A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, October 22, 2019

BENKI YA KCB TANZANIA YAWANOA VIJANA

Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu kazi , vijana na ajira, Anthony Mavunde (wapili kushoto), akimkabidhi ruzuku ya gari aina ya kirikuu kwa Janeth Kipangula, mfanya biashara wa vifaa vya ujenzi wakati wa ambaye ni mmoja wa wanawake 256 ambao walipokea mafunzo ya uendeshaji na usimamizi wa biashara kupitia programu ya 2jiajiri. Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mkuu wa KCB Foundation, Bi. Jane Mwangi (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya KCB, Nd. Cosmas Kimario(kulia) hafla hiyo imefanyika hivi karibini Dar es Salaam
Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu kazi , vijana na ajira, Anthony Mavunde (kushoto), akimkabidhi ruzuku ya komputa na vifaa vingine nya ofisini kwa Bi. Halima Haji Sasya, ambaye ni mmoja wa wanawake 256 ambao walipokea mafunzo ya uendeshaji na usimamizi wa biashara kupitia programu ya 2jiajiri. Wengine katika picha ni Mkurugenzi Mkuu wa KCB Foundation, Bi. Jane Mwangi (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya KCB, Nd. Cosmas Kimario(wa pili kushito).
Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu kazi , vijana na ajira, Anthony Mavunde akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya KCB 2jiajiri Youth Scholarship kwa wanafunzi wa Veta yaliyodhaminiwa na Benki ya Biashara ya KCB hafla ya uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya KCB, Cosmas Kimario, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Programu ya KCB 2jiajiri Youth Scholarship kwa vijana inayoendeshwa na VETA na kudhaminiwa na Benki ya KCB katika hafla ya uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam.



Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive