A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, April 17, 2023

TANZANIA COMMERCIA BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 100 YA SARUJI KUKAMILISHA UJENZI UKUTA WA CHUO CHA TIBA MTWARA

 


Meneja wa Tanzania Commerical Bank Plc, Tawi la Newala Mkoa wa Mtwara Bw.Alex Minai (wapili Kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 100 ya Saruji kwa Mbunge wa jimbo la Newala Mhe. George Huruma Mkuchika iliyotolewa na Benki hiyo kwaajili ya kusaidia ujenzi wa ukuta wa chuo cha Uuguzi na Ukunga hii ni kampeni ya Benki ya TCB kuunga mkono juhudi za Serikali hususani Sekta ya Afya ili kuondoa changamoto zilizopo. Wengine pichani ni maofisa kutoka Chuoni hapo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive