A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, July 1, 2019

ROBO FAINALI YANUKIA LIGI YA PROPHET SUGUYE CUP


Kiungo na mshambuliaji wa Stone town FC, Mpoki  Jeremia, akijaribu kumtoka beki wa Relini FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika viwanja vya  Shule ya Msingi Kivule Jijini  Dar es Salaam ambapo Relini FC iliichapa Stone Town mabao 7-1 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa  Relini FC , Edga Ramsei akimtoka mchezaji wa Stone Town Mlisho Simbe Jeremia, akijaribu kumtoka beki wa Relini FC, wakati wa mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika viwanja vya  Shule ya Msingi Kivule Jijini  Dar es Salaam ambapo Relini FC iliichapa Stone Town mabao 7-1 mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Manahodha wa timu hizo wakishikana mikono kabla ya kuanza mchezo wanaoshuhudia ni waamuzi wa mchezo huo
Wachezaji wa timu hizo wakishikana mikono na waamuzi  kabla ya kuanza kwa mchezo huo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive