A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, December 9, 2019

Benki ya DCB yaibuka kidedea tuzo za NBAA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shaban (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mshindi wa kwanza katika kitengo cha mabenki madogo na ya kati ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Nelson Swai katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi.  Kulia kabisa ni Mkaguzi wa Hesabu za Ndani wa DCB, Samwel Stephano.
Mkaguzi wa Hesabu za Ndani wa Benki ya Biashara ya DCB, Samwel Stephano (kulia) akionyesha  tuzo ya mshindi wa kwanza katika kitengo cha mabenki madogo na ya kati ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) mara baada ya kukabiodhiwa katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa DCB, Nelson Swai.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive