa la kufuatilia safari, mapato na hata kupanga mipango ya maendeleo ya kibinafsi kama kujiunga na SACCO. Kwa kuwa sasa hivi madereva boda boda wanajitahidi kuanzisha makundi rasmi, Taxify Boda itatoa elimu kwa vikundi na hatimaye elimu itawasadia kuleta maendeleo kama kununua pipipiki,” alisema.
Eseka alielezea kuwa utoaji wa huduma ya teknologia inayounganisha abiria na madereva boda boda ni njia moja kampuni inachangia kuboresha muundo wa uchumi wa usafirishaji usio rasmi.
Share:

Monday, October 1, 2018

LSF yaweka mikakati ya kujenga uwezo kuboresha huduma za wasaidizi wa kisheria nchini

Msaidizi%2Bwa%2Bkisheria%252C%2BJames%2BSedame%2B%2528kushoto%2529%252C%2Bkutoka%2Bwilaya%2Bya%2BSerengeti%2Bmkoani%2BMara%252Cakitoa%2Belimu%2Bya%2Bhaki%2Bza%2Bbinadamu%2Bna%2Bupatikanaji%2Bwa%2Bhuduma%2Bza%2Bkisheria%2Bkwa%2Bwananchi
Msaidizi wa Kisheria Wilayani Serengeti, Bw. James Sedame (Kushoto) akitoa elimu kuhusu maswala ya kisheria na haki za binadamu kwa wakazi wa Wilaya hiyo. (Mpiga Picha Wetu)Msaidizi wa Kisheria Wilayani Serengeti, Bw. James Sedame (Kushoto) akitoa elimu kuhusu maswala ya kisheria na haki za binadamu kwa wakazi wa Wilaya hiyo. (Mpiga Picha wetu.

Ili kuwafikia watu wengi zaidi  wanaohitaji msaada wa kisheria hadi ngazi ya chini, Shirika la Legal Services Facility (LSF) imeweka mikakati ya kujenga uwezo na kuongeza ufanisi mashirika ya wasaidizi wa kisheria nchi nzima.
“Kujenga uwezo ni muhimu sana kama kweli tunataka vituo vya wasaidizi wa kisheria kutoa huduma kwa ufanisi,” alisema Victoria Mshana, Afisa katika Kitengo cha Kujenga Uwezo-LSF wakati wa mahojiano na gazeti hili hivi karibuni. Kimsingi, LSF—mfuko wa fedha unaofadhiliwa na mashirika ya kimataifa ya Maendeleo--DANIDA) na DFID, inatoa msaada wa fedha kwa mashirika yanayotoa mashirika makubwa ya Kisheria (Regional Mentors Organizations) yaliyoko mikoani yanayowezesha kifedha na kiufundi vituo vya msaada wa kisheria--ambao ndio wadau wakubwa katika kutoa msaada wa kisheria na huduma za wasaidizi wa kisheria hadi ngazi ya chini.
Utoaji wa huduma bora za kisheria na huduma za wasaidizi wa kisheria unategemea uimara wa vituo vya wasaidizi wa kisheria, Mshana alisema na kuongeza kwamba “kuwasaidia watu wenye matatizo ya kisheria ni jambo gumu kama hatuna vituo vya wasaidizi wa kisheria vilivyo imara.”
Baada ya kugundua ukweli swala hili, amesema Bi. Mshana, LSF, kupitia kitengo chake cha kujenga uwezo, imeandaa mpango wa mafunzo ya kujenga uwezo wa mashirika yanayotoa ushauri wa kiufundi kusaidia vituo vya wasaidizi wa kisheria, hivyo kuviwezesha kutoa huduma kitaalamu na kwa mujibu wa sheria za nchi na kanuni zake. Pamoja na mambo mengine, RMOs yanasimamia vituo vya wasaidizi wa kisheria, yakivisaidia viweze kusajiliwa na kuwa na bodi za wakurugenzi.
Kama sehemu ya mkakati wa kujenga uwezo, mashirika yote yanayofadhiliwa na LSF yamepata fursa ya kujua maswala mbalimbali ya kiufundi na ya uendeshaji, kwa mujibu wa Afisa wa LSF.
“Wasaidizi wa kisheria walipata mafunzo kuhusu masuala ya utawala bora, ambapo vituo vyote vya wasaidizi wa kisheria vipatavyo 164 vilianzisha bodi za wakurugenzi, ambazo zitasimamia huduma za wasaidizi wa kisheria. Kati ya vituo 164, vituo 150 (ambavyo ni asilimia 91) vimeanzisha bodi za wakurugenzi,” alisema Afisa huyo wa kujenga cha kujenga uwezo wa LSF.
“Kwa kweli, tunafanya haya yote ili kuhakikisha kwamba vituo vya wasaidizi wa kisheria vinawezeshwa (kiufundi, kiuendeshaji na maeneo mengine muhimu) ili yaweze kutoa msaada wa kisheria na huduma za wasaidizi wa kisheria hadi ngazi ya chini,” aliongeza Mshana.
Kituo cha Wasaidizi wa Msaada wa Kisheria Makete (MAPAO) ni miongoni mwa vituo, ambavyo vimefaidika na mpango wa kujenga uwezo wa LSF. Kituo hiki kimeweza kuanzisha bodi yake ya wakurugenzi inayosimamia na kusaidia uhamasishaji wa rasilimali na utekelezaji wa shughuli muhimu za miradi.
“Bodi ya wakurugenzi imeamua kufadhili MAPAO kwa kujitolea kuchangia na kwa kuwashirikisha wadau wengine kwa njia ya harambee, ambapo kiasi cha Sh1, 917,000 zilikusanywa, kiasi hiki ni sawa na asilimia 23.9 ya fedha zote ambazo MAPAO imepokea kutoka LSF. Haya ni mafanikio makubwa,” alisema Mkurugenzi wa MAPAO, Bw. Denis Sinene.
Ameongeza kuwa “Bodi yetu ya wakurugenzi imekuwa msaada mkubwa sana kwa kituo chetu. Utekelezaji wa miradi yetu yote/shughuli zetu unaenelea vizuri. Pamoja na hayo, tuliweza pia kuanzisha shughuli ambazo zinainufaisha jamii moja kwa moja.”
Kwa mujibu wa Sinene, fedha zilizokusanywa kutokana na harambee, zimesaidia utekelezaji wa shughuli mbalimbali, zikiwemo kutayarisha na kuchapisha vipeperishi 750 vinavyosaidia kutoa elimu ya umma ya namna ya kupata msaada wa kisheria kutoka katika ofisi za MAPAO.
“Sehemu ya fedha zilizotokana na harambee, ilisaidia Shule ya Sekondari ya Mang’oto iliyopo Wilayani Makete, ambayo iliharibiwa na moto,” alisema mkurugenzi.
Mwongozo wa bodi ya wakurugenzi, amesema Bw. Sinene, imeongeza ufanisi wa utekelezaji wa shughuli na  kusaidia kufikiwa kwa kata zilizo mbali, na kuongeza kuwa: “Kwa kweli, kwa sasa kazi zetu zinaonekana, zinapongezwa na zinahitajika zaidi na wanajamii. Harambee imefanya uwepo wa mpango endelevu na kadiri siku zinavyozidi kwenda, kwa kuwa na ujuzi na maarifa kuhusu uhamasishaji wa raslimali, MAPAO wataweza kukusanya asilimia ya 40 ya mapato yake ya mwaka.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive