A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Friday, December 31, 2021

BENKI YA TCB YACHANGIA MAENDELEO YA ELIMU WILAYA YA MBINGA.

1640937537168952-0
Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Sosthenes Nyenyembe akizungumza wakati wa hafla yakukabidhi madawati 50 yaliyozolewa na Benki hiyo katika Shule ya Msingi Komboa iliyopo wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma.
1640937527835685-1
Afisa Elimu Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Vijijini Samwel Komba  (wannekushoto), akipokea msaada wa madawati 50 yaliyotolewa na Benki ya Biashara ya Tanzania  TCB kwa Shule ya Msingi  Komboa iliyopo wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma kutoka kwa Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani wa Tanzania Commercial Bank Sosthenes Nyenyembe hafla ya makabidhiano hayo imefanyika hivi karibuni shuleni hapo. 
1640937512015728-2
Baadhi ya Maofisa wa Benki ya Biashara ya Tanzania TCB  Uongozi wa Serikali pamoja na wanafunzi wa Shule hiyo wakiwa katika picha ya pamoja baada ya hafla yakukabidhiana madawati 50 katika Shule ya Msingi Komboa iliyopo wilaya ya Mbinga Ruvuma


Kama ilivyo kawaida  ya Benki ya Tanzania Commecial Bank kusaidia jamii, leo Tanzania Commercial Bank imepata fursa ya kukabidhi Madawati 50 Katika Shule ya Msingi Komboa Iliyopo Wilaya ya Mbinga Mkoani Ruvuma, hii yote nikutambua mchango wa Serikali hasa sekta ya Elimu.

 Tumeamua Kama Benki ya Biashara ya Tanzania  kuunga mkono juhudi za Serikali inayoongozwa na Mama yetu mpendwa  Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan katika kuinua na kukuza kiwango cha elimu nchini.

 Msaada huo wa Madawati yamekabidhiwa na Mkurugenzi wa Ukaguzi wa Ndani waTanzaniaCommercial Bank
akiambatana na Afisa Elimu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi wa Wilaya ya Mbinga, Uongozi wa Kijiji, Uongozi wa shule pamoja na Diwani wa kata hiyo

 Mkurugenzi wa ukaguzi wa ndani wa Benki hiyo Sosthenes Nyenyembe alisema msaada huo wa madawati 50 uliotolewa na TCB unathsamani  zaidi ya milioni nne na laki tano
Share:

Monday, December 27, 2021

Cybersecurity issues require shared responsibility

 


Building a safer cybersecurity environment requires a collaborative approach by regulators and industry players across the planet.

A recent report by Strategy Analytics, a global technology and media analyst agency, rated Huawei, Ericsson and Nokia as the top three global 5G RAN vendors in terms of equipment performance, RAN product portfolio, R&D investment and subscriber projections.

The fact of the matter, however, is that there are no globally accepted standards of cybersecurity itself. There is, as yet, no objective measure of what is secure and what is not, in the cyber realm. The cybersecurity industry is in need of agreed cross-sector standards, before one can start ranking the performance of vendors in various markets.

Unified global standard

Scientists and engineers would prefer a unified global standard so that people can follow this standard to develop better products.

– Eric Xu, Huawei Rotating Chairman

Cybersecurity itself is certainly a technical issue that requires expertise, and as such our colleagues at Huawei have been working with governments and industry partners around the world to agree on standards related to digital security.

The same urgent initiatives are taking place in the 5G space, where this new technology has become conflated with the cybersecurity debate.

The motivation for this consultation is not nationalistic nor is it political in nature, but rather motivated by the need to reduce overall costs and to improve return on investment for all of the players in this industry. Great progress has been made on this front between Europe and China and through concerted industry efforts, we are starting to see a unified global standard for 5G, one that industry players can refer to as they develop 5G products.

However, every time 5G or cybersecurity becomes a political or ideological football, this process is stalled. The world market becomes polarised and we separate into our respective territories, duplicating our efforts and building technologies and standards that are incompatible.

5G, as an emerging technology, gives us an opportunity to come together, find agreement, and create a platform that is more secure than any that has come before.

The 5G platform is highly secure. Information transmitted through 5G networks has built-in 256-bit encryption. Hacking into 5G networks would, therefore, require massive computing power (often having to make use of quantum computers) which are not yet even readily available.

Cybersecurity is an issue that challenges everyone. It should, therefore, get special attention, in the definition of 5G-related standards. 5G is more secure than previous generations of mobile communication technologies.

– Eric Xu, Huawei Rotating Chairman

It is critical that we return the cybersecurity debate to its essence – technology. Geopolitical manoeuvering and grandstanding around the issue will not improve geopolitical cybersecurity, but damage it.

Objective standards must be the basis of such a technology-based approach. With this in mind, Huawei is an active member of more than 400 standards organisations, industry alliances, and open-source communities globally.

We proactively contribute to these groups and over the years we have submitted nearly 60,000 proposals, doing our bit to build a robust industry ecosystem for everyone. Research and consulting firm Strategy Analytics found that Huawei has provided more contributions to end-to-end 5G standards than any other company in the world.

The setting of standards is a collaborative process, and taking an adversarial approach to technology sets everybody back, especially those who refuse to participate.

A common responsibility

Cybersecurity is a common but differentiated responsibility. Vendors, operators, governments and citizens all have different roles to play and the only way to ensure that the interests of all stakeholders are protected is through broad consultation, dialogue and inclusive participation.

With this in mind, Huawei is constantly working with governments, industry bodies and operators, in a constructive dialogue on cybersecurity. In the UK, our government relations remain healthy, and Huawei is recognised as an industry leader on cybersecurity, despite Britain’s scrutiny of our equipment being among the toughest in the world.

It’s not all plain sailing and officials do raise concerns, which we take pains to address, in order to ensure excellence and to manage risks. Consistently, the issues raised are around quality and security and not related to malfeasance or cyber espionage.

Huawei has been operating in Europe for nearly 20 years and the confidence of our customers can be seen as an expression of trust in Huawei’s top-end cybersecurity standards.

To support and enhance these relationships, Huawei has set up the Huawei Cyber Security Transparency Centre in Brussels, a platform to enhance communication and joint innovation with all stakeholders, public and private. It also provides a technical verification and evaluation platform for customers.

In conclusion

We strive to consult all stakeholders in working to develop secure, reliable 5G and cybersecurity standards. Huawei’s relationships with industry stakeholders are open and honest and constructive criticism and robust discussion are welcomed.

Despite how some see it, technology is not a terrain of struggle and proxy warfare. It’s not about any one nation becoming the ‘technology leader’ of the world, to the detriment of others.

Technology – and the uses we put it to – is for the good of humanity. It is imperative that all industry players (governments, companies and people) continue to communicate and engage, to set the standards for the developments that will see us through the next century.

Share:

ACEX CEO URGES LOCAL INVESTORS TO USE DIGITAL PLATFORM IN TRADING EFFECTIVELY

  
African Consolidated Exchange (ACEX) Chief Executive Officer, Peter Mucheru (right), toasts with some of Acex's co-workers, during the official launching of unified exchange platform, ACEX that will allow people to buy and sell assets such as stocks, bonds, forex, cryptocurrencies and other traditional commodities. A brief occasion was held in Nairobi recently.

Tanzanians have been called upon taking advantage offered by the newly launched unified exchange platform, the African Consolidated Exchange (ACEX) that will allow people to buy and sell assets such as stocks, bonds, forex, cryptocurrencies and other traditional commodities.

The trailblazing digital infrastructure would also allow investors to stake in real estate, Venture Capital, Micro-funding, mining and exploration among other projects while earning dividends on trading.

According to ACEX's chief executive officer, Mr Peter Mucheru, the platform intends to rewrite African history by revolutionizing the finance ecosystem through digital means.

Speaking during an exclusive interview with this paper, during the launching event that was conducted in Kenyan capital Nairobi, the chief executive told the paper that ACEX will be the first exchange where native producers from Africa can list their produce, fix their competitive price and earn direct rewards from their efforts.

African products such as cobalt, cocoa, and timber will be synthetically indexed and offered as quotes for traders to take advantage of, he says.

"We also have a microfinancing model, which allows us to partner with local microfinance institutions and facilitate them with funds to provide as credits to micro, small and medium enterprises," he said.

Mr Mucheru said for Tanzania, ACEX are currently reviewing some few microfinance institutions - that when approved will start empowering MSMEs with capital access.

"We understand there is still faint knowledge when it comes to digital economy, with many people in the region fearing scams and online fraudsters. The platform offers education materials and through our local franchises, we ensure that one is well informed before they start trading, " he said.

To start tapping on the company potentials one will need to purchase an initial investment of 100 of Temcoin ($XTEM) which is the native cryptocurrency of ACEX.

Tanzanian Digital trader Mr Elibariki Shilla, who has had near three years experience with the ACEX's potential company TE Markets said that stakeholders and investors can take advantage of the centralized platform because it offers multiple assets trading options unlike any other consolidated market in the world.

"For those who fear the digital trading initiatives, there are experts who offer knowledge and understanding on how to properly exploit the opportunity, as one can also trade by following what the verified traders do, step by step," he said.

Another digital entrepreneur Mr Joshua Fanuel also insisted on the youth using this platform to fully exploit the digital opportunities and overcome the unemployment challenges.

He however said in doing so, one need to make sure they gain enough information so that they can make informed and profitable trading decisions.

"Like in any business, before you put your money one needs to know everything there is about that business. Same for this, you need to be well informed and understand how it goes then start trading, " said Fanuel.

In the ACEX platform there will be a handful of verified people who will be known as merchants who will be allowed to engage in the business of converting $XTEM to fiat (nationally issued currencies) and vice versa.

According to ACEX these merchants will be cast across all regions of Africa to facilitate smooth financial transactions because their fee will be minimal. These merchants will additionally be solving the issue associated with foreign remittances on the African continent.

Share:

Monday, December 20, 2021

Benki ya Absa Tanzania wasaidia watoto wanaougua saratani

 
Mkuu wa Uendeshaji na Utoaji Huduma wa Benki ya Absa Tanzania, Mabula Elias Mabula (wa tatu kushoto) akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo sabuni, mchele, mafuta, unga na sukari kwa Ofisa Muuguzi Kiongozi wa Wodi ya Watoto wenye Saratani ya Hospitali ya Taifaya Muhimbili, David Makunji vilivyotolewa na wafanyakazi wa benki hiyo hospitalini hapo jijini Dar es Salaam jana.Wengine kutoka kulia ni Meneja wa Huduma za Jamii wa Benki ya Absa, Hellen Siria, Meneja Rasilimali Watu wa benki hiyo, Anna Chacha, Mkuu wa Kitengo cha Saratani ya watoto, Dk. Regina Kibona na Balozi wa Watoto wenye Saratani, Bi. Sekela Msita.
Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Absa Tanzania, , Anna Chacha ( wa tatu kulia ) akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo sabuni, mchele, mafuta, unga na sukari kwa Mkuu wa Kitengo cha Saratani ya Watoto wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dk. Regina Kibona vilivyotolewa na wafanyakazi wa benki hiyo hospitalini hapo, jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Uendeshaji na Utoaji Huduma wa Benki ya Absa Tanzania, Mabula Elias Mabula ,Meneja wa Huduma za Jamii wa benki hiyo, Hellen Siria, Ofisa Muuguzi Kiongozi wa Wodi ya Watoto wenye Saratani, David Makunji na Balozi wa Watoto wenye Saratani, Bi. Sekela Msita.
Meneja wa Huduma za Jamii wa Benki ya Absa, Hellen Siria (wa tatu kulia) akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo sabuni, mchele, mafuta, unga na sukari kwa Mkuu wa Kitengo cha Saratani ya Watoto wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk. Regina Kibona, vilivyotolewa na wafanyakazi wa benki hiyo hospitalini hapo, jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mkuu wa Uendeshaji na Utoaji Huduma wa Benki ya Absa Tanzania, Mabula Elias Mabula , Meneja Rasilimali watu wa benki hiyo, Anna Chacha, Ofisa Muuguzi Kiongozi wa Wodi ya Watoto wenye Saratani, David Makunji na Balozi wa Watoto wenye Saratani, Sekela Msita.
Mkuu wa Uendeshaji na Utoaji Huduma wa Benki ya Absa Tanzania, Mabula Elias Mabula (kulia) akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo sabuni, mchele, mafuta, unga na sukari kwa Mkuu wa Kitengo cha Saratani ya Watoto wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk. Regina Kibona vilivyotolewa na wafanyakazi wa benki hiyo hospitalini hapo, jijini Dar es Salaam jana.Wengine kutoka kushoto ni Ofisa Muuguzi Kiongozi wa Wodi ya Watoto wenye Saratani, David Makunji na Balozi wa Watoto wenye Saratani, Sekela Msita.
Wafanyakazi wa Benki ya Absa pamoja na baadhi ya watumishi wa wodi ya watoto wenye saratani baada ya kukabidhi msaada wa msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo sabuni, mchele, mafuta, unga na sukari walipofika katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam jana.
Share:

Sunday, December 19, 2021

RC KILIMANJARO APOKEA MADARASA 56 YA COVID-19 KATIKA SHULE 36 ZA SEKONDARI WILAYANI SAME

 
Mkuu wa Wilaya ya Same Edward Mpogolo (katikati) akikata utepe kuashiria upokeaji wa madarasa 56 kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kilmanjaro Stephen Kagaigai katika hafla iliyofanyika wlayani Same jana. Wengine ni madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Same.
Mkuu wa Wilaya ya Same Edward Mpogolo, akizungumza wakati akipokea madawati hayo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Yusto Mapende akizungumza katika hafla hiyo.
Madiwani wa Halmshauri ya wilaya hiyo wakionesha furaha zao wakati wa kupokea madawati hayo.
Mwonekano wa madarasa hayo kwa ndani.
Muonekano wa madarasa kwa nje baada ya ujenzi wake kukamilika.
Muonekano wa madarasa hayo.
Muonekano wa madarasa hayo.

Na Mwandishi Wetu, Same | JUMLA ya madarasa 56 katika Shule za Sekondari 36 ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro yamekabidhiwa kwa Mkuu wa mkoa huo yakiwa tayari kwa ajili ya wanafunzi watakapofungua shule Januari mwakani.

Zaidi ya kiasi cha Sh. 1.12 Bilioni kimetumika katika kutekeleza ujenzi wa madarasa hayo ambayo yamejengwa na kukamilika kwa wakati.

Akizungumza juzi kwa niaba ya mkuu wa mkoa huo Stephene Kagaigai wakati wa hafla ya kupokea madarasa hayo kwenye Shule ya Sekondari Kibacha Mkuu wa Wilaya ya Same Edward Mpogolo alisema madarasa hayo yanaenda kuwa muarobaini wa kutatua changamoto ya upungufu wa madarasa ndani ya wilaya hiyo.

Mpogolo alisema Serikali kupitia kwa Rais Samia Suluhu imesikia kilio cha wananchi wa wilaya hiyo na kutoa kiasi hicho cha fedha ambacho kimetekeleza ujenzi wa madarasa hayo ambayo yamejengwa kwa ufanisi mkubwa na kuwa kivutio kikubwa kwa wanafunzi na wananchi.

Mpogolo alisema wanafunzi ambao wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani ni 5217 huku wanafunzi waliomaliza kidato cha nne wakiwa ni 3544 ambapo ukilinganisha idadi ya waliomaliza na wanaoingia kunaongezeko la wanafunzi zaidi ya 1673 jambo ambalo madarasa yaliyokuwapo awali yasingeweza kukidhi.

"Kweli tumepokea madarasa haya kupitia fedha za COVID-19 ambapo sasa ni jukumu letu sisi viongozi na jamii kuwahimiza watoto waweze kusoma kwa bidii huku wakitambua Serikali yao inawajali ambapo tunawaomba viongozi wa maeneo husika kuhakikisha miundombinu ya madarasa hayo inalindwa ipasavyo ili iweze kuwanufaisha watoto wa sasa na vizazi vijavyo" alisema Mpogolo.

Mpogolo ameishukuru Serikali kwa kuwapatia fedha hizo ambazo zimekuja nje ya bajeti na kusukuma gurudumu la maendeleo mbele kwenye wilaya hiyo.

Awali akitoa taarifa ya utekelezaji mradi wa ujenzi wa madarasa hayi Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Rogate Nlula alisema ujenzi wa madarasa hayo 56 katika shule 36 ndani ya wilaya hiyo umekamilika kwa wakati na kila chumba cha darasa kina madawati yakutosha tayari kwa matumizi ya wanafunzi mwakani.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same Yusto Mapende ni alisema kukamilika kwa madarasa hayo kumeibua hisia kubwa na ari kwa wazazi na walezi katika kuhakikisha watoto wao wanafika shuleni na kupata elimu wakiwa kwenye mazingira bora.

Baadhi ya wakuu wa shule za sekondari ndani ya wilaya hiyo akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kwambegu, Godwin Kitale na Kaimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kibacha, Onan Kadinde wamesema kukamilika kwa madarasa hayo kutakuwa kumepunguza mlundikano wa wanafunzi madarasani kwani darasa moja lilikuwa likibeba watoto 85 huku pia wakiomba Serikali kuwasaidia ujenzi wa mabweni katika shule za sekondari ndani ya wilaya hiyo.
Share:

Saturday, December 18, 2021

RAIS MWINYI AJUMUIKA WANAFAMILIA NA WANANCHI KUUPOKEA MWILI WA MAREHEMU ISSA KASSIM ISSA (BAHARIA) BANDARINI ZANZIBAR

 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi na Wanafamilia katika kuupokea Mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia) aliyefariki leo 18-12-2021 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika Bandari ya boti za abiria wanaotokea Dar es Salaam kwa ajili ya kuupokea Mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa, aliyefiri leo 18-12-2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Jijini Dar es Salaam, akipatiwa matibabu.(kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar. Mhe.Rahma Kassim Ali na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar.Mhe Simai Mohammed Said. (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwafariji na kutowa mkono wa pole kwa Watoto wa Marehemu Issa Kassim Issa, alipofika Bandari Malindi kwa ajili ya kuupokea mwili wa Marehemi Issa Kassim Issa (Baharia) aliyefariki leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Jijini Dar es Salaam akipatiwa matibabu. (Picha na Ikulu)
WANAFAMILIA na Wananchi wakipokea mwili wa Marehemu Issa Kassim Issa (Baharia) katika bandari ya Malindi Zanzibar baada ya kuwasili na Boti ya Azam Marine, ukitokea Dar es Salaam. (Picha na Ikulu)
Share:

Saturday, December 11, 2021

KP MOTORZ YANG’ARISHA FAMILIA MARATHON 2021 YAKABIDHI GARI KWA MSINDI WA KM 21 WANAWAKE

   
Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kulia), akikabidhi funguo ya gari jipya aina ya Toyota Passo lenye thamani ya shs milioni 9.5 kwa mshindi wa kwanza wa KM 21 Wanawake wa mbio za Familia Marathon 2021, Aisha Ibrahim, jijini Dar es Salaam leo. Wanaoangalia kutoka kushoto ni Meneja Mauzo kwa Makampuni wa KP Motorz, Protas Mbeya na Mwenyekiti wa Familia Marathon, Francisca Alphonce
Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kushoto), akikabidhi cheti kwa mshindi wa kwanza wa KM 21 Wanawake wa mashindano ya mbio za Familia Marathon 2021, Aisha Ibrahim, wakati wa mashindano hayo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Familia Marathon, Francisca Alphonce.
Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kushoto), akikabidhi cheti kwa mshindi wa pili wa KM 21 Wanawake wa mashindano ya mbio za Familia Marathon 2021, Jamila Abdallah, wakati wa mashindano hayo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Familia Marathon, Francisca Alphonce.
Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kushoto), akikabidhi cheti kwa mshindi wa tatu wa KM 21 Wanawake wa mashindano ya mbio za Familia Marathon 2021, Verah Mrema, wakati wa mashindano hayo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Familia Marathon, Francisca Alphonce.
Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kushoto), akikabidhi cheti kwa mshindi wa nne wa KM 21 Wanawake wa mashindano ya mbio za Familia Marathon 2021, Shameeza Mukhi, wakati wa mashindano hayo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Familia Marathon, Francisca Alphonce.
Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Kuagiza na Kuuza Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe (kushoto), akikabidhi cheti kwa mshindi wa tano wa KM 21 Wanawake wa mashindano ya mbio za Familia Marathon 2021, Nimishal Ladha, wakati wa mashindano hayo jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mwenyekiti wa Familia Marathon, Francisca Alphonce.
Mshindi wa Mbio za KM 21 Wanawake za Familia Marathon 2021, Aisha Ibrahim akijaribu kuwasha gari lake mara baada ya kukabidhiwa na wadhamini, Kampuni ya Magari ya KP Motorz mara baada ya kumalizika kwa mbio hizo jijini Dar es Salaam leo. Aisha atakuwa pia balozi wa KP Motorz kwa muda wa mwaka mmoja.
Mwenyekiti wa Familia Marathon 2021, Francisca Alphonce (wa nne kushoto), akikabidhi tuzo kwa Mkuu wa Mauzo na Uendeshaji wa Kampuni ya Magari ya KP Motorz, Lucas Mwamfupe ya kutambua mchango wa udhamini wa kampuni hiyo katika mbio za mwaka huu za Familia Marathon zilizotimua vumbi jijini Dar es Salaam leo zikifanyika eneo la Msasani Beach Club. KP Motorz ilitoa gari jipya aina ya Toyota Passo kwa mshindi wa pili wa KM 21 Wanawake.
Mshindi wa Mbio za KM 21 za Familia Marathon 2021, Aisha Ibrahim akipozi kwa picha mbele ya gari lake, Toyota Passo lililotplewa zawadi na Kampuni ya kuagiza na kuuza magari ya KP Motorsz mara baada ya kuibuka kidedea katika mbio hizo jijini Dar es Salaam leo.
Share:

Wednesday, December 8, 2021

FAMILIA MARATHON 2021 KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI DISEMBA 11

Mwenyekiti wa mbio za Familia Marathon 2021, Bi. Francisca Alphonce (wa tatu Kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Disemba 11, jumamosi. Wengine ni wawakilishi wa Kampuni zinazodhamini mbio hizo.
Mkuu wa Masoko, Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya KCB, Christina Manyenye (wa nne kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu udhamini wao katika mbio za Familia Marathon 2021 zinazotarajiwa kutimua vumbi lake jijini Dar es Salaam jumamosi wiki hii. Usajili unaendelea kufanyika katika Tawi la KCB Mlimani City.
Ofisa Habari Familia Marathon (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam Disemba 11, jumamosi. Mbio zitaanzia Msasani Beach Club kuanzia saa 12 asubuhi zikijumuisha mbio za 21km -half marathon, 10km- Corporate Run na 5km -Social Run.
Mkurugenzi Mtendaji was Kampuni ya magari ya KP Motors, Anita Kisima (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu udhamini wao katika mbio za Familia Marathon 2021 zinazotarajiwa kutimua vumbi lake jijini Dar es Salaam jumamosi wiki hii. KP Motors itatoa zawadi ya gari aina ya Passo mpya kwa mshindi mwanamke kati ya washindi kumi atakayeshinda mbio za KM 21. Kushoto kwake ni Mkuu wa Masoko Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya KCB, Christina Manyenye na Ofisa Masoko wa UTT Amis, Rahim Mwanga.
Mkurugenzi Uendeshaji wa Planet Fitness, Ramadhani Mdula (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu udhamini wao katika mbio za Familia Marathon 2021 zinazotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam jumamosi wiki hii.
Meneja wa Kampuni ya Rani Sanitary Pads, Mawi Zahor (kulia ), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu udhamini wao katika mbio za Familia Marathon 2021 zinazotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam jumamosi wiki hii.
Waandaaji na wadhamini wa Familia Marathon 2021 wakionyesha kwa waandishi habari, Dar es Salaam leo, medani na baadhi ya zawadi watakazopewa washiriki wa mbio hizo zitakazofanyika kwa mtindo wa kutembea na kukimbia jijini humo jumamosi wiki hii. Mbio za mwaka huu zimedhaminiwa na KCB Bank, KP Motors, UTT Amis, Premier Security, Optical Centre, Rani Sanitary Pads, Planet Fitness, Knight Support na Xpress Rent.
Share:

Monday, December 6, 2021

DCB Commercial Bank poised to constantly upgrade customer care gear

 
DCB Commercial Bank Plc Managing Director, Godfrey Ndalahwa, displays the trophy for 2nd winner in Most Preferred Local Bank measured by customer service Experience in Tanzania during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa contest in Dar es Salaam recently. Left is Deputy Minister for Minerals, Prof. Shukrani Elisha Manya.

By Our Reporter

The Managing Director of DCB Commercial Bank, Godfrey Ndalahwa has said DCB is poised to invest in the delivery of enhanced products to customers that are commensurate with the highest industry standards, buoyed by the conviction that goodwill from clients constitutes their biggest asset.

The DCB chief executive marked the bank’s future direction in Dar es Salaam over the weekend at a press conference, during which he highlighted a number of gains registered by the bank, including scooping the Most Preferred Local bank at customer service Experience in Tanzania in 2021 edition of Consumer choice Awards Africa.

Said Ngalahwa “The victory of DCB in the category of the bank that delivers best services is a great cause for celebration for the bank, giver that the awards is based on votes from customers themselves, and so it fairly reflects the true trust that customers have over us

This is the first time that DCB has partaken in the contest, there are many banks in Tanzania and for us to excel is a deed that is invaluable to us, we hope that our clients and Tanzanians at large will continue to support us, so that we build up the momentum to augment our performance.

The bank’s CEO added: “Let me point out that we at DCB take the award as a motivation and we promise to keep on improving our services, we believe that our clients constitute our biggest capital that can we can harnessed to propel the progress of the bank and ensure endless success.

This award is a victory for our clients, it is also a victory to our staff and the management in general, because without their concerted efforts and drive DCB could have not ascended to such heights as to win this merit.

On her part, Head of Marketing, Communications and Customer Care, Rahma Ngassa, said "DCB was a robust bank that has up to now maintained upwards growth trend year by year, noting that the secret behind the sustained success is delivery of the best services and products to the bank’s clients.

Said Rahma “DCB as a bank has set out strategic plans to move forward, including according customer care utmost priority. To date, DCB has managed to deploy various friendly service delivery formats in order to reach out to our clients and serve them better.

To us at DCB customer care rise above everything, that is why with our clients in mind, we have managed to launch in the market highly innovative products that meet the specific needs of our target market.

In line with that, Rahma said, DCB recently launched a three-month promotion dubbed, ‘Sinia la DCB’, which was in essence doubled as both a reward to customers to make them best enjoy the festivities that are typical of the year-end segment, and also a gesture of gratitude to them.

We take this opportunity to thank our customers for their support that has enabled us snatch the Most Preferred Local bank at customer service Experience in Tanzania award. We call upon Tanzanians to keep on using products and services from DCB in order to be assured of getting the best value for money in the market,” said Rahma.
Share:

Friday, December 3, 2021

ELIMU KWA WATOTO WENYE ULEMAVU MKOANI SINGIDA BADO NI CHANGAMOTO

 
Ufundishaji wa aina hii hufanywa kwa ufanisi zaidi na Walimu wa Elimu Maalum na si vinginevyo.
Wanafunzi hawa wa Shule ya Msingi Kizega wilayani Iramba mkoani hapa wakiwa darasani wakifurahia matunda ya uwepo wa Walimu wenye Elimu Maalum.
Wanafunzi hawa wameweza kufikia hatua hii kutokana na juhudi za Mwalimu mwenye Elimu Maalum.

Na Abby Nkungu, Singida | SUALA la kupata elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum bado ni changamoto kubwa kutokana na uhaba wa walimu wenye taaluma ya lugha ya alama na ukosefu wa miundombinu rafiki ya kujifunzia na kufundishia katika shule za msingi zinazotoa elimu jumuishi mkoani Singida.

Hayo yamebainika katika kipindi hiki cha Siku ya Kimataifa ya Watu wenye ulemavu inayoadhimishwa Desemba 03, kila mwaka ili kukuza uelewa kwa jamii juu ya kundi hilo na kuhamasisha misaada ya kiutu, Haki na Ustawi kwa watu wenye ulemavu wa aina mbalimbali.

Hata hivyo, wakati dunia ikiadhimisha siku hii, katika shule ya msingi mchanganyiko Mgori mkoani Singida, wanafunzi wenye mahitaji maalum wanasema wanakabiliwa na changamoto kubwa kupata elimu.

Mmoja wa wanafunzi hao, Amiri Mohamed alisema kuwa shuleni hapo hakuna vifaa muhimu vya kujifunzia kwa wenye ulemavu kama vile Mashine au vitabu vya maandishi ya nukta nundu, hali inayosababisha wasioona kutegemea hisani ya wenzao wanaoona kuwasomea maandishi ya kawaida ubaoni ili waweze kuandika kwenye vibao vyao.

Mtihani unaletwa kwa maandishi ya kawaida kwa wote, wenye mahitaji maalum na wanaoona. Sasa sisi mpaka mwenzio anayeona akusomee ndipo uweze kuandika. Isitoshe, hapo hakuna mwalimu wa lugha ya alama ambaye anaweza kukusaidia” alisema Amiri.

"Hakuna bweni hapa. Tunakolala ni chumba ambacho awali lilikuwa darasa kabla ya kukarabatiwa kuwa Ofisi ya walimu na sasa ndilo 'bweni' letu" alisema Obed Williard, mwanafunzi mwingine.

Mimi angalau nina uoni hafifu lakini wapo wenzangu ambao hawaoni kabisa. Tunaishi kwenye hili 'bweni' ambalo vyoo vyake ni vya nje. Fikiria changamoto zinazowakumba wasioona.....Wanaweza kuumwa na wadudu wenye sumu, nyoka au hata kudhuriwa na watu wabaya"

Mwalimu wa Kitengo cha elimu maalum katika shule hiyo, Hemed Kilango anakiri kukabiliwa na changamoto kubwa katika kuwafundisha watoto hao kwani hakuna vifaa muhimu na bajeti yao ni ndogo kiasi kwamba haiwezi kununua hata kofia, miwani ya jua au mafuta ya ngozi kwa wanafunzi wenye ualbino.

Ofisa elimu Maalum katika Halmashauri hiyo, Huruma Funda alisema kuwa wanahitaji jumla ya walimu 20 wa elimu maalum lakini waliopo ni sita tu, wawili kati yao wakiwa ni wa lugha ya alama.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Singida, Elia Digha anasema halmashauri yake ilikwisha kuomba walimu wa elimu maalum kutoka Serikali Kuu lakini walijibiwa kuwa idadi ya walimu wa aina hiyo ni ndogo; hivyo wasubiri hadi hapo watakapopatikana, ndipo watapatiwa.

Hivi sasa Serikali inatekeleza Sera ya elimu Jumuishi inayotaka wanafunzi wenye mahitaji maalum na wenye ulemavu wa aina mbalimbali kusoma na wenzao katika shule moja bila kubaguliwa.
Share:

MIFUGO MKOMBOZI WA WANUFAIKA WA TASAF

 
ELINE MASAWE mnufaika kutoka Gezaulole akiwa na mumewe Benjamin Fanuel Masawe wakiwa nyumbani kwao kijiji cha Gezaulole mara baada ya kutembelewa na waandishi wa habari kuona miradi yao.
Benjamin Fanuel Masawe akiwalisha mbuzi wao waliowanunua mara baada ya kuingizwa na TASAF kwenye mpango wa Kaya Masikini majani.
SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai Kilimanjaro akimhudumia ng'ombe wake aliyemnunua kwa ruzuku ya TASAF mara baada ya kuingizwa kwenye mpango wa kaya masikini.
SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai Kilimanjaro akizungumza na maofisa wa TASAF kuelezea namna alivyofaidika kwa ruzuku ya TASAF mara baada ya kuingizwa kwenye mpango wa kaya masikini.
Afisa Malalamiko wa TASAF Bw. Dismas Yusuf Makwinja akimsikiliza Michael Zakaria Mumburi Mratibu TASAF Wilaya ya Hai wakati waandishi wa habari walipowatembelea wanufaika wa TASAF kijiji cha Foo Machame Kaskazini wilaya ya Hai.
Afisa Malalamiko wa TASAF Bw. Dismas Yusuf Makwinja akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu wanufaika wa TASAF katikakijiji cha Foo.
Mwenyekiti wa kijiji cha Foo Machame wilaya ya Hai Kilimanjaro Judica Munisi akiongozana na Mwandishi wa Clouds Jerome Risasi kuelekea kwa Bi SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Kaskazini Hai Kilimanjaro.
Afisa Malalamiko wa TASAF Bw. Dismas Yusuf Makwinja akifanya utambulisho kwa Bi. SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai mara baada ya timu ya waandishi wa habari kuwasili nyumbani kwake.
Bi. SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai akionesha ndama wake ambaye ametokana na ng'ombe aliowanunua kwa ruzuku ya TASAF.
Baadhi ya gombe wa Bi. SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai aliowanunua kwa ruzuku ya TASAF baada ya kuingizwa kwenye mpango wa Kaya Masikini.

Halmashauri ya Wilaya ya Hai ina kaya 3,523 zilizo katika Vijiji 43 zinazonufaika na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF ili kuwaondolea hali ya umaskini iliyokuwa ikiwakabili.

Kwa mwaka 2021/22 Halmashauri hiyo imetenga Shilingi Milioni 140 zitakazotumika kuziwezesha kaya hizo kuanzisha miradi ya kimaendeleo ikiwemo ujasiriamali na ufugaji ili zenyewe ziweze kujikimu kimaisha.

Hata hivyo uchunguzi umebaini kuwa shughuli za ugugaji hasa wa Ng’ombe na mbuzi ndizo zinazoleta tija kimaendeleo hivyo Tasaf inatakiwa kuwekeza katika kutoa elimu ili ufugaji huo uwe na tija.

ELINE MASAWE mnufaika kutoka Gezaulole, MARGRETH NKYA na SAYANDE SHUNA wa Kijiji cha Foo Machame Hai Kilimanjaro wamesema ili shughuli hiyo iwe na tija wanahitaji zaidi elimu ya ufugaji bora.

Nina ng’ombe wangu mmoja niliyemnunua kwa fedha za Tasaf, namfuga kwa kumkatia majani, na hata sasa ameshawahi kuzaa mara tatu hivyo huuza ndama kwa kiasi cha shilingi 250,000 na fedha ninayoipata najiendeleza kimaisha ikiwemo kujenga nyumba yangu,” alisema Margareth Nkya.

Sayande Shuna yeye mbali ya ufugaji pia ni mkulima wa mbogamboa ambapo amekuwa akitumia mbolea kutokana na mifugo kurutubisha mazao yake kama ndizi na miparachichi ili kutoa mavuno bora.

Licha ya kuuza maziwa ya ng’ombe na mbuzi, mbolea kutoka kwa ng’ombe wangu watatu na mbuzi imekuwa ikinisaidia kurutubisha mazao yangu hapa shambani,” alisema Syande.

Akizungumzia juu ya hali ya uwezeshwaji kwa kaya maskini Katibu wa Mtaa wa Gezaulole Tumaini Mkojela amesema, shughuli za ufugaji zimewawezesha wanufaika wengi kusomesha watoto wao ikilinganishwa na zamani.

Mbali na hilo Mwenyekiti wa Kijiji cha Gezaulole FADHILI NG’ANZI amesema kaya zinazowezeshwa na Tasaf zimekuwa msaada kwa wakazi jirani baada ya kujifunza stadi mbalimbali zilizowaendeleza wanufaika kimaisha.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive