
Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Joseph Muhere (katikati), akizungumza na waadishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya Airtel Chapakazi jijini Dar es Salaam leo. Airtel Chapakazi inalenga kuinua biashara ndogo ndogo kwa kuwawezesha wajasiriamali...