A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Thursday, June 16, 2022

SERIKALI YATOA VITAMBULISHO VYA BIMA YA AFYA KWA WAZEE 937,266 NCHINI

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Doroth Gwajima, akizungumza leo Juni 15/2022 wakati wa maadhimisho ya kupinga ukatili kwa wazee yaliyofanyika kitaifa katika Kijiji cha Kisharita Wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis, akizungumza kwenye maadhimisho hayo.
Katibu Mkuu Wizara  wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Zainabu Chaula akizungumza kwenye hafla hiyo.

 Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Wazee Taifa, Lameck Sendo, akizungumza kwenye maadhimisho hayo.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Doroth Gwajima, akisalimiana na Wazee mara baada ya kuwasili kwenye maadhimisho hayo.

Wananchi wa Kijiji cha Kisharita wakiserebuka katika sherehe hiyo.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kisharita wakiwa kwenye maadhimisho hayo.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba, Pius Sangoma akizugumza kwenye maadhimisho hayo.

Mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Singida, Mugheni Sengi akizungumza kwenye maadhimisho hayo.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Doroth Gwajima, akitoa kwa Neema Msengi ambaye ni mmoja wa ndugu wa Wazee watatu waliouawa kikatili katika Kijiji cha Kisharita Wilaya ya Iramba mkoani Singida.

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho hayo.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Doroth Gwajima, akizungumza na vijana wa SMAUJATA.

Afisa Mradi wa Sight Savers, Mradi wa Boresha Maisha, Edwin Barongo akizungumzia kuhusu shughuli mbalimbali zikiwemo za kuwapa huduma wazee.

Programu Meneja wa Shirika la HelpAge Tanzania, Joseph Mbasha, akizungumza kwenye maadhimisho hayo.


Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Suleiman Mwenda akizungumza kwenye maadhimisho hayo.
Shabani Muhali kutoka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa akizungumza kwenye maadhimisho hayo.

Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri wa Wazee Manispaa ya Singida, Juma Mudida, alihoji kwanini watuhumiwa wa mauaji ya wazee wa Kijiji cha Kisharita hawajapatikana hadi leo.

Wazee wakiwa katika maadhimisho hayo.
Katibu Tawala wa Wilaya ya Iramba, Pius Sangoma  akiserebuka na Wanafunzi wa Shule ya Msingi, Kisharita.
Mwenyekiti wa Machifu Mkoa wa Singida Chifu Mughenyi Sengi (kushoto) na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Wazee Manispaa ya Singida, Juma Mudida wakiserebuka na wanafunzi wa Shule ya Msingi Kishirita.
Wananchi wa Kijiji cha Kishirita wakiwa kwenye maadhimisho hayo.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iramba, Ashery Samwel aakizungumza kwenye maadhimisho hayo.
Share:

LAUNCH AFRICA DISRUPTS THE MARKET TO BECOME PAN-AFRICA’S MOST ACTIVE EARLY-STAGE VC FUND

  
From left to right: Co-founder Janade du Plessis (in white sneakers); Margaret O’Connor(Chairperson of the Launch Africa Board) and co-founder Zach George.
  • Launched in July 2020, Launch Africa Ventures(‘Launch Africa”) has disrupted the market to become the most active early-stage Pan-African venture capital (“VC”) fund.
  • At the end of March 2022, its inaugural fund, Launch Africa Ventures Fund 1 (“Fund1”),closed at US$36.3 million, with investments from 238 retail and institutional investors in 40 countries.
  • Following the successful closure, Fund 1 announced its 100th investment at the end of May 2022, with $24 million invested in 108 early-stage tech and tech-enabled companies across 20 African countries.
In what most would describe as an audacious move, Launch Africa was established in July 2020, at the height of Covid-19, and had its first close in September 2020. The pandemic created a landscape that encouraged innovation and technological adoption at a speed once thought impossible, triggering business opportunities for African start-ups across technology industry verticals.

As a result, companies in the Launch Africa portfolio saw accelerated revenue growth and network effects during this period with the adoption of digital financial services, open banking, telemedicine, remote learning, data analytics, artificial intelligence (AI), digital identity management, and e-commerce across Africa.

Within 20monthsofits first close, the Pan-African VC fund has become widely known as a disruptor of the model for early-stage tech investments on the African continent. This was achieved by leveraging extensive ecosystem partnerships and trust networks with founders across Africa and investors around the globe.

Launch Africa’s partners believe that they have a critical role to play in developing and equipping tomorrow’s leaders today. With a focus on investing in the next generation of African technology start-ups, most of Launch Africa’s portfolio founders and their employees are 35 years of age and younger.

In addition to a focus on investing in the next generation of African tech leaders, diversity and inclusion are central to the Launch Africa investment ethos. To date, Fund 1 has invested in 91% African and 20% female co-founders.

Launch Africa is the brainchild of Zachariah (“Zach”) George and Janade du Plessis, both venture capital pioneers.

Zach completed his studies at the world-renowned Indian Institute of TechnologyMadras (I.I.T Madras) and graduate school at Stanford University whereafter he became a Wall Street bulge-bracket investment banker. He proceeded to become co-founder ofthe Barclays RiseGrowth Accelerator programmeand Startupbootcamp Afritech, two of the most significant accelerator programs on the African continent.

Part of the Barclays Accelerator, Rise offersan intensive start-upprogramme, designed to capture, shape and scale the next generation of innovative fintech businesses, whileStartupbootcamp Afritech is a Pan-African accelerator program that invests and grows innovative and scalable startups across Africa. Zach is also one of the most prominent Angel investors in African technology ventures.

Janade, a University of Cape Town (UCT) and Harvard Business School graduate, was the former Chief Investment Officer of the African Development Bank as well as the Head of Venture Capital at one of South Africa’s leading banks. He founded Abrazo Capital, a unique investment partner and capital management firm focused on disruptive social impact across Africa, underpinning hispassion for entrepreneurship and uplifting communities.

The two partners are joined on the Launch Africa Board bychairperson Margaret O’Connor – formerly a successful tech entrepreneur with a Silicon Valley exit, who later helped launch MasterCard across several key geographies in Asia. This was followed by a lengthy stint at the Center for Disruptive Technologies (CDT),a network born out of a collaboration between members of the of Singularity University's Global Studies Program and the Singularity Institute of Africa. As partner in CDT, Margaret kick-started CDT's Adventure Capitalist Network, connecting corporate venture capital, angel investors and early-stage VCs to emerging technology start-ups.

The 14-member Launch Africa team is actively supported by more than 30 global advisors, many of whom are leading C-suite executives at large global institutions, bolstering the skill set of Launch Africa’s portfolio founders with regional, product and sector expertise.

We assist the African founders of early-stage tech and tech-enabled companies to focus on what the continent needs right now—the rapid growth of businesses solving real-world problems combined with the creation of high-value jobs in sustainable ventures. We are proud to have helped many founders close their Seed funding rounds in 4-6 weeks, notably faster than the 4-6 months it typically takes for early-stage founders to close rounds in Africa,” saysZach.

LaunchAfrica also facilitates co-investment by its Limited Partners (LPs) through sharing due diligence, waiving fees and absorbing charges for LPs in the Seed and Pre-Series A investmentsled by the fund. To date, LaunchAfrica LPs have co-invested in excess of $14m in LaunchAfrica portfolio companies.

The LaunchAfrica team works with founders and expert advisors to fast-track exitopportunitiesfor investors.” Janade says. “Providing our exit strategy during these challenging times instills investor confidence and brings significant benefits to the African tech ecosystem.

CommerzVentures,a leading German fintech-focused Venture Capital firm, is one of the lead institutional investors in LaunchAfrica Ventures Fund 1. As a sector specialist, CommerzVentures offers a comprehensive network of partners, decision-makers and investors within Fintech and financial services across the European Union, as well as actionable intelligence and advisory.

We are pleased to partner with LaunchAfrica Ventures to invest in some of the most exciting fintech investment opportunities in Africa,” says CommerzVentures Managing Partner, Patrick Meisberger. “LaunchAfrica provides a diversification of risk, returns, and impact byoffering access to early-stage, post-revenue companies across multiple market verticals and geographic regions.

Adapting the lean start-up methodology to early-stage investing, the fund created due diligence systems that captured investment insights from expert advisors and ecosystem partners across Africa to supplement the team’s extensive experience, growing value in tech and tech enabled companies across the continent.

LaunchAfrica Fund 1’s portfolio currently includes 38% Fintech, 16% e-Commerce and Marketplaces, 13% Health-Tech, 12% Logistics and Mobility, 11% Data Analytics/A.I. and 7% Ed-Tech.

Launch Africa is domiciled in Mauritius and administered by the Apex Group – one of the world’s leading fund administrators with over $2 trillion in assets under administration.
Share:

SEKONDARI BUNDA YAITAKA DIT KUHAMASISHA MASOMO YA SAYANSI

 

Na Mwandishi Wetu, Mara

MKUU wa shule ya Sekondari Bunda iliyopo Wilaya ya Bunda mkoani Mara, Charles Somba, ameitaka Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kuwa na muendelezo wa programu ya uhamasishaji kuhusu mtoto wa kike kupenda masomo ya Sayansi.

Somba ameyasema hayo alipokuwa anafungua programu ya kuwahamasisha mabinti iliyoratibiwa na kuongozwa na wataalam kutoka DIT iliyofanyika shuleni hapo ikihusisha shule nne za sekondari za Wilaya hiyo ambazo ni shule ya Sekondari Sazila, Rubana na Nyendo Sekondari pamoja na Bunda.

"Naipongeza Taasisi hii, hiki mnachokifanya ni kitu kizuri, maana wakati mwingine tunafundisha hawa lakini wasipoona kwa uhalisia kama ambavyo mmekuja hawaweki bidii ila sasa hata ninyi mabinti mmeona wamama wanasayansi hawa hapa kazi kwenu mjitahidi," alisema.

Aidha, Somba aliiomba DIT kupanua wigo ili kuhakikisha watoto wa kike wanahamasika hata ikiwezekana wanapoingia kidato cha kwanza ili waweze kuwajengea uelewa mapema na hii isiwe Bunda pekee, ikiwezekana fanyeni kila mkoa hata nchi nzima.

Mratibu wa program ya uhamasishaji Dk. Triphonia Ngailo alisema, kwa sasa idadi ya watoto wa kike wanaohitimu masomo ya Sayansi bado ipo chini ambapo takwimu zinaonesha wanawake wanasayansi ni 21% wakati wanaume ni asilimia 79% hivyo DIT kupitia ufadhili wa Mradi wa EASTRIP wakaanzisha programu hiyo ili wawape moyo kuwa inawezekana kwa pamoja wawatie moyo na wapambane kuhakikisha idadi inaongezeka kwa kuwa Serikali inawajali na imeweka mazingira wezeshi ili kuwapatieni ninyi elimu ili muweze kunufaika na fursa zilizopo kwenye masomo ya sayansi.

Naye Mwalimu Samora Laizer wa Bunda Sekondari amefurahishwa na program hiyo kwa kuwa inaleta uhalisia wa kile kinachofundishwa.

"Hili ni jambo jema maana wakati mwingine ukifundishwa tu bila kuona uhalisia inapoteza nguvu ila kama walivyosikia leo itawaongezea nguvu" alisema Laizer

Aidha, Mwalimu Fibe Musa wa Rubana Sekondari ameishauri Taasisi kujipanga zaidi kwa kuwa jambo hilo zuri na linawasaidia zaidi hasa wanafunzi wakishahitimu masomo wanakuwa na mwanga wa kuchagua fani wanazozipenda.
Share:

Sunday, June 12, 2022

BENKI YA NBC YAPONGEZWA KWA HUDUMA BORA ZANZIBAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mh. Hemed Suleiman Abdulla (kulia) na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC, Theobald Sabi (kushoto) walipokutana Zanzibar. Pamoja na mambo mengi, Mh. Abdulla ameipongeza Benki hiyo kwa kuendelea kutoa huduma bora za kifedha kwa wananchi wa Zanzibar na Tanzania bara na Taifa kwa ujumla hapa nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, MH. Hemed Suleiman Abdulla pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi na Maofisa wengine kutoka benki hiyo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla ameipongeza Benki ya NBC kwa kuendelea kutoa huduma bora za kifedha kwa wananchi wa Zanzibar na taifa kwa ujumla.

Mheshimiwa Abdulla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi kutoka Benki ya Taifa ya Biashara NBC alipokutana nao katika ofisi ya Spika mjini Unguja, mara baada ya viongozi hao kuhudhuria kikao cha Baraza la Wawakilishi wakiwa ni wageni wa Spika wa Zanzibar, Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid.

“Nawapongeza sana NBC kwa kuendelea kuwa mdau muhimu hapa Zanzibar na pia Tanzania bara kwa uwezeshaji wa kiuchumi kwa watu wa Zanzibar.

Endeleeni kuongeza wigo wa kutoa huduma kwa kuongeza matawi na mawakala ili muweze kuwafikia wananchi wengi zaidi.

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inawaahidi kutoa ushirikiano na kuendelea kuweka mazingira bora ya kufanyia biashara” alisema.

Kwa upande wake Spika wa Zanzibar, Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid aliishukuru Benki ya NBC kwa kuendelea kuwa mdau mkubwa wa maendeleo akitolea mfano misaada mbalimbali kwa jamii ambayo benki hiyo imekuwa ikitoa kila mwaka.

Spika Zubeir alipongeza pia udhamini wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC katika ligi ya mpira wa miguu nchini, NBC Premier League kuwa ni wenye tija kwa taifa kwa kutoa vipato na kuibua vipaji.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi alimshukuru Makamu wa Pili wa Rais wa Jamhuri ya Mapinduzi ya Zanzibar Mheshimiwa Abdulla na Spika wa Zanzibar Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid kwa mkutano huo wenye lengo la kuboresha mahusiano ya pande zote ili kuhakikisha wanaunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuru ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan hasa katika kukuza uchumi wa nchi yetu.
Share:

Saturday, June 11, 2022

BENKI YA DCB YASHEREHEKEA MIAKA 20 YA MAFANIKIO KWA KUTOA FURSA ZA KIUCHUMI KWA WATANZANIA

   
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omar Kumbilamoto (kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Pamela Nchimbi wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini leo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Hanifa Suleiman Hamza na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (kushoto) akipokea tuzo ya shukrani ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa wakati wa maadhimisho ya miaka 20 ya huduma bora ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Uanzishwaji wa DCB ilikuwa moja ya ndoto za hayati Mkapa katika kuwasaidia wafanyabiashara ndogondogo waliokosa vigezo vya kupata mikopo ya mitaji kupitia mifumo rasmi ya kibenki.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya shukrani kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa benki hiyo, Edmund Mkwawa wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya shukrani kwa Mwenyekiti wa Bodi Mstaafu wa benki hiyo, Prof. Lucian Msambichaka wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya utumishi wa miaka 20 kwa Katibu Muhtasi wa benki hiyo, Judith Maeda wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya utumishi wa miaka 20 kwa Ofisa Rasilimali Watu wa benki hiyo, Rosemary Masaga wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya utumishi wa miaka 20 kwa Mhasibu wa Tawi wa benki hiyo, Prisca Donati wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa akizungumza na baadhi ya wanahisa wa benki hiyo na waalikwa wengine wakati wa hafla ya maadhimisho ya miaka 20 ya huduma bora ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati), aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa benki hiyo, Edmund Mkwawa (kulia), Katibu Muhtasi wa benki hiyo, Judith Maeda, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa, Mhasibu wa Tawi wa benki hiyo, Prisca Dona, Ofisa Rasilimali Watu wa benki hiyo, Rosemary Masaga na Mwenyekiti wa Bodi Mstaafu wa benki hiyo, Prof. Lucian Msambichaka wakipiga picha ya kumbukumbu wakati wa Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Banana Zoro akitumbuiza wakati wa Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.
Share:

Tuesday, May 31, 2022

Stakeholders hail new Education Plan, as TCU Okays

 

 Higher education stakeholders have praised a new government plan to encourage universities to set up technical education campuses, saying the move will create a pool of competent graduates in the wake of an increasingly competitive and dynamic labour market.

“We commend the government for its plan to expand the scope of technical education by allowing universities to offer competence-based courses,” Ms Angela Mungai said in an interview with this correspondent on a wide range of issues related to higher education in Tanzania.

Stakeholders’ comments came following Minister for Education, Science and Technology Prof Adolf Mkenda’s statement in Parliament recently. The minister said the government planned to encourage universities and higher education institutions to set up technical education campuses as part of a long-term strategy to enhance the provision of competence-based technical education in the country.

Winding up his ministry’s budget estimates recently, Prof Mkenda told the National Assembly that the government would encourage universities and higher education institutions to open technical campuses for certificate and diploma in different regions across the country.

Among other things, according to the minister, the move intends to promote the provision of technical education in universities and other higher education institutions --with a broader view to imparting to students technical skills needed in the labour market.

In fact, the minister was responding to long time concerns by Members of Parliament (MPs) and higher education stakeholders, who had on various occasions expressed a need to allow universities and other higher education institutions to offer technical education and produce competent graduates with technical skills required in the rapidly changing labour market.

Higher education stakeholders described the latest government plan as “a step forward” towards enhancing the provision of competence-based education and thus increase the number of competent graduates in Tanzania in the face of stiff competition in the labour market.

“The labour market requires graduates who can do the job and not just holders of degree certificates with flying colours. We are happy to see that the government is now committed to expanding the scope of technical education up to university level,” said Mr Mohamed Unju, an expert in higher education based in Dodoma.

But stakeholders expressed doubts that  implementation of the new government plan will remain “a mere dream” if the regulator of Universities—Tanzania Commission for Universities (TCU) will not review restrictive guidelines barring universities from offering technical education programmes (diploma and certificates).

 

Interviewed, one higher education stakeholder, Joseph Mfutakamba cited specific TCU guidelines 1.5.2 which “restricts universities to offer NACTE accredited technical education (certificate, diploma) programmes that are being offered in a regular middle level institution operating in Tanzania and guideline 1.5.4 which restrict Universities to start new competence-based Technical programmes (certificate and diploma) are might not have been listed in the initial accreditation documents.”

 

“It’s time for TCU to review restrictive guidelines and allow both technical colleges and universities to offer competence-based technical programmes in order to go at par with dynamics of today’s competitive labour markets, new government education plans and Academic freedom for Universities,” added Mfutakamba.

 

When contacted, TCU spokesperson  Jorlin Kagaruki said “...TCU guidelines will not be a stumbling block for universities and higher learning institutions wishing to open technical education campuses.  It is up to the universities (public and private ones) to strategize on how they are going to implement new plan announced by the Minister Pro. Mkenda”

“TCU has no problem with Universities wanting to create or construct technical education campuses as part of the implementation of the plan announced by the Minister in the Parliament on the need to sensitize higher learning institutions to set up technical education campuses in different regions countrywide….,” said Kagaruki.

Share:

Thursday, May 12, 2022

ABSA BANK TANZANIA PROFIT AFTER TAX SOARS 155% IN THE FIRST QUARTER OF 2022

   
Absa Bank Tanzania has started the year 2022 positively by recording profit after tax (PAT) of TZS 5.2 billion which is 155% higher than the amount recorded in the same period 2021. The improved performance was driven by good performance in transaction banking, FX Income and net interest income following the improving economy from the pandemic effects together with launching of mobile lending which has positively impacted interest income, the bank’s Managing Director Abdi Mohamed has revealed.

The profit before tax (PBT) also grew significantly by 150% year on year from 2.96 billion in the first quarter of 2021 to TZS 7.38 billion this year. This was mainly contributed by the 33% growth in NII driven by the mobile lending and the notable improvement on the income from the government securities on the back of the increased volumes”, said Abdi Mohamed yesterday

He also commented that the Fees and commission and FX Income improved by 31% and 40% respectively year on year. The impressive improvement by organic growth following improving economic activities that has seen growing volumes of transactions. The bank continues to be competitive in pricing its products and services and the ensure the customers get the best quality of services.

Absa Finance Director (CFO) Obedi Laiser said, “the net customers loans improved by 34% year on year and 20% from the previous quarter thanks to the impressive impact of the mobile lending drive. The bank continued to sell and grow its mobile lending product in partnership with Tigo Tanzania that has reached thousands of customers and assist them to access financial services more conveniently and improve their lives and wellbeing. The growth in customers’ loans was also boosted by the increased utilization in overdraft facilities as customers continued to finance their growing business needs”.

The customers’ deposits improved 4% year on year and 8% from the previous quarter with growth obtained in all segments. The bank has a network of delivery channels and talented customers’ service team that provide our esteemed customers with best value proposition. Our prices on the deposits continue to remain competitive, according to Laiser.

Total capital position of the bank grew by a decent 14.52% year on year to TZS 153 billion largely contributed by the retained profit which was reinvested into the capital of the bank. Total Capital of the bank increased by TZS 5.15 billion during the year adding more capital resources which are deployed in expanding Bank’s lending capabilities to serve our customers better. The bank continues to have a strong capital position and operates well above the regulatory and internal capital requirements, said CFO Obedi Laiser.

For more information please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is a leading commercial bank in Tanzania that currently boasts a network of 15 branches and 62 ATMs strategically located countrywide – 21 at all our branches and 49 offsite.

The Bank is a wholly owned subsidiary of Absa Group Limited.

Absa Bank Tanzania Limited, (registered number 38557), is regulated by the Bank of Tanzania.

About Absa Group Limited

Absa Group Limited (‘Absa Group’) is listed on the Johannesburg Stock Exchange and is one of Africa’s largest diversified financial services groups.

Absa Group offers an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth and investment management and insurance.

Absa Group has a presence in 12 countries in Africa.

The Group’s registered head office is in Johannesburg, South Africa, and it owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa (Absa Bank), Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia. The Group also has representative offices in Namibia and Nigeria, as well as insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa, Tanzania and Zambia, and an International Representative Office in London and New York.

For further information about Absa, please visit our website www.absa.africa
Share:

Tuesday, April 26, 2022

ZAIDI YA WATOTO 62,155 KUNUFAIKA NA CHANJO YA POLIO IKUNGI

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Singida Jerry Muro akiongoza kikao cha kuratibu zoezi la Kitaifa la chanjo ya polio kilichofanyika mkoani Singida jana. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Winfrida Funto na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ally Mwanga. 
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo akizungumza kwenye kikao hicho.
Katibu Tawala wa wilaya hiyo Winfrida Funto akizungumza kwenye kikao hicho.
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Oliva Njoka akitoa taarifa kuhusu maandalizi ya chanjo hiyo.
Mwenyekiti wa Halmashauri yaWilaya hiyo Ally Mwanga akizungumza kwenye kikao hicho.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo Mika Likapakapa akichangia jambo kwenye kikao  hicho.
Mratibu wa Elimu ya Afya na Uhamasishaji Wilaya ya Ikungi Braison Shoo akizungumzia ugonjwa huo.
Kikao kikiendelea.
Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri hiyo wakiwa kwenye kikao hicho.
Kikao kikiendelea.
Kikao kikiendelea.


Na Dotto Mwaibale, Ikungi.


MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Jerry Muro ametoa onyo kwa mtu yeyote wilayani hapa kutokwamisha mchakato wa utoaji wa chanjo ya polio kitaifa utakaoanza Aprili 28 mwaka huu unaotarajiwa kuwafikia watoto 62,155 na atakayebainika akifanya hivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.

Muro alitoa onyo hilo wakati akizungumza na maafisa mbalimbali, viongozi wa dini, wadau wa maendeleo na timu ya wataalamu watakaoratibu zoezi hilo wilayani hapa ambapo alihamasisha wananchi wote kujitokeza bila kukosa wakati zoezi hilo litakapoanza.

"Sisi hapa Ikungi tupo tayari mpaka sasa  tumepokea jumla ya chanjo 71,400 na tumesambaza dozi 70,000 katika vituo vya kutolea afya na kuwa watalifanya kwenye vijiji vyote 101 na zaidi ya vitongoji 500" alisema Muro.

Alisema tayari wamewapanga wataalamu kwenye vituo 140 na watafika kwenye maeneo yote na kila mtoto aliopo kwenye wilaya hiyo watahakikisha anapata chanjo hiyo.

Muro alisema kwamba miundombinu yote pamoja na timu ya wataalamu kwa ajili ya kuwezesha ufanikishaji wa zoezi hilo yamekamilika kwa asilimia 100.

Aidha Muro alitoa mwito kwa wazazi wilayani humo kuacha tabia ya kuwapeleka watoto wao kwa waganga wa kienyeji kwani hawana uwezo wa kutoa chanjo ya polio badala yake wawapeleke kwenye vituo vya afya wakiwapeleka huko wanaweza kupigwa na ugonjwa  huo na hata kupata kifo.

Muro aliwaomba wazazi hao kuanzia Aprili 28 hadi Mei Mosi kuwa ni kipindi cha mzazi kumpeleka mtoto wake kituo cha afya na yale maeneo yaliopo  pembezoni kabisa mwa wilaya hiyo watayafikia kupitia kampeni ya nyumba kwa nyumba.
Muro alitumia nafasi hiyo kupiga marufuku tabia ya wazazi ambao kila wakipewa elimu na kuambiwa umuhimu wa kuwapeleka watoto wao vituo vya afya kwa ajili ya kupewa chanjo wamekuwa mstari wa mbele kukahidi kwa sababu ya imani na mila potofu hivyo kuanzia jana mzazi yeyote watakaye mbaini anakendwa kinyume na maagizo ya kitaifa ya zoezi hilo  atakamatwa na kuchuliwa hatua kali za kisheria na kuwa mfano kwa wengine wote katika wilaya hiyo.
"Tumepata taarifa kuwa kuna watu wamejipanga kukwamisha zoezi ili sasa mimi nawaambia kuwa kabla ya kuanza kukwama sisi watakwama wao na waomba watu wote wenye imani potofu dhidi ya chanjo hii watuache kwanza tufanye kazi nipo hapa kwa ajili ya kuwatoa mashaka wananchi wote wa wilaya ya Ikungi kuwa chanjo hizi ni salama zimedhibitishwa na wataalamu wa afya wa kimataifa na hapa nchini" alisema Muro.
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ikungi,  Oliva Njoka alisema wamepokea maagizo kutoka wizarani kuwa kunakampeni ya kitaifa ya chanjo hiyo kwa nchi nzima ambapo watachanjwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano na kuwa tayari wamekwisha anza maandalizi kwa kupata mafunzo ngazi ya halmashauri kwa timu ya uendeshaji na pia watatoa mafunzo kwa wale wahudumu watakao kuwa wakichanja.
Mratibu wa Elimu ya Afya na Uhamasishaji Wilaya ya Ikungi Braison Shoo alisema hivi sasa wapo kwenye kampeni ambayo wanatarajia kuianza Aprili 28 hadi Mei Mosi ya chanjo ya matone kwa watoto waliochini ya miaka mitano ambapo aliwaomba wananchi wote wa wilaya hiyo kujitokeza kwa wingi kupeleka watoto wao kupata chanjo.
Alisema lengo la chanjo hiyo ni kuongeza kinga katika jamii baada ya kutokea mlipuko wa ugonjwa huo nchi jirani ya Malawi hivyo aliendelea kuwasihi wananchi kujitokeza kwa wingi wakati wa zoezi la  chanjo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ally Mwanga na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo,  Mika Likapakapa walisema watakwenda kuwahimiza madiwani na viongozi wa chama na serikali ngazi za vijiji na kata kwa ajili ya kuhamasisha zoezi hilo ili kuwafikia wananchi wengi zaidi.


Share:

Sunday, April 24, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK SPONSORS FOR FREE HEALTH TESTING DAR ES SALAM


Tanzania Commercial Bank Bank Manager Edward Mwoleka (center), undergoing a blood test by Alliance Insurance Specialist Ravi Kumar, while Tanzania Commercial Bank teamed up with Alliance insurance to provide free diagnostic tests to the residents of Mbagala and its suburbs for free. Head of Alliance Insurance Group, KVA Krishnan. The ceremony took place today at the Tanzania Commercial Bank branch in Mbagala.

 


Tanzania Commercial Bank Bank Manager Edward Mwoleka and Alliance Insurance Group CEO KVA Krishnan watching one of Dar es Salaam's residents, Joseph John, receive a blood pressure test from Alliance Insurance Group Specialist Ravi Kumar, while Tanzania Commercial Bank teamed up with Alliance insurance to provide free diagnostic tests to the residents of Mbagala and its suburbs free of charge.

 


Some of the citizens who showed up at the TCB Mbagala branch in the provision of various diagnostic tests conducted by Alliance Insurance incorporation to various residents of Mbagala.

 


Tanzania Commercial Bank Bank Manager Edward Mwoleka, CEO of Alliance Insurance Group, KVA Krishnan and (name not found) greet each other at a special screening ceremony conducted by Alliance Insurance incorporation for various residents of Mbagala.

 


.Mbagala resident receiving a blood pressure check from Alliance Insurance Group Specialist Ravi Kumar, while Tanzania Commercial Bank teamed up with Alliance insurance to provide free diagnostic tests to residents of Mbagala and its suburbs free of charge.

 


Tanzania Commercial Bank Mbagala Branch Manager Edward Mwoleka witnessing one of the Dar es Salaam residents receiving a sugar test from Laboratory Laboratory Specialist Husna Hassan as Tanzania Commercial Bank teamed up with Alliance insurance to provide diagnostic tests for Mbagala residents and its free suburbs



Hundreds of people today have come forward to test their health for free at Tanzania Commercial Bank Mbagala branch located in Temeke Municipal Council as part of Tanzania Commercial Bank as well as Alliance Insurance Corporation to care for their customers and the general public.


Speaking at the event, Tanzania Commercial Bank Mbagala Branch Manager Edward Mwoleka said: "Every Tanzanian would like to know his health so Tanzania Commercial Bank has decided to support the efforts of the sixth phase Government under President Mama Samia Suluhu Hassan especially in the health by providing free testing services at no cost to the people of mbagala.and its environs ”.


"Tanzania Commercial Bank has every reason to care for Tanzanians and give them what they want which is why today we have joined our Alliance Insurance Corporation colleagues in providing free diagnostic services for various diseases".


Mwoleka has urged Tanzanians and residents of Mbagala to join TCB Bank as it has been providing quality and friendly services to every Tanzanian as well as caring for the community.


"We have loans ranging from small, medium and large business so I urge our customers to come forward and get services at our beloved bank."


"We also have retirement loans so he urged retirees to come forward and join these opportunities. The Bank also offers a wide range of soft and friendly loans ”.


For his part, Alliance Insurance spokesman Justin Erick thanked Tanzania Commercial Bank for trusting them and working together to ensure they provide better services to the people.


He added that all insurance services are available in all branches of Tanzania Commercial Bank so he urged the people of Mbagala to be proud of the existence of Alliance Insurance as it is the first company with quality in Tanzania in the provision of services.

  

Share:

Saturday, April 23, 2022

Absa Bank pledges to maintain quality services for sustainable growth

Absa Bank Tanzania Head of Retail Banking, Ndabu Lilian Swere speaking to the media about the iftar meal hosted by Absa to its Zanzibar customers and stakeholders in the Isle yesterday.
Absa Bank Tanzania Head of Business Banking, Melvin Saprapasen (right), serves an Iftar meal to one of the bank’s Zanzibar customers at an occasion of breaking the fast hosted by Absa to its customers and stakeholders in the Isles yesterday.
Absa Bank Tanzania Zanzibar Branch Manager, Rabia Abood (left), serves an Iftar meal to one of the bank’s customers, Nuru Mohamed Ali at an occasion of breaking the fast hosted by Absa to its customers and stakeholders in the Isles yesterday.
Absa Bank Tanzania Citizenship Manager, Hellen Siria (left), serves an iftar meal to one of the bank’s Zanzibar customers, at the fast-breaking event hosted by Absa to its customers and stakeholders in the Isles yesterday.
Absa Bank Tanzania Zanzibar Branch Manager, Rabia Abood, receives some of the invited guests to the Iftar meal hosted by the bank to its customers and stakeholders in the Isles yesterday.
Sheikh Khalid Ali Mfaume (second), represented Zanzibar Chief Mufti at the Iftar meal hosted by Absa Bank, chats with the Absa Tanzania Head of Business Banking, Melvin Saprapasen (right), after the function in the Isles yesterday. Looking on from left are Sheikh Salum Maridhia from Zanzibar Chief Mufti Office and Absa Tanzania Director for Corporate and Investment Banking, Hugo Chilufya.

By Our Reporter

Absa Bank Tanzania has pledged to maintain the quality of services to its customers to ensure it sustainable growth, it has been revealed in Zanzibar at the weekend.

Speaking during the Iftar dinner hosted for the banks customers to break the fast during the ongoing holy month of Ramadhan, Absa's Head of Business Banking, Melvin Saprapasen said: “we are confident about the future as we continue to innovate and come up with new products and solutions that are more digitalised that make it easier for our clients to access and enjoy our services.

He pointed out the year 2021 had been a very good one from the financial performance perspective as the Bank was able to recover from a reported loss position of TZS 532 million in 2020 to register a Tsh 9.4 billion profit after tax (PAT) in 2021.

During the year the bank also launched an SME lending product and improved its SME digital transactional banking channel as part of product and customer segments expansion and digital offering improvements,” noted Saprapasen.

Public sector support participation improved significantly in 2021 as the Bank role to contribute more positively to the socio-economic development of Tanzania continues to gather more pace, 

The bank’s Head of Retail Banking, Ndabu Lilian Swere, commenting on the upward trend indicators, said: “during the year 2021, the bank launched a number of innovative product diversifications, including launching a retail mobile lending product in partnership with Tigo Tanzania that has reached thousands of customers and assisted them to access financial services more conveniently and improve their lives and wellbeing.

Ms Ndabu noted that the bank has a well-established tradition of hosting Iftar dinners each year as part of its policy to shove back to reciprocate customer loyalty, adding that the bank focused on providing services to small, medium and large customers, including working with government and local and international agencies.

Sheikh Khalid Ali Mfaume, representing the chief Mufti of Zanzibar in the event, commended Absa for the gesture, alluding to one of the tales of Prophet Mohammad that "he who feeds a fasting believer is repaid the equivalent of all the blessings of those hosted.

The bank continues to have a strong capital position and operates well above regulatory and internal capital requirements. The bank’s digital capabilities continued to evolve and improve, attracting more customers and increasing usage from existing customers.

In 2021, Absa Bank Tanzania won several international and local Excellence Awards, including the Best Banking Cards Tanzania Award (by Global Brands Magazine), The Most Innovative Retail Bank, Tanzania Award (by Global Business Outlook) and Best Financial Institution in using ICT 2021 by Tanzania Commission of ICT.
Share:

Friday, April 22, 2022

WANANCHI IKUNGI WAHIMIZWA KUTUNZA CHAKULA ILI KUJIKIGA NA BAA LA NJAA

 Mwenyekiti  wa  Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi Mika Likapakapa akiwahutubia Wananchi wa Kijiji cha Mwisi Kata ya Lighwa katika mkutano wa hadhara wa kuzungumzia maendeleo na kupokea kero za wananchi ili zifanyiwe kazi ulioandaliwa na Diwani wa Kata hiyo Gabriel Mukhandi na kuhudhuriwa na umati wa watu uliofanyika jana mkoani Singida.
Katibu wa CCM Wilaya ya Ikungi, Stamili Dendego akizungumza kwenye mkutano huo.
Diwani wa Kata ya Lighwa Gabriel Mukhandi akijibu maswali ya wananchi katika mkutano huo.
Katibu Mwenezi wa CCM  Wilaya ya IKungi, Pius Sanka akizungumzia Wana CCM wa kijijiji hicho wenye sifa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Share:

Thursday, April 21, 2022

AKIBA COMMERCIAL BANK YAFUTURISHA WATEJA WAKE DAR ES SALAM

 

Mkurugenzi Mtendaji wa Akiba Commercial Bank  Plc Silvest Arumas akizungumza wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo ikiwa ni sehemu ya jitihada za benki hiyo katika kuwajali wateja wake 

Baadhi ya wageni waalikwa wakifuturu katika hafla iliyoandaliwa na Akiba Commercial Bank ikiwa ni sehemu ya jitihada za benki hiyo katika kuwajali na kuwa karibu  na wateja wao.


Wateja na wageni waalikwa wa Akiba Commercial Bank wakichukua mlo wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo ikiwa ni sehemu ya jitihada za benki hiyo katika kuwajali wateja wake

Akiba Commercial Bank tunatambua nakuheshimu imani za wateja na wadau wetu
 Akizungumza katika halfla ya futari iliyoandaliwa na ACB Mkurugenzi Mtendaji wa Akiba Commercial Bank  Plc Bw. Silvest Arumas  alisema benki hiyo imeweka mipango mikakati kwaajili ya wateja wake hasa katika kipindi hiki cha Ramadhan

Tunaupa umuhimu wa kipekee sana mwezi mtukufu wa Ramadhan sio tu kwa wateja na wadau bali ni kwa waislamu wote kwani kama benki tunadhamini nakujali kila dini hivyo hivyo tumejikita kikamilifu katika mwezi huu wa Ramadhan kwaajili ya kuwashika mkono ndugu zetu waislam.

Akiba Commercial Bank, umekuwa ni utaratibu wetu kama benki yenye kujali na kutambua umuhimu wa mwezi huu mtukufu wa Ramadhan tumekuwa tukiwaruhusu wafanyakazi kutoka kazini mapema kwaajili ya ibada na matayarisho ya futari.

Pia Akiba Commercial Bank, umekuwa pia ni utaratibu wetu kufanya hafla yakuandaa futari kwa wateja wetu kila mwaka kwaajili ya kuwaunga mkono ndugu zetu waislamu katika funga yao pia kudumisha mahusiano kati ya wateja na benki yao pendwa.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive