A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, August 6, 2019

WAFANYAKAZI WAPYA BODI YA MAPATO ZANZIBAR WAPEWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO


Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Joseph Abdallah Meza akifungua mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wapya wa ZRB, mafunzo hayo yamefanyika Ofisi za Mtakwimu Mazizini Mjini Zanzibar.
Wafanyakazi wapya wa ZRB wakisikiliza kwa makini hutuba ya ufunguzi iliyotolewa na Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Joseph Abdallah Meza (hayupo pichani).
Asma Khamis Hassan, ICT Officer ZRB ni miongoni mwa wafanyakazi wapya akiuliza swali wakati wa mafunzo hayo.
Mgeni rasmi Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Joseph Abdallah Meza (katikati) akipokea maswali kwa wafanyakazi  wake. Kulia ni Afisa Mahusiano wa ZRB Makame Khamis Muh’d na kushoto ni Mkurugenzi Rasilimali Watu na Uendeshaji, Mohamed Amour Mohamed.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive