Tuesday, October 10, 2023
USAID Afya Yangu Southern and USAID Kizazi Hodari Bring new hope for HIV and Tuberculosis Patients
TANZANIA COMMERCIAL BANK YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Commercial Bank ambaye ni Mkurugenzi wa Tehama Bw. Jema Msuya akizungumza wakati wa hafla ya maadhimisho ya wiki ya huduma kwa mteja. Hafla hiyo ilifanyika katika tawi la Mlimani City jijini Dar es Salaam hivi karibuni ambapo ilikuwa na kaulimbiu ya "TEAM SERVICE", Mkurugenzi amesisitiza dhamira ya benki yake kuendelea kutoahuduma bora kwa wateja wake.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Commercial Bank ambaye ni Mkurugenzi wa Tehama Bw. Jema Msuya (katikati) akikata keki pamoja na wateja wa benki hiyo wakati wa maadhimisho ya wiki ya huduma kwa mteja katika tawi la Mlimani City jijini Da es Salaam. hivi karibuni ambapo ilikuwa na kaulimbiu ya "TEAM SERVICE", Mkurugenzi amesisitiza dhamira ya benki yake kuendelea kutoahuduma bora kwa wateja wake.
Baadhi ya maofisa wa Tanzania Commercial Bank pamoja na wateja wa benki hiyo wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa mteja.
Tanzania Commercial Bank jana iliungana na mataifa mbalimbali duniani kote kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa mteja kwa mwaka 2023 ilikuwa na kaulimbiu ya “TEAM SERVICE” hiyo huku benki hiyo ikijikita zaidi na dhamira yake ya kuendelea kutoa huduma bora na zinazokidhi mahitaji ya wateja.
Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa wiki wa huduma kwa wateja Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa benki hiyo ambaye ni mkurugenzi wa Tehama Bw. Jema Msuya alisema benki ya TCB inachukulia kwa ukubwa wa hali ya juu sana kutoa huduma kwa wateja ndiyo maana kwa Tanzania commercial bank huduma ni moja ya mikakati na utamaduni wa benki hiyo.
Msuya alisema “kaulimbiu ya mwaka huu inaendana hasa na utekelezaji wa majukumu yetu ya kutoa huduma kwa wateja wetu wa Tanzania Commercial Bank na kuboresha huduma ni hamasa ya biashara na TCB imeweka kipaumbele cha kutoa huduma bora kwa wateja”.
"Hii ndiyo sababu Tanzania Commercial Bank inaendelea kuwekeza mara kwa mara katika jamii na kuwapa wafanyakazi wetu ujuzi na rasilimali zinazohitajika ilikuhakikisha wanawapa wateja wetu huduma za hali ya juu," Msuya alisema.
Thursday, October 5, 2023
Absa Bank Tanzania pledges to transform banking through digital Innovation
Tuesday, October 3, 2023
AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAZINDUA RASMI WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba Bw: Silvest Arumasi, amezindua rasmi wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Kijitonyama. Katika uzinduzi huo, Mkurugenzi amewashukuru wateja kwa kuichagua na kuiamini Benki ya Akiba katika kuwahudumia. Aidha, ameendelea kuwaahidi na kuwahakikishia wateja huduma bora kutoka ACB.
Sherehe za huduma kwa wateja zina adhimishwa katika matawi yote ya ACB na hivyo Bw: Arumasi amewaalika wateja wote kutembelea matawi ya Akiba kwa ajili ya kusherekea wiki hii ya huduma kwa wateja pamoja na kupata taarifa mbali mbali za huduma mpya na maboresho mbali mbali. Mwisho kabisa
Mkurugenzi amewashukuru wateja wote walioshiriki katika zoezi la utafiti wa viwango vya uridhikaji katika utoa huduma yaani (Customer Satisfaction Survey) lililoratibiwa na kampuni huru ya kujitegemea kwa lengo la kuhakikisha uwazi na uhuru wa kutoa maoni kwa wateja.
ACB inao utamaduni wa kufanya utafiti huo kila mwaka na hivyo amewasihi wateja kushiriki tena kikamilifu kwa lengo la kupata maoni na mirejesho itakayosaidioa kuboresha huduma zitolewazo.

Thursday, September 21, 2023
Absa Bank Tanzania Launches Agency Banking (Absa Wakala)
Tuesday, September 19, 2023
Benki ya Absa yasogeza karibu huduma za kibenki kwa watanzania ikizindua Absa Wakala




Thursday, September 14, 2023
TANZANIA BLOGGERS EAGER TO COLLABORATE WITH USA IN MEDIA TRAINING


Sunday, September 10, 2023
Tamasha la Airtel Wasafi Festival 2023 lawapagaisha wakazi wa Ruangwa







Friday, September 1, 2023
Absa Bank Tanzania to help Tanzanians invest in a 5-star luxury resort in Zanzibar - The Ocean Pearl Zanzibar
Tuesday, August 29, 2023
Airtel, Pesapal venture to ease mobile transactions in Tanzania
- Customers and Merchants to reap more
- Pesapal, Airtel Money service geared to boost financial inclusion
Sunday, August 27, 2023
Rais wa Zanzibar aipongeza Benki ya Absa Tanzania kusaidia juhudi za kupunguza na kuepusha vifo vya mama wajawazito na watoto.
Friday, August 25, 2023
Mchengerwa Awakaribisha Wawekezaji Rufiji Benki Ya CRDB Ikizindua Tawi Lake Ikwiriri






Saturday, August 12, 2023
Thamani ya uwekezaji mfuko wa PSSSF kufikia sh. trilioni 7.98-Majaliwa













.jpeg)
.jpeg)





