A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Friday, October 25, 2019

Benki ya NBC yasaidia ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu jijini Mbeya

Naibu waziri Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa (wa tatu kulia) akipokea msaada wa mifuko 600 ya saruji kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kusini, Salema Kileo (wa pili kushoto), pamoja na baadhi ya wafanyakazi wenzake, iliyotolewa na NBC kwa ajili ua ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu katika Jiji la Mbeya. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Mbeya jana.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais MenejimentI ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa (katikati), akizungumza wakati akipokea msaada wa mifuko 600 ya saruji kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kusini, Salema Kileo (wa pili kushoto), wakati wa halfa ya makabidhiano msaada huo, uliotolewa na benki ya NBC kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu katika Jiji la Mbeya. Hafla hiyo ilifanyika jijini humo jana.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menenjimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa akizungumza wakati wa kupokea msaada wa mifuko 600 ya saruji kutoka Benki ya NBC kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu katika Jiji la Mbeya. Hafla hiyo ilifanyika Mbeya jana. Kulia ni Meneja wa NBC Kanda ya Kusini, Salema Kileo na kushoto ni Meya wa Jiji la Mbeya, Mchungaji David Mwashikindi.
Meya wa Jiji la Mbeya, Mchungaji David Mwashilindi akizugumza wakati wa hafla ya kupokea msaada wa mifuko 600 ya saruji kutoka Benki ya NBC kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu jijini humo. Katikati ni Naibu waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa na kulia ni Meneja wa NBC Kanda ya Kusini, Salema Kileo.
Meneja wa Benki ya NBC Kanda ya Kusini, Salema Kileo akizungumza kabla ya kukabidhi msaada wa mifuko 600 ya saruji kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menenjimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk Mary Mwanjelwa (kulia kwake), iliyotolewa na benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu jijini Mbeya. 
Naibu waziri Ofisi ya Rais Menenjimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dk. Mary Mwanjelwa (katikati), Meya wa Jiji la Mbeya, Mchungaji David Mwashilindi (kushoto kwa naibu waziri), wakipozi kwa picha ya kumbukumbu mara baada ya hafla hiyo jijini Mbeya jana.

Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive