A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, November 21, 2022

TANGA CEMENT YASHINDA TENA MZALISHAJI BORA TUZO ZA RAIS

guardian
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akikabidhi Tuzo za 16 za Rais za wazalishaji bora wa Viwandani (PMAYA), kwa mshindi wa jumla ya wazalishaji bora wa mwaka 2021 kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement wazalishaji wa Simba Cement (TCPLC), Reinhardt Swart,wakati wa hafla iliyoandaliwa na na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) jijini Dar es Salaam Tanga cement iliibuka kidedea kwa kuwa mshndi wa jumla na kuwa mzalishaji Bora wengine pichani ni Maofisa kutoka Tanga Cement.
1%20(136)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango akikabidhi Cheti cha Udhamini wa Tuzo za 16 za Rais za Wazalishaji Bora wa viwandani (PMAYA) kwa Meneja Mahusiano na Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Tanga Cement, Bi. Mtanga Noor pamoja na Ofisa Mawasiliano wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Helen Maleko ambapo Tanga cement waliibuka kidedea kwa kuwa mshndi wa jumla na kuwa mzalishaji Bora wa Makampuni.
1%20(127)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango, akizungumza wakati wa wa hafla ya utoaji Tuzo za Rais kwa wazalishaji bora wa viwandani.
1%20(79)
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement wazalishaji wa Simba Cement (TCPLC), Reinhardt Swart, pamoja na viongozi mbalimbali kutoka Tanga Cement wakiwa katika hafla hiyo.
1%20(121)
1%20(3)
Picha ya Pamoja
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive