A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Wednesday, December 11, 2019

Barclays reveals second Absa branded branch in Arusha

Barclays Bank Tanzania Board Chairman, Simon Mponji (third left), cuts a ribbon to official launch the Absa Bank Tanzania  second Absa branded branch in Arusha on Tuesday. Looking on from left are BBT Director of Finance, Obedi Laiser, Head of Retail Banking, Oscar Mwamfwagasi and the banks Managing Director, Abdi Mohamed.

Barclays Bank Tanzania today revealed its second rebranded branch as it gets ready to change its name to Absa in the near future. The bank is preparing to change its name in line with its parent company’s decision to rebrand all its operations and will change from Barclays Bank Tanzania to Absa Bank Tanzania.

Last week the bank launched its first Absa-branded branch in Tanzania - its Mikocheni Branch. Today the bank revealed its second Absa-branded branch Tanzania, which is also the first in Arusha. This completely new branch located within the newly built Ngorongoro Tourism Center, showcases the warm, vibrant red color palette of the Absa brand, with the furniture and décor reflecting the warm hues of the brand’s wide color spectrum inspired by the African continent. This state of the art, paperless branch is equipped with internet banking facilities and newly branded ATMs, all carrying the Absa logo.

“As we get ready to enter a new era in the bank’s history, you can expect to see the energy and the vibrancy of the new Absa brand taking us to new levels. From our new branches, we will embrace our ambition of becoming an independent African bank, under a new brand: Absa. As an organisation, Absa believes in bringing your possibility to life. We are here to fulfil the ambitions of our customers and communities, and we look forward to continuing to build strong partnerships to make this a reality,” said Mr. Abdi Mohamed, Managing Director of Barclays Bank Tanzania.

Even though some branches will start to look like Absa, it will continue to operate and trade as Barclays Bank Tanzania until its name officially changes. The bank has several legal and regulatory milestones to achieve before the official name change date can be announced. The bank will announce this date in due course.

On his part, the Chairman of the Barclays Board of Directors, Mr Simon Mponji, said “Recognizing the significant size of the task ahead, and in preparation to change our name, we started introducing Absa’s warm, vibrant red colour palette on some of our assets, including bank branches and ATMs, to ensure we are fully ready by the time our legal name changes.

The name change in Tanzania is part of one of the largest rebranding projects in Africa and part of a broader, multi-country rebrand programme happening at Absa Group Limited-level, scheduled to be completed by mid-2020. The bank is well on track to complete the process ahead of this deadline.”

In closing, Mr Mohamed assured clients that “All customer services will continue as before throughout the name change process, and customers will not be required to do anything during this period. Barclays Bank Tanzania will not ask any customer for additional information during this period, and all bank records will remain the same before and after the transition.”
Share:

Monday, December 9, 2019

Benki ya Barclays yatwaa ushindi Tuzzo za NBAA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shaban (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mshindi wa tatu katika kitengo cha mabenki makubwa ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) kwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Fedha ya Benki yaa Barclays Tanzania, Bernard Tesha katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kulia ni Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Fedha wa benki hiyo, Muhsin Kaye na kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya NBAA, Prof. Isaya Jairo.
Kaimu Mkurugenzi wa Fedha wa Benki ya Barclays Tanzania, Bernard Tesha (kulia), na Meneja wa Kitengo cha Usimamizi wa Fedha wa benki hiyo, Muhsin Kaye, wakionyesha tuzo ya mshindi wa tatu katika kitengo cha mabenki makubwa ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) iliyoshinda benki hiyo mara baada ya kukaabidhiwa jijini Dar es Salaam h kwa Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Fedha ya Benki yaa Barclays Tanzania, Bernard Tesha katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Share:

Benki ya DCB yaibuka kidedea tuzo za NBAA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Amina Shaban (wa pili kushoto), akikabidhi tuzo ya mshindi wa kwanza katika kitengo cha mabenki madogo na ya kati ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) kwa Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Nelson Swai katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi.  Kulia kabisa ni Mkaguzi wa Hesabu za Ndani wa DCB, Samwel Stephano.
Mkaguzi wa Hesabu za Ndani wa Benki ya Biashara ya DCB, Samwel Stephano (kulia) akionyesha  tuzo ya mshindi wa kwanza katika kitengo cha mabenki madogo na ya kati ya Mwasilishi Bora wa Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Mahesabu (NBAA) mara baada ya kukabiodhiwa katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uendeshaji wa DCB, Nelson Swai.
Share:

Thursday, December 5, 2019

Washindi wa Ibuka Kidedea na NBC Malengo wakabidhiwa bodaboda zao

Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya Ibuka Kidedea na NBC  Malengo, Scholastika Peter (kulia), akibonyeza kitufe cha kompyuta ili kumpata mmoja wa washindi wa droo ya pili jijini Dar es Salaam leo. Wanaoangalia kulia kwake ni Meneja Amana za Uwekezaji, Dorothea Mabonye, Meneja Uhusiano Wateja Binafsi, Deogratius Kibodya, Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Innocent Shayo na Mkuu wa Bidhaa wa NBC, Japhet Fungo. Katika droo ya pili, washindi watano wamejishindia tiketi za kwenda Ushelisheli, huku watatu wakishinda safari za kwenda Serengeti, kila moja akitunukiwa bakshishi ya kuandamana na mwenza atakayemchagua.
Meneja Masoko wa benki ya NBC, Alina Maria Kimaryo ( kulia), akikabidhi zawadi ya  pikipiki kwa mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya Ibuka Kidedea na NBC Malengo, Daudi Majani, katika hafla iliyofanyika pamoja na droo ya pili ya kampeni hiyo jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya Ibuka Kidedea na NBC Malengo, Scholastika Peter, akifurahia zawadi yake ya pikipiki mara baada ya kukabidhiwa na Mkuu wa Bidhaa wa benki hiyo, Japhet Fungo (kulia).
Ofisa wa Benki ya NBC, Hussein Issa ( kulia), akikabidhi zawadi ya  pikipiki kwa mmoja wa washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya Ibuka Kidedea na NCB Malengo, Honest Kimaro, katika hafla iliyofanyika pamoja na droo ya pili ya kampeni hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya washindi wa zawadi ya bodaboda wakipozi kwa picha ya kumbukumbu na maofisa wa NBC mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao jijini Dar es Salaam leo. Pikipiki hizo tano zilizokabidhiwa leo zina thamani ya shs milioni 12.3.
Share:

Benki ya NBC yatoa mafunzo kwa wafanyabiashara jijini Dar.

Mkuu wa Kitengo cha Wafanyabiashara wa Kati na Wadogo wa Benki ya NBC, Evance Luhimbo akizungumza na wafanyabiashara  wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo, katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na benki hiyo kwa lengo la kuwawezesha kimafunzo yatakayosaidia katika ukuaji wa biashara zao jijini Dar es Salaam jana.
Meneja Maendeleo ya Viwanda wa Chama cha Wafanyabiashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), Patrick Magai akitoa elimu kuhusu fursa za viwanda katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na benki ya NBC kwa wateja wake wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo jana.
Msaidizi wa Msajili Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), George Chuwa akizungumza katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na benki ya NBC kwa wateja wake wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo jiijini Dar es Salaam jana.

Ofisa Msimamizi wa Walipa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Joyce Ng`oja akitoa elimu kuhusu kodi katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na benki ya NBC kwa wateja wake wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam jana.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Guru Planet, Nickson Martin akitoa elimu kuhusu uhifdhi wa bidhaa katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na benki ya NBC kwa wateja wake wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoojiji jijini Dar es Salaam jana.

Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru (wa pili kushoto), akizungumza jambo na wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam wakati wa semina iliyoandaliwa na benki hiyo yenye lengo la kuwawezesha kimafunzo kuhusu ukuaji wa biashara zao jijini humo jana.

Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru (kushoto), akizungumza na wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam katika semina ya siku moja yenye lengo la kuwawezesha kimafunzo kuhusu ukuaji wa biashara zao, masuala ya kodi, mitaji na taratibu nyingine za uendeshaji wa biashara jijini  Dar es Salaam jana.

Mkuu wa Kitengo cha Wafanyabiashra wa Kati na Wadogo wa Benki ya NBC, Evance Luhimbo (kushoto), akizungumza na wafanyabiashara wadogo na wa kati wa maeneo ya Kariakoo  katika semina ya siku moja iliyoandaliwa na benki hiyo kwa lengo la kuwawezesha kimafunzo kuhusu ukuaji wa biashara, masuala ya mitaji, kodi na jinsi nyingine ya kuendesha biashara jijini Dar es Salaam jana.
Share:

ABSA OPENS FIRST NEW-LOOK BRANCH IN DAR ES SALAAM

Ministry of Finance and Planning Assistant Commissioner for External Finance, Mrs. Mamelta Mutagwaba (second left), who represented the Minister for Finance and Planning, cuts a ribbon to officially launch the first Absa branded branch in Tanzania at Palm Village, Mwai Kibaki Road in Dar es Salaam on Tuesday. Looking on from left are; Barclays Bank Tanzania (BBT) Board Chairman, Simon Mponji, BBT Managing Director, Abdi Mohamed, Chinese Business Chamber Chairman, Janson Huang, BBT Head of Retail Banking, Oscar Mwamfwagasi and BBT Head of Communications and Corporate Relations, Aron Luhanga.
Barclays Bank Tanzania has started to rebrand its properties in the country following a take-over by Absa Group Limited last year.

On Tuesday, the Bank unveiled its first Absa branded branch at Palm Village along Mwai Kibaki Road in Dar es Salaam with the Bank’s Managing Director, Abdi Mohamed, assuring customers that the changes would not affect the quality of services offered by the Bank.

“We are getting ready to change our name from Barclays Bank Tanzania to Absa Bank Tanzania. This is in line with our parent company Absa Group Limited’s decision to rebrand all its operations to Absa, as announced in July 2018,” said the Managing Director during the ceremony to unveil the new Absa branded branch. He noted that over the coming weeks, people in the country will witness more of Absa branded branches, ATMs and some other branded assets take on the warm, vibrant red colour palette of the Absa brand, symbolic of the many shades under our hot African sun. “This is the look-and-feel we will be rolling out across our Tanzania branch network,” he declared.

According to Mr Mohamed the change was part of one of the largest rebranding projects in Africa scheduled to be completed by mid-2020 and part of a broader, multi-country rebrand programme happening at Group-level.

Share:

Tuesday, December 3, 2019

Benki ya NBC na T-Pesa zaingia ushirikiano kutoa huduma za kifedha

Mkurugenzi wa Huduma ya T-Pesa, Lulu Mkudde (kulia), akionyesha jinsi ya kufanya muamala wa kifedha kutoka katika akaunti ya Benki ya NBC kupitia huduma ya kifedha kupitia T-Pesa ya Kampuni ya TTCL, katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya T-Pesa na NBC ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa NBC, Deogratius Mosha. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa Benki ya NBC, Deogratius Mosha (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya NBC na T-Pesa ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kulia ni Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkudde.
Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkudde (kulia), akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo katika hafla ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya NBC na T-Pesa ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka katika akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kushoto ni Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa Benki ya NBC, Deogratius Mosha.
Mkurugenzi wa T-Pesa, Lulu Mkudde (kulia), akizungumza na maofisa wa NBC na wa T-Pesa mara baada ya uzinduzi wa ushirikiano wa huduma za kifedha kati ya NBC na T-Pesa ambapo wateja wa NBC wataweza kutoa na kutuma pesa kutoka akaunti zao kupitia huduma ya simu za mkononi ya T-Pesa. Kutoka kushoto ni; Meneja Masoko wa NBC, Alina Maria Kimaryo, Mkuu wa Huduma za Kibenki Kidigitali wa NBC, Deogratius Mosha na Meneja Uendeshaji wa T-Pesa, Nasra Mughairy.
Share:

Sunday, December 1, 2019

NBC kusaidia wanafunzi wanaoshindwa kumudu gharama za ada chuo kikuu

Meneja Chapa na Mawasiliano wa NBC, David Raymond (kulia), akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika hafla ya kuchangisha fedha kwa njia ya vichekesho na burudani iitwayo ‘Cheka Nisome’ iliyodhaminiwa na NBC yenye lengo la kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kuendelea na masomo kutokana na kushindwa kumudu gharama za ada. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam juzi. Hafla hii iliratibiwa na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO).
04
Baadhi ya wahudhuriaji wakishangilia moja ya onesho lililokuwa likifanywa na mmoja wa wachekeshaji mahiri kutoka Kenya, Erick Omondi katika hafla iliyoandaliwa mwishoni mwa juma lililopita na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) na kudhaminiwa na Benki ya NBC yenye lengo la kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kuendelea na masomo kutokana na kushindwa kumudu gharama za ada chuoni hapo. 
01
Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Bw. Emmanuel Mapunda (katikati) akisalimiana na Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) Bw. Hamis Mussa katika hafla ya kuchangisha fedha kwa njia ya vichekesho na burudani iitwayo ‘Cheka Nisome’ iliyodhaminiwa na NBC yenye lengo la kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kuendelea na masomo kutokana na kushindwa kumudu gharama za ada. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam juzi. Kulia ni Meneja Chapa na Mawasiliano wa NBC Bw. David Raymond.02
Meneja Chapa na Mawasiliano wa Benki ya NBC Bw. David Raymond (kulia), akisalimiana na Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) Bw. Hamis Mussa katika hafla ya kuchangisha fedha kwa njia ya vichekesho na burudani iitwayo ‘Cheka Nisome’ iliyodhaminiwa na NBC yenye lengo la kuwasaidia wanafunzi wanaoshindwa kuendelea na masomo kutokana na kushindwa kumudu gharama za ada. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam juzi. Katikati ni Meneja wa NBC Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Bw. Emmanuel Mapunda.
Share:

Friday, November 29, 2019

Barclays Bank hosts its Zanzibar customers to a thanks-giving cocktail event

Barclays Bank’s Managing Director, Abdi Mohamed (on the right) in conversation with a client during the cocktail event.
Barclays Bank’s Finance Director, Obedi Solomon Laiser (in the middle) engaging with clients during the cocktail event.
Barclays Bank’s Human Resource Director, Patrick Foya (right) engaging with customers during the cocktail event.
Barclays Bank’s Chairman, Simon Mponji (left) and Dr Suleiman Rashid Mohamed (extreme right) in conversation with clients during the cocktail event.
Barclays Bank’s Corporate Director, Brian Kalero (Right) in conversation with clients during the cocktail event.

Barclays Bank Tanzania Limited (BBT) on Tuesday, 26th of November hosted its Zanzibar customers to a cocktail event. The event was not only a platform to appreciate the continued support of its customers but was also used to provide an opportunity for clients to join BBT in its transition journey and be informed of the expected milestones as the Bank prepares to rebrand into Absa.

Speaking during the event, the bank’s Managing Director, Mr. Abdi Mohamed said, “Our brand and name change to Absa is proceeding as planned. We have taken a sequenced approach and expect some branches to reflect several elements of the new brand in the first half of December, while some branches will retain the current look.  The intention is to take our customers and the public with us through the transformation journey visually.  We will however continue to operate and trade as Barclays Bank Tanzania Limited until our name officially changes, as approved by the Regulator.” 

Speaking on the bank’s commitment to Tanzania, Mr. Mohamed said, “Barclays is committed to serving its customers and we are proud of the momentum we have built over the past 3 years. Our commitment to our clients has been demonstrated in the successful execution of key financing transactions amounting to TZS 529bn, across sectors such as Oil & Gas, Public Sector, Manufacturing and Agriculture. In addition, our non-funded strategy and focus has been reaffirmed by The Asian Banker 2019 recognition of BBT as the best ‘Cash Management Bank in Tanzania’.

Responding to a question on whether customers can have the same confidence in Absa as they had in Barclays, the bank’s Head of Retail Banking, Mr. Oscar Mwamfwagasi said ”Absa Group is committed to building on Barclays' heritage in Africa and the strengths that we already have on the continent. We have a deep history and local knowledge in Tanzania. Our main products and services haven’t changed. Our customers can bank with us as confidently as they always have. 

You can bank with us as safely as you always have. Absa Group is one of the largest banking groups in Africa, with a balance sheet of more than USD 91 billion, as well as new systems with robust security provisions. ”

In conclusion, Mr. Mwamfwagasi; called for clients to remain vigilant, saying “We will not ask any customer for additional information during this time, and all customer account details will remain the same before and after the transition.”

Share:

Thursday, November 28, 2019

Wafanyakazi wa Benki ya NBC wajitolea damu kusaidia wenye mahitaji

Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Waziri Barnabas (katikati), akihojiwa na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati yeye na mwenzake, Fanuel Jenga (kushoto), wakijitolea damu katika zoezi lililoandaliwa na benki hiyo kwa wafanyakazi wake kujitolea damu kusaidia wenye mahitaji kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama.
Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Waziri Barnabas (kulia), pamoja na Mhasibu wa benki hiyo, Fanuel Jenga (kulia kwake) wakichukuliwa vipimo vya damu kabla ya kujitolea damu jijini Dar es Salaam leo, katika zoezi liloandaliwa na benki hiyo kwa wafanyakazi wake pamoja na wakazi wengine wa jiji hilo kusaidia wenye mahitaji kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama. Kushoto ni Evelyn Dielly kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakijitolea damu katika zoezi liloandaliwa na benki hiyo kwa wafanyakazi wake pamoja na wakazi wengine wa Jiji la Dar es Salaam leo kujitolea damu kusaidia wenye mahitaji kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama.
Mkazi wa Chalinze, Joshua Mjuni akijitolea damu katika zoezi liloandaliwa na NBC kwa wafanyakazi wake pamoja na wananchi wengine leo, kujitolea damu kusaidia wenye mahitaji kupitia Mpango wa Taifa wa Damu Salama. Anayemhudumia ni muuguzi kutoka Damu Salama, Peter Chami.
Ofisa Uhamasishaji wa Mpango  wa Taifa wa Damu Salama, Fatuma Mjungu, akihojiwa na waandishi wa habari katika zoezi la uchangiaji damu wa hiari lililkoandaliwa na Benki ya NBC jijini Dar es Salaam leo.

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

Watanzania wamehimizwa kushiriki zoezi la kuchangia damu kwa hiari ili kukidhi mahitaji makubwa ya damu na kuokoa maisha ya wenzao pamoja na kusaidia huduma za afya nchini.

Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Ofisa Fedha Mkuu wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Waziri Barnabas akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Bbenki hiyo, Theobald  Sabi wakati wa tukio la kuchangia damu kwa hiari lililondaliwa na NBC akisema kwamba huo ni utamaduni wa benki hiyo wa kuchangia damu kwa kujitolea.

Alisisitiza kwamba ni muhimu kwa watanzania kuanza kujitokeza na kujitolea damu kwa hiari ili kuendelea kuokoa maisha ya wenye mahitaji.

 "Hii ni mara ya tatu kwa benki hii na wafanyakazi wake kushiriki kwenye kampeni ya uchangiaji damu ili kuokoa maisha ya wakinamama wanaojifungua, waliopata ajali na watu wengine wenye mahitaji ya damu nchini,” aliongeza.

 Barnabas aliongeza kwamba kwamba mahitaji ya damu bado yapo juu kwenye mahospitali hasa kwenye upasuaji na bado mwamko upo chini kwa wananchi kama uchangiaji wa damu kwa hiari.

"Ni muhimu sana kwa watanzania wenzetu kuungana nasi katika shughuli ya kujitolea ya kuchangia damu ambayo inatarajiwa kumalizika kesho,” alisema.

Alisema kwamba kwenye shughuli hiyo wanatarajia kukusanya takriban chupa 100 kutoka kwa wafanyakazi wa benki hiyo na watu wengine kutoka maeneo mbalimbali ya jiji ili kupunguza mahitaji makubwa ya damu nchini na alisisitiza kuwa kampeni hiyo inapaswa kuwa endelevu kukidhi matarajio ya nchini.

Kwa upande wake, Kaimu Ofisa Rasilimali watu wa benki hiyo, Grace Mgondah alisema kwamba wanatarajia  wafanyakazi 500 kutoka kwenye matawi mbalimbali watashiriki katika zoezi hilo la siku mbili ya kujitolea damu kwa hiari.

"Hii ni sehemu ya huduma kwa jamii ambayo benki yetu ya NBC inasikia fahari kuwahudumia na ninatoa wito kwa watanzania wenzetu kujitokeza kwa wingi kuja kutuunga mkono,” alisisitiza.

Fatuma Mjungu kutoka Kitengo cha Taifa cha Damu Salama (NBTS) alisema kwamba mwaka huu wanatarajia kukusanya chupa 450,000 za damu kutoka kwenye taasisi mbalimbali na watu wanaojitolea kwa hiari.

"Mahitaji ya damu kwa sasa nchini ni chupa 520,000 lakini asilimia moja tu ya watanzania wote wakichangia damu tunaweza kukidhi mahitaji ya damu kwa taifa,” aliongeza

Mjungu pia ametoa wito kwa taasisi na makampuni nchini kuinga mkono benki hiyo ya NBC kwa kuhamasisha wafanyakazi wake na wananchi wengine kwa ujumla kujitolea damu kwa ajili ya watu wenye uhitaji.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive