A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, August 9, 2022

BINTI FOUNDATION YATANGAZA NEEMA KWA VIJANA WA TANZANIA


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Binti Foundation, Johari Sadiq, akizungumza wakati wa hafla ya yakuwaaga vijana 16 waliokuwa wakipatiwa mafunzo ya ushonaji na ubunifu katika Taasisi hiyo mafunzo yaliyokuwa yakitolewa bure ikiwa ni muendelezo wa Taasisi hiyo kuwapatia nafasi vijana wa kitanzania ikiwa ni juhudi za Binti Binti foundation kuunga mkono serikali hasa katika soko la ajira.
Afisa Mtendaji wa kata ya Kunduchi Abel Silaa (kulia), akitoa cheti cha kuhitimu mafunzo ya ushonaji yaliyokuwa yakitolewa bure na Taasisi ya Binti Foundation wakati wa hafla ya yakuwaaga vijana 16 waliokuwa wakipatiwa mafunzo hayo. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Johari Sadiq pamoja na mwalimu mkuu wa mafunzo hayo.
Picha ya pamoja

Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive