A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Showing posts with label BUSINESS. Show all posts
Showing posts with label BUSINESS. Show all posts

Sunday, March 17, 2024

Absa Bank continues to empower Tanzanian women's stories

Minister of State, Office of the President, Finance, and Planning Zanzibar, Dr. Saada Mkuya Salum (right), presenting an appreciation award to the Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (center), in recognition of the bank's contribution as the main sponsor in the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), during an event held in Kizimkazi, Zanzibar recently. On the left is the Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (left), receiving a token of appreciation from the Minister of State, Office of the President, Finance, and Planning of Zanzibar, Dr. Saada Mkuya Salum, in recognition of Absa's contribution as the main sponsor in the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), during an event held in Kizimkazi, Zanzibar recently. Seated to the left front is the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, who was the guest of honor.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Widow of the first President of the Revolutionary Government of Zanzibar (SMZ), Mrs. Fatma Karume (left), exchanging greetings with the Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (right), and the Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud, during the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), sponsored by Absa Bank and held in Kizimkazi, Zanzibar recently.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Some participants listening to the speech of the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, during the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA) held in Kizimkazi, Zanzibar recently. Absa Bank was the main sponsor of the launch.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (third from the left), and Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud (third from the right), displaying the award given to the bank as the main sponsor at the launch event of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), held in Kizimkazi, Zanzibar recently. This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Share:

Monday, February 26, 2024

Absa Bank Tanzania announces its new brand promise

The Managing Director for Absa Bank Tanzania, Mr. Obedi Laiser (left), addresses a media conference during the media launch of the bank’s new brand promise dubbed ‘Your Story Matters’ in Dar es Salaam today. Looking is Absa Bank Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga.

Dar es Salaam, Monday, 26 February 2024 – Absa Bank Tanzania has announced its new brand promise which marks the next evolution to the Absa brand journey.

Absa Bank Tanzania made this announcement following a similar announcement made last week Friday by Absa Group Limited, its parent company, which is one of Africa’s largest diversified financial services groups that owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

Speaking during the official announcement, Mr Obedi Laiser, The Bank’s Managing Director, said “Today we are taking the next step on our business and brand journey, revealing our newfound vision as a purpose led and values driven business, and communicating our new brand positioning.

Since we launched the Absa brand in Tanzania four years ago, the brand has gown significantly and it has now evolved to better reflect where we are now, our global ambitions and to align with our new purpose. We are concentrating on what we do AND why we do it: our purpose and aspiration - to be a leading African bank, empowering Africa’s tomorrow, together … one story at a time.

The new brand promise which the bank has announced is encapsulated in a short and easy to remember phrase “Your Story Matters”.

When asked about what this new phrase means and what it promises to its stakeholders, Mr Aron Luhanga, the Bank’s Head of Marketing and Corporate Affairs, said “Your Story Matters is more than a phrase to us – it is a promise and a commitment. It reveals our customer-centric approach in which we listen to and care about the unique journey of each person and entity we serve. It speaks about how we as an organization value individual customers and want to be part of their personal and financial narratives. It defines us as a bank of the future; one that is more than just a financial services institution but also a partner on each customer’s life journey.

Mr Luhanga went on to state that the new brand promise represents the culmination of the bank listening and learning from its customers, staff, and community at large, planning, strategising, collaborating, and co-creating a powerful purpose, honourable values, a clear vision and an unwavering commitment to create an Empowered African future, together… one story at a time.

In his concluding remarks, the Managing Director, said “Our customers, communities, colleagues, and the public at large should brace themselves for seeing a much more human-centred bank that takes interest in the unique journeys of all its stakeholders and excited to being part of their unique stories. We are committed to solutioning the challenges our customers, communities, and colleagues face in their life journeys in such a way that builds a lifetime legacy of true friendship and partnership, because their stories matter to us.

For more information, please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking. Backed by its 21-year legacy in Tanzania and inspired by the people it serves, Absa is committed to finding local solutions to uniquely local challenges and everything we do is focused on bringing possibility to life.

Absa Bank Tanzania is part of Absa Group Limited (‘Absa Group’). Absa Group is listed on the Johannesburg Stock Exchange and is one of Africa’s largest diversified financial services groups.

Absa Group offers an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth and investment management and insurance.

Absa Group owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

For more about Absa Bank Tanzania, its products and services, visit www.absa.co.tz
Share:

Wednesday, February 7, 2024

Absa Bank's Naomi Mafwiri Takes the Helm as President of ACI Tanzania Charter

Newly elected President of the ACI Financial Markets Association of Tanzania Charter, Ms. Naomi Mafwiri, who is also Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels, addresses the members of the association at an occasion of the Tanzania charter’s leadership exchanging ceremony held in Dar es Salaam recently.
Newly elected President of the ACI Financial Markets Association of Tanzania Charter, Ms. Naomi Mafwiri (second from the left), who is also Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels, chats with some members of the association at an occasion of the Tanzania charter’s leadership exchanging ceremony held in Dar es Salaam recently.

*Pledging to Elevate Financial Markets Practices and Ethical Standards

Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels Senior Official, Naomi Mafwiri, has been elected as the new President of ACI Tanzania Charter, a position she will serve for the next two years. Formed in 2002, ACI FMA Tanzania is the standard bearer for financial markets professionals in Tanzania.

ACI FMA Tanzania is affiliated with ACI – Financial Markets Association, a Paris-based global umbrella body of financial markets associations, which is a non-profit-making association founded in the interests of the financial markets dealing profession, essentially international. ACI Tanzania abides by Tanzania's laws and regulations and the FX Global Code of Conduct recognized by ACI – The Financial Markets Association. ACI FMA is the largest trade association in the global financial markets with over 13,000 members in 60 countries.

Speaking in Dar es Salaam at the occasion of the Tanzania chapter’s exchanging of leadership, the new ACI President, Ms. Naomi, said the decision to contest for the position as ACI President was not taken lightly. ‘I had to consult some other members, and after deep thought, I realized the crucial role the financial markets community plays in shaping values and ethics among key players in Tanzania, and that fact compelled me to step forward to work on the key ACI Tanzania’s objective to influence industry behavior and uphold best market practitioners,’ said Ms. Naomi.

She said the current ACI Tanzania chapter includes four candidates from Absa Bank Tanzania, making a significant milestone and showcasing the trust and confidence placed in our bank by the financial markets community in Tanzania.

'Engaging with ACI aligns us with efforts to promote best financial markets practices, and we are excited about the journey ahead and the opportunities this collaboration will bring.'

Ms. Naomi added, ‘I want to take this opportunity to commend the previous committee for launching the ACI UDSM branch. However, we will aim at introducing more initiatives such as facilitating certification of our back office, middle office, risk, and front office members, citing that up to date, only 50% of financial markets participants are certified.

We will also be working on ACI identity, where we will enhance our visibility through office location and registration, which is crucial. Publicity is equally important, and our challenge is to ensure that our banking community recognizes and understands the fundamental role we play.'

She mentioned other key factors as stakeholder engagements, saying that acknowledgment of the transformation in markets, initiatives such as a move from being a money-based Monetary Policy approach to an Interest-based Monetary Policy Framework, issuance of circulars, and guidelines to promote stability in the financial sector, together with ongoing sessions among key players enhances confidence and transparency in our market. ‘I promise to continue with these engagements so as to create harmony and encourage an environment where business thrives and the economy excels,’ she added.

ACI Tanzania Charter is made among stakeholders, which include the banking sector, Ministry of Finance, Bank of Tanzania, DSE, CMSA, and TBA.
Share:

Thursday, February 1, 2024

Absa Bank Tanzania records remarkable financial performance in 2023

Jovial Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (centre), Acting Chief Financial Officer, Mr. Bernard Tesha (left), and Absa’s Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga (right), displays a pamphlet contains some details of the bank’s 2023 performances, during a media conference in Dar es Salaam today.

Performance snapshot:
  • 132% Profit before Tax growth year on year
  • 37% growth in Customer Deposit year on year
  • 19% growth in Total Assets from prior year
  • Return on Equity (ROE) of 32%
  • Cost to Income Ratio (CIR) of 53%
Dar es Salaam, Thursday 1 February 2024 – Absa Bank Tanzania has recorded a remarkable financial performance for the fiscal year 2023, marking a year of unprecedented growth and best ever success since its establishment in the country.

Despite the challenges posed by the global economic landscape, Absa Bank Tanzania has demonstrated resilience, adaptability, and unwavering commitment to its customers, stakeholders, and the community at large, seizing the opportunities presented in the market to deliver exceptional performance.

In 2023, Absa Bank Tanzania achieved record-breaking financial results, reflecting robust growth across key performance indicators. Profit Before Tax (PBT) surged to an all-time high of TZS 75billion, a staggering 132% increase from the previous year, which contributed to an impressive Return on Equity (ROE) of 32% in 2023. Overall revenue recorded an excellent annual growth of 30% on the back of a 21% growth in Net Interest Income (NII) and 41% increase in Non-Interest Income (NIR), with cost registering a very modest increase of 3% year on year - well below inflation, with all these contributing to a great improvement in the Cost to Income Ratio (CIR) to 53% in 2023, well within the regulatory threshold.

The bank’s total assets surged to an all-time high of TZS 1.42trillion, a 19% growth from prior year. This is accompanied by an exceptional growth in customer deposits of 37% year on year to TZS 1.1trillion and an impressive increase in customer loans and advances of 25% from previous year reaching TZS 784billion for the first time and the ratio of Non-Performing Loans (NPL) reducing to 4.5%, well within the regulatory threshold.

Commenting on the results, Bernard Tesha, The Bank’s Acting CFO, said “The significant growth in customer deposits is a true reflection of trust from our customers both existing and new to the bank. The bank continues to have a strong capital position and funding base and operates well above the regulatory and internal requirements. Our prudent risk management practices, strategic investments, and unwavering focus on customer-centric solutions have positioned us as a preferred banking partner in the financial services industry.

On his part, the Bank’s CEO and MD, Mr Obedi Laiser, said “Our outstanding financial performance in 2023 is a testament to our steadfast dedication to excellence, innovation, and sustainable growth. We have and will continue to leverage technological advancements, expand our product and service offerings, and foster strategic partnerships to better serve the evolving needs of our diverse customer base.

Furthermore, our commitment to corporate social responsibility and community engagement remains unwavering. Throughout 2023, we have continued our support for various initiatives aimed at driving positive change, fostering financial literacy, and empowering communities to thrive in a rapidly changing world.

As we look ahead, Absa Bank Tanzania remains resolutely focused on delivering value, fostering trust, and driving inclusive prosperity for all our stakeholders. We are deeply grateful for the unwavering support of our customers, the dedication of our employees, the understanding of regulators and policy makers and the confidence of our shareholders, which have been instrumental in our success.

For more information, please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking. Backed by its 21-year legacy in Tanzania and inspired by the people it serves, Absa is committed to finding local solutions to uniquely local challenges and everything we do is focused on bringing possibility to life.

Absa Bank Tanzania is part of Absa Group Limited, one of Africa’s largest diversified financial services groups. Absa Group employees approximately 40, 000 professionals operating in South Africa, Zambia, Botswana, Mozambique, Seychelles, Mauritius, Kenya, Tanzania, Uganda, Ghana. The Group has representative offices in Nigeria, Namibia, London and New York, as well as insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa, Tanzania and Zambia. Absa is a truly African brand, inspired by the people we serve and determined to be the financial services Group Africa can be proud of.

For more about Absa Bank Tanzania, its products and services, visit www.absa.co.tz
Share:

Wednesday, January 31, 2024

Serikali yaipongeza First United Takaful kuchangia maendeleo ya sekta ya bima nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiea Dkt Saada Mkuya akipokea zawadi iliyotolewa na Kampuni ya Bima ya First United Takaful Kwa Gavana wa kutoka kaunti ya Kenya Issa Timamy kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiwa Dk. Saada Mkuya (kushoto), akikabidhi zawadi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Sheria wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Dk. Abdallah Tego wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine pichani (kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiwa Dk. Saada Mkuya, akikabidhi zawadi kwa Ofisa Mtendaji wa Shirikisho la Makampuni ya Bima Tanzania (ATI), Elia Kajiba wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo umefanyika jijini Dar es Salaam jana. wengine kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi, Dk. Kassim Hussein.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful Abdulnasir Ahmed Mohamed, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiea Dkt Saada Mkuya, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja ns huduma ya Bima ya Takful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), jijini Dar es Salaam jana.

SERIKALI imeipongeza Kampuni ya Bima ya First United Takaful kwa kuanzisha huduma za kibima zitakazoweza kuchangia maendeleo ya uchumi wa Tanzania kwa ujumla pamoja na sekta ya fedha ya mwaka 2020 mpaka 2030 inayotoa dira kwa sekta ndogo ya bima sambamba na maelekezo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar.

Pongezi hizo zilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi wa Zanzibar, Dk. Saada Mkuya wakati akizindua kampuni hiyo pamoja na huduma ya bima ya Takaful inayofuata misingi ya dini ya kiislamu jijini Dar es Salaam jana akisema uzinduzi huo unaunga mkono juhudi za Rais wa jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia sekta ya bima.

Moja ya malengo ya kimkakati ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni kuhakikisha tunakuwa na bidhaa mpya 10 hadi kufikia mwaka 2030, baadhi ya malengo ikiwa ni kuakikisha asilimia 90 ya watu wanapata bima ya afya ikiwa ni pamoja na kuwa na nia nane za kusambaza bima kwa bei nafuu."

Tuna pengo kubwa la watu kutokufahamu, nini maana ya bima, kutofikiwa ama kutojua nini faida ya bima, First United Takaful, mbali na malengo yenu, nataka muwe tunu ya kufikisha ujumbe kwa wananchi walio wengi kuona kuna umuhimu wa kuwa na bima hususan Takafula”, alisema Waziri Saada.

Aidha alisema Serikali zote mbili zimedhamiria kuendelea kuweka mazingira tulivu kwa ajili ya uwekezaji wa Takaful ambao una tija hivyo maendeleo na mageuzi katika sekta ya bima kutimia endapo sekta hiyo itapita katika ubunifu na matumizi ya kiteknolojia.

Tunaishukuru TIRA kwa kuchukua hatua hii ya kuruhusu huduma za bima inayofuata misingi ya kiislamu, ambayo ni muhimu kwa wateja wote waislamu na wasio waislamu, tuwashukuru sana sababu mmeshaweka msingi mzuri”, aliongeza mheshimiwa Waziri Saada.

Akizungumza katika hafla hiyo, Naibu Kamishna wa Bima, Bi. Khadija Issa Said aliipongeza kampuni ya First United Takaful kwa kuwa kampuni ya pili nchini kwa kupata leseni ya kutoa huduma za bima zinzzofuata misingi ya kiislamu ya Takaful.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini itafanya kazi kwa karibu na wadau wote wa bima na kuweka mazngira wezesha katika soko la bima hususan Takaful ili huduma hizo ziweze kuleta tija kwa wananchi”, alisema Bi. Khadija.

Awali akizungumza katika hafla hiyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa First United Bwana Abdulnassir Ahmed Mohamed alisema bima imekuwa ni kiunganishi muhimu sana kwenye maisha ya kila siku, kisheria, kijamii na kiuchumi kwani ukiwa na bima inakupa utulivu wa nafsi na ulinzi binafsi na mali katika vipindi mbalimbali vya changamoto.

Pamoja na hayo yote, bado pamekuwepo na changamoto kwenye upatikanaji wa huduma ya bima inayokidhi mahitaji ya Imani zao za kiroho, hivyo bima ya Takaful yenye mazingatio ya Sharia za Imani ya kiislam, ambayo msingi wake ni kanuni za ushirikiano, uchangiaji wa majukumu kwa pamoja, ulinzi wa pamoja kwa washiriki, wachangiaji, na ushirika wa manufaa kwa pamoja pale ambavyo mmoja wa wachangiaji hupata changamoto bila ya kutegemea itaenda kuwa mkombozi kwa wale wenye uhitaji wa bima hiyo."

Zipo aina mbalimbali za bima ya Takaful tunazotoa kama vile bima ya maisha, mali, na bima ya kawaida, na kuhakikisha kuwa wateja wetu wanapata bima kamili kulingana na mahitaji yao maalum, tukiwekeza katika rasilimali muhimu ya wafanyakazi wataalamu katika kukuza maeneo ya ubunifu na yenye kuzingatia wateja”, alisema Bwana Mohamed.

Naye Mwenyekiti wa Bodi wa kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein alisema wakiwa kama waanzilishi katika tasnia hiyo kwa Tanzania Bara katika kutoa bidhaa mbalimbali za Takaful zinazowapa usalama na amani Waislamu na wasio waislamu, wakijikita zaidi katika kuleta masuluhisho katika kanuni za ushirikiano na msaada wa pande zote kwa uwazi, usawa, na kuepuka mambo ambayo yanapingana na imani za Kiislamu.

Ni muhimu kutambua kuwa Takaful sio tu bidhaa, inawakilisha mabadiliko makubwa katika tasnia ya bima, ni uthibitisho wa azma yetu ya kuhudumia wateja wetu mbalimbali kwa uaminifu na uelewano, tunasadiki kwa dhati kuwa bima inapaswa kuwa inapatikana kwa wote, bila kujali imani zao za kidini, na Takaful inatuwezesha kufikia hili bila kuhatarisha maadili ya kiadili."

Tunapoanza sura hii mpya ya Takaful, tunatambua jukumu kubwa lililo mbele yetu, tunaelewa kuwa lazima tuwe na ubunifu wa mara kwa mara, kubadilika, na kukabiliana na changamoto zitazotukabili, tuwahakikishie kuwa, tutaendelea kujitoa na kubaki kwenye viwango vya juu vya weledi, wajibu wa fidia, na kuridhika kwa wateja”, aliongeza Dk. Hussein.
Share:

Tuesday, January 30, 2024

Absa donates TZS 10m to Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) in support of gender-based violence victims labs

Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga, handover a dummy cheque or Tsh 10 million to Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA), Chief Executive Director, Ms. Tike Mwambipile (left) in Dar es Salaam today, to equip the association’s legal aid clinics in Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Arusha, Tanga and Dodoma to provide free and quality legal aid services to women and children victim of gender-based violence. Second left is TAWLA Head of Programs, Ms. Mary Richard and Absa Bank Citizenship Manager, Ms. Hellen Siria.

Absa Bank Tanzania has today donated TZS 10m to Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) to equip legal aid clinics in Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Arusha, Tanga and Dodoma to provide free and quality legal aid services to women and children victim of gender-based violence.

Speaking at the handover occasion ih Dar es Salaam today, the Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga

said that, “Our passion for our communities is as strong as ever and our commitment to serve and protect them is unwavering. Therefore, we continue to invest in people’s wellbeing while ensuring we play a role in the society we exist in and serve."

Mr. Luhanga also added by saying that the GBV victims are of no difference from all other women and children but there is a special need for their legal support and a proper welfare support while at the legal aid clinics.

Legal aid clinics for these women and children is very key for us at Absa considering these children have a greater impact into our country tomorrow and it will raise the families hope in taking care of the children but also empower women to have a voice in their communities and the children to have something better to look unto everyday as they aim to achieve their dreams,” said Mr. Luhanga.

Absa maintains a strong relationship with organizations such as TAWLA with purpose of bringing change to the community and providing support to the ongoing efforts the government still plays in developing the country at all levels.

Mr. Luhanga concluded by saying that Absa is a key role player in advancing several sectors in the country some of them being health, education, entrepreneurship, financial literacy, environment, and social wellbeing. The bank ensures that every society investment is aligned with strengthening our relationship with the community, the organization we work with and the government.

Speaking at the event, the TAWLA’s Chief Executive Director, Ms. Tike Mwambipile, expressed gratitude to Absa Bank, stating that the assistance provided would help the organization reach communities in need of legal aid, especially women and children.

"This support from Absa Bank will also enable us to actively participate in Mama Samia's Legal Aid campaign, which focuses on providing legal assistance on issues related to gender-based violence, land disputes, inheritance, and human rights," said Ms. Tike.

Addressing some of the challenges they face, the Director mentioned the difficulty of reaching remote and rural areas, which are more affected by gender-based violence challenges, also highlighted that many legal professionals are concentrated in urban areas.
Share:

Tuesday, January 23, 2024

Absa Bank Secures Top Employer Certification for the Third Consecutive Year

Absa, a leading financial institution, has once again earned the esteemed Top Employer designation for the year 2023, marking the third consecutive year of recognition by the prestigious Top Employer Institute, this accolade extends across five key markets, namely South Africa, Zambia, Ghana, Botswana, and Kenya.

The certification underscores Absa's steadfast commitment to upholding exemplary people practices and initiatives that consistently surpass rigorous global benchmarks. Notably, Absa has been commended for its exceptional performance in digital HR, learning, career development, ethics, and integrity, placing the Group above industry standards. This recognition emphasizes Absa's dedication to fostering a human-centered work environment, nurturing talent at all organizational levels, and continually optimizing employee experiences.

Jeanett Modise, Absa Group Chief People Officer, expressed pride in receiving this certification once again, emphasizing that it highlights Absa's unwavering commitment to cultivating a workplace where excellence thrives, setting the standard for the financial services industry. Modise stated, "This recognition is a testament to the dedication of our entire team and reaffirms Absa's position as a leading employer of choice."

In a strategic move towards building an empowering organization, Absa introduced a landmark Broad-Based Black Economic Empowerment (B-BBEE) staff scheme last year, this initiative includes a Colleague Share Scheme, providing colleagues in South Africa with equity ownership in Absa Group, colleagues in participating Absa Regional Operations (ARO) and other international entities will engage in a Colleague Phantom Share Scheme. In naming the scheme eKhaya, meaning "home" in isiZulu, the scheme allows each colleague to own a portion of the Absa home.

Modise emphasized that awarding employees with shares aligns with Absa's commitment to being an active force for good and reinforces the organization's mission of "Empowering Africa's Tomorrow, Together, One Story at a Time."

The Top Employer certification also reflects Absa's adoption of a flexible and hybrid work model, showcasing its adaptability to the changing Human Capital landscape. Absa's leaders are equipped and experienced in leading winning teams remotely.

A noteworthy achievement is the increasing number of boomerang employees within Absa's workforce, reflecting the organization's culture and confirming Absa as a place where employees find inspiration and continuously return. Boomerang employees are those who return to a former employer after working elsewhere, highlighting Absa's status as a great workplace.

Obedi Laiser, Managing Director of Absa Bank Tanzania, expressed pride in being part of the Top Employer Group in Africa, emphasizing the organization's commitment to empowering employees beyond their career aspirations.

In addition to the Top Employer designation, Absa received accolades such as being rated among the "25 Best Workplaces to Grow Your Career" by LinkedIn and recognition from Forbes as a top African organization championing women at work. Furthermore, Absa was featured in Forbes's World's Best Employers ranking.

Absa remains unwavering in its commitment to excellence, fostering diversity and inclusion, and empowering its workforce to shape a brighter future for Africa.
Share:

Thursday, December 21, 2023

Filamu za kibongo zote kali kuonekana kupitia Airtel TV

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiagho Kilonzo (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati Kampuni ya Airtel Tanzania ikitambulisha filamu za kitanzania zaidi ya 100 ambazo wapenzi wa filamu wanaweza kuziangalia kupitia Airtel TV inayopatikana ndani ya aplikesheni ya Airtel App. Kati ya filamu hizo zimo za washindi na washiriki wa Tuzo za Filamu Tanzania zilizofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kulia ni Meneja Bidhaa wa Airtel App, Bwana James Gua na kushoto ni msanii nguli wa vichekesho nchini na Balozi wa Airtel Money, Lucas Lazaro Mhuville ‘Joti’.
Meneja Bidhaa wa Airtel App, Bwana James Gua (kulia), akionyesha baadhi ya filamu za kitanzania zinazoonyeshwa katika Airtel TV, wakati Airtel Tanzania ikitambulisha filamu za kibongo zaidi ya 100 ambazo wapenzi wa filamu wanaweza kuziangalia kupitia Airtel TV inayopatikana ndani ya aplikesheni ya Airtel App. Kati ya filamu hizo zimo za washindi na washiriki wa Tuzo za Filamu Tanzania zilizofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Katikati ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiagho Kilonzo na msanii nguli wa vichekesho nchini na Balozi wa Airtel Money, Lucas Lazaro Mhuville ‘Joti’.
Msanii nguli wa vichekesho na Balozi wa Airtel Money, Lucas Lazaro Mhuville ‘Joti’ (kushoto0, akizungumza katika hafla hiyo huku akitoa hamasa kwa wasanii wenzake kupeleka kazi zao Airtel TV na pia kupakua Airtel App kwani Airtel imekuja kivingine katika kuwapa watanzania burudani za filamu za kibongo na kutoa fursa za kiuchumi kwa wasanii. Kushoto kwake ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiagho Kilonzo na Meneja Bidhaa wa Airtel App, Bwana James Gua.

*Ni fursa kwa wasanii pia kujiongezea kipato

WAPENZI wa filamu za kibongo, wana kila sababu ya kufurahia msimu huu wa sikukuu za mwisho wa mwaka, mara baada ya Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, kupitia Aplikesheni yake ya (Airtel App), kuweka filamu zaidi ya 100 katika Airtel TV inayopatikana katika App hiyo inayowawezesha watanzania kuangalia filamu hizo kwa urahisi na kwa unafuu mahali popote walipo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo katika hafla ya kutambulisha filamu hizo ambayo pia ilihudhuriwa na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiagho Kilonzo, Meneja Bidhaa wa Airtel App, Bwana James Gua alisema filamu hizi 100 nzuri kwani kati yake zimo za washindi na washiriki wa Tuzo za Filamu Tanzania 2023 zilizofanyika jijini humo hivi karibuni.

Tunayo furaha kubwa kuwajulisha wapenzi wa burudani za filamu za kitanzania kuwa sasa Kampuni ya Airtel kupitia Airtel App tumeweka filamu kali zaidi ya 100 za washiriki na washindi wa mwaka huu wa Tuzo za Filamu nchini pamoja na aina nyingine za burudani hivyo ni wakati mzuri kwa wazazi na familia kuwa na wakati mzuri wa kufurahia katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka."

Airtel App ni rahisi kuipakua na kuanza kupata huduma mbalimbali zikiwemo huduma mbalimbali za Airtel Money kama vile kutuma na kutoa pesa kwa wakala, kufanya malipo ya huduma mbalimbali na sasa kwa kupitia Airtel TV inayopatikana ndani ya app hiyo tumewaletea burudani ya aina yake ya filamu za kitanzania zenye ubora ili kukonga nyoyo za wateja wetu wenye kiu ya kuangalia filamu za kikwetu”, alisema Bwana Gau.

Naye Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania, Dk. Kiagho Kilonzo aliishukuru Kampuni ya Airtel kwa udhamini wake katika tuzo za filamu za mwaka huu zikishindanisha filamu kutoka Tanzania na nje ya Tanzania katika nchi za Afrika Mashariki akisema umechangia kwa kiasi kikubwa katika kufanikisha tuzo hizo kufanyika katika viwango vyenye ubora wa kimataifa.

Kwa niaba ya Bodi ya Filamu Tanzania ningependa kuchukua fursa hii kuishukuru kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kwa kuthamini maendeleo ya tasnia ya filamu nchini na kwa maendeleo ya wasanii wetu kwani kati ya filamu 565 zilizopokelewa mwaka huu, filamu 535 zilitoka nchini na 30 tu ndio zilitoka nje ya nchi."

Natoa wito kwa wasanii wote nchini kuleta filamu zenu zenye vigezo na zilizopata kibali kutoka katika Bodi ya Filamu Tanzania ili ziweze kupakiwa katika Airtel App ziweze kutazamwa na kuwapa burudani wapenda filamu za kitanzania nchini lakini pia zitumike kama fursa ya kujiongezea kipato kwenu wasanii”, alisema katibu mtendaji huyo.

Naye mmoja ya wasanii nguli wa vichekesho nchini na Balozi wa Airtel Money, Lucas Lazaro Mhuville ‘Joti’ ambaye katika tuzo za mwaka huu alijinyakulia tuzo kwa miaka mitatu mfululizo ya Filamu Bora ya Uchekeshaji alitoa hamasa kwa wasanii kupeleka kazi zao Airtel TV na pia kupakua Airtel App kwani Airtel imekuja kivingine katika kuwapa watanzania burudani za filamu za kibongo na kutoa fursa za kiuchumi kwa wasanii.
Share:

Friday, December 8, 2023

Waziri Nape azipongeza Airtel, Jubilee Insurance na Axieva kuanzisha Afya Bima

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (katikati), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu huduma mpya ya Afya Bima inayotolewa na Airtel Money kwa ushirikiano na makampuni ya Jubilee Insurance na Axieva. Waziri Nape alisema Afya Bima itasaidia kuokoa maisha ya watanzania wengi kiafya na kiuchumi. Wengine ni viongozi kutoka makampuni hayo.
Mkurugenzi wa Airtel Money, Bwana Charles Rugambwa (kulia), akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam leo kuhusu huduma ya Afya Bima inayopatikana kwa wateja wote wa Airtel Money wenye simu janja na za kawaida.. Kulia kwake ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye na Mkurugenzi Mtendaji wa Jubilee Insurance, Dk. Harold Adamson.
Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bi. Beatrice Singano (kushoto), akizungumzia faida mbalimbali watakazozipata wateja wa Airtel Money kwa kujiunga na huduma mpya ya Afya Bima wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Axieva, Davrav Dhingra, akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam leo. Kulia kwakwe ni Mkurugenzi wa Airtel Money, Bwana Charles Rugambwa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye.

*Asema itaokoa maisha ya watanzania na kuwapunguzia umasikini.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Technolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amezipongeza kampuni ya Airtel Tanzania kwa ushirikiano wake na kampuni za Jubilee Insurance pamoja na Axieva kwa kuanzisha huduma Afya Bima, akisema huduma hiyo imekuja wakati muafaka katika kipindi hiki ambacho Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan akisaini muswada wa Bima ya Afya kwa Wote ili kuwapa fursa watanzania wengi zaidi kunufaika na mpango huo.

Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, wakati akitambulishwa rasmi huduma hiyo, Waziri Nape alisema, huduma ya Afya Bima itakayotolewa Airtel kwa kushirikiana na Jubilee Insurance pamoja na Axieva itaenda kuokoa maisha na uchumi wa watanzania wengi ambao hawakuwa katika mfumo wa bima ya afya hivyo kulazimika kutumia pesa taslimu na wakati mwingine kulazimika kuuza rasilimali zao ili kujitibu wao ama wategemezi wao.

Nichukue nafasi hii kuzipongeza Airtel Tanzania, Jubilee Insurance pamoja Axieva kwani huduma hii inapatikana kirahisi kwa njia ya kidigitali kupitia Airtel Money hivyo kuwafanya watanzania wengi zaidi kujiunga mahali popote walipo bila usumbufu."

Serikali ya Mama Samia Suluhu Hassan imefanya uwekezaji mkubwa katika kuongeza miundo mbinu mingi ya kutoa huduma za afya, ujenzi wa zahanati katika ngazi ya vijiji, vituo vya afya katika ngazi ya kata, hospital za halmashauri, hospital za rufaa za mikoa, hospital za Kanda pamoja na hospital za kitaifa hivyo ujio wa Afya Bima utasaidia watanzania wengi kuweza kunufaika na huduma bora za afya zitolewazo katika hospitali za umma”, alisema Waziri Nape.

Waziri Nape aliongeza kuwa uwekezaji wa Serikali katika kutengeneza miundombinu ya afya hautakuwa na maana kama wananchi watakuwa wanapata huduma hizo kwa kusuasua na ndiyo maana Serikali ya Awamu ya Sita ikaamua kusukuma ajenda ya Bima ya afya kwa wote.

Jambo kubwa ni kwamba Bima hii, imewalenga watanzani wote hasa ambao hawana uwezo wa kuweza kujigharamia matibabu pindi wakipata shida ya kuumwa kama madereva bodaboda na Mama ntilie kwa hiyo jambo hili ni suluhisho kubwa kwao kupata huduma za afya huku Maisha yao yakiendelea”, Alisema Waziri Nape.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi wa Airtel Money, Bwana Charles Rugambwa alisema huduma ya Afya Bima ni moja ya mikakati ya Airtel katika kuwaletea watanzania huduma bora za kiubunifu na rahisi kujiunga kwa njia ya kidigitali ambapo wateja wote wa Airtel Money wanaweza kujiunga kwa kutumia simu janja na ya kawaida.

Kwa kuwa huduma ya Afya Bima ni kwa ajili ya watu wote na hiki ni kipindi cha msimu wa sikukuu za kuelekea mwaka mpya, natoa wito kwa wateja wa Airtel Money kuwapa zawadi wapendwa wao kwa kuwalipia vifurushi ya Afya Bima, hii ni zawadi ya ukweli."

Ni rahisi kujiunga, mteja wa anachotakiwa kufanya ni kuingia katika menu ya Airtel Money kisha anaingia namba 6, Huduma za kifedha, kisha 2, Bima, kisha 2 tena, Afya Bima, kisha kuthibitisha na baadae kuchagua aina ya vifurushi ukitakacho”, alisema Bwana Rugambwa.

Kwa Upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya Jubilee, Dk. Harold Adamson amesema kuwa wamefarijika kuwapata wadau ambao wameshirikiana nao katika kuongeza thamani ya tehama na kuhudumia moja kwa moja kwenye Maisha ya watanzania wote.

Sisi kama Jubilee tumefarijika kuweza kupata wadau wenzetu ili kuanzisha huduma na bidhaa hii mpya kwa watanzania hasa wanaotumia mtandao wa airtel, bidhaa hii ya afya bima inaunga mkono juhudi za Mhe. Rais za kuhakikisha watanzania wote wanafikiwa na bima ya afya”, Alisema Dkt. Adamson.

Akitaja baadhi ya manufaa na Afya Bima, Dk. Adamson alisema, Afya Bima inakuja na bima za afya aina tatu ambazo ni Afya Poa, Afya Supa na Afya Dhahabu ambapo mteja ataweza kuchagua vifurushi tofauti kulingana na uhitaji wake.

Bima ya Afya Poa inalenga kurudisha mapato yaliyopotea wakati mgonjwa alipolazwa ambapo mgonjwa anapokuwa amelazwa atakuwa anarudishiwa gharama kati ya Tzs 20,000 mpaka Tzs 50, 000, vile vile, Afya Poa inatoa faida ya bima ya gharama za mazishi ya mpaka Tzs 1 milioni moja, ajali, ulemavu au kifo faida ya mpaka Tzs 500,000 na vifurushi vyake gharama yake kati ya Tzs 6,000, Tzs 7,000 mpaka Tzs 35, 0000 kulingana na uhitahitaji wake.

Kwa upande Afya Supa na Afya Dhahabu zinatoa faida kwa mteja kupata huduma za matibabu bila malipo, Afya Supa inampa mteja kupata gharama ya matibabu ya hadi Tzs 5 milioni na hii ni pamoja na mteja aliyelazwa au kupata matibabu ya bila kulazwa. Bima hii ina kufurushi cha kulipia kati ya Tzs 15,000 mpaka Tzs 45,000 kwa mwaka kulingana na mahitaji ya mteja, lakini pia Afya Supa inakuja na faida ya uzazi ya gharama ya hadi Tzs 2 milioni”, alisema.

Awali Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Bi. Beatrice Singano amesema kuwa kampuni hiyo inatekeleza maelekezo yaliyotolewa na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ya kuhakikisha watoa huduma kupitia Tehama wanatumia ujuzi huo kuwasaidia wananchi wa aina zote na kuipa thamani sekta hiyo.

Alisema kuwa Huduma na Bidhaa mpya ya Afya Bima itakwenda kwa watanzania wapatao milioni 17.5 wanaotumia mtandao huo kuweza kupata matibabu kwa bei nafuu katika vituo zaidi ya 600 nchini na kuwawezesha wananchi kuwa na unafuu wakati wa shida ya kuumwa na kusimama kufanya kazi.

Mteja anayejiunga na Afya Bima ataweza kupata huduma ya matibabu kulingana na hospitali ambazo Wizara ya Afya Imesajili ambazo ni Hospitali za Umma, hospitali za kibinafsi na za Misheni kulingana na orodha iliyotolewa.
Share:

Wednesday, December 6, 2023

Benki ya Absa Tanzania yazindua mfumo wa malipo ya kadi za benki kupitia simu za mkononi

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere (wa nne kutoka kushoto, mstari wa mbele), Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa benki hiyo, Bwana Aron Luhanga (kushoto kwake), wakipozi kwa picha mbele ya waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi mfumo wa malipo ya kadi za benki kupitia simu za mkononi ‘Absa Tanzania Mobi Tap’ jijini Dar es Salaam leo.
Meneja Mauzo na Biashara wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Frank Mboya (kushoto), akionyesha jinsi mfumo wa malipo ya kadi za benki kupitia simu za mkononi unavyofanya kazi kwa waandishi wa habari, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa mfumo huo, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto kwake ni Mkuu wa Masoko na Mahusiano, Bwana Aron Luhanga, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Lilian Swere na Meneja Bidhaa na Kadi, Bi. Elfrida Mruma.
Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Aron Luhanga (katikati) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa mfumo wa malipo ya kadi za benki kupitia simu za mkononi 'Absa Mobi Tap' katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni; Meneja Mauzo na Biashara, Bwana Frank Mboya, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Bi. Ndabu Lilian Swere na Meneja Bidhaa na Kadi, Bi. Elfrida Mruma.
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Bi. Ndabu Lilian Swere (katikati) akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa mfumo wa malipo ya kadi za benki kupitia simu za mkononi 'Absa Mobi Tap' katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni; Meneja Mauzo na Biashara, Bwana Frank Mboya, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Bwana Aron Luhanga na Meneja Bidhaa na Kadi, Bi. Elfrida Mruma.

Absa MobiTap inawezesha wauzaji kupokea malipo ya kadi za benki kutoka kwa wateja kwa kutumia simu janja kama mashine ya kuchanjia kadi.

Benki ya Absa Tanzania imezindua Absa Mobi Tap – ambayo ni suluhisho la kwanza la aina yake nchini Tanzania ambalo linawawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati (SMMEs) kutumia simu zao kwa ajili ya kuchakata miamala ya kadi za benki na kuondoa hitaji la mashine za kuchanjia kadi, yaani POS.

Absa MobiTap inatarajiwa kuharakisha mchakato wa ulipiaji wa bidhaa kwa wanunuzi na wauzaji kwa kutumia simu janja kama mashine ya kuchanjia kadi. Wateja wanaweza tu kugusa kadi zao za benki kwenye simu ya muuzaji ya Android au kompyuta kibao ili kufanya malipo.

Kwa upande wa wafanyabiashara, wanachohitaji kufanya ni kupakua programu ya Absa Mobi Tap kutoka Play Store kwenye simu zao janja. Baada ya hapo wataweka taarifa zao na kuunganishwa na kuwa tayari kupokea malipo ya kadi za benki. Ili kuchakata malipo, mfanyabiashara ataingiza kiasi cha manunuzi kwenye program ya Absa MobiTap, kisha mteja atagusisha kadi yake nyuma ya simu hiyo na kuingiza PIN yake ikiwa inahitajika na kukamilisha malipo.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Ndabu Swere, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, alisema kuanzishwa kwa Absa Mobi Tap ni ushahidi wa mkakati wa benki hiyo kuendelea kujikita katika kujenga kampuni ya kisasa ya kidijitali ambayo inaenda na nyakati na mahitaji ya wateja.

Kama benki inayoongozwa kidijitali, tumejitolea kuongoza njia katika uvumbuzi wa kidijitali na tutaendelea kuzindua suluhisho nyingi za kidigitali za ubunifu wa hali ya juu ambazo zinakidhi mahitaji ya wateja wetu ya sasa na ya baadae, na kuhakikisha kuwa bidhaa zetu zimeundwa kushughulikia changamoto ambazo wateja wetu wanakabiliwa nazo.

Absa MobiTap ni suluhisho la kwanza la aina yake hapa nchini na tunajivunia kuwa benki ya kwanza kuwaletea Watanzania suluhisho la malipo ya kidigitali la ubunifu huu wa kipekee.

Tunaamini suluhisho hili litaleta mapinduzi katika namna ambayo wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati nchini yanavyoendesha biashara zao, kwani itaondoa vizuizi na kupanua chaguzi katika upatikanaji wa huduma za malipo ya kidijitali.

Biashara nyingi ndogo ndogo hazikuweza kupata mashine za POS kwa sababu ya uwekezaji mzito unaohitajika kwaajili ya hizo mashine. Lakini Absa MobiTap amekuja kuleta ufumbuzi kwenye hili.

Sasa hata dereva wa Uber/Bolt anaweza kupokea malipo ya kadi kupitia simu yake ya mkononi ambayo ni njia salama, ya haraka, na rahisi kwa wote – wanunuzi na wauzaji. Dhama hii ya kuwezesha wafanyabiashara wa aina zote inaenda sambamba na kusudi letu la ‘Kuwezesha Afrika ya kesho, pamoja, …hatua moja baada ya nyingine’.

Kwa upande wake, Aron Luhanga, Mkuu wa Kitengo Mawasiliano, Masoko na Mahusiano, alisema suluhisho hili la Absa MobiTap ni moja ya mengi ambayo benki itaendelea kutoa katika ufumbuzi wa malipo ya kidijitali wakati Absa inaendelea kuimarisha nafasi yake kama kinara katika nyanja hiyo hapa nchini.

Alisema, “MobiTap inaruhusu wauzaji kutumia teknolojia ambayo tayari wanayo – simu janja, karibuni kila mfanyabiashara siku hizi ana simu janja. Hata hivyo, mtej wetu akiwa hana simu janja, na anahitaji kujiunga na Absa MobiTap, tutampatia simu bure ili kumfanikisha.

Kwa mujibu wa Aron, suluhisho hili kimsingi linalenga wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), hasa wale ambao hapo awali walitegemea malipo kwa fedha taslimu au uhamishaji wa kielektroniki (EFT). Wafanyabiashara mbalimbali, kama vile madereva wa Uber/Bolt, migahawa, saluni, maduka ya vifaa, wakulima, wote wanaweza kutumia fursa hii ya uvumbuzi kuwasaidia kuendesha biashara zao kwa ufanisi zaidi.

Katika hotuba yake ya kuhitimisha, Ndabu, alitoa wito kwa wafanyabiashara wote – wafanyabiashara wa ukubwa wote (wadogo na wa kati) kutumia fursa ya Absa MobiTap kuwezesha biashara zao kupokea malipo ya kadi za benki kwa njia ya haraka, rahisi, na salama zaidi, ili kuwezesha kukuza jamii ya kidijitali, isiyotembea na pesa taslimu kwa faida ya wote.
Share:

Thursday, November 30, 2023

MKAZI WA KINONDONI MANYANYA AJISHINDIA PIKIPIKI KUPITIA DROO YA Y9 MICROFINANCE

 

Meneja Masoko wa Taasisis ya Kifedha ya Y9 microfinance Bi Sophia Mang’enya (kulia), akikabidhi zawadi ya pikipiki kwa mshindi wa droo ya nane Bw.Anold Jacob ambae aliibuka mshindi  wakati wakuchezesha droo hiyo wiki iliyopita ikiwa nimuendelezo wa Taasisi hiyo kutoa zawadi kila wiki kwa wateja wake wa Pakua APP ya Y9 na ukope na ulipe kwa wakati ili kuingia kwenye droo na ushine zawadi ya simu janja na pikipiki. hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika nyumbani kwa kina  Anold kinondoni manyanya jijini Dar es Salaam. Na baada ya wiki mbili itachezeshwa droo kubwa ambapo mshindi atajinyakulia Gari mpya kabisa Toyota Ist.

Meneja Masoko wa Taasisi ya Kifedha ya Y9 microfinance Bi Sophia Mang’enya (kulia), akizungumza wakati wa hafla yakukabidhi zawadi ya pikipiki kwa mshindi wa droo ya saba Anold Jacob ambae aliibuka mshindi  wakati wakuchezesha droo hiyo wiki iliyopita ikiwa nimuendelezo wa Taasisi hiyo kutoa zawadi kila wiki kwa wateja wake wa Pakua APP ya Y9 na ukope na ulipe kwa wakati ili kuingia kwenye droo na ushinde zawadi ya simu janja na pikipiki hafla ya makabidhiano hayo yamefanyika nyumbani kwa kina  Anold kinondoni manyanya jijini Dar es Salaam na baada ya wiki mbili itachezeshwa droo kubwa ambapo mshindi atajinyakulia Gari mpya Toyota Ist.

Mshindi wa pikipiki wa wa Pakua APP ya Y9 Microfinance ushinde Bw. Anold Jacob akionesha ufunguo wa pikipiki mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Masoko wa Taasisis ya Kifedha ya Y9 microfinance Bi Sophia Mangenya wakati wa hafla yakukabidhi zawadi ya pikipiki kwa mshindi wa droo ya nane . Na baada ya wiki mbili itachezeshwa droo kubwa ambapo mshindi atajinyakulia Gari mpya Toyota Ist.

Mshindi wa pikipiki wa wa Pakua APP ya Y9 Microfinance ushinde Bw. Anold Jacob akionesha plate namba na kadi ya pikipiki mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Masoko wa Taasisis ya Kifedha ya Y9 microfinance Bi Sophia Mangenya wakati wa hafla yakukabidhi zawadi ya pikipiki kwa mshindi wa droo ya nane . Na baada ya wiki mbili itachezeshwa droo kubwa ambapo mshindi atajinyakulia Gari mpya Toyota Ist
Share:

Wednesday, November 29, 2023

Sabasaba Moshingi, kuipeleka DCB kwenye kilele cha mafanikio

Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya Biashara ya DCB, Bwana Sabasaba Moshingi (katikati), akizunguza mara baada ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa benki hiyo, Bi. Zawadia Nanyaro (kushoto kwake), kumtambulisha rasmi jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Katibu wa Benki, Bi. Regina Mduma, Mkurugenzi wa Biashara, Bi. Lilian Mtali na Ofisa Fedha Mkuu, Bwana Deusdedit Mulindwa.

Benki ya Biashara ya DCB, moja kati ya benki kongwe inayoongoza katika mabenki yenye ukubwa wa kati, imemtambulisha Mkurugenzi Mtendaji wake mpya katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

Akizungumza, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya DCB, Bi. Zawadia Nanyaro alimtambulisha Bwana Sabasaba Moshingi, kuchukua nafasi hiyo adhimu ya kushika usukukani wa kuongoza benki hiyo akisema, licha ya mchakato kuchukua muda mrefu lakini kama benki pamoja na wanahisa wake wanayo furaha kwa kumtapata mtu anayekidhi vigezo walivyohitaji.

Benki yetu, wateja wetu pamoja na wanahisa wake walihitaji mtu sahihi atakayesukuma mbele vyema gurudumu la maendeleo la DCB, kwa weledi, umakini na uhakika zaidi, atakayeweza kuitoa DCB mahali ilipo na kuipeleka mbele zaidi kimafanikio, na baada ya kupitia hatua na taratibu kadhaa Bodi na Menejimenti ya DCB zina kila sababu ya kutembea vifua mbele kwa kumpata mtu sahihi ambaye kutokana na ukongwe wake katika tasnia za kibenki na taasisi za fedha tuna imani matarajio yetu yametimia."

Bwana Moshingi ni Mtaalamu mbobevu katika masuala ya benki kwa zaidi ya miaka 12, Bwana. Moshingi, analeta pamoja naye hazina kubwa ya uzoefu katika tasnia za kibenki za Kitaifa na Kimataifa akiwa na rekodi thabiti katika Uendeshaji wa Benki, Biashara za Fedha, Huduma za Kibenki kwa Wateja Binafsi, Masuala ya Mikopo na mengineyo."

Bwana Moshingi ana Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara katika Fedha kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, amethibitishwa na Taasisi ya Mabenki Tanzania na kabla ya uteuzi wake wa sasa, Bw. Moshingi alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya TCB akishika pia nafasi mbalimbali za uongozi katika benki za, Standard Chartered, Stanbic na KCB."

Ni matumaini ya benki yetu, wateja wetu na wanahisa wetu kuwa ujio wa Bwana Moshingi umekuja kwa wakati sahihi na kutokana na historia iliyotukuka ya mafanikio aliyoyapata katika taasisi alizowahi kufanya kazi, tunaiona benki yetu ikizidi kupanda kila siku kuelekea katika kilele cha mafanikio”, alisema Bi Zawadia.

Akizungumzia kuhusu maendeleo ya benki, Bi Zawadia alisema DCB inazidi kupiga hatua siku hadi siku ikizidi kuendeleza jukumu mama la kuanzishwa kwake tokea miaka 21 iliyopita likiwa ni kutoa huduma bora za kifedha ikijikita zaidi katika kusaidia miradi endelevu ya kupunguza umasikini na kuendeleza jamii kwa kutoa huduma na bidhaa zenye ubunifu kwa wateja.

Alisema Benki ya DCB kwa miaka 21 imepiga hatua mbalimbali za kimaendeleo ikikuza mtaji wake kutoka kiasi cha shs Bilioni 1.7 ilipoanzishwa hadi kufikia kiasi cha shs Bilioni 27.5 kwa sasa, maendeleo hayo yalichangia mabadiliko mbalimbali katika benki ikiwa ni pamoja na kutoka kuwa Benki ya Kijamii hadi kuwa Benki kamili ya Biashara.

Benki yetu imeendelea kunyanyua wajasiriamali wengi wadogo kiuchumi ambao hawakuwa na namna ya kupata mitaji huku DCB ikiwa mstari wa mbele katika kutoa mikopo ikiwemo mikopo ya vikundi kwa wajasiriamali wadogo, mikopo ya biashara kwa wafanyabiashara wa kati na wakubwa."

Benki yetu imeendelea kupata faida mwaka hadi mwaka, kwa mwaka jana benki ilipata faida baada ya kodi ya shs 747 milioni, faida iliyochangiwa na mapato yasiyotokana riba ya shs 10.3 bilioni ambayo ni mafanikio ya asilimia 111 ya malengo tuliyojiwekea kwa mwaka 2022, huku mapato yatokanayo na riba yakifika shs 28.6 bilioni ikiwa ni asilimia 86 ya malengo tuliyojiwekea."

Akizungumza zaidi Bi Zawadia alisema “mali za benki zimekuwa hadi kufikia shs 227 bilioni hadi kufikia Septemba mwaka huu, kutoka shs 132 bilioni kwa mwaka 2018. Tukijivunia ukuaji huu ulioitoa benki yetu kutoka kwenye kundi la benki ndogo za biashara hadi kufikia benki za ukubwa wa kati nchini. Haya ni mafanikio makubwa ambayo ni matumaini yetu Mkurugenzi Mtendaji wetu mpya Bwana Sabasaba Moshingi ataendelea kushika usukani wa DCB kwa ustadi mkubwa kwa ukuaji zaidi wa benki yetu."

Benki ya DCB itaendelea kuunga mkono juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dk Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wengi zaidi wa maeneo ambayo hakuna matawi ya benki wanafikia na huduma za kifedha, ikienda sambamba na vipaumbele vya benki yetu kuhakikisha huduma zetu bora za kibenki zinapatikana nchi nzima na hii inatikana na uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika katika huduma zetu za kibenki kwa njia za kidigitali, hususan DCB Wakala na DCB Kidigitali inayowawezesha wateja kupata huduma mbalimbali za kibenki mahali walipo ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti."

Huduma mbalimbali za kibenki zinapatikana kwa njia ya kidigitali mfano DCB Pesa ambayo mteja anaweza kufanya malipo na manunuzi kama vile, kuweka akiba au kutoa pesa, kulipa bili ya maji au umeme, kulipia ving’amuzi na pia kufanya malipo malipo ya serikali."

Aidha Mwenyekiti huyo wa Bodi alitaja baadhi ya huduma na akaunti zinazoendesha na benki hiyo kama kaunti ya elimu ya DCB Skonga, Wahi Akaunti kwa wenye mahitaji ya kutimiza malengo kwa njia ya kuwekeza kidogo kidogo, Akaunti za Mshahara & mikopo ya nusu mshahara, akaunti ya Wastaafu, Mikopo ya Nyumba, Lamba Kwanza na nyinginezo nyingi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji mpya wa benki hiyo, Bwana Sabasaba Moshingi alitoa shukurani zake kwa Bodi ya Wakurugenzi na Wanahisa wa benki hiyo kwa kuwa na imani naye akiahidi kutumia uzoefu wake wa miaka 21 alioupata katika kutumikia taasisi mbalimbali za fedha kuiinua DCB kutoka mahali ilipo na kuipeleka mbali zaidi.

Alisema anajua matarajio ya wateja wa DCB, wanahisa wao, Bodi, wafanyakazi, wateja pamoja na wadau, ni matumaini yake kuwa kwa kutumia uzoefu alionao pamoja na ushirikiano wa wadau wote wataweza kutimiza matarajio makuu ikiwa ni kutoa huduma bora za kifedha zinazolingana na mahitaji ya wateja na kutoa huduma bora zenye kiwango cha kimataifa.

Nikiwa na uzoefu wa miaka mingi katika maeneo ya biashara za kifedha, mikopo na wateja binafsi, ni matumaini yangu kuwa kwa pamoja tutaendeleleza azma hii kwa kutoa suluhu nyingi zaidi za mitaji kwa wafanyabiasha wadogo na wakati na pia kuliangalia kwa jicho la pembeni uboreshaji wa huduma za kifedha kwa njia za kidigitali ili zilingane na mahitaji ya watanzania lakini pia ziwe na ubora wa kimataifa."

Nina imani kwa ushirikiano wa pamoja hakuna kitakachoshindikana, maendeleo niliyoyapata katika taasisi nilikotoka, yanawezekana na hapa pia, tukae tayari kwa biashara."

Ndugu Mwenyekiti wa Bodi na Waandishi wa Habari, Kwa kuwa leo sio siku yangu, ni siku ya Mwenyekiti wetu, ni siku tu ya kutambulishwa kwangu, ningeomba niishie hapa ili panapo majaliwa ya Mungu basi tutawaita tena ili tuweze kuzungumza pamoja kuhusu maendeleo ya benki yetu ukizingatia kuwa wengi kati yenu tunafahamiana vizuri tokea huko nyuma”, alisema Bwana Moshingi.
Share:

Friday, November 24, 2023

MTEJA WA Y9 MICROFINANCE AJISHINDIA PIKIPIKI KWA MKOPO WA BUKU MBILI

 

_L5A2403

Mkurugenzi wa Mauzo na Usambazaji wa Taasisi ya Kifedha Y9 Microfinance Fredrick Mtui (katikati) akizungumza na mshindi wa pikipiki droo ya saba kwa njia ya simu Anorld Jacob na Jekapo ambaye amejishindia simu janja wote ni wakazi wa Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa Y9 kutoa zawadi kila wiki Kwa wateja wake. Hafla ya kuchezesha droo hiyo imefanyika leo jijini Dar es salaam, Wengine pichani ni Meneja Masoko ya Taasisi hiyo Bi. Sophia Mang'enya pamoja na mshindi wa pikipiki Wa droo ya sita Bw Baraka Bazarae (kushoto).

_L5A2489Meneja Masoko ya taasisi Bi Sophia Mang'enya akimkabidhi zawadi ya pikipiki mmoja kati ya washindi wa droo ya sita Baraka Bazarae katika hafla ya uchezeshwaji wa droo ya saba iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.

_L5A2481Mshindi wa pikipiki Droo ya sita ya Y9 Microfinance Baraka Bazarae Katikati akizungumza wakati wa hafla ya kuchezesha droo ya saba iliyofanyika leo jijini Dar es salaam, Wengine pichani Mkurugenzi wa mauzo na usambazaji wa taasisi ya kifedha Y9 microfinance Fredrick Mtui (kulia) na Mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Salim Buguvi (kushoto).

_L5A2495Meneja Masoko ya Taasisi ya Kifedha ya Y9 Microfinance Bi Sophia Mang'enya (kulia), akimkabidhi zawadi ya pikipiki kwa mshindi wa droo ya sita Baraka Bazarae ambae aliibuka kidedea wakati wakuchezesha droo ya sita wiki iliyopita makabidhiano hayo yalifanyika wakati wa yakuchezesha droo kwaajili ya kutafuta washindi wa droo ya Saba. Kushoto ni Mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Salim Buguvi (kushoto).



Washindi wa Droo ya saba ya Y9 Microfinance wapatikana mshindi wa pikipiki ni Anorld Jacob na mshindi wa simu Jekapo wote wakiwa ni wakazi wa Dar es Salaam.

Akizungumza wakati wa kuchezesha droo hiyo Mkurugenzi wa mauzo na usambazaji taasisi ya kifedha Y9 microfinance Fredrick Mtui ameeleza kuwa huu ni muendelezo wa Y9 microfinance kuchezesha droo kila wiki na kupata washindi wawili.

Alisema "Matamanio makubwa ya Y9 microfinance ilikuwa ni kuhakikisha kuwa kila mteja wa Y9 microfinance anapata nafasi ya kushiriki na kushinda katika droo inayochezeshwa kila wiki.

Alitoa wito kwa watanzania kujiunga na Y9 microfinance ili kupata huduma za kifedha kwa urahisi pia kujiweka katika nafasi nzuri za ushindi.

Alieleza kuwa sasa tunakwenda ukingoni Kwenye uchezeshaji wa droo hizi tuliahid Kwa watanzania kuwa tutatoa pikipiki 8 na simu 8 hivyo hadii sasa washindi Saba wa pikipiki na wasimu janja wameshapatikana.

Aliongezea kwa kusema "Hadi sasa tumeshatoa zawadi ya pikipiki sita na simu sita na mshindi wa Saba pikipiki na simu wameshapatikana hivyo tumesalia na droo Moja yakutoa zawadi ya pikipiki na simu ili kumamilisha Ile ahadi tuliyotoa".

Mtui amewakumbusha watanzania kuwa "sasa tunakwenda mwisho wakuchezesha droo zetu hivyo niwasihi nduguzangu wakati wako ni sasa tumia App ya Y9 Microfinance ili upate mkopo Kwa njia rahisi pia kujishindia zawadi mbalimbali".

"Baada ya droo yetu ya nane kukamilika tutakwenda kuchezesha droo kubwa ambapo mchindi ataondoka na ndinga mpya kabisa Toyota Ist hii sio ya kukosa endelea kupakuwa app yetu kopa na ushinde".

Alieleza namna ya kushiriki ni rahisi hakikisha umepakua app ya Y9 microfinance kisha kujisajili na kuanza kukopa na moja kwa moja utaingia kwenye droo hii baada ya marejesho.

Kwa upande wake Mkaguzi kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Salim Buguvi ameeleza "kama bodi ya michezo ya kubahatisha nchini tumeridhishwa na namna ya uchezeshwaji wa droo hii na uhalali katika upatikanaji wa washindi”.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive