A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, May 27, 2019

Uzinduzi wa Prophet Suguye Cup wafana

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi tarehe 25.5.2019




Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akimlisha keki mmoja wa wageni waliohudhuria ufunguzi wa mashindano hayo Diwani wa Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mh. Murshidi Hashimu Ngeze wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi ya tarehe 25.5.2019

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akitoka kupiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akimlisha keki mmoja wa wageni waliohudhuria ufunguzi wa mashindano hayo Diwani wa Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mh. Murshidi Hashimu Ngeze wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional fc. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Manahoza wa timu ya Kivule Forest pamoja na Professional FC wakiwa katika picha ya pamoja na waamuzi siku ya kwanza ya mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Manahoza wa timu ya Kivule Forest pamoja na Professional FC wakisalimiana kuonyesha tendo la Fair Play huku waamuzi kwakishuhudia kitendo hicho siku ya kwanza ya mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Baadhi ya wachezaji wa Professional FC wakiwa ndani ya uwanja wa misitu ama kerezange tayari kuanza mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.
Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.
Baadhi ya wachezaji wa Kivule Forest FC pamoja wakiwa ndani ya uwanja wa misitu ama kerezange tayari kuanza mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Prophet Suguye Cup.

Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.

Mwangalizi mkuu wa WRM Church na Mwanzilishi wa Prophet Suguye Cup akiwasalimia wachezaji siku ya Ufunguzi wa mashindano.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive