A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Thursday, December 15, 2022

Wafanyakazi Wa Absa Wasaidia Madawati Kwa Watoto Wenye Mahitaji

Mkurugenzi wa Kitengo cha Utumishi na Rasilimali Watu wa Benki ya Absa Tanzania, Patrick Foya (kushoto) akikabidhi madawati 37 yaliyowezeshwa kwa michango ya wafanyakazi wa benki hiyo kwa Mkuu wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko, Sezaria Kiwango ili kuwawezesha wanafunzi wenye uhitaji maalumu kupata mazingira bora ya mahali pa kujisomea. Madawati hayo yenye thamani ya sh milioni 10 yalikabidhiwa shuleni hapo, Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kulia ni Ofisa Elimu Kata ya Gerezani, Mary Ruta na Ofisa Mauzo Absa, Jacqueline Asley.
Mkurugenzi wa Kitengo cha Utumishi na Rasilimali Watu wa Benki ya Absa Tanzania, Patrick Foya akishikana mikono na baadhi ya wanafunzi wenye uhitaji maalum wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko jijini Dar es Salaam baada ya kukabidhi msaada wa madawati 37 yenye thamani ya sh milioni 10 yaliyopatikana kwa michango ya wafanyakazi wa benki hiyo katika hafla iliyofanyika shuleni hapo, Kariakoo. madawati hayo yatawezesha wanafunzi wenye uhitaji maalumu kupata mazingira bora ya mahali pa kujisomea.
Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani wa Benki ya Absa Tanzania, George Binde (kushoto) akikabidhi madawati 37 yenye thamani ya sh milioni 10 yaliyopatikana kwa michango ya wafanyakazi wa benki hiyo Kwa Mkuu wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko, Sezaria Kiwango Katika hafla iliyofanyika shuleni hapo, Kariakoo, Dar es Salaam. Madawati hayo yatawawezesha wanafunzi wenye uhitaji maalumu kupata mazingira bora ya mahali pa kujisomea.
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya Absa Tanzania, Hellen Siria (kulia) akisalimiana na Mwanafunzi.mwenye ualbino wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko, Mirfat Ibrahimu huku wenzake wakiangalia katika hafla ambayo wafanyakazi wa benki hiyo walikabidhi msaada wa madawati 37 yenye thamani ya sh milioni 10 shuleni hapo, Kariakoo, Dar es Salaam. Madawati hayo yatawawezesha wanafunzi wenye uhitaji maalumu kupata mazingira bora ya mahali pa kujisomea.
Wafanyakazi wa Benki ya Absa wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko baada kuwakabidhi msaada wa madawati 37 yenye thamni ya shilingi milioni 10 shuleni hapo, kariakoo, Dar es Salaam.
Share:

Thursday, December 8, 2022

Absa yazindua Ripoti ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika

Naibu Katibu Mkuu (Sera), wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru akihutubia kwa niaba ya Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba wakati akizindua ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika, jijini Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Absa, Simon Mponji, akitoa shukurani kwa Waziri wa Fedha pamoja na Naibu Katibu Mkuu kwa kukubali wito wa kufika katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser, akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam hiyo akimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Absa Tanzania, Abdi Mohamed.
Mmoja wa maofisa wa ngazi za juu wa Absa kutoka ofisi ya Kanda, Jeff Gable akizungumza katika hafla hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Masoko ya Kifedha wa Absa Tanzania, Esther Maruma, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo jijini humo jana.
Naibu Katibu Mkuu (Sera), wa Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru (wa tatu kulia),na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Absa Tanzania, Simon Mponji (wa nne kushoto), wakionyesha kitabu chenye ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika,mara baada ya kuzinduliwa kwake jijini Dar es Salaam jana. Kushoto kwa Mafuru ni Mkurugenzi wa Fedha wa Absa, Obedi Laiser na Mkurugenzi wa Masoko ya Kifedha wa Absa Tanzania, Esther Maruma. Kushoto ni watoa mada, Anthony Kirui kutoka Absa Afrika, Abraham Byamungu kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Mitaji (UNCDF), Charles Shirima kutoka Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA) na Jeff Gable kutoka Absa Afrika.
Baadhi ya wageni waliolikwa katika hafla hiyo wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi naibu katibu mkuu sera wa wizara ya fedha jijini Dar es Salaam jana.
Share:

Monday, December 5, 2022

Benki ya DCB yafunga mwaka ikiendelea kubeba tuzo lukuki

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (katikati), akikabidhi tuzo kwa Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya DCB, Costantine Mtumbuka jijini Dar es Salaam hivi karibuni baada ya benki hiyo kuibuka mshindi wa kwanza wa uandaaji bora wa hesabu kwa mwaka 2021 katika kundi la benki ndogo na za kati. Hii ni mara ya saba kwa DCB kushinda tuzo hizo za kila mwaka zinatolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA). Kulia ni Meneja Fedha wa DCB, Siriaki Surumbu na wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, CPA. Prof. Sylivia Temu. Hii ni mara ya saba kwa DCB kushinda tuzo hizo za kila mwaka zinazotolewa na NBAA.

*Yanyakua tuzo ya NBAA kwa kuwasilisha mahesabu yaliyonyooka

Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya DCB, Costantine Mtumbuka (kushoto), Meneja Fedha, Siriaki Surumbu (katikati) na Ofisa Masoko na Mawasiliano Wa benki hiyo, Caroline Gabriel Nnko wakionyesha tuzo ya mshindi wa kwanza wa uandaaji bora wa hesabu kwa mwaka 2021 katika kundi la benki ndogo na za kati zinatolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali jijini Dar es Salaam. Hii ni mara ya saba kwa DCB kushinda tuzo hizo za kila mwaka zinazotolewa na NBAA.
Maofisa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya DCB, Caroline Gabriel Nnko (kushoto), na Adelah Kaihula wakionyesha tuzo ya mshindi wa kwanza wa uandaaji bora wa hesabu kwa mwaka 2021 katika kundi la benki ndogo na za kati zinatolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (hayupopichani), jijini Dar es Salaam.
Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya DCB, Costantine Mtumbuka (wa pili kulia waliosimama), akionyesha tuzo ya mshindi wa kwanza wa uandaaji bora wa hesabu kwa mwaka 2021 katika kundi la benki ndogo na za kati zinatolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (katikati waliokaa), jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive