A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Friday, August 25, 2023

Mchengerwa Awakaribisha Wawekezaji Rufiji Benki Ya CRDB Ikizindua Tawi Lake Ikwiriri

Rufiji. Tarehe 25 Agosti 2023: Baada ya Benki ya CRDB kufungua tawi, Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohammed Mchengerwa amewakaribisha wawekezaji kutoka ndani na nje ya Tanzania kuja kuwekeza kwenye fursa tele zilizopo wilayani Rufiji.Mchengerwa amesema Rufiji ambayo ni kati...
Share:

Saturday, August 12, 2023

Thamani ya uwekezaji mfuko wa PSSSF kufikia sh. trilioni 7.98-Majaliwa

 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kiwango cha thamani ya uwekezaji Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) imeongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 7.98 kwa mwaka 2022/2023 kutoka shilingi trilioni 7.5 kwa hesabu za mwaka wa fedha ulioishia Juni, 2022.Amesema...
Share:

Wednesday, August 2, 2023

Airtel yazindua Airtel Vikoba Kidigitali

    *Inapatikana kwa wateja wote wa Airtel Money*ni kwa kushirikiana na Benki ya TCB kupitia kauli mbiu isemayo ‘Tubebane Pamoja’.Meneja Mahusiano wa Kampuni ya Simu ya Mkononi ya Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (kulia), akizungumza katika hafla ya uzinduzi rasmi...
Share:

Tuesday, August 1, 2023

Benki ya Absa Tanzania kuziwezesha biashara ndogo na za kati kupitia mikopo yenye dhamana kutoka Mfuko wa Dhamana Afrika (AGF)

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Bwana Obedi Laiser (wa pili kushoto), akizungumza jijini Dar es Salaam leo, katika hafla ya utiaji saini makubaliano na Mfuko wa Dhamana Afrika (AGF), ambapo kupitia makubaliano hayo Absa itatoa mikopo maalumu kwa dhamana...
Share:

Wednesday, July 12, 2023

ACB BANK YAJIKITA KULETA MAPINDUZI YA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE

  Na Mwandishi wetuAkiba Commercial Bank Plc( ACB) imesema itahakikisha inaendelea kujikita kuleta mapinduzi ya utoaji huduma bora za kibenki hapa nchini kwa kuboresha huduma zake ikiwemo kuweka fedha na kutoa fedha pia kutoa mikopo ya muda mfupi na mrefu kwa .Akizungumaza...
Share:

Monday, July 10, 2023

DAR COMPANY UNVEILS PLAN TO IMPROVE HOSPITALITY SERVICES IN TANZANIA.

By CorrespondentA Dar es Salaam-based catering and hospitality firm, FOODEX yesterday unveiled its new national plan to improve services delivery in the country’s hospitality industry.“We want to transform catering and hospitality industry services in this country...
Share:

Saturday, July 8, 2023

Benki ya Absa yatambulisha Mpango wake mpya uitwao 'Tunaiwezesha Afrika ya kesho pamoja, hatua moja baada ya nyengine' ni katika kuiwezesha Afrika kutatua changamoto zake za kiuchumi na kijamii

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser akizungumza wakati wa hafla ya kuutambulisha Mpango mpya ya benki hiyo uitwao 'Tunaiwezesha Afrika ya kesho pamoja, hatua moja baada ya nyengine' jijini Dar es Salaam jana ukiwa na lengo la kuliona Bara la Afrika likipata...
Share:

Friday, July 7, 2023

MAKAMU WA RAIS DKT MPANGO APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA ELIMU KUTOKA TANZANIA COMMERCIAL BANK MKOANI KIGOMA

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya msingi Muyama mara baada ya gafla ya kupokea vyumba vitatu vya madarasani ofisi mbili za walimu na Samani mbalimbali za maofisini...
Share:

Wednesday, June 21, 2023

Mheshimiwa Spika akutana na Uongozi wa juu wa Benki ya Absa Tanzania na kufanya mazungumzo

  Mheshimiwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser, wakati yeye na ujumbe wake ukimtembelea ofisini kwake, bungeni, Dodoma Jana.Mheshimiwa Spika wa Bunge...
Share:

Airtel Afrika yaitaja Tanzania Miongoni mwa nchi Tatu kuwashwa Masafa ya Teknolojia ya Mawasiliano ya kasi ya 5G

  Airtel Tanzania miongoni mwa himaya tatu za Airtel zitakazohamia teknolojia ya 5G hivi karibuniNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamAirtel Africa, kampuni inayoongoza katika kutoa huduma za mawasiliano na za kuhamisha pesa kwa kutumia simu za mkononi, ikiwa imejikita...
Share:

Tuesday, June 20, 2023

Benki ya Absa yajitosa kuokoa maisha ya Watoto Njiti

  Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia), akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser katika hafla ya makabidhiano wa msaada wa vifaa vitakavyosaidia huduma za watoto wanaozaliwa kabla ya muda (Njiti) wakiwa...
Share:

Sunday, June 18, 2023

Benki ya DCB yazidi kujiimarisha kimtaji na kuendelea kupata faida

   Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Alexander Sanga (wa tatu kushoto) akiwa na baadhi ya wajumbe wa bodi ya benki hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa 21 wa Mwaka wa Wanahisa wa benki hiyo 2023 jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Mwanasheria...
Share:

Friday, June 2, 2023

USHIRIKIANO WA KIBIASHARA WA BENKI YA TBC NA ALAT WAANZA KWA KISHINDO

Uhusiano wa kufanya kazi kwa karibu kati ya Benki ya Biashara Tanzania (TCB) na Jumuiya ya Tawala za Serikali za Mitaa (ALAT Taifa) umeanza kwa kishindo kiuwezeshaji na ahadi za kushirikiana kibiashara ili kuisaidia serikali kulijenga taifa na kuwahudumia vyema wananchi.Wiki...
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more