A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Sunday, October 9, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAPIGA JEKI WAKULIMA WA ZAO LA MWANI UNGUJA

 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi  (kushoto), akikabidhi   msaada wa kisima cha maji kwa Mbunge wa Jimbo la Paje Unguja  Mh Sudi Hassan kwa niaba ya wamama wa Jimbo hilo wanaojishughulisha na Kilimo cha mwani kwaajili ya kustawisha Kilimo cha zao hilo  hafla ya makabidhiano hayo yefanyika unguja mwishoni mwa wiki wengine pichani ni baadhi ya wamama waliopatiwa msaada huo


Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi  akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali pamoja na wakulima wa zao la mwani kutoka jimbo la paje Unguja


Afisa Mtendaji Mkuu wa Tanzania Commercial Bank TCB Sabasaba Moshingi  akifurahi pamoja na viongozi mbalimbali na wamama wakulima wa zao la mwani  Unguja mara baada yakukabidhi msaada wa kisima kwaajili ya kustawisha Kilimo cha zao hilo  hafla ya makabidhiano hayo yefanyika unguja.

Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive