A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Wednesday, March 9, 2022

ABSA TANZANIA KUDUMISHA HAKI NA USAWA WA MAENDELEO KWA WAFANYAKAZI WAKE

 
Mkuu wa Rasilimali Watu wa Benki ya Absa Tanzania, Patrick Foya (wa sita kushoto), akizungumza katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake jijini Dar es Salaam Jana. Absa iliandaa hafla hiyo kwa ajili ya Wanawake wateja wao, watoa Huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. Pamoja naye ni baadhi ya viongozi wa Absa wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji, Abdi Mohamed (wa nane kushoto).
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro (wa pili kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume (kushoto) huku Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Abdi Mohamed akiangalia katika hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa kwa ajili ya baadhi ya wateja wake wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya baadhi ya wateja wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (katikati) akipokea tuzo ya shukrani kuwa mgeni rasmi kutoka kwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya baadhi ya wateja wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- (Redskirts), Irene Sengati- Giattas.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro (wa pili kulia) akipokea tuzo ya shukrani kuwa mtoa mada kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa Benki ya Absa Africa, Elizabeth Willilo katika hafla ya Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya baadhi ya wateja wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas na Mkurugenzi wa Masoko ya Fedha wa benki hiyo, Esther Maruma.
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume (wa pili kulia) akipokea tuzo ya shukrani kuwa mtoa mada kutoka kwa Mkuu wa wateja Wadogo wa benki hiyo, Ndabu Swere wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na benki ya Absa jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya baadhi ya wateja wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas na Mkuu wa Vipaji, Mafunzo na Uongozi wa Absa, Veronica Muumba.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa pili kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji bora Mkuu wa Wateja Binafsi wa Benki ya Absa Tanzania, Ndabu Swere katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na benki hiyo kwa baadhi ya wateja wake wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wa Absa jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa tatu kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji bora Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja Benki ya Absa Tanzania, Eveline Kamara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya baadhi ya wateja wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa Absa. Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (katikati) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji uliotukuka Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya baadhi ya wateja wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo. Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa tatu kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji bora Mkuu wa Mauzo ya Masoko ya Nje, Irene Rwegalulira wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Benki ya Absa jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya baadhi ya wateja wanawake watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa Absa. Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa tatu kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji bora Ofisa katika kitengo cha wateja binafsi, Irene Msungu wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Benki ya Absa jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya baadhi ya wateja wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake benki hiyo. Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa tatu kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji bora Mkuu wa Vipaji, Mafunzo na Uongozi wa Absa, Veronica Muumba, katika wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Benki ya Absa jijini Dar es Salaam jana. Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dkt. Ellen Mkondya Senkoro.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Rex Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa tatu kulia) akimkabidhi cheti cha pongezi kwa utendaji bora Mkuu wa Kitengo cha Malipo wa Benki ya Absa Tanzania, Jane Mbwilo katika Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya baadhi ya wateja wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa Absa jijini Dar es Salaam jana. Kutoka Kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha Wanawake wa Benki ya Absa Tanzania- Redskirts, Irene Sengati- Giattas, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Absa Tanzania, Abdi Mohamed, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Absa Tanzania, Obedi Laiser (wa tatu kushoto) akipiga picha ya kumbukumbu na baadhi ya wafanyakazi wanawake wa benki hiyo huku wakionyesha alama ya usawa wa kijinsia ambayo ni kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani kwa mwaka huu wakati wa hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya baadhi ya wateja wao wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo jijini Dar es Salaam Jana.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Red Advocates, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar (wa pili kulia) na Mjumbe wa Bodi ya Benki ya Absa Tanzania, Fatma Amani Karume, wakikata keki katika hafla ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na benki Absa kwa ajili ya baadhi ya wateja wake wanawake, watoa huduma wanawake na wafanyakazi wanawake wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Benjamin William Mkapa, Dk. Ellen Mkondya Senkoro.
Share:

Tuesday, March 8, 2022

TUME YA PAMOJA YA FEDHA (JFC) YASHIRIKI MAADHIMISHO SIKU YA MWANAMKE DUNIANI.

 

 

.com/img/a/
 Watumishi wanawake wa Tume ya pamoja ya Fedha (JFC) wakiwa katika maandamano walipoungana na wanawake wengine  duniani kote kuadhimisha siku ya wanawake duniani katika viwanja vya Uhuru jiji Dar es Salaam ambapo maadhimisho hayo kitaifa yamefanyika Visiwani Zanzibar ikiwa mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani

 
.com/img/a/

.com/img/a/

.com/img/a/
Watumishi wanawake wa Tume ya pamoja ya Fedha (JFC) wakiwa katika picha za matukio mbalimbali

 

 Watumishi wanawake wa Tume ya pamoja ya Fedha (JFC) wakiwa katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani  ambayo hufanyika kila Machi 8 ambapo wanawake hao wameonyesha kujiamini katika kutenda kazi kwa maendeleo ya Taifa kama kauli mbiu ya Siku ya Wanawake Duniani Kizazi cha Haki na Usawa katika Maendeleo Endelevu,wafanyakazi hao walikuwa na shamlashala za za namna yake katika katika viwanja vya uhuru jijini Dar es Salaam.


KATIKA Maadhimisho ya  Siku ya Wanawake Duniani  Tume ya pamoja ya Fedha (JFC) imetoa pongezi kwa serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu hassan kwa jitihada za kuwawezesha Wanawake katika sekta mbalimbali.

Kauli hiyo imetolewa leo na mwakilishi wa Tume ya pamoja ya Fedha (JFC)   alieleza kuwa katika  Tume ya pamoja ya Fedha (JFC) imezingatia  kuwapa kipaumbele wanawake  na kutoa majukumu sawa na wanaume ili kutekeleza kauli mbiu ya Siku ya wanawake duniani.
Share:

Sunday, March 6, 2022

Tanzania Commercial Bank blue economy commitment excites Mwinyi

The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council Hon. Dr. Hussein Ali Mwinyi, speaking during the opening of the Zanzibar Women Entrepreneurs Conference organized by Tanzania Commercial Bank at the Golden Tulip Kiembesamaki Hotel in Zanzibar City.

The President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council Hon. Dr. Hussein Ali Mwinyi and Chairman of the Board of Directors of Tanzania Commercial Bank (TCB), Edmund Mndolwa opening the door to mark the official launch of the Zanzibar Women's Forum organized by Tanzania Commercial Bank (TCB) The witnesses are the First Lady of Zanzibar who is also the Chairperson of the Zanzibar Better Life Foundation (ZMBF), Mama Mariam Mwinyi, Chief Executive Officer of Tanzania Commercial Bank, (TCB), Sabasaba Moshingi and leadership from the Government of Zanzibar and Officials from Tanzania Commercial Bank

 The First Lady of Zanzibar Mama Mariam Mwinyi who is also the Chairperson of the Zanzibar Life Better Foundation (ZMBF) and (second left), receiving a check for ten million shillings from the Chief Executive Officer of Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi, to fund the Zanzibar Foundation for Better Life Foundation (ZMBF), during the opening ceremony of the Zanzibar Women's Conference organized by Tanzania Commercial Bank and officially opened by the President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council Hon. Dr. Hussein Ali Mwinyi (right to Mother) and (left to Mother) is the Chairman of the TCB Board of Directors Mr. Edmund Mndolwa.


Tanzania Commercial Bank (TCB) commitment and readiness to support prosperity of the blue economy in Zanzibar has impressed President Hussein Mwinyi who yesterday said the lender was doing a commendable job in advancing national development causes.
 
Dr Mwinyi showered TCB with the compliments in his speech to grace the opening of Zanzibar’s Business Forum for Women noting that the networking platform to make finance work for women was a good example of the good work it is doing.
 
According to him, the women empowerment forums are a noble TCB idea that accords women a rare opportunity to deliberate pertinent issues affecting their welfare and learn how they can meaningfully contribute to national development efforts.
 
He said the initiative was worth the investment since it promotes and shows the pivotal role of women in national growth and development endeavours such as the blue economy, which his administration has embraced for spearheading inclusive prosperity and sustainable development in the Spice Islands.
 
“TCB decision and engagement to organize and run these special enlightening forums to deliberate issues affecting women’s personal and national development issues whose ultimate goal is to better their welfare has impressed me a lot,” Dr Mwinyi told the roundtable’s participants.
 
Themed, The Role of Women in Blue Economy Growth for Sustainable Development, the one-day forum was also attended by senior officials in the Revolutionary Government of Zanzibar and TCB senior leaders led by Board Chairman Dr Edmund Mndolwa and CEO Sabasaba Moshingi.
 
Yesterday’s gathering, which attracted more than 300 empowerment eager women, was the fourth to be held since the launch of the initiative last October in Dodoma that was followed by the roundtables in Mbeya and Mwanza.
 
TCB plans to organise similar conferences in other parts of the country, including Dar es Salaam, Tanga and Arusha, as it seeks to showcase commercial and entrepreneurship opportunities in its innovative financial solutions in a bid to empower women economically and contribute to their financial independence.
 
“In that regard, I am overwhelmed to see this bank coming with the forums’ idea for educating and mobilising women in Zanzibar and the whole of Tanzania to seize the opportunities emanating from our plans and strategies to promote the blue economy,” Dr Mwinyi noted.
 
He said TCB commitment to support women participation in the key sectors of the blue economy such as fisheries, marine transport and ocean tourism was strategically vital that should be emulated by other stakeholders. He said the government was aware of women’s contribution in seaweed farming therefore the forum should be used to show ways to modernise it.
He said the authorities will continue supporting women seaweed farmers with capital, working tools and markets for selling their produce as well as support other women groups in their productive activities.
 
“The response and involvement of financial institutions in the development of the blue economy gives us hope to succeed in our efforts to sustainably harness ocean and coastal resources to spur economic growth, improve livelihoods and create jobs in the cpountry,” Dr Mwinyi pointed out.
 
“I call upon wananchi to cooperate with these institutions as well as both local and foreign investors in the endeavour to develop the blue economy. Let us fully utilise the opportunities our banks are providing in that regard,” he added.
 
Speaking early, CEO Moshingi said the blue economy initiative has the potential to make Zanzibar the Singapore and Mauritius of East Africa. He said TCB fully supports the isle’s ambitious blue economy agenda and is ready to work closely with the Revolutionary Government of Zanzibar to realise the noble mission.
 
According to him, the oldest bank in the country in which Zanzibar has a three per cent stake in its shareholding has the financial muscle, innovation prowess and unrivalled market reach to support the blue economy venture.
 
Mr Moshingi showed and proved that in a presentation on the bank’s strong financials and history. He said TCB’s recent successful transformation journey has made it among the most profitable banks in the country that boasts of a health and growing balance sheet.
    
    
   

Share:

Saturday, March 5, 2022

NGAIZA FOUNDATION KUSHIRIKIANA NA DC ALBERT MSANDO KUTATUA MIGOGORO YA WANANCHI WILAYA YA MOROGORO

 .com/img/a/

Wasema lengo ni kuhakikisha ifikapo 2025 suala la Migogoro Wilaya ya Morogoro linabaki historia. Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Chini ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. ALBERT MSANDO kwa kushirikiana na Taasisi ya NGAIZA FOUNDATION wanataraji kuendesha zoezi la utatuzi na usuluhishi wa Migogoro mbalimbali Wilayani humo ili kuiwezesha Serikali kupunguza changamoto hiyo.

 

Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Bi. ELIZABETH NGAIZA amesema zoezi hilo litakuwa endelevu na miongoni mwa Mambo yatakayoshughulikiwa ni pamoja na Migogoro ya Ardhi, Mirathi, usuluhishi wa Migogoro ya ndoa pamoja na suala la matunzo ya mtoto. Aidha NGAIZA amesema Taasisi hiyo itatoa huduma hiyo bila malipo Chini ya Wataalamu wa masuala ya kisheria na utatuzi waliojitoa kuhakikisha kila Mwananchi atakaewasilisha kero na changamoto yake anasikilizwa na kupatiwa ufumbuzi Jambo lake.

 

 Hata hivyo Bi. NGAIZA amesema tayari Taasisi yake imefanya mazungumzo na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. ALBERT MSANDO ambae amepokea kwa mikono miwili Jambo hilo na ameahidi kushirikiana kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa. Pamoja na hayo amesema anaamini kupitia Usuluhishi itasaidia kupunguza mlundikano wa kesi zisizo na ulazima Mahakamani kwakuwa kipaombele Cha Taasisi hiyo ni upatanishi na pale inaposhindikana ndipo kesi zifikishwe ngazi ya Mahakama. Sanjari na hayo ametoa wito kwa Wananchi Wenye Migogoro kujitokeza kwa wingi kuwasilisha mashauri yao.

Share:

Thursday, March 3, 2022

KAMPUNI YA TANGA CEMENT YAWATAKA WADAU KUSHIRIKI MBIO ZA KILI MARATHON

Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya saruji Tanga Cement (TCPLC), Peet Brits, akigawa maji kwa mmoja wa washiriki wa mbio za Kilimanjaro Marathon ambapo kampuni hiyo imetumia zaidi ya shilingi milioni 36 kudhamini vituo vya maji na kupoozea wakimbiaji pamoja na baadhi ya wafanyakazi wake kushiriki mbio hizo.
Mhazini wa Kampuni ya saruji Tanga Cement (TCPLC), Frederick Emmanuel akigawa maji kwa mmoja wa washiriki wa mbio za Kilimanjaro Marathon ambapo kampuni hiyo imetumia zaidi ya shilingi milioni 36 kudhamini vituo vya maji na kupoozea wakimbiaji pamoja na baadhi ya wafanyakazi wake kushiriki mbio hizo.
Baadhi ya Maofisa wa Kampuni ya saruji Tanga Cement (TCPLC), wakishiriki mbio za KM 21 wakati wa mbio za killimarathon ambapo Kampuni Hiyo imetumia zaidi ya shilingi milioni 36 kudhamini vituo vya maji na kupoozea wakimbiaji pamoja na baadhi ya wafanyakazi wake kushiriki mbio hizo.
Meneja Mahusiano na Mawasiliano ya Nje wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Bi. Mtanga Noor (kulia), akigawa maji kwa mmoja wa washiriki wa mbio za Kilimanjaro Marathon.
Mkuu wa Rasilimali Watu wa Kampuni ya Tanga Cement (TCPLC), Diana Malambugi (katikati), akigawa maji kwa mmoja wa washiriki wa mbio za Kilimanjaro Marathon.

Wadau mbalimbali wa michezo nchini kutoka katika sekta binafsi na ya umma wameshauriwa kuendelea kujiunga na mbio za nyika za Kilimarathon kila mwaka – Ambazo kwa sasa ni mbio maarufu kupita zote nchini, kwa kutoa udhamini na vilevile kwa kupeleka washiriki.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Biashara wa Kampuni ya Tanga Cement, Bw Peet Brits, wakati wa mahojiano maalum kuhusu Kilimarathon mbio ambayo imekuwa ikivutia washiriki kutoka ndani ya nchi na ng’ambo, ambapo alijadili mbio hizo na manufaa yake kwa mapana.

“Ningependa kushauri mashirika na makampuni mengine, ya Serikali na yasiyo ya kiserikali, kujiunga na mbio hizi. Ninaposema kujiunga nina maana ya kushiriki katika mbio hizo, kudhamini na vilevile kwa kuleta washiriki kwa manufaa ya kiafya na vilevile kwa ajili ya kukuza bishara zao,” Alisema Brits.

Akiongelea mvuto wa mandhari ya Moshi ambako mbio hizo hufanyika mara moja kila mwaka kuwa ni rafiki na yanashamirisha mbio hizo. Meneja huyo wa biashara wa Tanga cement alisema kuwa wale ambao hawajajiunga na mbio hizo, 'wanakosa mazuri mengi’ na kuwa ‘ wanajikosesha muda mzuri wa burudani tosha’

Brits aliongeza: “Nafikiri inabidi watu waendelee kujiunga na mbio hizi mwakani kwa wale wasiokuja leo waje mwakani kwa wingi wajionee, hali inavyokuwa hasa unapokuwa katika vituo vya kuwapa wakimbiaji maji, vipozeo hisia unayoipata unapokuwa hapa uwanjani wakimbiaji wanapoanza na kumalizia mbio, uwanja wa hapa Moshi ukiwa umefurika watu Kama Hivi leo….kukutana na watu wengi kiasi hicho kutoka maeneo mbalimbali ya dunia, hawatajutia kushiriki, na pengine wakajutia kwa nini miaka yote hiyo wamekuwa wakijikosesha burudani kama hii”. 

Meneja huyo alisifia mbio za Kilimarathon, ambazo mwaka huu zinaadhimisha mwaka wa 20 tangu kuanzaishwa kwake, na kuonyesha matumaini kuwa shamrashamra za mwaka huu wa 20 zitasaidia kunogesha mbio za mwakani, ambazo ni mara ya 19 kwa Tanga Cement Kushirikki.

“Kili Marathon limekuwa ni jukwaa bora ambapo inatuwezesha kuwasiliana ana kwa ana na wateja wetu na wadau wengine. Unapata fursa ya kusikia yale ambayo huwezi kuyasikia katika mikutano ya bodi, tumekutana na wateja kuanzia wadogo hadi wale wakubwa. Kwa hiyo haya maadhimisho ya miaka 20, nina amini, yataboresha zaidi raha ya Kili Marathon,” aliongeza.

Kwa upande wa biashara kwa wenyeji wa Moshi, Brits alisema kuwa Kili Marathon imekuwa ni mtambo madhubuti wa kuzalisha kipato kwa mji huo, na kuwa mbio hizo zimekuwa zikitunisha mikoba ya wenyeji kuanzia wenye mahoteli, huduma za malazi, watoaji wa huduma za chakula wadogo na wakubwa, wauzaji vinywaji baridi na vileo na wengineo.”

Aliongeza Brits: “Si hao tu, bali pia wapo wale wanaofanya biashara pembezoni mwa barabara wameuza matunda, mbogamboga kwa wasafiri wanaoingia na kutoka mjini Moshi.. Tusisahau vilevile wageni wanaokuja Tanzania kwa ajili ya mbio hizo. Hao wote mwisho wa siku wamechangia katika pato kuu la taifa kwa miaka 20 mfululizo.

Alisema Tanga Cement ni kati ya wadhamini wakongwe kabisa wa Killimanjaro Marathon, na kuongeza kuwa kampuni hiyo imekuwa ikishirikikisha wafanyakazi wake, na kuwa mwaka huu imepeleka timu ya wakimbiaji 25, na zaidi ya 30 wamekuwa wakojitolea kugawa maji kwa wakimbiaji. Alisema Brits : “Tunajivunia kuwa sehemu ya tukio maarufu kama hili la kimichezo nchini na tumefurahi kuwa ni sehemu ya historia ya Kilimarathon.

Sisi tunajiona kuwa tunakua sambasamba na Kili Marathon. Wakati mbio hizi zinatimiza miaka 20, sisi tunatimiza miaka 42. Jopo letu la wakimbiaji ni sehemu ya wakimbiaji ambao wamekuwa wakishiriki kila wakati wa mashindano. Kwa ufupi, tumewaleta wakimbiaji kuja kushindana mbali ya kujiweka vizuri kiafya.

Kuhusiana na kilichoivutia kampuni hiyo kubwa ya simenti kujiunga na mbio hizo nakutumia zaidi ya milioni 36 kwaajili ya kudhamini maji vipozeo kwaajili ya wakimbiaji, Brits alisema:” Tunapenda michezo, na hasa tunapenda mbio za Kilimarathon, kwa kuwa huu ndiyo mchezo pekee ambao unashirikisha wafanyakazi wetu wengi kwa mpigo, kutoka wakimbiaji hadi wasio wakimbiaji. Ninaposema wasio wakimbiaji nina maana ya wale waliojitolea leo hapa katika vituo vya kugawia maji na kazi za uwanjani. Kwa hiyo tunapoongelea Kilimarathon, tunaongelea Timu Simba kutoka Tanga Cement ikishiriki kwa ukamilifu
Share:

Tuesday, March 1, 2022

Wafanyakazi wa Absa Tanzania wajitolea damu kusaidia wodi ya wazazi ya CCBRT

 
Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya Absa Tanzania, Hellen Siria (kushoto) akijitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na wafanyakazi wa benki hiyo kutoa damu kwa ajili ya kusaidia wodi mpya ya wazazi katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kutoka kulia ni Muuguzi Mkunga wa hospitali ya CCBRT, Emiliana Tibilikirwa na Fundi Sanifu wa Maabara ya Hospitali hiyo, Athumani Daffa.
Meneja Mahusiano wa Benki ya Absa Tanzania, Linda Lance (kulia) akipata vipimo kabla ya kujitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na wafanyakazi wa benki hiyo kutoa damu kwa ajili ya kusaidia wodi mpya ya wazazi katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaomhudumia kutoka kushoto ni Afisa Muuguzi wa Hospitali ya CCBRT, Christina Baluhya na Fundi Sanifu wa Maabara ya Hospitali hiyo, Athumani Daffa.
Product Implementation Analyst, Ridhiwan Ibrahim (kulia) na Meneja Mahusiano wa Benki ya Absa Tanzania, Linda Lance (wa pili kulia) wakijitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na wafanyakazi wa benki hiyo kutoa damu kwa ajili ya kusaidia wodi mpya ya wazazi katika hospitali ya CCBRT jijini Dar es Salaam hivi karibuni. kutoka kushoto ni Afisa Muuguzi wa Hospitali ya CCBRT, Christina Baluhya na Fundi Sanifu wa Maabara ya Hospitali hiyo, Athumani Daffa.
Share:

Monday, February 28, 2022

WIZARA YA NISHATI YAPATA NEEMA KUPITIA DUBAI EXPO

.com/img/a/

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) katika Kongamano la Biashara na Uwekezaji lililofanyika jana Dubai, UAE.

.com/img/a/
.com/img/a/
Waziri wa Nishati Mhe. Januari Makamba akishuhudia uwekaji wa sahihi ya makubaliano baina ya UAE na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ambapo Naibu Katibu Mkuu Ndg Kheri Mahimbali akisaini makubaliano ya ujenzi wa Fuel Terminal kwa niaba ya JMT ambao ujenzi huo utasaidia katika uhifadhi wa mafuta na pia itatatua tatizo la mfumuko wa bei ya mafuta ya Petrol na Diesel.
.com/img/a/

.com/img/a/

Share:

Friday, February 25, 2022

TANZANIA COMMERCIL BANK YATOA MSAADA KWA JESHI LA POLISI USALAMA BARABARANI

 


Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kushoto), akishikana mikono na Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa, wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na vibanda kumi vya kupunzikia askari wa kitengo hicho makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay jijini Dar es Salaam. wengine pichani ni Meneja wa Tanzania Commercial Bank Tawi la Ubungo Abas Juma pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.
Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kulia), akizungumza wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na vibanda kumi vya kupunzikia askari wa kitengo hicho makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay wengine pichani ni Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa,pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.
Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa, wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na vibanda kumi vya kupunzikia askari wa kitengo hicho makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay jijini Dar es Salaam. wengine pichani ni Meneja wa Tanzania Commercial Bank Tawi la Ubungo Abas Juma pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.
 
Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa,akizungumza mara baada ya kupokea mdaa wa vifaa vyakuongezea usalama barabarani kutoka Tanzania Commercial Bank. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.

 Picha ya pamoja





Share:

Wednesday, February 23, 2022

KILIMANJARO RC HAILS ABSA BANK OVER TREES DONATION

The Kilimanjaro Regional Commissioner (RC), Stephen Kagaigai (right) receives a sample tree seedling from the Absa Bank Head of Marketing and Corporate Relations, Aron Luhanga (centre) when the bank donated 2,100 indigenous tree seedlings to Kilimanjaro Region at the RC's office in Moshi. On the left is the Absa Bank Moshi Branch Manager, Pendo Abdallah.
The Kilimanjaro Regional Commissioner, Stephen Kagaigai (right) witnesses as the Absa Bank Head of Marketing and Corporate Relations, Aron Luhanga plants a tree to signify the bank's donation of 2,100 indigenous tree seedlings to Kilimanjaro Region. Witnessing are the Absa Bank Moshi Branch Manager, Pendo Abdallah and Sales Representative Saidi Borakupata.

The Kilimanjaro Regional Commissioner (RC) Stephen Kagaigai has commended the management of Absa Bank Tanzania Limited, for its significant contribution to improving the environment in the country, including within the region.

Kagaigai made the remarks on Wednesday when he receiving a total of 2,100 seedlings of indigenous trees from the bank's management at the RC’s office, in Moshi.

Different efforts meant to improve the environment have contributed significantly to the ongoing well-being of our region’s environment; I commend Absa for the contribution, may I take this opportunity to urge other institutions to emulate your institution”, he said and added that the government will continue supporting different investors to achieve their goals.

He also commended the management of Absa Bank Tanzania Limited for providing indigenous tree seedlings that contribute significantly to the conservation of water sources.

"This region is home to Mount Kilimanjaro which is the tallest in Africa, the continued existence of this mountain is contributed by the conservation of water sources, therefore indigenous seedlings will contribute to the conservation of these important sources," he said.

"Mount Kilimanjaro is the source of water that is used for a variety of economic activities such as fishing, agriculture, better environment related programmes as well for use in various human activities, this goes to show the importance of indigenous trees in conserving water sources”, he added.

Kagaigai also called on the bank's leadership to mobilize different people to invest in the region due to the fact that Kilimanjaro Region is a safe investment destination.

On his part, the Absa Bank Head of Marketing and Corporate Relations Aron Luhanga said the tree seedlings donations were part of the bank's contributions through its Corporate Social Responsibility which is aligned to its Kilimanjaro Marathon sponsorship.

"We are donating these seedlings as our gratitude to the Kilimanjaro region’s leadership due to the fact that it (leadership) contributed to Absa’s inclusion as one of the co-sponsors of the Kilimanjaro Marathon race that takes place in the region every year”, he said.

Today we are providing 2,100 indigenous tree seedlings that contribute to water sources as well as the environment in general; we promise to continue to make a significant contribution to improving the environment in the region”, he said.

During the occasion, RC Kagaigai and Mr.Luhanga planted trees at the RC’s offices’ to signify the handover.
Share:

Tuesday, February 22, 2022

Meta launches Reels on Facebook and New Ways for Creators to Make Money across SSA

22 February 2022 Today | Meta is expanding the availability of Facebook Reels for iOS and Android to more than 20 countries across sub-Saharan Africa. Meta is also introducing better ways to help creators to earn money, new creation tools and more places to watch and create Facebook Reels.

Prior to this launch Reels was available on Facebook in India, Mexico, Canada, the U.S, and is now available across sub-Saharan Africa in: Zimbabwe, Zambia, Uganda, Tanzania, Swaziland, South Africa, Seychelles, Senegal, Rwanda, Nigeria, Namibia, Mali, Malawi, Lesotho, Kenya, Guinea, Ghana, Cape Verde, Cameroon, Burkina Faso.


Commenting on the launch Nunu Ntshingila, Regional Director for sub-Saharan Africa at Meta says, “We’ve seen that video now accounts for almost all of the time people spend on Facebook and Instagram, and Reels is our fastest growing content format by far. This is why we’re focused on making Reels the best way for creators to get discovered, connect with their audience and earn money. We also want to make it fun and easy for people to find and share relevant and entertaining content.

cidimage001.png@01D82828.7ABBCAC0

Meta is also creating a variety of opportunities for creators to earn money for their reels. The Reels Play bonus program, part of Meta’s $1 billion creator investment, pays eligible creators up to $35,000 a month based on the views of their qualifying reels. In the coming months, the bonus program will be extended to more countries, so more creators can get rewarded for creating reels that their communities love.


As part of the launch Meta is also launching brand suitability controls, including Publisher Lists, Blocklists, Inventory Filters and Delivery Reports for Banner and Sticker Ads in Facebook Reels in every region they are available, giving advertisers more control over how their ads appear in places they don't consider suitable for their brand or campaign. Additionally, Meta has been testing full-screen and immersive ads in between Facebook Reels since October of last year, and will roll them out to more places around the world over the coming months. Just like with organic content on Facebook, people can comment, like, view, save, share and skip them.


More Editing Features


In addition to the features announced last year, creators around the world will be able to access: 


  • Remix: Create your own reel alongside an existing, publicly-shared reel on Facebook. When you create a Remix, you can create a reel that includes all or part of another creator’s reel. 
  • 60-second Reels: Make reels up to 60 seconds long.
  • Drafts: You will soon be able to create a reel and choose to “Save As Draft” below the Save button. 
  • Video Clipping: In the coming months, we’re planning to roll out video clipping tools that will make it easier for creators who publish live or long-form, recorded videos to test different formats. 


Create and Discover Reels in New Places


Over the coming weeks, the following updates will be rolled out to make it easier to create and discover reels in new places:


  • Reels in Stories: You can share public reels to Stories on Facebook, making it easy to share favourite reels with friends and giving creators more visibility and reach. You’ll also be able to create reels from existing public stories.
  • Reels in Watch: You’ll be able to watch reels directly within the Watch tab and we’re developing tools to help you create reels in the Watch tab as well. 
  • Top of Feed: We’re adding a new Reels label at the top of Feed so you’ll be able to easily create and watch reels in just a few clicks.  
  • Suggested Reels in Feed: In select countries, we’re starting to suggest reels that you may like in your Feed from people you do not already follow.


Meta is also exploring ways to make it easier for creators to share Reels to both their Facebook and Instagram audiences, such as cross posting. 


You can find Facebook Reels in Feed, Groups and Watch. When viewing a reel, you can follow the creator directly from the video, like and comment on it or share it with friends.

Share:

Thursday, February 17, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAWAFIKIA WAKAZI WA MBINGA YAZINDUA TAWI JIPYA LA KISASA

 .com/img/a/Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brig. Jenerali Wilbert Ibuge (katikati) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa tawi jipya la Tanzania Commercial Bank lililofunguliwa katika barabara ya mkibili mjini Mbinga mkoani Ruvuma ikiwa ni tawi la tatu la benki hiyo katika mkoa huo kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Sabasaba Moshingi pamoja na Meneja wa Tawi la Tanzania Commercial bank mbinga Egno Ngole .

.com/img/a/
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brig. Jenerali Wilbert Ibuge (wapili kulia), akisaidi katika kitabu cha wageni alipotembelea na kuzidua tawi jipya la Tanzania Commercial Bank lililofunguliwa katika barabara ya mkibili mjini Mbinga mkoani Ruvuma ikiwa ni tawi la tatu la benki hiyo katika mkoa huo (kulia) ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank Sabasaba Moshingi, Meneja wa Tawi hilo Egno Ngole pamoja na maofisa wengine wa Tanzania Commercial Bank.
.com/img/a/
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brig. Jenerali Wilbert Ibuge (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na  kushoto kwake ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Sabasaba Moshingi, Meneja wa Tawi hilo Egno Ngole pamoja na maofisa wengine wa Tanzania Commercial Bank.


Tanzania Commercial Bank (TCB) imeendelea kuongeza jitihada kuwafikia Watanzania katika kila kona ya nchi  kwa madhumuni ya kujenga jamii yenye uchumi wa kati, na kuunga mkono juhudi  na malengo ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha kila Mtanzania anafikiwa na huduma za kibenki.

Benki hiyo iimetimiza azma hiyo kupitia huduma zake mbalimbali katika kuigusa jamii kwa kufungua tawi Mji wa Mbinga, Mkoani Ruvuma katika hafla fupi iliyohudhuriwa na wadau mbalimbali.


Tawi hilo la Mbinga linakuwa tawi la tatu kuzinduliwa mwaka huu na kuifanya benki hiyo sasas kuwa na mtandano wenye jumla ya matawi 82 Tanzania Bara na Visiwani ili kuleta manufaa  kwa wajasiriamali na wananchi wa mkoa huo.


Pamoja na kusogeza  huduma za kibenki kwa wananchi, Tanzania Commercial Bank pia inategemewa kufungua na kuendeleza fursa mbalimbali za kibiashara kwa lengo la kuinua uchumi katika mkoa huo.


Akiongea katika hafla ya uzinduzi wa Tawi hilo Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bnk, Sabasaba Moshingi,  alisema wateja wa benki hiyo wapo katika mikono salama na kuwaomba wananchi  waitumie benki hiyo kwani imekuwa ikifanya mambo mengi yanayolenga jamii.


Moshingi alisema kuwa uzinduzi wa tawi la Tanzania Commercial Bank wilayani Mbinga ni moja ya mikakati ya benki hiyo ya kupanua na kusogeza huduma za kibenki karibu zaidi kwa wananchi hasa katika maeneo yanayokua kwa kasi na ambayo yenye maendeleo ya kiuchumi.


“TCB inaamini kufungua matawi  katika maeneo yenye muwamko wa kiuchumi utakaoongeza  ukuwaji wa shughuli za kifedha  kwa wananchi na kuinua kipato cha wajasiriamali, “ alisema Moshingi.“ Mchakato wa Tanzania Commercial Bank unaenda sambamba na malengo ya serikali yetu ya kusogeza huduma bora kwa wananchi wote”


Tawi la Mbinga  ni mwendelezo wa ufunguzi wa matawi ya benki hiyo mwaka 2002, tulianza na uzinduzi wa matawi ya Kigamboni, Dar es Salaam na Mpanda,  likiwa ni mkakati wa Tanzania Commercial Bank wa kuchangamkia fursa ya kukua kwa shughuli za kibiashara  na za kiuchumi wilayani humo.


 Akizungumza na wadau mbalimbali wakiwemo wafanyabiashara waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa tawi la Mbinga, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brig. Jenerali Wilbert Ibuge ,aliipongeza Tanzania Commercial Bank kwa kuona fursa kubwa wilayani humo zinazotokana na shughuli mbalimbali za kimaendeleo zinazofanywa na wananchi wa mkoa wa Ruvuma.


Aliwaomba  wananchi wa mkoa huo kuchangamkia fursa zinazotolewa na Tanzania Commercial Bank kwa kufungua akaunti nakujipatia mikopo kwa mashari nafuu.  “ Benki hii ni yakwetu tuitumie kwa faida maana imekuwa benki ya kwanza kujali wananchi wa Ruvuma,  hili ni tawi la tatu katika mkoa wetu kufunguliwa na benki hii,” alisema Brig. Jenerali Ibuge.


Tanzania Commercial Bank Plc ni taasisi ya fedha iliyoundwa kisheria kutoka iliyokuwa Benki ya Posta Tanzania (Tanzania Postal Bank), ikitoa bidhaa na huduma ili kukidhi mahitaji ya benki ya kibinafsi na ya kibiashara ya wateja.

Share:

Thursday, February 3, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAWAFIKIA WAKAZI WA KIGAMBONI WAZINDUA TAWI JIPYA

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Fatma Nyangasa (kushoto), akifungua pazia la jiwe la msingi kuashiria uzinduzi rasmi wa Tawi jipya  la Benki ya Tanzania Commercial Banki Kigamboni Hafla hiyo imefanyika  leo katika ofisi za tawi hilo kigamboni jijini Dar es Salaam kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank Sabasaba Moshingi, Tawi la Tanzania Commercial Bank limekuwa ni tawi la kwanza katika Wilaya hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Fatma Nyangasa (watatukulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi  wa tawi la Tanzania Commercial Bank Kigamboni. Hafla hiyo imefanyika katika ofisi za tawi hilo lililopo Kigamboni jijini Dar es Salaam kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank Sabasaba Moshingi, kulia ni Meneja wa Tawi la hilo Lameck Bubewa.
Meneja wa Tawi  wa Benki ya Tanzania Commercial Bank Lameck Bubewa akizungumza wakati wa hafla wa uzinduzi wa tawi la benki hiyo lililofunguliwa leo na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Fatma Nyangasa ambae ndio alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Fatma Nyangasa (katikati),akizungumza wakati wa hafla wa uzinduzi wa tawi la benki ya Tanzania Commercial Bank  lililofunguliwa katika wilaya hiyo  kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank Sabasaba Moshingi, pamoja na Mkurugenzi wa Tehama na Uwendeshaji wa Tanzania Commercial Bank Jema Msuya.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive