A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Thursday, January 26, 2023

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA MSAADA WA MIFUKO 150 YA CEMENT KUBORESHA MADARASA

 Meneja wa Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) Tawi la Mbagala Edward Mwoleka, (wa tatu kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 150 ya Cement kwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kilamba iliyopo Mbagala Charambe iliyotolewa na TCB kwa ajili ya kufanya maboresho ya madarasa ya shule hiyo. Kutoka kulia ni Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB) Gloria Mutta, Diwani wa Kata ya Charambe Twahil Shabani, pamoja na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Betha Minga.

Meneja wa Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) Tawi la Mbagala, Edward Mwoleka, (wa tatu kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 150 ya Cement kwa Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Betha Minga, iliyotolewa na TCB kwa ajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya shule ya msingi Kilamba iliyopo Charambe. Kutoka kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Leah Masaba, Diwani wa Kata ya Charambe, Twahil Shabani pamoja na Mjumbe wa shule.

Meneja wa Mawasiliano na Uhusiano wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Gloria Mutta (wa tatu kulia), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 150 ya Cement, kwa Mtendaji kata ya Charambe, Theodora Malata iliyotolewa na TCB kwa ajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya Shule ya Msingi Kilamba iliyopo Charambe. 

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kilamba, Leah Masaba, akizungumza wakati wa hafla ya kupokea msaada wa mifuko 150 ya Cement iliyotolewa na TCB kwa ajili yakufanyia maboresho ya madarasa ya shule hiyo.

Mtendaji kaya ya Charambe, Theodora Malata akitoa shukrani kwa niaba ya shule ya Msingi Kilamba kwa uongozi wa TCB baada ya kupokea msaada wa mifuko 150 ya Cement iliyotolewa na TCB kwa ajili ya kufanyia maboresho ya madarasa ya shule hiyo iliyopo Charambe jijini Dar es Salaam.

Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive