A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Monday, November 21, 2022

TANGA CEMENT YASHINDA TENA MZALISHAJI BORA TUZO ZA RAIS

guardian
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akikabidhi Tuzo za 16 za Rais za wazalishaji bora wa Viwandani (PMAYA), kwa mshindi wa jumla ya wazalishaji bora wa mwaka 2021 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement wazalishaji wa Simba Cement (TCPLC), Reinhardt Swart,wakati wa hafla iliyoandaliwa na na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) jijini Dar es Salaam Tanga cement iliibuka kidedea kwa kuwa mshndi wa jumla na kuwa mzalishaji Bora wengine pichani ni Maofisa kutoka Tanga Cement.
1%20(136)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akikabidhi Cheti cha Udhamini wa Tuzo za 16 za Rais za Wazalishaji Bora wa viwandani (PMAYA) kwa Meneja Mahusiano na Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Tanga Cement, Bi. Mtanga Noor pamoja na Ofisa Mawasiliano wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Helen Maleko ambapo Tanga cement waliibuka kidedea kwa kuwa mshndi wa jumla na kuwa mzalishaji Bora wa Makampuni.
1%20(127)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango, akizungumza wakati wa wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa wazalishaji bora wa viwandani.
1%20(79)
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement wazalishaji wa Simba Cement (TCPLC), Reinhardt Swart, pamoja na viongozi mbalimbali kutoka Tanga Cement wakiwa katika hafla hiyo.
1%20(121)
1%20(3)
Picha ya Pamoja
Share:

Thursday, November 10, 2022

Siku ya Taasisi ya Sekta Binafsi yazinduliwa jijini Dar

Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bi. Angelina Ngalula (wa pili kushoto) na Meneja Masoko wa Kampuni ya GSM, Rukia Yazid, wakizindua nembo kuashiria uzinduzi rasmi wa Siku ya Taasisi ya Sekta Binafsi 2022 jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bi. Angelina Ngalula (wa tatu kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi rasmi wa Siku ya Taasisi ya Sekta Binafsi 2022. Wengine ni viongozi wa TPSF na wawakilishi wa makampuni wadhamini.
Meneja Masoko wa Kampuni ya GSM, Rukia Yazid (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi rasmi wa Siku ya Taasisi ya Sekta Binafsi 2022. Wa tatu kushoto ni Mwenyekiti wa TPSF, Bi. Angelina Ngalula, viongozi wa TPSF na wawakilishi wa makampuni wadhamini.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bi. Angelina Ngalula, akipokea mfano wa hundi ya shs 58,300,000 kutoka kwa Mkuu Uendeshaji wa Kundi la Makampuni ya Bravo, Evarist Maganga (wa pili kulia) ikiwa ni udhamini wa kampuni hiyo katika maadhimisho ya Siku ya Taasisi ya Sekta Binafsi 2022 wakati wa hafla ya uzinduzi wake jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya waalikwa waliohudhuria uzinduzi wa Siku ya Taasisi ya Sekta Binafsi jijini Dar es Salaam leo.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive