A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Sunday, February 23, 2025

KAMPUNI YA YAS YAIBUKA KINARA TUZO ZA TEHEMA

Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas Tanzania usiku wa kuamkia Leo imeibuka kinara wa jumla katika Tuzo za Tehama zilizoandaliwa na mamlaka ya Teknolojia ya habari na Mawasiliano TEHAMA.

ambapo katika Tuzo hiyo YAS imeibuka mshindi wa jumla kwa makampuni yanayoongoza kwa matumizi ya Teknolojia ya habari Tehama,ambapo imekuwa ikishindanishwa na makampuni mengine yanayotoa huduma kwa jamii.

Yas imekuwa kinara kwenye matumizi Teknolojia ambapo imekuwa ikijikita Zaidi katika Kutoka huduma mbalimbali ikiwemo Data, Mawasiliano ya simu,pamoja na kumbe FUPI sms, 

Mwishoni mwa mwaka Jana kampuni ya Yas iliweza kuibuka kinara na hatimaye kutwa Tuzo ya mshindi wa jumla Africa Tuzo zinazoandaliwa na shirika la kimataifa la OOKLA lenye maskani yake Nchini MAREKANI ambapo Yas zamani Tigo ilifanikiwa kuibuka mshindi mara mbili wa Tazo hiyo

Share:

WATANZANIA WAIBUKA KIDEDEA MBIO ZA YAS HALF INTERNATIONAL MARATHON 2025

Mshindi wa kwanza Kilomita 21 Mbio za Yas Half international Marathon kwa upande wa wanaume Mtanzania, Inyasi Sule, akimaliza mbio hizo ktika mashindano Kilimanjaro Marathon zilizofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro

Hatimaye watanzania wamefanikiwa kung'ara kwenye mashindano ya mbio za Kili marathon 2025, zilizofanyika Jana Moshi mkoani Kilimanjaro.

Maofisa wa Kampuni ya Yas pamoja na washiriki wengine wakiwa Kwenye mbio za Yas Half international Marathon ktika mashindano ya Kilimanjaro Marathon zilizofanyika Moshi mkoani Kilimanjaro.

Katika mbio hizo mtanzania Suleiman Inyasi aliibuka Mshindi wa kwanza wanaume kwenye mbio za km 21.

Ambapo nafasi nyingine 3 zilishikwa na watanzania wengine wa 4 huku nafasi ya 5 ikuenda Kenya kwa Bernard Kiplagat ambaye amemshinda,shumeli Said WA Tanzania na Theophile Rugamba wa Rwanda.

Inyasi amefuatiwa na Watanzania wenzake, Samhenda Sombi na Peter Mwangi huku washindani wawili kutoka nchi za Kenya na Rwanda wakiambulia kuingia kumi bora.

Mbio za Kili International Marathon zinazoshirikisha wakimbiaji kutoka mataifa mbalimbali ulimwenguni ambapo kipengele cha km 21 maarufu kama Nusu Marathon kinadhaminiwa na Kampuni ya mtandao wa simu ya Yas kwa mwaka wa kumi sasa.
Kwa mwaka huu 2025 washiriki zaidi ya 2000 wameshiriki mbio za Yas Marathon. 
Yas imekuwa mdhamini wa mashindano ya Kili marathon kwa mwaka WA 10 sasa ambapo awali yalikuwa yakidhaminiwa na chapa ya Tigo kabla ya kubadirika kuwa Yas

Mapema hapo Jana Serikali ikishirikiana na kampuni ya Yas iliendesha kampeni maalum ya upandaji miti, ikumbukwe kwa hizi ni mbio maalum kwa ajili ya wanariadha Kutoka mataifa kadhaa hususani Yale ya afrika mashariki ambao nchi kama Kenya, Rwanda, Uganda na wenyeji Tanzania zilimeshiriki mbio hizo
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive