Friday, March 28, 2025
AKIBA COMMERCIAL BANK YAWAKUMBUKA WATOTO WENYE UHITAJI DAR ES SALAAM.
Friday, March 21, 2025
Taasisi za Ulinzi wa Mlaji zimetakiwa kushirikiana na FCC

Wednesday, March 19, 2025
Benki ya Absa Tanzania na World Vision Tanzania Washirikiana Kuboresha Upatikanaji wa Maji katika Kijiji cha Kwedizinga
Wednesday, March 12, 2025
"Stori za Afya za Wanawake wa Tanzania zina thamani kwetu", Absa Bank
Tuesday, March 11, 2025
Absa Group Reports 10% Increase in 2024 Earnings after Material Second-Half Recovery
- Revenue increased 5% to R109.9 billion
- Operating costs rose 5% to R58.5 billion
- Cost-to-income ratio unchanged at 53.2%
- Pre-provision profit increased 5% to R51.4 billion
- Impairments decreased 8% to R14.3 billion
- Credit loss ratio improved to 103 basis points from 118 basis points
- Headline earnings increased 10% to R22.1 billion
- Return on equity grew to 14.8% (from 14.4%)
- Group CET 1 ratio improved to 12.6% (from 12.5%)
- Dividend per share increased 7% to R14.60 per share
- Product Solutions Cluster (PSC) headline earnings increased 38% to R3.3 billion.
- Everyday Banking (EB) increased 18% to R4.0 billion.
- Relationship Banking (RB) increased 4% to R4.3 billion.
- Absa Regional Operations - Retail and Business Banking (ARO RBB) increased 12% to R1.8 billion.
- Corporate and Investment Banking (CIB) increased 6% to R11.7 billion.
Sunday, March 2, 2025
MAWAKALA WA SIMTANK WAFURAHIA MIAKA 35 YA KAMPUNI HIYO.
Mwanzilishi wa Kampuni ya Silafrika Tanzania inayozalisha bidhaa za Simtank, Gulab Shah (wapili kushoto), akikabidhi cheti na zawadi ya mfano wa ufunguo wa Gari kwa mlliki wa Kampuni ya Ravi Group, Ravindra Chadarana baada ya kuibuka washindi wa kwanza katika hafla ya kusheherkrea miaka 35 ya utoaji huduma iliyoambanana na kuwapongeza Mawakala wa bidhaa za SIMTANK nchini. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Silafrika, Alpesh Patel na Sachin Dawda mwakilishi wa Kampuni ya Ravi Group.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Silafrika, Alpesh Patel Akikabidhi cheti na zawadi maalum Kwa mmoja ya mawakala wanafanya vizuri wakati wa hafla ya kusheherkrea miaka 35 ya utoaji huduma iliyoambanana na kuwapongeza Mawakala wa bidhaa za SIMTANK nchini.
Kampuni ya Simtanki imekutana na mawakala zaidi ya 60 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ilikurudisha shukurani kwao kutokana na kile wanachokifanya ikiwa ni maadhimisho ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa Kampuni hiyo.
Maadhimisho hayo yamefanyika Februari 29,2025 katika hoteli ya Hayyt legency jijini Dar es salaam.
Meneja Mauzo kutoka Kampuni hiyo Salman Khan amesema mawakala hao ni chanzo cha mafanikio makubwa kwani wamesaidia kupatika mauzo ya zaidi ya Lita bilioni 26 tangu wameanza na hiyo nizaidi ya pisi laki 6.
"Sisi ni waanzilishi na wabobezi wa hii biashara hasa katika uzalisha wa haya matenki na tumekuja na teknolojia tofauti ikiwemo unbreakable tanki ikiwa na garantee ya miaka 25,"amesema...
Naye Wakala kutoka Mbezi Beach Suleiman Seif amesema Simtank haina mashindani kwani imekuwa ikipendwa na watu wengi na ndani ya mwenzi mmoja unaweza uza tanki zaidi ya 50 za lita 1000 na hiyo nikutokana na uhitaji wa watu.
MIXX BY YAS YATOA ZAWADI YA MILIONI 20 MTWARA.
MIXX BY YAS YAPIGA JEKI MAWAKALA WAKE.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyowakutanisha baina ya viongozi wa Yas na Mixx by Yas, na baadhi ya Mawakala na Mawakala Wa kuu Yas iliyofanyika usiku wa kuamkia Leo March Moshi 2025 jijini dar es salaam Afisa mkuu wa Mixx by Yas Angelika Pesha, amesema wao kama Mixx by Yas wanaanmini ili kufika mbali wanaihitaji kuwa na wadau ikiwemo Mawakala na Mawakala wakuu.
Pesha amesema kuwa wao wameamua kukukutana na wadau wao kwa namba Moja au nyingine ilikubadirishana mawazo lakini ni Imani yake kuwa siku zote wanaamini kuwa sherehekea kidogo kwa kila kinachopatikana hiyo ni njia sahihi kufanikiwa.
aidha Pesha Amesema kuwahuu ni mwaka WA 15 kufanya tukio la namna hiyo ambapo mwanzoni waalianza na mawakala wapatao 2300 mwaka 2010, ambapo lengo kubwa ni kuwa na Mawakala wengi Zaidi na kuwafikia wateja wengi zaidi Nchini kwani Yas ni mtandao ulioenea nchi nzima.
Vilevile Bi Pesha amechukua fursa hiyo kujipongeza kwani hadi sasa Yas Tanzania ina Mawakala Zaidi ya 200000 nchi nzima ambapo amesema kama itakumbukwa Yas imefanya uwekezaji mkubwa hivyo Moja ya Malengo yao ni kuwafikia wateja wengi kwenye miji mikubwa nchini,lakini pia kujitanua Zaidi kidigitali
katika hatua nyingine Peshaa hakuacha kufanya kuwa lengo jingine ni kuendelea kuwapa uwezo and Mawakala wao kwani kama unavyojua kwa sasa watanzania wengi wamekuwa wakifanya miamala hivyo kupitia mifumuo Yao ya kidigitali itasidia kutoa huduma Bora Zaidi na ndio maana wamekuwa wakiwekezaa kwenye Teknolojia ambapo kwa sasa wamefikia kwenye Teknolojia ya 4 na 5G kwenye maeneo mengi hapa nchini lakini pia mikakati Yao ni kuvuka mipaka ya TanzaniaKampuni ya Yas ambayo mwishoni mwa mwaka Jana ilibadili chapa yake Kutoka TIGO Tanzania ambapo sasa inajulikana kama YAS, imekuwa ikifanya vizuri sokoni na kujizolea Tuzo mbalimbali ikiwemo ile ya OOKLA ambayo umenifanya kampuni hiyo kuwa kinara barani Afrika ukilinganiaha na kampuni nyingine za mtandao hapa nchini, na Afrika kwa ujumla.
Aidha Yas ndio mtandao unaoongoza Nchini kwa kuwa umeenda Nchini nzima mijini na vijijini,huku ikiwa imewekeza kiasi kikubwa cha fedha na mitaji katika miundombini na teknolojia hususani ile ya kimkakati ambapo sasa inakuja na mfumo mpya 5G, na kwenye miji mikubwa nchini na kwengineko
Saturday, March 1, 2025
Smallholder farmers get support to adopt modern mechanization


.jpeg)
