A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Sunday, March 27, 2022

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI NA USIMAMIZI WA FEDHA YANAYOTOLEWA NA DCB FOUNDATION KUENDELEA KUWANUFAISHA WATANZANIA

  
Ofisa Mikopo Vikundi vidogo vidogo wa Benki ya Biashara ya DCB, Leticia Nyato akizungumza na wajasiriamali jijini Dar es Salaam jana wakati wa mahafali ya kwanza ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa fedha yaliyotolewa na benki hiyo kupitia asasi yake ya DCB Foundation.
Ofisa Mikopo ya Biashara wa Benki ya Biashara ya DCB, Odilia Johnson akizungumza na wajasiriamali jijini Dar es Salaam jana wakati wa mahafali ya kwanza ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa fedha yaliyotolewa na benki hiyo kupitia asasi yake ya DCB Foundation.
Ofisa Masoko na Huduma kwa Wateja Benki ya Biashara ya DCB, Elizabeth Ntulu (kulia) akikabidhi cheti kwa Shafii Njayo wakati wa mahafali ya kwanza ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa fedha yaliyotolewa na benki hiyo kupitia asasi yake ya DCB Foundation jijini Dar es Salaam jana.
Ofisa Masoko na Huduma kwa Wateja Benki ya Biashara ya DCB, Elizabeth Ntulu (kulia) akikabidhi cheti kwa Amina Ally wakati wa mahafali ya kwanza ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa fedha yaliyotolewa na benki hiyo kupitia asasi yake ya DCB Foundation jijini Dar es Salaam jana.
Ofisa Masoko na Huduma kwa Wateja Benki ya Biashara ya DCB, Elizabeth Ntulu (kulia) akikabidhi cheti kwa Baraka Jeremia wakati wa mahafali ya kwanza ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa fedha yaliyotolewa na benki hiyo kupitia asasi yake ya DCB Foundation jijini Dar es Salaam jana.
Wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wajasiriamali wakati wa mahafali ya kwanza ya mafunzo ya ujasiriamali na usimamizi wa fedha yaliyotolewa na benki hiyo kupitia asasi yake ya DCB Foundation jijini Dar es Salaam jana.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive