A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Showing posts with label BUSINESS. Show all posts
Showing posts with label BUSINESS. Show all posts

Thursday, August 28, 2025

Absa Bank Tanzania champions CEO collaboration and investment at The 200 CEOs Business Forum as Diamond Sponsor

Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Industry and Trade, Honorable Dr. Suleiman Hassan Serera (left), presents a certificate of appreciation to Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser, in recognition of Absa’s ‘Diamond’ sponsorship during the 3rd edition of the 200 CEOs Business Forum, held in Dar es Salaam yesterday.

Dar es Salaam, Absa Bank Tanzania reaffirmed its commitment to powering growth in Tanzania’s real economy as the Diamond Sponsor of The 200 CEOs Business Forum, an exclusive convening of the nation’s top corporate leaders.

The high-level forum was graced by Deputy Permanent Secretary, Ministry of Industry and Trade, Honorable Dr. Suleiman Hassan Serera, as the Guest of Honor, alongside senior government dignitaries including the Minister of Finance, Minister of Construction, Minister of Investment and Plan, the Commissioner, Tanzania Revenue Authority, the Permanent Secretary, Ministry of Finance, and the Governor, Bank of Tanzania, among others.

The Forum advanced a clear public–private agenda. Opening perspectives from the Tanzania Investment Centre (TIC), Tanzania National Business Council (TNBC), Zanzibar Investment Promotion Authority (ZIPA) and the Tanzania Association of Management Consultants (TAOMAC) framed a pro-investment outlook. Senior government principals set near-term priorities to boost competitiveness, and the Guest of Honour’s keynote called for coordinated action to scale jobs and exports. A macro update from the Bank of Tanzania guided boardroom planning, while Absa’s sponsor briefing linked tailored financing and risk solutions to execution on the ground. Three focused dialogues then addressed leadership and governance, health and workforce resilience, and the financing pathways to unlock growth - culminating in PPP insights from the national centre and a celebratory gala recognising excellence across industries.

Absa’s Diamond Sponsorship underscores the bank’s long-term partnership with Tanzania’s public and private sectors to accelerate inclusive growth. By convening policy-makers and industry leaders in one room, the forum enables practical alignment on regulations, bankable projects and risk-sharing structures that catalyse investment at scale—turning ambition into action.

Speaking at the event, Mr. Obedi S. Laiser, Managing Director, Absa Bank Tanzania, said: “This forum is more than a meeting of minds; it is a platform for decisions that move capital, create jobs, formalise value chains, and unlock export potential. As Absa, we are proud to stand with Tanzania’s business leaders at this pivotal moment. Our purpose -‘Empowering Africa’s tomorrow, together… one story at a time’ - comes alive when we back the ambitions of CEOs and entrepreneurs with practical, well-priced, and timely financial solutions.

Your Story Matters is not just a promise - it is how we show up. We listened closely to the priorities and needs of CEOs and in response, deliver solutions designed for business momentum, including the Absa Infinite Card, Absa Business Credit Card, Vehicle Asset Finance (VAF), comprehensive Cash Management and Payments capabilities, Trade & Working Capital solutions, Treasury & Risk Management, and our digital corporate banking platforms that help finance teams operate with speed and control.” Mr. Laiser added.

Throughout the day, CEOs engaged with Absa’s representatives at the Absa solutions booth. Executives explored seamless travel and spend control with the Absa Infinite Card, streamlined expenses via the Absa Business Credit Card, and fleet and equipment renewal through Vehicle Asset Finance/Commercial Asset Finance. Risk protection and liquidity planning were front and centre with Bancassurance and the Flexi Fixed Deposit, while relationship-led banking under our Prestige and Premier offering, and cross-border convenience through Diaspora Banking met the needs of affluent and international clients. Public-sector attendees also experienced the speed and convenience of e-Loans for Government Employees—all reinforcing Absa’s promise that Your Story Matters.
Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (left), makes a contribution on the topic “Finance as a Catalyst for Business Growth in Tanzania: Strategy & Opportunities” during a panel discussion at the Absa-sponsored 3rd edition of the 200 CEOs Business Forum, held in Dar es Salaam yesterday. Seated beside him are his fellow panelists.
Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (centre), displays a certificate of appreciation shortly after it was presented to him by the Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Industry and Trade, Honorable Dr. Suleiman Hassan Serera (second left), during the 3rd edition of the 200 CEOs Business Forum, which was primarily sponsored by the financial institution, in Dar es Salaam yesterday. Looking on are some of the bank’s senior officials.
Share:

STANBIC BANK URGES LOCAL CAPITAL MOBILISATION TO BOOST SOE TRANSFORMATION

Tanzania’s Deputy Prime Minister, Hon. Dr. Doto Biteko (fourth right), presents a Certificate of Appreciation to Stanbic Bank Tanzania CEO, Manzi Rwegasira, for sponsoring the Chairpersons and CEOs Forum for Public Institutions, shortly after the conference concluded in Arusha.

Arusha, Tanzania’s state-owned enterprises (SOEs) must prioritise mobilisation of local capital and stronger financial pathways to succeed in the global economy, Stanbic Bank executives urged at the Chairpersons and CEOs Forum 2025.

Building Bridges Between Public and Private Sectors
Ester Manase Lobore, Executive Director and Head of Corporate & Investment Banking at Stanbic Bank Tanzania, described the Forum as a critical bridge connecting public and private sectors.

We see this as an opportunity to build a new bridge of cooperation – one that links the public and private sectors for the benefit of our nation,” she said.

Over the past five years, Stanbic has channelled over USD 1 billion in affordable financing into strategic projects, reinforcing the role of financial institutions in aligning investment with national priorities.

Leveraging Strengths for Transformation

Manzi Rwegasira, Chief Executive of Stanbic Bank Tanzania, emphasised that real transformation happens when SOEs provide foundational services and infrastructure, while the private sector brings capital, innovation, and expertise. He highlighted three key areas for future competitiveness:
  1. Financing transformative projects
  2. Digitising systems for efficiency and transparency
  3. Building institutional capacity through technical expertise
Government Engagement and Performance Tracking

Guest of Honour, Deputy Prime Minister Hon. Dr. Doto Biteko, highlighted the success of the six resolutions evaluated by the Treasury Registrar last year, with 90% already implemented.

Treasury Registrar Nehemia Mchechu launched the Performance Monitoring Dashboard for Public Institutions, a digital tool that tracks SOE performance in real-time, enabling better decision-making and accountability.

A Platform for Sustainable Synergies

Now in its third edition, the Chairpersons and CEOs Forum has become a leading platform for dialogue on SOE reform and global competitiveness. Discussions emphasised that sustainable synergies require government reforms and active private sector engagement.

For Stanbic Bank Tanzania, participating as a Resilience Sponsor, the Forum highlighted the bank’s role in supporting national priorities—not just through financing, but by sharing insights on how SOEs and private institutions can collaborate to secure Tanzania’s global economic standing.

ABOUT STANBIC BANK TANZANIA

Stanbic Bank Tanzania is a leading financial services provider, offering a wide range of banking solutions to individuals, businesses, and institutions. Committed to sustainable investment and strategic partnerships, Stanbic Bank plays a key role in Tanzania’s economic development and regional integration. The bank is part of the Standard Bank Group, Africa’s largest bank by assets, with a presence in 20 countries across the continent.

For more information, contact:
Dickson Senzi – Senior Manager, External Affairs, Communication and Reputation
Share:

Absa Bank Tanzania yasisitiza dhamira yake kuendeleza ukuaji wa uchumi halisi nchini Tanzania

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. Suleiman Hassan Serera (kushoto), akikabidhi cheti cha shukurani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser, kwa kutambua mchango wa benki hiyo kama mdhamini mkuu wa Kongamano la Biashara la tatu la Maofisa Watendaji Wakuu (200 CEO Business Forum), lililofanyika jijini Dar es Salaam jana.

Benki ya Absa Tanzania imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kuendeleza ukuaji wa uchumi halisi wa nchini Tanzania, ikidhamini jukwaa mahsusi linalowakutanisha watendaji wakuu wa makampuni nchini, likijulikana kwa jina la ‘The 200 CEOs Business Forum’.

Jukwaa hilo la ngazi ya juu lilihudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt Suleiman Hassan Serera, sambamba na viongozi wengine waandamizi wa Serikali akiwemo Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), na wengineo.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mgeni rasmi Dkt. Serera alisitiza umuhimu wa hatua za pamoja ili kupanua ajira na mauzo ya nje huku Benki Kuu ya Tanzania ikitoa mrejesho wa mwelekeo wa uchumi unaosaidia kupanga maamuzi ya bodi, na uwasilisho wa udhamini wa Absa ukugusia suluhisho za kifedha ambazo benki ya Absa inatoa kuwawezesha kampuni kuendesha na kusimamia biashara kwa urahisi ambapo katika mijadala mitatu iliyofanyika ikijikita katika uongozi na utawala bora, afya na uimara wa rasilimali watu, pamoja na njia za ufadhili zinazofungua ukuaji na kuhitimishwa na dira ya PPP.

Akizungumza katika hafla hiyo, Bw. Obedi Laiser, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania alisema Jukwaa hili si mkutano wa mawazo pekee bali ni chombo cha maamuzi yanayosukuma mitaji, kuunda ajira, kurasimisha minyororo ya thamani na kufungua fursa za mauzo ya nje akisema kama Absa, wanajivunia kusimama pamoja na viongozi wa biashara wa Tanzania katika wakati huu nyeti hususani kupitia dhamira yao ya “Kuiwezesha Afrika ya Kesho, Pamoja… hatua moja baada ya nyingine”.

Stori yako ina thamani” si ahadi tu, ndivyo tunavyojitokeza, tumesikiliza kwa makini vipaumbele na mahitaji ya wakurugenzi wakuu, na kwa kujibu tunawasilisha suluhisho zinazochochea kasi ya biashara, zikiwemo Absa Infinite Card, Absa Business Credit Card, Vehicle Asset Finance (VAF), uwezo mpana wa Cash Management & Payments, Trade & Working Capital, Treasury & Risk Management, pamoja na majukwaa yetu ya kidijitali ya benki kwa makampuni yanayosaidia idara za fedha kufanya kazi kwa kasi na udhibiti.

Tunawezesha malengo ya Watendaji wakuu (CEOs) na wajasiriamali kupitia suluhisho bora za kifedha, zenye bei shindani na zinazotolewa kwa wakati na umahiri.” Bw. Laiser aliongeza.

Udhamini huu mkubwa wa Absa unaonesha ushirikiano wa muda mrefu wa benki na Serikali na sekta binafsi wa kuharakisha ukuaji jumuishi. Kuwakutanisha watunga sera na viongozi wa viwanda katika ukumbi mmoja kunawawezesha kuoanisha kanuni, kuandaa miradi inayoweza kufadhiliwa na kuweka mifumo inayochochea uwekezaji kwa kiwango kikubwa - kigeuza dhamira kuwa utekelezaji.

Aidha watendaji hao walipata nafasi za kuzungumza na wafanyakazi wa Absa wakioneshwa suluhisho mbalimbali za kifedha zinazorahisisha maisha yao. Miongono mwa hizo ni huduma ya kifahari inayorahisisha safari za kimataifa kupitia Absa Infinite Card, udhibiti wa matumizi ya kampuni kwa Absa Business Credit Card, udhamini wa manunuzi ya magari binafsi na ya kibiashara kupitia Vehicle & Commercial Asset Finance. Ulinzi wa hatari na mipango ya ukwasi kupitia Bancassurance na Flexi Fixed Deposit, huduma za Prestige na Premier kwa wateja wa hadhi ya juu, Diaspora Banking ikirahisisha miamala ya kuvuka mipaka, na kwa upande wa sekta ya umma, e-Loans, yote yakithibitisha ahadi ya Absa kwamba Stori yako ina thamani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Obedi Laiser (kushoto), akichangia mada isemayo “Fedha kama chachu ya ukuaji wa biashara Tanzania; Mikakati na Fursa”, wakati wa Kongamano la Biashara la tatu la Maofisa Watendaji Wakuu (200 CEO Business Forum), lililofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Share:

Airtel Money Yazindua “Airtel Money Ni Buree” na Ni Nafuu” kuongeza uhuru wa kufanya miamala Airtel Money

Balozi wa Airtel Money, Lukas Mhavile, akizunumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Airtel Money Ni Buree na Ni Nafuu, kulia ni Mkuruenzi wa Airtel Money, Andrew Rugamba, na kussoto ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Airtel, Jackson Mmbando. “Kampeni Airtel Money ni Bure na Ni Nafuu inaleta unafuu zaidi na kuwapa uhuru wa kufanya mambo mengi zaidi. Airtel Money Ni Bure, mteja ataweza kufanya miamala yake ya kutuma pesa Airtel Kwenda Airtel BURE kupitia my Airtel APP kiwango cha hadi milioni 5, Airtel Money Ni Nafuuu, mteja ataweza kutoa pesa chini ya kiwango cha shilingi 10,000 BURE Bila TOZO ya serikali. Hii inamaana ya kwamba Airtel tutalipa TOZO hiyo ili mteja wetu aweze kufanya muamala wake BURE kabisa.

Airtel Money Tanzania leo imetangaza uzinduzi wa kampeni mbili kabambe maalum kwa wateja wake wa Airtel Money itakayojulikana kama Airtel Money Ni Buree na Ni Nafuu, ikiwa na lengo la kuendelea kutoa uhuru zaidi kwa wateja wote wanaotumia Airtel Money.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Airtel Money, Andrew Rugamba, alisisitiza manufaa ya kampeni ya Airtel Money ni Bure na Ni Nafuu:

Kampeni Airtel Money ni Bure na Ni Nafuu inaleta unafuu zaidi katika kutuma na kutoa pesa, ikiwasaidia wateja wetu kuokoa zaidi na kuwapa uhuru wa kufanya mambo mengi zaidi kwa fedha zao."

Airtel Money Ni Bure, mteja ataweza kufanya miamala yake ya kutuma pesa Airtel Kwenda Airtel BURE kupitia my Airtel APP kiwango cha hadi milioni 5,

Airtel Money Ni Nafuuu, mteja wetu ataweza kutoa pesa chini ya kiwango cha shilingi 10,000 BURE Bila TOZO ya serikali. Hii inamaana ya kwamba Airtel tutalipa TOZO hiyo ili mteja wetu aweze kufanya muamala wake BURE kabisa.

Uzinduzi huu unathibitisha dhamira ya Airtel kuunga mkono juhudi za Serikali za kukuza ujumuishi wa kifedha kupitia mifumo ya kidijitali na kuharakisha safari ya kuelekea kwenye uchumi usiotegemea pesa taslimu.

Airtel Money tunaamini huduma za kifedha zinapaswa kuwa nafuu, jumuishi na kupatikana kwa kila mmoja. Airtel Money kwa kuamua kubeba gharama za huduma za kutoa pesa chini ya shilingi elfu kumi, au kuwezesha Wateja wetu kutuma pesa Kiwango chochote BURE kupitia App yetu, tunajibu moja kwa moja mahitaji ya huduma bora na nafuu ambapo-hii itasaidia wateja wetu kuokoa pesa na kuzitumia kufanya mambo mengine iwe ni kununua umeme, muda wa maongezi au huduma nyingine. Hivi ndivyo tunavyosukuma mbele ujumuishi wa kifedha na kufanya miamala ya kidijitali kuwa nafuu kwa kila Mtanzania.

Rugamba aliongeza kuwa kampeni za Airtel Money Ni Buree na Ni Nafuu zimetengenezwa ili kuimarisha mfumo wa kifedha wa kidijitali nchini na kuongeza manufaa kwa wateja katika kila muamala wanaofanya.

Kwa upande wake, Meneja Uhusiano wa Airtel jackson Mmbando alisema: “Wateja wetu wametuambia wanataka huduma nafuu zaidi na rahisi zaidi. Airtel Money Ni Nafuu inaleta yote mawili. Airtel Money Ni Bureee na Nafuuu inathibitisha dhamira ya Airtel katika kutoa huduma za kifedha zilizo nafuu, bunifu na jumuishi ambazo zinaendana na dira ya kitaifa ya Tanzania ya kuwa na uchumi imara wa kidijitali.
Mkuruenzi wa Airtel Money, Andrew Rugamba, katikati akizunumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Ni Buree na ni Nafuu wakati wa kutoa pesa kutoka Airtel kwenda airtel kulia ni Balozi wa Airtel Maoney, Lukas Mhavile, na kusoto ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Airtel, Jackson M,bando. “Kampeni Airtel Money ni Bure na Ni Nafuu inaleta unafuu zaidi na kuwapa uhuru wa kufanya mambo mengi zaidi. Airtel Money Ni Bure, mteja ataweza kufanya miamala yake ya kutuma pesa Airtel Kwenda Airtel BURE kupitia my Airtel APP kiwango chochote yaani hadi milioni 5, Airtel Money Ni Nafuuu, mteja ataweza kutoa pesa chini ya kiwango cha shilingi 10,000 BURE Bila TOZO ya serikali. Hii inamaana ya kwamba Airtel tutalipa TOZO hiyo ili mteja wetu aweze kufanya muamala wake BURE kabisa.
Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Airtel, Jackson Mmbando, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa Kampeni za Ni Buree na ni Nafuu ambapo sasa wateja wa Airtel Money wataweza kutoa pesa chini ya kiasi cha 10000 bila makato ya TOZO na pia Airtel Ni BURE wataweza kutuma pesa kiwango chohote BURE kupitia Airtel App (wakwanza kushoto) ni Mkurugenzi wa Airtel Money, Andrew Rugamba, katikati Balozi wa Airtel Money, Lukas Mhavile.
Share:

Monday, August 25, 2025

OYA Microcredit Expands Financial Inclusion in Tanzania, Empowering Thousands Through Easy Access Loans

RNAQ Group President Mr. Richard Nii Armah Quaye, second (left), who is also a prominent African businessman with diverse business interests across the continent, as well as the Founder of OYA Group, is welcomed to Tanzania by OYA Tanzania Director Mr. Alpha Peter, Microcredit Tanzania Ltd. The visit marks the start of his official business mission to Tanzania from Ghana. Also pictured, from left, are Dr. Kobbina Tuyee Auwah, Group Chairman and African Investor, and Mr. Nicholas Nii Armah Van-Aryee, Group Director of RNAQ Group’s Investment and Corporate Relations.

Dar es Salaam, Tanzania – OYA Microcredit Tanzania, a company dedicated to providing accessible loans, has announced that within just a few years of its operations in the country, it has successfully empowered thousands of Tanzanians by offering simple, collateral-free credit facilities that have boosted household incomes and improved livelihoods.

Speaking upon his arrival in Tanzania, Mr. Richard Nii Armah Quaye, President of RNAQ Companies and a leading African entrepreneur who owns the microcredit firm OYA, emphasized the company’s commitment to financial inclusion. He highlighted that thousands of Tanzanians have already benefited from OYA’s easy and flexible loan services and pledged to continue expanding support for local communities. He further noted that OYA has created numerous employment opportunities for Tanzanian youth, both in Dar es Salaam and across the regions.

Adding his voice, Dr. Kobbina Tuyee Auwah, Group Chairman and co-investor in OYA, reaffirmed their commitment to Tanzania, describing it as “home.” He expressed pride in continuing to invest in the country and improving the lives of Tanzanians, noting the long-standing friendship between Ghana and Tanzania dating back to the historic ties of the late Founding Fathers, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere of Tanzania and Kwame Nkrumah of Ghana.

Commenting on the investment climate, Mr. Nicholas Nii Armah Van-Aryee, Group Director responsible for business relations and investments at RNAQ, praised Tanzania as a safe and attractive destination for investment. He commended the country’s stable political environment, which continues to encourage and protect both local and foreign investors.

Meanwhile, Mr. Alpha Peter, Director of OYA Microcredit Tanzania, reiterated the company’s commitment to empowering entrepreneurs and small business owners with access to capital that will help them grow their businesses and improve their livelihoods. He noted that OYA is already providing loan services across several regions, including Dar es Salaam, Pwani, Morogoro, Mwanza, Geita, Mara, Shinyanga, Kahama, Tabora, Mbeya, and Songwe.
Share:

Sunday, August 24, 2025

Coca-Cola Kwanza hosts Minister of Industry and Trade

The Minister of Industry and Trade Seleman Said Jafo (center) and Coca-Cola Kwanza Ltd Public Affairs, Communications and Sustainability Director Salum Nassor (right) admire a bottle of Coca-Cola drink during the Minister’s tour to the company’s manufacturing plant in Dar es Salaam over the weekend as a part of the government efforts on creating a solid relationship with the private sector. A part from the visit, the Minister also had an opportunity to get insights into the company’s operations, contributions to the Tanzanian economy, and its role in driving shared value creation. Left is Coca-Cola Kwanza Ltd Managing Director David Chait.

Dar es Salaam, Tanzania, Sunday 24 August 2025 - Coca-Cola Kwanza Ltd proudly hosted the Minister of Industry and Trade, Dr Seleman Said Jafo (MP) at its Dar es Salaam facility.

The visit provided a valuable opportunity to showcase the company’s commitment to doing business the right way - guided by integrity, shared value creation, and a deep respect for the communities it serves.

The Minister’s visit included a plant tour and strategic boardroom session, where Coca-Cola Kwanza Ltd, a company in the Coca-Cola Beverages Africa (CCBA) group, shared insights into its operations, contributions to the Tanzanian economy, and its role in driving shared value creation.

This engagement reflects CCBA’s ongoing commitment to strengthening its social license to operate. By leading in environmental, social, and governance (ESG) standards, CCBA aims to create lasting positive impact and contribute to a better shared future.

We believe that by following our values, we can drive sustainable growth and societal progress,” said David Chait, General Manager for Coca-Cola Kwanza Ltd.

People are at the centre of everything we do, from our employees to those who touch our business to the communities we call home. Community involvement allows us to bring positive, measurable change to both the communities in which we operate and to our business,” said David Chait.

Our aspiration is not only to reflect the diversity of the communities where we operate but also to lead and advocate for a better shared future. We aim to create access to equal opportunities and become more inclusive. We embrace differences in backgrounds and support economic inclusion for under-served communities, especially women, youth and people with disabilities.

CCBA looks forward to continuing to build meaningful partnerships that support inclusive economic development and responsible business practices.
Coca-Cola Kwanza Ltd Managing Director David Chait (left) stresses a point to the Minister of Industry and Trade Seleman Said Jafo as he toured the company’s manufacturing plant in Dar es Salaam over the weekend as a part of the government efforts on creating a solid relationship with the private sector. A part from the visit, the Minister also had an opportunity to get insights into the company’s operations, contributions to the Tanzanian economy, and its role in driving shared value creation. Right is Coca-Cola Kwanza Ltd Public Affairs, Communications and Sustainability Director Salum Nassor.
Share:

Tuesday, August 5, 2025

Airtel Money na Benki ya I&M Wazindua Mpango wa Elimu ya kifedha kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Charles Kamoto (kulia), akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa I&M Bank Tanzania, Bw. Zahid Mustafa, wakati wa uzinduzi rasmi wa mpango unaolenga kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini kwa elimu ya kifedha na nyenzo nyingine muhimu za kukuza biashara zao. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni mmoja wa wanawake wajasiriamali waliohudhuria semina iliyofanyika pamoja na uzinduzi huo, Bi. Virginia Gift.

Airtel Money kwa kushirikiana na Benki ya I&M wamezindua rasmi mpango unaolenga wanawake wajasiriamali ukiwa na malengo ya kuwawezesha wanawake hao nchini kwa elimu ya kifedha na nyenzo muhimu za kukuza biashara zao hivyo kuweza kuboresha maisha yao.

Mpango huu ni sehemu muhimu ya Mkakati wa Uendelevu wa Benki ya I&M Tanzania unaojikita kwenye nguzo tatu kuu ambazo ni ujumuishaji wa kifedha, elimu ya kifedha, na uwajibikaji wa mazingira, ukiendana na Malengo ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa (SDGs), hususan SDG 5 (Usawa wa Kijinsia) na SDG 13 (Hatua dhidi ya Mabadiliko ya Tabia nchi).

Kupitia huduma ya Kamilisha, iliyoundwa kwa pamoja kati ya Airtel Money na Benki ya I&M, huwapa wateja uwezo wa kupata mikopo midogo midogo kupitia simu zao ili kukamilisha miamala muhimu kama kutuma pesa au kulipa bili, hata wanapokosa salio kwenye akaunti zao za Airtel Money.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. Charles Kamoto alisema, “kuna matumizi mkubwa ya Airtel Money na ndio tunalenga kujenga uwezo ili kupunguza pengo la matumizi, tunataka kuhakikisha kuwa wateja wetu, hasa wanawake, wana ujasiri na ujuzi wa kutumia huduma za kifedha kidijitali kwa ufanisi.

Kamoto alieleza kuwa zaidi ya asilimia 65 ya watu wazima Tanzania wanakabiliwa na upatikanaji mdogo wa huduma za kifedha, huku wanawake wakiwa katika hali mbaya zaidi.

Kupitia mpango huu, tunasaidia kupunguza pengo la elimu ya kifedha na kusaidia uimara wa kifedha wa muda mrefu, kwa kuwa chini ya asilimia 30 ya wanawake Tanzania wanamiliki simu janja, tumejumuisha mafunzo ya moja kwa moja ya matumizi ya programu za kifedha ili kuwajengea ujasiri watumiaji wapya,” aliongeza Bw. Kamoto.

Katika mafunzo ya siku moja yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kama sehemu ya uzinduzi wa mpango huu, zaidi ya wanawake 50 walikusanyika kwa mafunzo shirikishi juu ya usimamizi wa fedha, matumizi ya fedha kidijitali, na mbinu endelevu za biashara, lengo ikiwa siyo tu kutoa ujuzi wa kiufundi, bali pia kuunganisha uwezeshaji wa kiuchumi na maendeleo jumuishi yanayostahimili mabadiliko ya tabianchi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa I&M Bank Tanzania, Bw. Zahid Mustafa alisema, “Hii ni sehemu ya dhima yetu ya kufanya benki kuwa jukwaa la kuleta mabadiliko, tunajivunia kuongoza mpango huu kwa ushirikiano na Airtel Tanzania, leo tukianza safari hii kwa kutoa mafunzo ya siku moja ya elimu ya kifedha kwa wanawake 60 hapa Dar es Salaam, kwa udhamini kamili, mtaala wa mafunzo haya umetayarishwa kwa kushirikiana na Grant Thornton na utaendelea kuboreshwa kwa kuzingatia mrejesho kutoka kwa washiriki.

Licha ya ukuaji wa huduma za fedha kidijitali, biashara ndogondogo zinazoongozwa na wanawake nchini bado zinakosa huduma rasmi kutokana na ukosefu wa elimu na mifumo ya kifedha. Mpango huu unalenga kuziba pengo hilo kwa kuwapa wanawake ujuzi wa vitendo na ujasiri zaidi kushiriki katika mfumo wa kifedha.

Tangu kuanzishwa kwake, huduma ya Kamilisha imekwisha toa mikopo yenye thamani ya zaidi ya TZS bilioni 392, ambapo asilimia 46 ya mikopo hiyo imekwenda kwa wanawake. Hadi sasa, zaidi ya Watanzania milioni tano wameingia kwenye mfumo rasmi wa kifedha kupitia huduma hii,” aliongeza Mustafa.

Kama sehemu ya mpango huu, Benki ya I&M imeahidi kupanda mti mmoja kwa kila wanawake 100 watakaokopeshwa, na inalenga kupanda miti 8,000 kwa mwaka. Jitihada hizi za kimazingira zinatekelezwa kwa kushirikiana na taasisi ya Africa Transformation Initiative (ATI), ambayo itasimamia upatikanaji, upandaji, na ufuatiliaji wa miti hiyo nchini Tanzania kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo.
Mkurugenzi wa Airtel Money, Bw. Andrew Rugamba akizungumza katika hafla ya uzinduzi rasmi wa mpango unaolenga kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini kwa elimu ya kifedha na nyenzo nyingine muhimu za kukuza biashara zao katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mpango huo unafanyika kwa ushirikiano wa Airtel Money na I&M Bank Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Bw. Charles Kamoto, akizungumza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa mpango unaolenga kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini kwa elimu ya kifedha na nyenzo nyingine muhimu za kukuza biashara zao katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mpango huo unafanyika kwa ushirikiano wa Airtel Money na I&M Bank Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa I&M Bank Tanzania, Bw. Zahid Mustafa, akizungumza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa mpango unaolenga kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini kwa elimu ya kifedha na nyenzo nyingine muhimu za kukuza biashara zao katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam jana. Mpango huo unafanyika kwa ushirikiano wa benki ya I&M na Airtel Money.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Charles Kamoto (walioketi wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa I&M Bank Tanzania, Bw. Zahid Mustafa (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Airtel Money, Bw. Andrew Rugamba (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Grant Thornton Tanzania, Bw. Muntazir Fazel (kulia), wakipozi mbele ya wapiga picha, mara baada ya semina na uzinduzi rasmi wa mpango unaolenga kuwawezesha wanawake wajasiriamali nchini kwa elimu ya kifedha hivyo kukuza biashara zao. Hafla hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine ni baadhi ya washiriki na wawezeshaji wa semina hiyo.
Share:

Wednesday, July 16, 2025

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA ‘AIRTEL CHAPAKAZI’ MAALUM KWA WAJASIRIAMALI



Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Joseph Muhere (katikati), akizungumza na waadishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya Airtel Chapakazi jijini Dar es Salaam leo. Airtel Chapakazi inalenga kuinua biashara ndogo ndogo kwa kuwawezesha wajasiriamali kote nchini kutumia teknolojia kama daraja la kufikia masoko mapya, wateja wapya na fursa zaidi za kukuza kipato. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Wajasiriamali, Bw. Charles Banduka na Meneja Mahusiano wa Kampuni hiyo, Bw. Jackson Mmbando.

Airtel Tanzania leo imezindua rasmi huduma ya Airtel Chapakazi, suluhusho jipya lililoundwa kuchochea ukuaji wa wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo kote nchini. Uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika Makao makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam, ulionyesha dhamira ya Airtel katika kukuza maendeleo jumuishi ya kidijitali na kuunga mkono ajenda ya kukuza uchumi wa Tanzania.

Airtel Chapakazi inalenga kuinua biashara ndogo ndogo kwa kuwawezesha wajasiriamali kote nchini kutumia teknolojia kama daraja la kufikia masoko mapya, wateja wapya na fursa zaidi za kukuza kipato. Kulingana na takwimu za kitaifa, asilimia 15 tu ya biashara ndogo ndogo na za kati nchini Tanzania kwa sasa zinapata zana rasmi za masoko ya kidijitali, pengo ambalo Airtel Chapakazi inalenga kuziba. Airtel Chapakazi ni suluhisho la kibunifu linaloenda kuwapa wafanyabiashara wadogo uwezo sawa wa kidijitali unaotumiwa na makampuni makubwa.

Huduma ya Airtel Chapakazi inapatikana katika vifurushi vitano (05) vilivyoundwa kulingana na ukubwa na mahitaji na utofauti wa biashara:

● SME chap pack (TZS 100,000): Inajumuisha laini 2 za simu, kila moja ikiwa na GB10 ya data, SMS 1,000, na dakika 1,000 kwa mitandao yote. Pia kifurushi hiki kinajumuisha router ya intaneti ya bure kwa ajili ya matumizi ya ofisi yenye kasi ya 10 Mbps

 Kifurushi cha SME Bomba (TZS 150,000): Inajumuisha laini 3 za simu, kila moja ikiwa na 10GB ya data, SMS 1,000, na dakika 1,000 kwa mitandao yote. Pia kifurushi hiki kinajumuisha router ya intaneti ya bure kwa ajili ya matumizi ya ofisi yenye kasi ya 20 Mbps.

 Fahari Pack (TZS 200,000): Inajumuisha laini 5 za simu, kila moja ikiwa na 10GB ya data, SMS 1,000, na dakika 1,000 kwa mitandao yote. Pia kifurushi hiki kinajumuisha router ya intaneti ya bure kwa ajili ya matumizi ya ofisi yenye kasi ya Mbps 30 na SMS 5,000.

 Supa Pack (TZS 300,000): Inatoa laini 9 za simu zenye data sawa, SMS, na manufaa ya sauti, router ya ofisi ya bure ya Mbps 30, na SMS 10,000 kwa wingi.

● Max Pack (TZS 400,000): Inatoa laini 14 za simu, router ya ofisi ya bure yenye kasi ya Mbps 50, na SMS 15,000 — zinazofaa kwa timu kubwa yenye watu wengi au yenye ukuaji wa kasi ya juu.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel Tanzania, Joseph Muhere, alisema Airtel Chapakazi inadhihirisha dhamira ya Airtel kusaidia biashara ndogo ndogo na za kati kupitia huduma suluhishi za kidijitali.

"Kwa kutumia Airtel Chapakazi, wateja watapata msaada wa karibu kutoka kwa mawakala wetu kuanzia hatua ya mwanzo hadi kupakua programu kutoka Play Store. Baada ya taarifa hizo kuthibitishwa, mteja atapokea ujumbe mfupi wa kiunganishi wa kupakua programu ya Airtel Chapakazi kutoka Play Store, mteja atapakua programu hiyo, kuchagua kifurushi: Fahari, Supa, au Max, na kukamilisha malipo ili kuwezesha huduma.” Alieleza Muhere.

Muhere alisisitiza juu ya umuhimu wa biashara ndogo ndogo na za kati katika uchumi wa Tanzania, akibainisha kuwa kundi hilo la wafanyabiashara wajasiriamali linashikilia zaidi ya asilimia 95 ya biashara zote, limeajiri zaidi ya watu milioni 8, na linachangia takriban asilimia 35 kwenye Pato la Taifa, ilhali wengi bado hawajafikiwa na zana za kijiditali ambazo zinaweza kukuza biashara zao kwa kiasi kikubwa.

"Kwa kipindi kirefu, Airtel Tanzania ilikuwa na dhamira ya kuanzisha suluhisho la kidijitali ambalo litaboresha sekta ya biashara na kuchangia katika kukuza uchumi wa nchi na sasa ndoto hiyo imetimia kwa kupitia Airtel Chapakazi," aliongeza Muhere.

Uzinduzi wa Airtel Chapakazi ni sehemu ya dhamira kubwa ya Airtel Tanzania katika kukuza maendeleo jumuishi, yanayoendeshwa na teknolojia nchini kote kwa kuwapa wafanyabiashara wanazohitaji ili kustawi katika zama za kidijitali.
Meneja Mahusiano wa Kampuni ya Airtel Tanzani, Bw. Jackson Mmbando (kulia), akizungumza na waadishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma ya Airtel Chapakazi jijini Dar es Salaam leo. Airtel Chapakazi inalenga kuinua biashara ndogo ndogo kwa kuwawezesha wajasiriamali kote nchini kutumia teknolojia kama daraja la kufikia masoko mapya, wateja wapya na fursa zaidi za kukuza kipato. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Wajasiriamali, Bw. Charles Banduka na Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel, Bw. Joseph Muhere.
Mkuu wa Huduma za Wajasiriamali wa Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Charles Banduka (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa huduma ya Airtel Chapakazi jijini Dar es Salaam leo. Airtel Chapakazi inalenga kuinua biashara ndogo ndogo kwa kuwawezesha wajasiriamali kote nchini kutumia teknolojia kama daraja la kufikia masoko mapya, wateja wapya na fursa zaidi za kukuza kipato. Kushoto kwake Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel, Bw. Joseph Muhere na Meneja Mahusiano wa kampuni hiyo, Bw. Jackson Mbando.
Mkurugenzi wa Biashara wa Airtel Tanzania, Bw. Joseph Muhere (katikati), pamoja na baadhi ya wafanyakazi wengine wa Airtel, wakipiga picha nyuma ya bango lililoandaikwa 'Chapakazi' kuashiria uzinduzi rasmi wa huduma mpya ya Airtel Chapakazi, jijini Dar es Salaam leo. Airtel Chapakazi ni suluhusho jipya lililoundwa kuchochea ukuaji wa wajasiriamali na wafanyabiashara wadogo nchini kote.
Share:

Thursday, July 10, 2025

Airtel Tanzania Yawapa Walimu Mafunzo ya Ujuzi wa Kidijitali Kupitia Mpango wa SmartWASOMI

Mkurugenzi wa Machapisho na Utafiti kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Bw. Kwangu Zabron Masalu (Katikati), akizungumza jijini Dar es Salaam jana, wakati wa warsha iliyoandaliwa kwa walimu wa IT, iliyoandaliwa na Airtel Tanzania kupitia Airtel Africa Foundation, kwa kushirikiana na UNICEF na Wizara ya Elimu, chini ya mpango wa Airtel SmartWASOMI, unaolenga kuboresha elimu ya kidigitali kwa kuwawezesha walimu na wanafunzi kupata maudhui ya kielimu kupitia maktaba mtandao ya Taasisi ya Elimu Tanzania na Shule Direct bila gharama ya vifurushi vya data. Kushoto ni Bw. Audax Tibuhinda kutoka Unicef na kulia Bw. Jackson Mmbando, Meneja Mahusiano wa Airtel Tanzania.

Airtel Tanzania kupitia Airtel Africa Foundation, kwa kushirikiana na UNICEF na Wizara ya Elimu, imeandaa warsha ya mafunzo kwa walimu wa IT chini ya mpango wa Airtel SmartWASOMI, mradi wa kisasa wa ujifunzaji wa kidijitali unaolenga kuboresha upatikanaji wa elimu bora kupitia teknolojia.

Warsha hiyo imewakutanisha walimu 60 kutoka shule za msingi na sekondari ambazo tayari zimeunganishwa na mpango wa Airtel SmartWASOMI. Mpango huu ulizinduliwa mwezi Mei 2024 na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ikiwa ni ushirikiano kati ya Airtel Tanzania kupitia Airtel Africa Foundation, UNICEF na Serikali ya Tanzania. Zaidi ya shule 400 kote nchini zimeunganishwa na jukwaa hili, likiwa na huduma ya bure ya mtandao (zero-rated) kwa majukwaa ya mitaala ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Shule Direct, hivyo kuwapa maelfu ya wanafunzi na walimu fursa ya kupata rasilimali za ujifunzaji wa kidijitali bila gharama za data.

Akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni wa Airtel Tanzania, Bi. Beatrice Singano, alisisitiza umuhimu wa walimu katika mafanikio ya mpango huo.

Walimu ndio msingi wa mfumo wetu wa elimu, lengo la warsha hii ya mafunzo ni kuongeza uwezo wa walimu katika kufundisha kwa njia ya kidijitali na kuboresha matokeo ya elimu kwa wanafunzi wa shule za sekondari. Tunawekeza kikamilifu katika kuboresha elimu kupitia kuwaandaa walimu kutoa elimu bora inayojumuisha matumizi ya teknolojia,” alifafanua.

Bi. Singano aliongeza kuwa Airtel SmartWASOMI imeondoa kikwazo kikubwa cha ujifunzaji wa kidijitali kwa kutoa huduma ya kuingia kwenye maudhui ya elimu bila gharama ya data kupitia mtandao wa Airtel, hivyo kuwapa wanafunzi na walimu njia rahisi na ya uhakika ya kufikia vifaa vya kujifunzia vilivyokubaliwa na serikali.

Katika mafunzo ya leo, walimu walipata uzoefu wa moja kwa moja wa kutumia zana za ujifunzaji wa kidijitali kupitia jukwaa la Airtel SmartWASOMI, ikiwa ni pamoja na kufikia maudhui ya mitaala, rasilimali shirikishi, na mbinu za kuingiza zana hizi kwenye ufundishaji wa kila siku darasani. Hii itasaidia walimu kurahisisha upangaji wa masomo, kuboresha ufundishaji kwa kutumia maudhui ya kidijitali, kutoa kazi shirikishi, na kufuatilia maendeleo ya wanafunzi kwa ufanisi zaidi, hivyo kuongeza ushirikiano na ubora wa ufundishaji darasani,” alisema.

Akizungumza katika hafla hiyo, Mkurugenzi wa Machapisho na Utafiti kutoka Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Bw. Kwangu Zabron Masalu, akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo, Dk. Aneth Komba, alisema kuwa mafunzo hayo ni sehemu ya utekelezaji wa juhudi kubwa zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ambaye amesisitiza sana matumizi ya teknolojia ya mawasiliano. Matokeo yake, masomo ya teknolojia sasa yanafundishwa kuanzia elimu ya awali hadi ngazi ya chuo kikuu.

Lengo ni kuhakikisha kuwa fursa hii inaleta mapinduzi katika mfumo wa elimu wa Tanzania, tukizingatia kuwa elimu yetu kwa sasa inalenga zaidi kuzalisha wahitimu wenye ujuzi na umahiri katika kila ngazi,” alisema Bw. Masalu.

Walimu walioshiriki warsha hiyo waliupokea mpango huo kwa furaha kubwa, kwa wengi, ilikuwa mara yao ya kwanza kushiriki kwenye jukwaa kubwa la kidijitali linalolenga shule za sekondari nchini Tanzania.

Bi. Neema Avumba, mwalimu kutoka Shule ya Msingi TEGETA A, jijini Dar es Salaam alisema: “Ningependa kutoa shukrani zangu kwa Airtel Tanzania, UNICEF na serikali kwa kuandaa mafunzo haya leo, kabla ya warsha hii, wengi wetu hatukujua uwezo wa zana za kidijitali, sasa najihisi nimewezeshwa kuleta mbinu mpya darasani, tayari naona jinsi zitakavyowavutia na kuwashirikisha wanafunzi kwa njia ambayo hatukuweza hapo awali.

Kwa upande wake, Bw. Nassoro Shamsi, mwalimu kutoka Shule ya Msingi Mji Mwema, Kigamboni, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, aliongeza kwa kusema: “SmartWASOMI imefungua fursa mpya. Sasa tunapata maudhui ya mtaala yaliyowezeshwa na nyenzo za kufundishia bila gharama za data kwa kutumia mtandao wa Airtel. Nimefurahi sana kuanza kutumia ipasavyo jukwaa hili baada ya mafunzo haya.

Mbali na mafunzo ya kiteknolojia, warsha hiyo pia iliwawezesha walimu kushirikiana, kuuliza maswali na kubadilishana uzoefu. Lengo si kuongeza ujuzi tu, bali pia kuunda mtandao wa mabalozi wa ujifunzaji wa kidijitali kote nchini.

Mpango wa Airtel Tanzania ni kufikia zaidi ya shule 1,000 ifikapo mwisho wa mwaka 2025, kwa kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya kidijitali, ushirikiano madhubuti na jamii pamoja na msaada kutoka kwa wadau muhimu. Juhudi hizi zinaendana na ajenda ya kitaifa ya kukuza upatikanaji jumuishi wa elimu bora ya kidijitali na kuchangia malengo mapana ya kukabiliana na upungufu wa walimu wenye sifa, kuongeza uelewa wa kidijitali kwa wanafunzi, na kuhakikisha usawa katika upatikanaji wa rasilimali za elimu katika mikoa yote.
Ofisa Vifaa vya Intaneti wa Mradi wa SmartWASOMI, Bw. Harrison Isdory (kulia), akitoa mafunzo kuhusu matumizi ya baadhi ya vifaa hivyo katika wakati wa warsha iliyoandaliwa kwa walimu wa IT, iliyoandaliwa na Airtel Tanzania kupitia Airtel Africa Foundation, kwa kushirikiana na UNICEF na Wizara ya Elimu, chini ya mpango wa Airtel SmartWASOMI, unaolenga kuboresha elimu ya kidigitali kwa kuwawezesha walimu na wanafunzi kupata maudhui ya kielimu kupitia maktaba mtandao ya Taasisi ya Elimu Tanzania na Shule Direct bila gharama ya vifurushi vya data. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.
Share:

Monday, June 23, 2025

Airtel, UNICEF wagawa vifaa vya intaneti ya kasi Kuimarisha Elimu ya Kidijitali Dodoma

Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (Kulia) akipokea moja ya vifaa vya intaneti kutoka kwa Meneja wa Kanda wa Biashara wa Airtel Tanzania, Salum Ngururu, wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa zaidi ya 30 kwa ajili ya shule za sekondari iliyofanyika mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki. Msaada wa vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Airtel SmartWASOMI ili kurahisisha upatikanaji wa nyenzo za kufundishia na kusomea kidijitali bila gharama yoyote kwa shule zote za sekondari nchini.

Kampuni ya Airtel Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) kupitia mradi wake wa kijamii wa Airtel SmartWASOMI, imekabidhi na kufunga vifaa vya intaneti ya kasi kwa shule 30 za sekondari mkoani Dodoma. Vifaa hivi vitawawezesha walimu na wanafunzi kupata huduma ya intaneti bure, ili kujisomea bure kupitia maktaba mtandaoni ya Taasisi ya Elimu Tanzania na majukwaa ya elimu.

Akizungumza katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika katika Shule ya Sekondari Mtemi Mazengo, Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki, Meneja wa Kanda ya Airtel Tanzania Dodoma, Bw. Salum Ngururu alisema, SmartWASOMI siyo tu mtandao, bali ni mfumo wa kidijitali unaoleta vifaa, maudhui ya kielimu yanayolingana na mtaala, na jukwaa la usomaji na ufundishaji wa kisasa

Mpango huu unaunga mkono jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Mawasiliano katika kutumia teknolojia ya mawasiliano (TEHAMA) kwenye sekta ya elimu,” alisema meneja huyo.

Naye Bi. Grace Samwel akizungumza wa niaba ya Afisa Elimu wa Mkoa wa Dodoma,aliishukuru Airtel na kusema, “Shule zetu sasa zinaweza kusoma kidijitali kwenye maktaba mtandao ya Taasisi ya Elimu (TET) au kupata maudhui kutoka maktaba mtandao ya Shule Direct bila bila gharama ya bando, tunawashukuru Airtel kwa kuwezesha elimu ya kidijitali kufika hadi kwa wanafunzi wetu bila gharama yoyote.

Pia Airtel imeeleza kuwa mradi wa Airtel SmartWASOMI tayari umeshatekelezwa katika mikoa ya Zanzibar, Kilimanjaro, Arusha, Tabora, Mbeya na sasa Dodoma, ikiwa ni sehemu ya mpango mpana wa kuunganisha shule 3,000 nchini kwa kushirikiana na Serikali na UNICEF.

Kwa upande wake, Mwalimu Florian Kashasila alisema; “Vifaa vya intaneti ya kasi ya Airtel tulivyopatiwa leo vitasaidia sana walimu na wanafunzi kupata nyenzo za kufundishia na kujifunzia, ambazo awali hazikupatikana kirahisi shuleni.

Airtel Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuwa sehemu ya mabadiliko ya elimu nchini kwa kuhakikisha shule haziachwi nyuma katika safari ya ujumuishaji wa kidijitali.
Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (kushoto) akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Fufu Sekondari, Mohammed Hassan, vifaa vya intaneti vya Airtel Tanzania wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa zaidi ya 30 kwa ajili ya shule za sekondari iliyofanyika mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki. Msaada wa vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Airtel SmartWASOMI ili kurahisisha upatikanaji wa nyenzo za kufundishia na kusomea kidijitali bila gharama yoyote kwa shule zote za sekondari nchini.
Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (kushoto) akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mwanakianga, Bi. Theresia Mdemu, vifaa vya intaneti vya Airtel Tanzania wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa zaidi ya 30 kwa ajili ya shule za sekondari iliyofanyika mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki. Msaada wa vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Airtel SmartWASOMI ili kurahisisha upatikanaji wa nyenzo za kufundishia na kusomea kidijitali bila gharama yoyote kwa shule zote za sekondari nchini.
Afisa wa Kitengo cha Ufundi wa Airtel Tanzania, Bw. Harrison Isdory (aliyesimama), akitoa maelezo kwa wakuu wa shule za sekondari mkoani Dodoma kuhusu mradi wa Airtel SmartWASOMI na jinsi vifaa vya intaneti vya Airtel Tanzania vitakavyoboresha ufundishaji na usomaji kwa njia ya kidijitali katika shule za sekondari mkoani humo. Kushoto ni Meneja wa Kanda wa Biashara wa Dodoma wa Airtel Tanzania, Bw. Salum Ngururu, na upande wa kulia ni, Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli.
Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli, (kushoto) akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Pandambili, Bw. Mengi Lekuchela, vifaa vya intaneti vya Airtel Tanzania wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa zaidi ya 30 kwa ajili ya shule za sekondari iliyofanyika mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki. Msaada wa vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Airtel SmartWASOMI ili kurahisisha upatikanaji wa nyenzo za kufundishia na kusomea kidijitali bila gharama yoyote kwa shule zote za sekondari nchini.
Mwakilishi wa Afisa Elimu Sekondari Mkoa wa Dodoma, Bi. Grace Samweli (Kulia), Meneja Biashara wa Kanda wa Airtel Tanzania, Salum Ngururu (kushoto) na Afisa wa Kitengo cha Ufundi wa Airtel Tanzania, Bw. Harrison Isdory (Katikati) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wakuu wa shule za sekondari jijini Dodoma, mara baada ya makabidhiano ya vifaa vya Intaneti chini ya mpango wa Airtel SmartWASOMI. Msaada wa vifaa hivyo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa Airtel SmartWASOMI ili kurahisisha upatikanaji wa nyenzo za kufundishia na kusomea kidijitali bila gharama yoyote kwa shule zote za sekondari nchini.
Share:

Thursday, June 19, 2025

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAANDAA JUKWAA LA WATEJA MKOANI MBEYA ZAIDI YA WATEJA 150 WASHIRIKI.

   Tanzania – 18 Juni 2025 – Akiba Commercial Bank Plc (ACB) iliandaa mkutano Maalum wa Wateja jijini Mbeya lililowakutanisha zaidi ya wateja 150 kutoka sekta mbalimbali, kwa lengo la kuimarisha mahusiano na kuwataarifu wateja kuhusu maendeleo ya Benki pamoja na fursa mbali mbali za kuwainua wateja kiuchumi.

Jukwaa hili lililenga kutoa taarifa kuhusu maendeleo ya hivi karibuni ya benki, hususan katika huduma za kidijitali na maboresho ya uzoefu wa wateja. Aidha, lilitumika kama jukwaa la kutoa elimu ya kifedha kwa wateja ili kuwasaidia kufanya maamuzi sahihi ya kifedha. Wateja walishiriki kikamilifu kwa kutoa maoni, mrejesho na mapendekezo kuhusu huduma za benki.


Benki ilitumia fursa hiyo kusikiliza, kujifunza na pia kutoa shukrani kwa wateja wake kwa uaminifu na ushirikiano wao wa muda mrefu. Akizungumza katika tukio hilo, Bi. Wezi Mwazani, Afisa Mkuu wa Biashara wa Benki ya Akiba, alitoa pongezi kwa mwitikio mkubwa na kusema: "Mwonekano wa ushiriki huu mkubwa unatupa faraja kuwa wateja wetu wanatuamini na wamechagua Akiba kama Benki yao pendwa. Hatuchukulii jambo hili kuwa la kawaida, na tunaendelea kujitolea kuwahudumia kwa ubora siku zote.


" Bw. Ntupa, Kiongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Soko la Mbeya, alipongeza juhudi za Benki kwa kuandaa jukwaa lenye maana kubwa, hasa kwa kuweka kipaumbele kwenye elimu ya kifedha. "Majukwaa kama haya ni muhimu kwa maendeleo ya biashara, yanatoa maarifa kwa wateja wetu na kuimarisha uhusiano wa kuaminiana kati ya benki na jamii ya wafanyabiashara," alisema Bw. Mtupa. Akihitimisha tukio hilo,
Afisa Biashara Mkuu wa Akiba Commercial Bank Plc Bi. Wezi Mwazani akifungua mkutano wa wateja ulioandaliwa na benki hiyo mkoani mbeya.

Bw. Humphrey Nyandidi, Meneja wa Tawi la Mbeya, alishukuru wateja kwa ushirikiano wao na kuahidi kuendelea kuwahudumia kwa bidii na kujituma. "Tunathamini sana uaminifu wenu, na tunaahidi kuendelea kuwahudumia kwa ari na moyo wa dhati ili kutimiza matarajio yenu na hata kuvuka kiwango hicho," alisema. Jukwaa hili la wateja ni sehemu ya mkakati mpana wa Benki ya Akiba wa kuimarisha mahusiano na wateja wake kupitia majukwaa ya majadiliano na mirejesho kutoka kwa wateja. Benki inaendelea kujikita katika kutoa huduma shirikishi za kifedha pamoja na elimu ya fedha.

Share:

Friday, June 13, 2025

AKIBA COMMERCIAL PLC YASHIRIKIANA NA TIA KUPANDA MITI 1,500 KATIKA KAMPENI YA UTUNZAJI WA MAZINGIRA

Dar es Salaam, 13 Juni 2025: Akiba Commercial Plc imeonyesha dhamira yake endelevu ya kutunza mazingira kupitia zoezi la kupanda miti kwa ushirikiano na Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) katika kampasi ya Kurasini, Dar es Salaam. Miti 1,500 imepandwa kama sehemu ya mpango wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) unaolenga kukuza utunzaji wa mazingira na kuimarisha ustawi wa jamii. Zoezi hilo liliongoza na Afisa Biashara Mkuu wa Benki hiyo Bi. Wezi Mwazani (Picha ya kwanza) kwa kushirikiana na wafanya kazi wengine pamoja na wanafunzi wa TIA.

Akizungumza kwa niaba ya benki katika tukio hilo, Bwana Emmanuel Mseti, Meneja Mwandamizi wa Kitengo cha Wateja Binafsi, alitoa shukrani za dhati kwa uongozi, wafanyakazi na wanafunzi wa TIA kwa mapokezi na ushirikiano mzuri uliowezesha mafanikio ya shughuli hiyo ya kimazingira. Alibainisha kuwa zoezi hili si ishara tu bali ni kitendo kinachoonyesha imani ya Benki kwamba kulinda mazingira ni jukumu la pamoja.
Shughuli hii ni mfano halisi wa imani yetu kuwa kulinda mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu. Jukumu letu halikomi tu kwenye kupanda miti peke yake bali, tunaendelea kuhimiza huduma rafiki kwa mazingira kupitia huduma zetu za kidijitali kama ACB Mobile, Internet Banking na Akiba Wakala, ambazo si tu huongeza urahisi na ufanisi, bali pia hupunguza matumizi ya karatasi na kuunga mkono utunzaji wa mazingira,” alisema Bwana Mseti.
Benki pia ilibainisha juhudi zake nyingine za utunzaji wa mazingira ikiwemo jukumu endelevu la kutunza na kuboresha Viunga vya Independence Square jijini Dodoma. Katika tukio hilo, Bwana Mseti aliwahimiza wanafunzi wa TIA kuchukua jukumu la kulinda miti iliyopandwa na kuhakikisha inakua vizuri kwa faida ya vizazi vijavyo.

Pia aliwahakikishia kuwa Benki itaendelea kushirikiana na TIA katika kampeni za mazingira katika kampasi zake nyingine pindi itakapohitajika.

Kwa mtazamo wa Uwajibikaji kwa Jamii, Akiba Commercial inaamini kuwa kwao kurudisha kwa jamii si chaguo bali ni wajibu.

Kupitia sekta za afya, elimu, uwezeshaji wa kiuchumi, na utunzaji wa mazingira, Benki imejitolea katika maendeleo jumuishi na endelevu yanayonufaisha jamii inayoihudumia.

Ili kupata taarifa zaidi kuhusu ushiriki wetu katika maswala ya kijamii na huduma za kibenki kwa ujumla, tafadhali skani QR yetu hapa chini.
Share:

Thursday, June 12, 2025

Mkurugenzi wa Benki ya DCB, Sabasaba Moshingi aongoza wafanyakazi wa benki hiyo kujitolea damu wakiadhimisha Siku ya Wachangia damu Duniani

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Hospitali ya Aga Khan, Bw. Sisawo Konteh (Kulia) akishikana mikono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Bw.Sabasaba Moshingi, wakati yeye na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo walipofika hospitalini hapo kujitolea damu kuadhimisha Siku ya Wachangiaji Damu Duniani, jijini Dar es Salaam Leo.

BENKI ya Biashara ya DCB imesema itaendelea kufanya jitihada tofauti katika kusaidia afya za watanzania wenye uhitaji wa kupata damu kutokana na kukabiliwa na changamoto mbalimbali imeelezwa jijini Dar es Salaam leo.

Akizungumza katika zoezi la kujitolea damu kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia Damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Bw. Sabasaba Moshingi alisema yeye pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake wameamua kujitolea damu kwani licha ya benki yao kujishughulisha na utoaji wa huduma za kifedha lakini pia wanabeba jukumu la kuhakikisha watu wanaohitaji damu salama mahospitalini wanazipata bila kuwa na haja ya kusubiria ndugu waje kujitolea.

Leo tupo hapa pamoja na washirika wenzetu hospitali ya Aga Khan kwa lengo la kuchangia damu, tutaendelea kushiriki matukio mengine kama haya na mengineyo yenye lengo la kusaidia kuokoa maisha ya watanzania wenzetu wenye uhitaji wa damu na mahitaji mengine ya kibidamu”, alisema Bw. Moshingi.

Akizungumza katika hafla hiyo Mkuu wa Kitengo cha Maabara katika Hosptali ya Aga Khan, Dk. Caroline Ngimba alitoa hamasa kwa watanzania wote nchini kuwa na moyo na utamaduni wa kujitolea damu bila kusubiri siku rasmi za kitaifa ama kimataifa bali liwe ni jambo endelevu kwani uhitaji wa damu upo kila siku mahospitalini.

Uzuri ukichangia damu kama afya inaruhusu kila baada ya miezi mitatu unaweza kuchangia tena, tungeomba tabia hii iwe endelevu kwani hakuna kiwanda cha kutengeneza damu, damu inayopewa mwanadamu inatoka kwa mwanadamu”, alisema Dk. Caroline.

Naye mtaalamu wa utoaji damu kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Peter Chami alitoa shukurani kwa Benki ya DCB, huku akizitaka taasisi nyingine kuiga mfano wa benki hiyo ili kuokoa maisha ya watanzania wenye shida ya damu kwani mahitaji ya damu ni makubwa sana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Bw.Sabasaba Moshingi, akifanyiwa uchunguzi wa afya yake kabla hajajitolea damu katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam leo, alipongoza baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo kujitolea damu, kuadhimisha Siku ya Wachangiaji Damu Duniani. Picha nyingine zikionesha matukio mbalimbali katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Mikopo wa Benki ya DCB, Bw. Deogratius Thadei, akijitolea damu katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wachangiaji Damu Duniani, katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam leo, ambako yeye pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake walishiriki. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Maabara, Dk. Caroline Ngimba na kulia ni Mtaalamu wa mishipa Kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Bw. Peter Chami.
Baadhi ya wakurugenzi wa Benki ya DCB, waliojitolea damu pamoja na baadhi ya wafanyakazi wengine wa benki hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wachangia damu Duniani katika Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam, leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya DCB, wakishiriki zoezi la uchangiaji damu Ili kusaidia wenye uhitaji ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya DCB, wakijitolea damu kusaidia wenye uhitaji ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wachangia damu Duniani, jijini Dar es Salaam leo.
Share:

Wednesday, June 11, 2025

AIRTEL TANZANIA YASHIKA NAFASI YA PILI KWA GAWIO LA BIL. 73.9. KWA SERIKALI

Dar es Salaam: Airtel Tanzania imeibuka nafasi ya pili katika mashirika yaliyotoa gawio kubwa kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka wa fedha 2024/25, na kuwasilisha hundi ya Shilingi bilioni 73.9 kwenye hafla ya siku ya Gawio iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo iliandaliwa Ofisi ya Msajili wa Hazin na kuhudhuriwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Utoaji wa Gawio na Mchango huo sio tu inadhihirisha ufanisi na kukuaji kwa Airtel kibiashra bali unaonyesha jinsi Airtel ilivyojidhatiti kuendelea kuwa mdau muhimu wa maendeleo ya taifa kupitia ushirikiano wa kimkakati baina ya sekta ya umma na sekta binafsi.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan alitoa shukrani kwa mashirika ya sekta binafsi kwa kuchangia kiasi cha trilioni 1.28 kwa mwaka huu. Pia alisisitiza kuwa Serikali inaendelea kuweka mazingira bora ili kuendelea kuchochea uwekezaji na kuongeza kasi ya ukuaji kiuchumi.

Mhe. Rais Dkt Samia Suluhu hassan ameeleza kuwa siku ya hiyo inadhihirisha muelekeo wa serikali katika uendeshaji wa mashirika ya umma huku akiyataka yaweze kuzalisha na kujiendesha yenyewe.

Nawapongeza wote ambao mmeweza kuchangia. Siku hii inatoa fursa kwa wananchi kuona namna mashirika mbalimbali yanawajibika kwao. Niyatake mashirika na taasisi kuongeza ubunifu kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utendaji na kutatua changamoto zinazowakabili,” alisema Dkt Samia.

Pia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia alitoa rai kwa mashirika ambayo yanamilikiwa na serikali kwa hisa yahakikishe yanatumia kikamilifu mifumo ya TEHAMA ili kuongeza ufanisi na tija na uwazi katika utendaji.

Tangu mwaka 2019, Airtel Tanzania Plc pamoja na Airtel Money Tanzania Ltd zimechangia jumla ya zaidi ya shilingi bilioni 280 kwa serikali. Kupitia umiliki wa serikali kwa asilimia 49, kampuni hii imebaki kuwa mfano wa namna ushirikiano na sekta binafsi unaweza kuleta manufaa ya muda mrefu.

Akizungumza baada ya makabidhiano hayo, Mwenyekiti wa Bodi ya Airtel Tanzania, Eliudi Sanga, alibainisha kuwa kujituma kwa Airtel kuna mchango mkubwa katika kuchochea mabadiliko ya kiuchumi na kijamii.

Airtel Tanzania inajivunia kuwa mshirika wa kuaminika katika safari ya maendeleo ya taifa. Uwekezaji wetu unaendana na vipaumbele vya kitaifa vya Serikali kwa kupanua miundombinu ya kidijitali kwa kuchangia upatikanaji uliojumuishi na wezeshi wa uchumi wa kidijitali,” alisema Sanga.

Kwa upande wake, Charles Kamoto, Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, alisisitiza juu ya malengo ya kampuni kuwezesha ukuaji jumuishi na uwezeshwaji wa kidijitali.

Mchango wa gawio letu ni kielelezo cha msimamo wetu katika kuchagiza kwenye maendeleo endelevu ya Tanzania. Hii inaakisi namna sera ya serikali inavyoendana na ubunifu wa sekta binafsi katika kuleta maendeleo jumuishi na kuelekea katika uchumi wa kidigitali,” alisema Kamoto.

Kamoto alihitimisha kwa kusema kuwa Airtel inajivunia kuiunga mkono serikali kupitia uwekezaji wake kupitia upanuzi wa mtandao, unafuu wa vifaa vya mawasiliano na majukwaa ya kidijitali nchini Tanzania.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive