A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, July 14, 2020

Bi Jessica Motto apania kuitumikia kata ya Buyuni achukua fomu


Katibu Kata wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Buyuni Chanika, Juma Mnambiya akikabidhi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea nafasi ya Udiwani kata ya buyuni kwa bi Jessica Motto, wakati wa siku maalum zilizotangazwa na mamlaka husika kuchukua fomu  kwaajili yakugombea nafasi mbalimbali makabidhiani hayo yamefanyika leo katika ofisi ndogo za chama hicho zilizopo chanika Dar es Salaam anaeshuhudia (kulia), ni mume wa Jessica, Bw Meckson Motto.
Kada kindakindaki wa CCM Jessica Motto  leo Jumanne Julai 14, akichukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho kumteuwa  kugombea nafasi  ya Udiwani katika kata ya Buyuni Chanika Dar es Salaam.
Jessica Motto akitia saini kwenye daftari la wageni
Kada kindakindaki wa CCM Jessica Motto  akionesha fomu yake mara baada yakukabidhiwa
Katibu Kata wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Buyuni Chanika, Juma Mnambiya akitoa maelekezo ya jinsi yakujaza fomu hiyo.


Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive