A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Showing posts with label BUSINESS. Show all posts
Showing posts with label BUSINESS. Show all posts

Wednesday, April 24, 2024

Benki ya Absa yaendeleza udhamini wake Absa Dar City Marathon

Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (wa pili kushoto) akionyesha fulana zitakazovaliwa siku ya mbio za Absa Dar City Marathon wakati wa hafla ya uzinduzi wa mbio hizo jijini Dar es Salaam jana, zinazotarajiwa kufanyika Mei 5 mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Ofisa Masoko wa Hill Water, Sylvia Shoo, Mkuu wa Kitengo cha Habari wa Klabu ya The Runners, waandaaji wa Absa Dar City Marathon, Godfrey Mwangungulu, Meneja wa Bima Kibenki wa Alliance Life Assurance, Juma Patrice na Meneja Bima Binafsi, Jumanne Muruga.

BENKI ya Absa Tanzania imeendeleza udhamini wake kwa mwaka wa nne mfululizo katika mbio za Absa Dar City Marathon , ikilenga kuifanya Tanzania kuwa Taifa lenye watu wenye afya njema.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mbio za Absa Dar City Marathon 2024, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Bwana Aron Luhanga alisema afya njema ni mtaji namba moja katika maendeleo ya Taifa la Tanzania na wanaokimbia wanajenga Afya.

Alisema lengo lingine kuu la Absa Dar City Marathon ni mapato yatayakayopatikana katika mbio hizo kuelekezwa katika shughuli za kijamii Kwa kununua vifaa vitakavyosaidia wodi ya wanawake katika hospitali ya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Pamoja na hayo kama kauli mbiu ya mbio hizi isemayo ‘Kata Mtaa, Ujue Jiji’ sisi kama Absa Bank, tukiwa na Matawi ya kibenki hapa jijini, tunajisikia fahari kusapoti mbio hizi zenye lengo pia la kutangaza vivutio vya utalii vilivyomo katika jiji letu."

Kauli yetu ya Absa inasema ‘Story Yako ina Thamani’ hivyo tunaamini kuwa ukienda kukimbia unaandika Story Yako, ukienda kusaidia jamii, unaandika Story Yako, nasi kama Absa, Story Yako Ina thamani sana kwetu”, alisema Bwana Luhanga.

Awali akizungumza katika hafla hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa The Runners Club, Bwana Godfrey Mwangungulu alisema mbio za mwaka huu zinazofanyika chini ya udhamini mkubwa wa Benki ya Absa Tanzania zitashirikisha mbio za Kilomita, 21, 10 na Kilomita tano.

Absa Dar City Marathon ya mwaka huu inayotarajiwa kufanyika Mei 5 mwaka huu ikianzia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, ni zaidi ya mbio, ni zaidi ya sherehe, ni kilele cha sherehe za mbio zote zinazoendelea kufanyika hapa nchini."

Tumefanya mbio hizi kwa miaka mitatu mfululizo, mwaka huu tunataka kuzifanya Kwa mafanikio zaidi, tunatarajia zaidi ya wakimbiaji 3000 kushiriki, tunawashukuru sana wadhamini wetu wakuu, Benki ya Absa pamoja na wadhamini wengine”, alisema Bwana Mwangungulu.

Mbali na Benki ya Absa kama mdhamini mkuu, wadhamini wengine ni Kampuni ya Alliance Life Assurance, Hill Water, Kilimanjaro Milk na Kampuni ya Garda Security.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (wa tatu kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasilino wa The Runners Club, Bwana Godfrey Mwangungulu (kushoto kwa Aron), pamoja na wawakilishi wa wadhamini wengine, wakionyesha fulana na vitu vingine vitakavyotumika wakati wa mbio za Absa Dar City Marathon, jijini Dar es Salaam Mei 5 mwaka huu, zikianzia katika Viwanja vya Mnazi Mmoja. Hafla hiyo ilifanyika jijini humo jana.
Share:

Saturday, April 20, 2024

ORYX GAS TANZANIA NA DORIS MOLLEL FOUNDATION WATOA MSAADA WA MITUNGI YA GAS YA KUPIKIA KWA WAUGUZI HOSPITALI YA MWANANYAMALA


Na Mwandishi Wetu 

JUHUDI za serikali kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia zimezidi kuungwa mkono baada ya Kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania kuingia mkataba na Taasisi ya Doris Mollel, kuwapatia mitungi na majiko ya gesi wauguzi kutoka mikoa 10 nchini.

Akizungumza wakati wa hafla ya kutia saini makubaliano hayo leo Aprili 19, 2024 katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, Kinondoni Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Oryx, Benoite Araman amesema lengo la hatua hiyo ni kutanua matumizi ya nishati ya kupikia katika jamii.

Araman amesema matarajio ya Kampuni hiyo ni kuhakikisha kila Mtanzania anatumia nishati safi ya kupikia.

“Kunahitajika elimu ya kuhakikisha watu wanaokolewa dhidi ya matumizi ya nishati isiyofaa, tunatarajia kutoa majiko mengi zaidi na hadi sasa tumeshatoa majiko 32,000,” amesema.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation, Doris Mollel amesema lengo la kulifikia kundi la wauguzi anya ni kuhakikisha wanawaepusha na athari za matumizi ya nishati chafu ambayo ina madhara kwa jamii.

Doris, ameeleza ugawaji wa majiko hayo utawagusa wauguzi katika mikoa 10.

“Tunatambua nafasi ya wauguzi wa afya, wamekuwa na mchango mkubwa kwenye jamii, tunaona makundi mengine yakipewa majiko sisi tunaona ni muhimu tuwape wauguzi,” ameeleza.

Amebainisha kuwa, majiko hayo yatakabidhiwa kwa wauguzi walio katika mazingira magumu kuwaepusha na matumizi ya nishati yenye madhara 

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mwananyamala, Zavery Benela amesema matumizi ya nishati chafu ni moja ya sababu ya magonjwa mengi ya mfumo wa hewa kwa binadamu.

Ameeleza kati ya wagonjwa 500 wa nje wanaopokelewa katika hospitali hiyo, zaidi ya nusu wanasumbuliwa na magonjwa ya mfumo wa hewa.

“Haya ndiyo magonjwa namba moja kwa wagonjwa wengi kwenye hospitali yetu, tumekuwa tukiwapokea na ukiuliza namna anavyoishi utakuta anatumia nishati isiyofaa kupikia,” ameeleza.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel akisaini hati ya makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Oryx Gas kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.






Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel (katikati) akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubalinao na Kampuni ya Oryx Gas kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo
Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala mkoani Dar es Salaam Dk.Zavery Benela akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakionesha mkataba waliosaini kwaajili ya kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx mmoja wa wauguzi katika hospitali ya rufaa ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini makubalino kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akitoa elimu ya matumizi sahihi ya mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx kwa wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala katika hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Baadhi ya wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala wakifuatilia hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel akisaini hati ya makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Oryx Gas kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.






Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel (katikati) akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubalinao na Kampuni ya Oryx Gas kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo
Mganga Mfawidhi Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala mkoani Dar es Salaam Dk.Zavery Benela akizungumza wakati wa hafla ya utiaji saini na Taasisi ya Doris Mollel kushirikiana kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakionesha mkataba waliosaini kwaajili ya kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite na Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel , Doris Mollel wakimkabidhi mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx mmoja wa wauguzi katika hospitali ya rufaa ya Mwananyamala Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini makubalino kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya gesi ya oryx Araman Benoite akitoa elimu ya matumizi sahihi ya mtungi wa kupikia wa gesi ya Oryx kwa wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala katika hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Baadhi ya wauguzi wa hospitali ya rufaa ya Mwananyamala wakifuatilia hafla ya utiaji saini kati ya kampuni ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation kuwezesha nishati safi ya kupikia kwa wauguzi na madaktari 1000 kutoka mikoa 10 nchini watakabidhi mitungi ya kupikia ya Oryx Gas lengo likiwa kuliwezesha kundi hilo la sekta ya afya kuondokana na matumizi ya kuni na mkaa. Hafla hiyo imefanyika leo Aprili 19, 2024.
Share:

Sunday, April 14, 2024

ASASI YAUNGANA NA ORXY GAS TANZANIA KUSAIDIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO RUFIJI

   

Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa (kulia), akipokea Moja ya msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na Kampuni ya Oryx pamoja na Asas kwaajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Rufiji mkoani Pwani kutoka Kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Oryx Shabani Fundi hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika Leo.
Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa (katikati), akipokea Moja ya msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na Kampuni ya Oryx pamoja na Asas kwaajili ya kusaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Rufiji mkoani Pwani kutoka Kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya Oryx Shabani Fundi, hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika Leo. Kulia ni Meneja Uendeshaji wa Kampuni ya Asas Abdul Ally.

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya Oryx Gas Kwa kushirikiana na Kampuni ya ASAS wamekabidhi msaada wa vyakula pamoja na mitungi ya gesi ya oryx kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea wilayani Rufiji mkoani Pwani.

Msaada huo umekabidhiwa leo Aprili 13,2024 jijini Dar es Salaam kwa Mbunge wa Jimbo la Rufiji mkoani Pwani ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa.

Akizungumza wakati akipokea msaada huo Waziri Mchengerwa amesema kwa niaba ya wananchi  wanaushukuru kwa kupatiwa msaada huo unaokwenda kusaidia wananchi waliopatwa na mafuriko na kwa sasa wamehifadhiwa kambini kutokana na kukosa makazi pamoja na vyakula.

"Tunaashuhudia kuwepo kwa muamko wa Rais Dk Samia Suluhu Hassan ambaye yeye ni mfariji namba moja katika Taifa letu alioutoa kwa siku ya jana alipokuwa kule Arusha lakini taarifa ambazo amekuwa akizitoa kuwataka Watanzania kuwa wamoja na kusaidia wale ambao wana nafasi basi wajitolee kwa ajili ya wenzao,"amesema.

Ameongeza kuwa hivyo leo wanashuhudia shehena ya vyakula ambavyo vimetolewa na ASAS pamoja na Kampuni ya Oryx Gas ambapo Oryx wametoa mitungi pamoja na majiko ambayo wananchi wa Rufiji hasa walioko makambini watakwenda kutumia.

Pia Oryx kwa kushirikiana na ASAS wametoa vyakula ambavyo vitakwenda kutolewa kwa wananchi wote walioko makambini ambao wanahifadhiwa na wanahudumiwa na Serikali kwa wakati huu huku akitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Samia kwani tayari amekwisha elekeza  utolewaji wa shehena ya vyakula 

Ametaja vyakula hivyo ni  mchele  Maharage, unga pamoja naa vyakula  vingine ambavyo Rais Dk Samia ameelekeza kwenda Rufiji kwa ajili ya kusaidia wananchi waliokumbwa na mafuriko kwa mwaka huu.

"Niendelee kuwasihi Watanzania wote katika maeneo yao wale wenye nafasi wanaona wanataka kutoa kwa ajili ya ndugu zao tunawakaribisha Rufiji.Nitume nafasi hii kuwashukuru na kuwaomba tuendelee kushikamana katika kipindi hiki kugumu, tuendelee kuwa wamoja na kwamba mafuriko hayo hayakuanza mwaka huu yamekuwepo tangu enzi wa baba wa Taifa."

Awali kabla ya kukabidhi msaada huo, Meneja Mauzo wa Oryx Gas Shaban Fundi  amesema kwa niaba ya  Oryx Energies wanatoa pole kwa waathirika wote wa mafuriko yaliyotokea nchini hususan watu wa Rufiji.

"Kampuni ya Oryx Gas ikishirikiana na wadau wenzetu ASAS tumeamua tuwashike mkono wenzetu wa Rufiji kwa kuwapa msaada wa vyakula na mitungi ya gas ili kusaidia watu waliopo katika makambi ya kutolea misaada ya kibinaadam.

"Tumetoa mchele, unga wa sembe, mafuta ya kupikia yenye thamani ya zaidi ya milioni 52. Zaidi tumetoa mitungi mikunwa 100 na majiko 100, pia tumetoa mitungi midogo 100 yenye thamani ya zaidi ya mili 25.Tunampa pole muheshimiwa Waziri Mchengerwa, Wananchi wa Rufiji na Serikali kwa ujumla,"amesema Fundi.
Share:

Thursday, April 4, 2024

Benki ya Absa kuendelea kuwezesha hadithi za watoto kielimu

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere akizungumza katika hafla ambayo benki hiyo pia ilikabidhi msaada wa vifaa vya shule kwa watoto yatima wanaolelewa wa vituo vya Tuyata Orphanage Centre na Watoto Wetu Tanzania vilivyopo chini ya Taasisi ya Adonai El Roi Foundation jijini Dar es Salaam jana.

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam.

Benki ya Absa Tanzania imesema itaendelea kuweka kipaumbele katika kufanikisha ndoto za kielimu za watoto wa kitanzania katika kuboresha huduma za kibenki zinazohusu watoto, hususan akaunti yake maalumu ya watoto ya Absa Child Savings Account.

Akizungumza na waandishi wa habari katika hafla waliyowaandalia watoto wenye uhitaji kutoka katika vituo vya watoto yatima vilivyo chini ya Taasisi ya Adonai El Roi, Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa, Bi. Ndabu Lilian Swere alisema hayo yanaenda kupitia lengo kuu la Benki Absa ambalo ni kuiwezesha Afrika na Tanzania ya Kesho Pamoja hatua Moja baadae ya nyingine kiuchumi sambamba na ahadi mpya ya Chapa yake isemayo ‘Story Yako ni ya Thamani’.

Watoto wana ndoto nyingi katika maisha yao, wapo wanaotamani kuwa madaktari, wanasheria, viongozi wa makampuni, viongozi wa kisiasa, tunathamini Story za watoto wetu, Absa tupo hapa kuwasapoti ili waweze kikamilisha ndoto za story zao.

Absa inatoa Huduma za kibenki kwa makundi mbalimbali, ni kwa kutumia huduma hizi pia tunawezesha hadithi za wazazi ama walezi wa watoto hawa nao pia kuweza kikamilisha hadithi zao mbalimbali za kiuchumi.

Hii si mara ya kwanza kwa Absa kufanya shughuli za kujitolea kusaidia jamii, hivi karibuni tulisaidia watoto wanaozaliwa kabla ya siku zao, hawa pia tutaangalia ni namna gani nyingine bora zaidi ya kuwasaidia”, aliongeza Bi Ndabu.

Akizungumza kuhusu akaunti ya watoto ya benki hiyo, Mkuu wa Mkakati na Bidhaa za Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Heristraton Genesis alisema akaunti hiyo haina makato ya mwezi na anaweza kupokea riba hata mara mbili endapo hatatoa pesa zaidi ya mara moja katika kipindi cha miezi mitatu.

katika kuonyesha Benki ya Absa imejipanga vizuri katika kuziwezesha ndoto za watoto, tunatoa riba mara mbili katika kile kiasi kilichokaa ndani ya miezi mitatu Ili kuwarejeshea watoto waweze kukamilisha story za ndoto zao za kielimu.

Ni rahisi kufungua akaunti hii, mahitaji ni kitambulisho cha taifa cha mzazi ama mlezi, cheti cha kuzaliwa cha mtoto ama utambulisho wowote kutoka shule anakosoma mtoto, na akaunti inaweza kuendeshwa kwa kutumia huduma zetu za kidigitali bila kuhitajika kufika katika matawi ya benki”, alisema Bwana Genesis.

Naye Mwanzilishi wa asasi ya Adonai El Roi inayolea vituo mbalimbali vya watoto nchini, Bi. Ngole Melaisho alisema lengo lao kubwa la shirika lao lisilo la kiserikali pamoja na mambo mengine ni kutokomeza umasikini katika vituo hivi.

Taasisi yetu Ina malengo ya kuwafuatilia watoto hawa kwa umakini waweze kuendeleza ndoto zao kwa kupitia kukuza vipaji vilivyo ndani yao.

Nipende kuhamasisha watanzania waendelee kusaidia vituo hivi na pia kuongeza upendo kwa watoto hawa waweze kukamilisha malengo yao”, aliongeza Bi. Ngole.
Mkuu wa Mikakati na Bidhaa za Wateja Binafsi wa Benki ya Absa, Bwana Heristraton Genesis akizungumza katika hafla ambayo benki hiyo pia ilikabidhi msaada wa vifaa vya shule kwa watoto yatima wanaolelewa wa vituo vya Tuyata Orphanage Centre na Watoto Wetu Tanzania vilivyopo chini ya Taasisi ya Adonai El Roi Foundation jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere (wa pili kulia) akikabidhi begi lenye vifaa vya shule kwa mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Johnson Helman katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Mikakati na Bidhaa za Wateja Binafsi, Bwana Heristraton Genesis (kulia) na Meneja Kitengo cha Kadi wa benki hiyo, Elfrida Mruma wakishirikiana kutengeneza keki na watoto yatima wa vituo vya Tuyata Orphanage Centre na Watoto Wetu Tanzania vilivyopo chini ya Taasisi ya Adonai El Roi Foundation katika hafla ambayo benki hiyo pia ilikabidhi msaada wa vifaa vya shule kwa watoto hao jijini Dar es Salaam jana
Meneja Msaidizi wa Hoteli ya Johari Rotana, Ahmed Said (kulia) akikabidhi begi lenye vifaa vya shule kwa mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Abigael Maliki katika hafla iliyoandaliwa na Benki ya Absa kwa kushirikiana na hoteli hiyo kwa watoto wa vituo vya Watoto Wetu na Tuyata vilivyo chini ya Taasisi ya Adonai El ROI, jijini Dar es Salaam jana.
Mkuu wa Kitengo cha Bima wa Benki ya Absa Tanzania, Sandeep Chavda (kushoto), Mkuu wa Mikakati na Bidhaa za Wateja Binafsi, Bwana Heristraton Genesis, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Maalum, Thereza Majinge na Meneja Kitengo cha Kadi wa benki hiyo, Elfrida Mruma wakipiga picha ya pamoja na watoto wa watoto yatima wa vituo vya Tuyata Orphanage Centre na Watoto Wetu Tanzania vilivyopo chini ya Taasisi ya Adonai El Roi Foundation baada ya kukabidhi msaada wa vifaa vya shule katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Share:

Tuesday, March 26, 2024

BENKI YA DCB YAZINDUA PROGRAMU YA VICOBA KUBORESHA MAISHA YA WATANZANIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara DCB, Bwana Sabasaba Moshingi (wa pili kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi programu ya DCB Vicoba pamoja na uzinduzi wa mradi wa kumiliki Coaster 5 wa Umoja wa Vikundi vya Ujasiriamali Kivule (UVUKI) uliopo chini ya Shirikisho la Vikundi vya Ujasiriamali Tanzania (SHIVUTA), uliofanyika Kitunda, Ilala, nje kidogo kutoka katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo.

KATIKA kuunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya sita katika kuhakikisha huduma za Kifedha zinawafikia watu wengi, kirahisi na gharama nafuu, Benki ya Biashara ya DCB imezindua programu ya VICOBA ikiwalenga wateja wa Vicoba na makundi mengine ya kijamii.
Uzinduzi wa DCB VicobaApp umefanyika Kitunda, Ilala nje kidogo ya jijini Dar es Salaam leo sambamba na hafla ya uzinduzi wa mradi wa kumiliki Coaster tano ulioandaliwa na Umoja wa Vikundi vya Ujasiriamali Kivule (UVUKI), chini ya Shirikisho la Vikundi vya Ujasiriamali Tanzania (SHIVUTA).

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Bwana Sabasaba Moshingi alisema programu hiyo itawawezesha wanachama wa vicoba kufanya miamala yao kwa urahisi na usalama zaidi, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika jamii.

Tunatambua umuhimu wa teknolojia katika kuboresha maisha ya watu, na ndio maana tumeamua kuja na DCB VicobaApp ili kusaidia wanachama wa vikoba na makundi mengine ya kijamii kupata huduma za kifedha kwa urahisi zaidi kupitia simu zao za mkononi.

Ikianzishwa takribani miaka 22 iliyopita kupitia wito wa Rais Mstaafu Hayati Benjamin William Mkapa, kipaumbele chetu kikubwa kimekuwa ni kuinua maisha ya watanzania wenye kipato cha wastani kiuchumi, hususan wajasiriamali wadogo na wa kati lakini tukiangaza zaidi kwa watanzania ambao mara kadhaa wamekuwa wakikosa vigezo vya kupata mikopo na urahisi wa kuwekeza katika benki za kibiashara,” alisema Bwana Moshingi.

Ni katika muktadha huo Bwana Moshingi alisema, DCB imekuwa mwanzilishi na kuwa kinara katika kuanzisha huduma za mikopo kwa wajasiriamali wadogo wadogo, wateja binafsi na kwa vikundi vya Vikoba hivyo kwa kupitia ushirikiano huu wateja wa benki yetu wataweza kuzifikia akaunti kirahisi mahali walipo na kwa wakati wowote na kupata huduma.

Alisema kwa kupitia DCB VicobaApp, wateja wa vicoba wataweza kupata huduma mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuweka pesa bila makato yoyote, kukopa mikopo na kufanya marejesho, kuchagua viongozi wa wa vikundi vyao, kupata ujumbe mfupi kwa kila mjumbe pale mjumbe mmoja anapoweka pesa kwenye kikoba, yote yakifanyika kupitia simu za mkononi.

Naye Mkurugenzi wa Biashara wa DCB, Bi. Lilian Mtali alisema benki yao inajivunia kuwa moja ya benki waanzilishi kwa kutoa mikopo ya wajasiriamali ikiwemo mikopo midogomidogo ya kuanzia hata kiasi cha shs elfu 30 hadi milioni 5 kwa wateja wadogo.

"DCB pia tunajivunia kutoa mikopo ya kiasi cha shs trilioni 1 kwa wajasiriamali na wafanyakazi ambapo sasa benki inao uwezo wa kutoa mkopo wa hadi kiasi cha shs bilioni 5 kwa mtu mmoja.

Katika kuhakikisha lengo letu la kuboresha maisha ya watanzania na kuwapunguzia umasikini linatimia, DCB kila mara imekuwa ikianzisha akaunti na huduma zenye ubunifu, mfano akaunti ya elimu ya DCB Skonga, Wahi Akaunti kwa wenye mahitaji ya kutimiza malengo kwa njia ya kuwekeza kidogo kidogo, akaunti za Mshahara & Mikopo ya nusu mshahara, akaunti ya Wastaafu, Mikopo ya Nyumba, Akaunti maalum (FDR) na nyinginezo nyingi,” aliongeza Bi Lilian.

Ikiwekeza zaidi katika huduma za kibenki kwa njia za kidigitali, DCB ina mtandao wa mawakala zaidi ya 1500 na vituo vidogo vya kutokea huduma zaidi ya 700 katika maeneo ya kimkakati sehemu mbalimbali nchini huku ikiwa na mtandao wa Matawi 9 ya kibenki jijini Dar es Salaam na mikoani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara DCB, Bwana Sabasaba Moshingi (katikati), Mkurugenzi wa Biashara wa benki hiyo, Bi. Lilian Mtali (kulia) na Mkurugenzi wa Shirikisho la Vikundi vya Ujasiriamali Tanzania (SHIVUTA), Andrew Paul wakiwasili tayari kwa uzinduzi programu ya DCB Vicoba pamoja na uzinduzi wa mradi wa kumiliki Coaster 5 wa Umoja wa Vikundi vya Ujasiriamali Kivule (UVUKI) uliopo chini ya Shirikisho la Vikundi vya Ujasiriamali Tanzania (SHIVUTA) uliofanyika Kitunda, Ilala, jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya Wana vikoba waliohudhuria uzinduzi wa DCB VikobaApp wakiwa katika hafla hiyo, Kitunda, Ilala, Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara DCB, Bwana Sabasaba Moshingi (katikati) akiagana na Mkurugenzi wa Shirikisho la Vikundi vya Ujasiriamali Tanzania (SHIVUTA), Bwana Andrew Paul mara baada ya uzinduzi programu ya DCB Vicoba pamoja na mradi wa kumiliki Coaster 5 wa Umoja wa Vikundi vya Ujasiriamali Kivule (UVUKI) uliopo chini ya Shirikisho la Vikundi vya Ujasiriamali Tanzania (SHIVUTA) uliofanyika Kitunda, Ilala jijini Dar es Salaam leo. Wengine ni Viongozi wa Umoja wa Vikundi vya Ujasiriamali Kivule (UVUKI).
Share:

Sunday, March 17, 2024

Absa Bank continues to empower Tanzanian women's stories

Minister of State, Office of the President, Finance, and Planning Zanzibar, Dr. Saada Mkuya Salum (right), presenting an appreciation award to the Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (center), in recognition of the bank's contribution as the main sponsor in the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), during an event held in Kizimkazi, Zanzibar recently. On the left is the Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (left), receiving a token of appreciation from the Minister of State, Office of the President, Finance, and Planning of Zanzibar, Dr. Saada Mkuya Salum, in recognition of Absa's contribution as the main sponsor in the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), during an event held in Kizimkazi, Zanzibar recently. Seated to the left front is the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, who was the guest of honor.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Widow of the first President of the Revolutionary Government of Zanzibar (SMZ), Mrs. Fatma Karume (left), exchanging greetings with the Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (right), and the Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud, during the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), sponsored by Absa Bank and held in Kizimkazi, Zanzibar recently.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Some participants listening to the speech of the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, during the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA) held in Kizimkazi, Zanzibar recently. Absa Bank was the main sponsor of the launch.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (third from the left), and Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud (third from the right), displaying the award given to the bank as the main sponsor at the launch event of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), held in Kizimkazi, Zanzibar recently. This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Share:

Monday, February 26, 2024

Absa Bank Tanzania announces its new brand promise

The Managing Director for Absa Bank Tanzania, Mr. Obedi Laiser (left), addresses a media conference during the media launch of the bank’s new brand promise dubbed ‘Your Story Matters’ in Dar es Salaam today. Looking is Absa Bank Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga.

Dar es Salaam, Monday, 26 February 2024 – Absa Bank Tanzania has announced its new brand promise which marks the next evolution to the Absa brand journey.

Absa Bank Tanzania made this announcement following a similar announcement made last week Friday by Absa Group Limited, its parent company, which is one of Africa’s largest diversified financial services groups that owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

Speaking during the official announcement, Mr Obedi Laiser, The Bank’s Managing Director, said “Today we are taking the next step on our business and brand journey, revealing our newfound vision as a purpose led and values driven business, and communicating our new brand positioning.

Since we launched the Absa brand in Tanzania four years ago, the brand has gown significantly and it has now evolved to better reflect where we are now, our global ambitions and to align with our new purpose. We are concentrating on what we do AND why we do it: our purpose and aspiration - to be a leading African bank, empowering Africa’s tomorrow, together … one story at a time.

The new brand promise which the bank has announced is encapsulated in a short and easy to remember phrase “Your Story Matters”.

When asked about what this new phrase means and what it promises to its stakeholders, Mr Aron Luhanga, the Bank’s Head of Marketing and Corporate Affairs, said “Your Story Matters is more than a phrase to us – it is a promise and a commitment. It reveals our customer-centric approach in which we listen to and care about the unique journey of each person and entity we serve. It speaks about how we as an organization value individual customers and want to be part of their personal and financial narratives. It defines us as a bank of the future; one that is more than just a financial services institution but also a partner on each customer’s life journey.

Mr Luhanga went on to state that the new brand promise represents the culmination of the bank listening and learning from its customers, staff, and community at large, planning, strategising, collaborating, and co-creating a powerful purpose, honourable values, a clear vision and an unwavering commitment to create an Empowered African future, together… one story at a time.

In his concluding remarks, the Managing Director, said “Our customers, communities, colleagues, and the public at large should brace themselves for seeing a much more human-centred bank that takes interest in the unique journeys of all its stakeholders and excited to being part of their unique stories. We are committed to solutioning the challenges our customers, communities, and colleagues face in their life journeys in such a way that builds a lifetime legacy of true friendship and partnership, because their stories matter to us.

For more information, please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking. Backed by its 21-year legacy in Tanzania and inspired by the people it serves, Absa is committed to finding local solutions to uniquely local challenges and everything we do is focused on bringing possibility to life.

Absa Bank Tanzania is part of Absa Group Limited (‘Absa Group’). Absa Group is listed on the Johannesburg Stock Exchange and is one of Africa’s largest diversified financial services groups.

Absa Group offers an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth and investment management and insurance.

Absa Group owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

For more about Absa Bank Tanzania, its products and services, visit www.absa.co.tz
Share:

Wednesday, February 7, 2024

Absa Bank's Naomi Mafwiri Takes the Helm as President of ACI Tanzania Charter

Newly elected President of the ACI Financial Markets Association of Tanzania Charter, Ms. Naomi Mafwiri, who is also Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels, addresses the members of the association at an occasion of the Tanzania charter’s leadership exchanging ceremony held in Dar es Salaam recently.
Newly elected President of the ACI Financial Markets Association of Tanzania Charter, Ms. Naomi Mafwiri (second from the left), who is also Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels, chats with some members of the association at an occasion of the Tanzania charter’s leadership exchanging ceremony held in Dar es Salaam recently.

*Pledging to Elevate Financial Markets Practices and Ethical Standards

Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels Senior Official, Naomi Mafwiri, has been elected as the new President of ACI Tanzania Charter, a position she will serve for the next two years. Formed in 2002, ACI FMA Tanzania is the standard bearer for financial markets professionals in Tanzania.

ACI FMA Tanzania is affiliated with ACI – Financial Markets Association, a Paris-based global umbrella body of financial markets associations, which is a non-profit-making association founded in the interests of the financial markets dealing profession, essentially international. ACI Tanzania abides by Tanzania's laws and regulations and the FX Global Code of Conduct recognized by ACI – The Financial Markets Association. ACI FMA is the largest trade association in the global financial markets with over 13,000 members in 60 countries.

Speaking in Dar es Salaam at the occasion of the Tanzania chapter’s exchanging of leadership, the new ACI President, Ms. Naomi, said the decision to contest for the position as ACI President was not taken lightly. ‘I had to consult some other members, and after deep thought, I realized the crucial role the financial markets community plays in shaping values and ethics among key players in Tanzania, and that fact compelled me to step forward to work on the key ACI Tanzania’s objective to influence industry behavior and uphold best market practitioners,’ said Ms. Naomi.

She said the current ACI Tanzania chapter includes four candidates from Absa Bank Tanzania, making a significant milestone and showcasing the trust and confidence placed in our bank by the financial markets community in Tanzania.

'Engaging with ACI aligns us with efforts to promote best financial markets practices, and we are excited about the journey ahead and the opportunities this collaboration will bring.'

Ms. Naomi added, ‘I want to take this opportunity to commend the previous committee for launching the ACI UDSM branch. However, we will aim at introducing more initiatives such as facilitating certification of our back office, middle office, risk, and front office members, citing that up to date, only 50% of financial markets participants are certified.

We will also be working on ACI identity, where we will enhance our visibility through office location and registration, which is crucial. Publicity is equally important, and our challenge is to ensure that our banking community recognizes and understands the fundamental role we play.'

She mentioned other key factors as stakeholder engagements, saying that acknowledgment of the transformation in markets, initiatives such as a move from being a money-based Monetary Policy approach to an Interest-based Monetary Policy Framework, issuance of circulars, and guidelines to promote stability in the financial sector, together with ongoing sessions among key players enhances confidence and transparency in our market. ‘I promise to continue with these engagements so as to create harmony and encourage an environment where business thrives and the economy excels,’ she added.

ACI Tanzania Charter is made among stakeholders, which include the banking sector, Ministry of Finance, Bank of Tanzania, DSE, CMSA, and TBA.
Share:

Thursday, February 1, 2024

Absa Bank Tanzania records remarkable financial performance in 2023

Jovial Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (centre), Acting Chief Financial Officer, Mr. Bernard Tesha (left), and Absa’s Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga (right), displays a pamphlet contains some details of the bank’s 2023 performances, during a media conference in Dar es Salaam today.

Performance snapshot:
  • 132% Profit before Tax growth year on year
  • 37% growth in Customer Deposit year on year
  • 19% growth in Total Assets from prior year
  • Return on Equity (ROE) of 32%
  • Cost to Income Ratio (CIR) of 53%
Dar es Salaam, Thursday 1 February 2024 – Absa Bank Tanzania has recorded a remarkable financial performance for the fiscal year 2023, marking a year of unprecedented growth and best ever success since its establishment in the country.

Despite the challenges posed by the global economic landscape, Absa Bank Tanzania has demonstrated resilience, adaptability, and unwavering commitment to its customers, stakeholders, and the community at large, seizing the opportunities presented in the market to deliver exceptional performance.

In 2023, Absa Bank Tanzania achieved record-breaking financial results, reflecting robust growth across key performance indicators. Profit Before Tax (PBT) surged to an all-time high of TZS 75billion, a staggering 132% increase from the previous year, which contributed to an impressive Return on Equity (ROE) of 32% in 2023. Overall revenue recorded an excellent annual growth of 30% on the back of a 21% growth in Net Interest Income (NII) and 41% increase in Non-Interest Income (NIR), with cost registering a very modest increase of 3% year on year - well below inflation, with all these contributing to a great improvement in the Cost to Income Ratio (CIR) to 53% in 2023, well within the regulatory threshold.

The bank’s total assets surged to an all-time high of TZS 1.42trillion, a 19% growth from prior year. This is accompanied by an exceptional growth in customer deposits of 37% year on year to TZS 1.1trillion and an impressive increase in customer loans and advances of 25% from previous year reaching TZS 784billion for the first time and the ratio of Non-Performing Loans (NPL) reducing to 4.5%, well within the regulatory threshold.

Commenting on the results, Bernard Tesha, The Bank’s Acting CFO, said “The significant growth in customer deposits is a true reflection of trust from our customers both existing and new to the bank. The bank continues to have a strong capital position and funding base and operates well above the regulatory and internal requirements. Our prudent risk management practices, strategic investments, and unwavering focus on customer-centric solutions have positioned us as a preferred banking partner in the financial services industry.

On his part, the Bank’s CEO and MD, Mr Obedi Laiser, said “Our outstanding financial performance in 2023 is a testament to our steadfast dedication to excellence, innovation, and sustainable growth. We have and will continue to leverage technological advancements, expand our product and service offerings, and foster strategic partnerships to better serve the evolving needs of our diverse customer base.

Furthermore, our commitment to corporate social responsibility and community engagement remains unwavering. Throughout 2023, we have continued our support for various initiatives aimed at driving positive change, fostering financial literacy, and empowering communities to thrive in a rapidly changing world.

As we look ahead, Absa Bank Tanzania remains resolutely focused on delivering value, fostering trust, and driving inclusive prosperity for all our stakeholders. We are deeply grateful for the unwavering support of our customers, the dedication of our employees, the understanding of regulators and policy makers and the confidence of our shareholders, which have been instrumental in our success.

For more information, please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking. Backed by its 21-year legacy in Tanzania and inspired by the people it serves, Absa is committed to finding local solutions to uniquely local challenges and everything we do is focused on bringing possibility to life.

Absa Bank Tanzania is part of Absa Group Limited, one of Africa’s largest diversified financial services groups. Absa Group employees approximately 40, 000 professionals operating in South Africa, Zambia, Botswana, Mozambique, Seychelles, Mauritius, Kenya, Tanzania, Uganda, Ghana. The Group has representative offices in Nigeria, Namibia, London and New York, as well as insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa, Tanzania and Zambia. Absa is a truly African brand, inspired by the people we serve and determined to be the financial services Group Africa can be proud of.

For more about Absa Bank Tanzania, its products and services, visit www.absa.co.tz
Share:

Wednesday, January 31, 2024

Serikali yaipongeza First United Takaful kuchangia maendeleo ya sekta ya bima nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiea Dkt Saada Mkuya akipokea zawadi iliyotolewa na Kampuni ya Bima ya First United Takaful Kwa Gavana wa kutoka kaunti ya Kenya Issa Timamy kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiwa Dk. Saada Mkuya (kushoto), akikabidhi zawadi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Sheria wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Dk. Abdallah Tego wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine pichani (kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiwa Dk. Saada Mkuya, akikabidhi zawadi kwa Ofisa Mtendaji wa Shirikisho la Makampuni ya Bima Tanzania (ATI), Elia Kajiba wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo umefanyika jijini Dar es Salaam jana. wengine kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi, Dk. Kassim Hussein.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful Abdulnasir Ahmed Mohamed, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiea Dkt Saada Mkuya, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja ns huduma ya Bima ya Takful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), jijini Dar es Salaam jana.

SERIKALI imeipongeza Kampuni ya Bima ya First United Takaful kwa kuanzisha huduma za kibima zitakazoweza kuchangia maendeleo ya uchumi wa Tanzania kwa ujumla pamoja na sekta ya fedha ya mwaka 2020 mpaka 2030 inayotoa dira kwa sekta ndogo ya bima sambamba na maelekezo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar.

Pongezi hizo zilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi wa Zanzibar, Dk. Saada Mkuya wakati akizindua kampuni hiyo pamoja na huduma ya bima ya Takaful inayofuata misingi ya dini ya kiislamu jijini Dar es Salaam jana akisema uzinduzi huo unaunga mkono juhudi za Rais wa jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia sekta ya bima.

Moja ya malengo ya kimkakati ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni kuhakikisha tunakuwa na bidhaa mpya 10 hadi kufikia mwaka 2030, baadhi ya malengo ikiwa ni kuakikisha asilimia 90 ya watu wanapata bima ya afya ikiwa ni pamoja na kuwa na nia nane za kusambaza bima kwa bei nafuu."

Tuna pengo kubwa la watu kutokufahamu, nini maana ya bima, kutofikiwa ama kutojua nini faida ya bima, First United Takaful, mbali na malengo yenu, nataka muwe tunu ya kufikisha ujumbe kwa wananchi walio wengi kuona kuna umuhimu wa kuwa na bima hususan Takafula”, alisema Waziri Saada.

Aidha alisema Serikali zote mbili zimedhamiria kuendelea kuweka mazingira tulivu kwa ajili ya uwekezaji wa Takaful ambao una tija hivyo maendeleo na mageuzi katika sekta ya bima kutimia endapo sekta hiyo itapita katika ubunifu na matumizi ya kiteknolojia.

Tunaishukuru TIRA kwa kuchukua hatua hii ya kuruhusu huduma za bima inayofuata misingi ya kiislamu, ambayo ni muhimu kwa wateja wote waislamu na wasio waislamu, tuwashukuru sana sababu mmeshaweka msingi mzuri”, aliongeza mheshimiwa Waziri Saada.

Akizungumza katika hafla hiyo, Naibu Kamishna wa Bima, Bi. Khadija Issa Said aliipongeza kampuni ya First United Takaful kwa kuwa kampuni ya pili nchini kwa kupata leseni ya kutoa huduma za bima zinzzofuata misingi ya kiislamu ya Takaful.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini itafanya kazi kwa karibu na wadau wote wa bima na kuweka mazngira wezesha katika soko la bima hususan Takaful ili huduma hizo ziweze kuleta tija kwa wananchi”, alisema Bi. Khadija.

Awali akizungumza katika hafla hiyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa First United Bwana Abdulnassir Ahmed Mohamed alisema bima imekuwa ni kiunganishi muhimu sana kwenye maisha ya kila siku, kisheria, kijamii na kiuchumi kwani ukiwa na bima inakupa utulivu wa nafsi na ulinzi binafsi na mali katika vipindi mbalimbali vya changamoto.

Pamoja na hayo yote, bado pamekuwepo na changamoto kwenye upatikanaji wa huduma ya bima inayokidhi mahitaji ya Imani zao za kiroho, hivyo bima ya Takaful yenye mazingatio ya Sharia za Imani ya kiislam, ambayo msingi wake ni kanuni za ushirikiano, uchangiaji wa majukumu kwa pamoja, ulinzi wa pamoja kwa washiriki, wachangiaji, na ushirika wa manufaa kwa pamoja pale ambavyo mmoja wa wachangiaji hupata changamoto bila ya kutegemea itaenda kuwa mkombozi kwa wale wenye uhitaji wa bima hiyo."

Zipo aina mbalimbali za bima ya Takaful tunazotoa kama vile bima ya maisha, mali, na bima ya kawaida, na kuhakikisha kuwa wateja wetu wanapata bima kamili kulingana na mahitaji yao maalum, tukiwekeza katika rasilimali muhimu ya wafanyakazi wataalamu katika kukuza maeneo ya ubunifu na yenye kuzingatia wateja”, alisema Bwana Mohamed.

Naye Mwenyekiti wa Bodi wa kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein alisema wakiwa kama waanzilishi katika tasnia hiyo kwa Tanzania Bara katika kutoa bidhaa mbalimbali za Takaful zinazowapa usalama na amani Waislamu na wasio waislamu, wakijikita zaidi katika kuleta masuluhisho katika kanuni za ushirikiano na msaada wa pande zote kwa uwazi, usawa, na kuepuka mambo ambayo yanapingana na imani za Kiislamu.

Ni muhimu kutambua kuwa Takaful sio tu bidhaa, inawakilisha mabadiliko makubwa katika tasnia ya bima, ni uthibitisho wa azma yetu ya kuhudumia wateja wetu mbalimbali kwa uaminifu na uelewano, tunasadiki kwa dhati kuwa bima inapaswa kuwa inapatikana kwa wote, bila kujali imani zao za kidini, na Takaful inatuwezesha kufikia hili bila kuhatarisha maadili ya kiadili."

Tunapoanza sura hii mpya ya Takaful, tunatambua jukumu kubwa lililo mbele yetu, tunaelewa kuwa lazima tuwe na ubunifu wa mara kwa mara, kubadilika, na kukabiliana na changamoto zitazotukabili, tuwahakikishie kuwa, tutaendelea kujitoa na kubaki kwenye viwango vya juu vya weledi, wajibu wa fidia, na kuridhika kwa wateja”, aliongeza Dk. Hussein.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive