A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Friday, January 25, 2019

KAMPUNI YA ALAF YAZINDUA KITUO CHA KISASA CHA MAUZO MWENGE JIJINI DSM

Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Daniel Chongolo (wa pili  kushoto), akikata utepe kuzindua  rasmi kituo cha mauzo  cha Kampuni ya Mabati ya ALAF  kilichopo Mwenge,  jijini Dar es Salaam leo.  Wanaoangalia kutoka kushoto ni, Ofisa Masoko, Theresia Mmasy, Meneja Mkuu, Dipti Mohanty na Maneja Masoko, Isamba Kasaka. 
Mkuu wa Wilaya ya Kiondoni, Daniel Chongolo akitoa hotuba ya uzinduzi wa kituo hicho leo.
Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Daniel Chongolo (katikat), Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Stella Msofe (kulia), Meneja Mkuu wa Kampuni ya mabati ya ALAF, Dipti Mohanty (wa pili kushoto), na Meneja Masoko wa ALAF, Sophia Assey (kushoto), wakiwa katika uzinduzi huo.
Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Daniel Chongolo (katikati), Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Stella Msofe (watatu kushoto) pamoja na Meneja Mkuu wa Kampuni ya mabati ya ALAF, Dipti Mohanty  wakiwa katika picha ya pamoja na daadhi ya wafanya kazi wa ALAF wakati wa uzinduzi huo.
Mkuu wa Wilaya Kinondoni, Daniel Chongolo (kulia), akiondoka baada ya tukio la uzinduzi wa kituo hicho cha mauzo. Kulia kwake ni Meneja Mkuu wa ALAF, Dipti Mohanty   pamoja na wafanya kazi wengine.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive