A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Monday, June 4, 2018

NBC yazindua huduma mikopo ya Wastaafu jijini Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (wa pili kulia), Mkuu wa Wilaya ya Kongwa na Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Deo Ndejembi (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Theobald Sabi (kushoto), wakishangilia mara baada ya mheshimiwa waziri kuzindua huduma ya mikopo ya wastaafu ya NBC jijini Dodoma hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Theobald Sabi akizungumza katika hafla ya uzinduzi rasmi wa huduma ya mikopo ya wastaafu ya NBC jijini Dodoma hivi karibuni.
Mheshimiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama akihutubia wakati wa uzinduzi huo jijini Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (kushoto),  akisalimiana na Mkurugenzi wa Wateja Bnafsi wa NBC, Filbert Mponzi alipokwenda kuzindua mikopo ya wastaafu ya benki hiyo. Wa pili kushoti ni Meneja Mahusiano wa NBC, William Kallaghe, Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi, na Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma, Rehema Madenge.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama (kushoto), akiagana na Meneja Mahusiano Sekta ya Umma na Taasisi wa NBC, Pascass Mhindi baada ya kuzindua huduma ya mikopo ya wastaafu ya NBC jijini Dodoma juzi. Kulia ni Meneja wa NBC Kanda ya Kati, James Ndimbo.
Mkuu Wa Wilaya ya Kongwa na akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Deo Ndejembi, akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Mikopo ya Wastaafu ya NBC, mjini Dodoma hivi karibuni.

Baadhi ya wastaafu waliohudhuria uzinduzi huo wakifuatilia hotuba mbalimbali katika hafla hiyo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive