Mratibu wa Taasisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mazingira (UNEP) Clara Makenya (kushoto) akipokea mti wa matunda kutoka kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation, Doris Mollel (kulia) mara baada kumalizika kwa semina iliyojadili namna ambavyo athari za mabadiliko ya tabianchi huchangia ongezeko la kuzaliwa kwa watoto njiti, huku pia ikisababisha vifo vya akina mama wajawazito. Kulia ni Meneja wa Tasisi ya Vodacom Tanzania Foundation Sandra Oswald ambao ni wadau katika kusaidia juhudi za kuhifadhi mazingira na kusaidia juhudi za serikali katika sekta ya afya nchini.
Wednesday, December 1, 2021
Home »
LOCAL
» VODACOM TANZANIA FOUNDATION KWA KUSHIRIKIANA NA UNEP, UNICEF, DORIS MOLLEL FOUNDATION WAANGALIA NAMNA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI HUCHANGIA ONGEZEKO LA KUZALIWA KWA WATOTO NJITI NCHINI
VODACOM TANZANIA FOUNDATION KWA KUSHIRIKIANA NA UNEP, UNICEF, DORIS MOLLEL FOUNDATION WAANGALIA NAMNA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI HUCHANGIA ONGEZEKO LA KUZALIWA KWA WATOTO NJITI NCHINI
Aside from being a Technical Manager, Hassani Makero is also a Writer, Producer, Video-Photographer Journalist, and Video Editor experienced for 10 years now performing in News, Documentary, Advertisements and Television Programs.
Aside from all above he own and operate his Blog known as Wor’Out Media since 2011.
0 comments:
Post a Comment