A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, July 5, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAZINDUA TAWI JIPYA BUKOBA

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Mhe. Moses Machali (wapili kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Tawi jipya la Tanzania Commercial Bank lililozinduliwa katika Wilaya hiyo hivi karibuni ikiwa ni muendelezo wa benki hiyo kuhakikisha inawafikia wateja wake kila kona ya nchi. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Mr. Sabasaba Moshingi, Mkurugenzi Rasilimali watu Bi. Diana Myonga pamoja na Mkurugenzi wa Mikopo Mr. Henry Bwogi.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania TCB Sabasaba Moshingi akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tawi jipya la Benki hiyo lililozinduliwa katika Wilaya Bukoba hivi karibuni ikiwa ni muendelezo wa benki hiyo kuhakikisha inawafikia wateja wake kila kona ya nchi.
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Mhe. Moses Machali akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Biashara Tanzania TCB Sabasaba Moshingi wakipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Benki hiyo mara baada ya uzinduzi wa Tawi hilo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive