A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Thursday, July 15, 2021

Yaraconnect Ya Kampuni Ya Mbolea Ya Yara Kuleta Suluhisho La Kidigitali Katika Sekta Ya Kilimo Nchini

Katibu Tawala Msaidizi, Uchumi na Uzalishaji wa Mbeya, Said Maditto ( kushoto), akizungumza na wauza pembejeo za kilimo wa Mkoa wa Mbeya na Songwe na wadau wengine wa mbolea ya Yara wakati wa uzinduzi wa programu ya yaraConnect mjini Mbeya leo. Alimwakilisha mkuu wa mkoa huo katika uzinduzi huo. Kushoto kwake ni Bwanashamba Mwandamizi wa Yara, Maulidi Mkima, Meneja Biashara Kanda ya Kusini, Andrew Ndundulu na Meneja Masuluhisho ya Kidigitali wa Yara, Deodath Mtei.
Katibu Tawala Msaidizi, Uchumi na Uzalishaji wa Mbeya, Said Maditto (katikati) waliokaa, Bwanashamba Mwandamizi wa kampuni ya mbolea ya Yara Tanzania, Maulidi Mkima (kushoto), na Meneja Biashara wa Yara Kanda ya Kusini , Andrew Ndundulu, wakipiga picha ya pamoja wauza pembejeo za kilimo wa Mkoa wa Mbeya na Songwe na wadau wengine wa mbolea ya Yara baada ya uzinduzi wa programu ya yaraConnect mjini Mbeya.
Meneja Huduma kwa Wateja Kidigitali wa Kampuni ya Mbolea ya Yara, Eva Sauwa (kulia), akitoa maelekezo kwa mmoja wa wauza pembejea za kampuni hiyo katika hafla ya uzinduzi wa programu ya yaraConect kwa Mkoa wa Njombe ambapo pamoja na mambo mengine wauzaji hao wa pembejeo za yara walipewa mafunzo mbalimbali ya matumizi ya programu hiyo na masuala mengine ya kitaalamu kuhusu kilimo na jinsi watakavyoweza kuwasaidia wakulima ambao ndio wateja wao kitaalamu. Hafla hiyo ilifanyika mjini Njombe jana.
Meneja Masuluhisho ya Kidigitali wa Kampuni ya Mbolea ya Yara, Deodath Mtei (wa pili kushoto), akitoa maelekezo kwa mmoja wa wauza pembejea za kamupuni hiyo katika hafla ya uzinduzi wa programu ya yaraConect kwa Mkoa wa Njombe ambapo pamoja na mambo mengine wauzaji hao wa pembejeo za yara walipewa mafunzo mbalimbali ya matumizi ya programu hiyo na masuala mengine ya kitaalamu kuhusu kilimo na jinsi watakavyoweza kuwasaidia wakulima ambao ndio wateja wao kitaalamu. Hafla hiyo ilifanyika mjini Njombe jana.
Katibu Tawala Msaidizi, Uchumi na Uzalishaji wa Mbeya, Said Maditto, akizungumza na wauza pembejeo za kilimo wa Mkoa wa Mbeya na Songwe na wadau wengine wa mbolea ya Yara wakati wa uzinduzi wa programu ya yaraConnect mjini Mbeya leo.
Meneja Masuluhisho ya Kidigitali wa Kampuni ya Mbolea ya Yara, Deodath Mtei akizungumza na wauza pembejeo za kilimo wa Mkoa wa Mbeya na Songwe na wadau wengine wa mbolea ya Yara wakati wa uzinduzi wa programu ya yaraConnect mjini Mbeya leo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive