A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Friday, January 24, 2025

FEZA BOYS YANG'ARA UFAULU WA KIDATO CHANNE WAPATA ALAMA A,,

SHULE Sekondari Feza Boys imejivunia uwekezaji iliyofanya katika kumuandaa mwanafunzi kuwa bora baada ya kufaulisha wanafunzi wote kwa kupata daraja la kwanza katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne ulifanyika mwaka 2024, huku zaidi ya asilimia 65 wakipata division 1.7.

Hayo ameyasema Makamu Mkuu wa Shule ya FEZA Boys, Shabani Mbonde wakati akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 23,2025 katika shule hiyo iliyopo Kunduchi Dar es Salaam mara baada ya Baraza la Mitihani kutangaza matokeo ya kidato cha nne.

Mbone ameleeza kuwa matokeo hayo hajatokea tu kirahisi bali ni uwekezaji na mazingira ya shule yanayomtengeza mwanafunzi kuwa bora na walimu wa kutosha ambapo kila mwalimu ana wastani ya kufundisha wanafunzi 10.

" FEZA SHOOLS haitoi mwanafunzi bora katika A tu, bali katika nyanja zote.Sisi katika elimu hatumjengi mwanafunzi kupata A tu lakini pia katika kukabiliana na hali zote katika maisha kulingana na wakati uliopo.

"Hii yote inatokana na jitihada mbalimbali za wanafunzi wenyewe na walimu. Mwanafunzi wetu anakuwa ni kama ametoka kwenye mashine au kiwanda kilichomjenga katika kupambana na changamoto mbalimbali katika mtihani na maisha.Tunajivunia wanafunzi wetu na walimu wetu," amesema Makamu Mkuu huyo.

Aidha Mbonde amesema kama sekta binafsi wanashukuru serikali kwa kusisitiza suala la elimu na wanaiunga mkono Serikali katika kuhakikisha elimu inakuwa bora.

Naye Mkuu wa taaluma msaidizi wa kidato cha tatu na nne, Abdallah Juma ameeleza mbinu wanazotumia kuwafundisha wanafunzi hao kuwa ni progamu mbalimbali walizonazo shuleni hapo.

" Sio kwamba sisi vijana wote tunaowachukua ni wale 'cream' tu bali wanakuja hata wenye uwezo mdogo tunawatengeneza na wanakiwa sawa na wenzao na wanafaulu kwa pamoja.

" Matokeo haya yamepatikana kwa njia tofauti, pande zote tatu zina mchango yaani wazazi, walimu na wanafunzi, pia tuna programu mbalimbali za masomo kuanzia asubuhi, jioni na hata usiku, pia wanapata muda wa kucheza", amesema.

Kwa upande mmoja wa wanafunzi wa FEZA BOYS waliofanya vizuri kwa kupata division one 1.7, Moses Francis, amesema anamshukuru Mungu kwani mafanikio hayo hayakuja kirahisi ya kupata A masomo yote 10 ila mazingira ya shule yamechangia ikiwamo kusoma kwa bidii kama mwanafunzi.

Amefafanua kuwa kutokana na ratiba za shule zilivyopangiliwa wanapata muda wa kutosha wa kupumzika lakini kuna kipindi kigumu unatakiwa kusoma sana ili kufaulu mtihani.

"Hii haipatikani kirahisi, mtu kufaulu lazima kuwe na motisha kuanzia kwa mwanafunzi wenyewe na mzingira mazuri ya kujifunzia pamoja na kumtanguliza Mungu.Kila wiki tunafanya mazoezi ya masomo kwa kufanya test," amesema Moses.

Katika matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa leo na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), ufaulu umeongezeka ambapo jumla ya watahiniwa wa shule 477,262 kati ya 516,695 wenye matokeo sawa na asilimia 92.32 wamefaulu kwa kupata madaraja ya I,II,III,IV.

Makamu mkuu wa shule ya sekondari ya Feza Boys ,Shabani Mbonde akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutangazwa matokeo ya kidato cha nne na shule hiyo kupata ufaulu wa alama A kwa wanafunzi waoote kwenye atokeo ya kidato cha nne.Kulia ni mmoja ya mwanafunzi aliyepata ufaulu wa A. Mosses Mwaijande na Kushoto ni Mtaalumu Abdalla Juma
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Feza Boys wakishangilia kwa kumbeba mwanafunzi mwenzao,Allan Masaka aliyefanya viziuri katika matokeo ya kidato cha nne kwa kupata ufaulu wa alama A.7 jumla ya wanafuzi woote katika shule hiyo wamepata ufaulu wa alama A .Na,mpiga picha maalumu
Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Feza Boys wakishangilia kwa kumbeba mwanafunzi mwenzao,Moses Mwaijande aliyefanya viziuri katika matokeo ya kidato cha nne kwa kupata ufaulu wa alama A.7 jumla ya wanafuzi woote katika shule hiyo wamepata ufaulu wa alama A
Share:

Wednesday, January 22, 2025

Absa Bank Tanzania concludes Spend & Win campaign with great success, third Subaru Forester winner applauds service excellence

The final winner of Absa Bank Tanzania's three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), receives the ignition key to a brand-new 2024 Subaru Forester from the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, during a ceremony held in Dar es Salaam yesterday. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to adopt digital banking solutions, such as debit and credit cards, which offer safety, convenience, and access to a wide range of banking services. Also present were senior officials from Absa Bank.
The final winner of Absa Bank Tanzania’s three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio, is seen in a jovial mood shortly after receiving her brand-new 2024 Subaru Forester from the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, during a ceremony held in Dar es Salaam today. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to adopt digital banking solutions, such as debit and credit cards, which offer safety, convenience, and access to a wide range of banking services.
Some members of Absa Bank Tanzania’s staff celebrates with Ms. Amalia Lui Shio, the third winner of the bank’s three-month Spend & Win campaign, shortly after she received her brand-new 2024 Subaru Forester during a ceremony held in Dar es Salaam today. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to adopt digital banking solutions, such as debit and credit cards, which offer safety, convenience, and access to a wide range of banking services.
Ms. Amalia Lui Shio, the third winner of the Absa Bank Tanzania Spend & Win three-month campaign, drives off in her brand-new 2024 Subaru Forester shortly after receiving it at a function held in Dar es Salaam today.
The final winner of Absa Bank Tanzania's three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), dances alongside traditional ngoma artists during the handover ceremony of a brand-new 2024 Subaru Forester. The vehicle was presented to her by the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, in Dar es Salaam yesterday. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to adopt digital banking solutions, such as debit and credit cards, which offer safety, convenience, and access to a wide range of banking services.
Share:

Sunday, January 19, 2025

Benki ya Akiba yakabidhi zawadi kwa washindi wa kampeni ya 'Twende Kidigitali'


Benki ya Akiba imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni 'Twende Kidigitali' na kuwahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card na ACB Wakala ili kufurahia uzoefu wa kipekee wa huduma za kibenki.


Shukrani hizo zimetolewa jijini Dar es salaam Januari 2025 na Mkuu wa Kitendo cha Biashara wa benki hiyo, Dkt. Danford Muyango wakati wa hafla ya kuwazawadia washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya hiyo ambapo wateja kadhaa kutoka Dar es Salaam na mikoani wamekabidhiwa zawadi mbalimbali ikiwemo fedha zilizowekwa moja kwa moja kwenye akaunti zao kupitia Benki ya Akiba.


"Kampeni ya 'Twende Kidijitali' ilizinduliwa mwezi Desemba 2024 kwa lengo la kuboresha mazingira ya kibenki kwa wateja wakati wa msimu wa sikukuu na pia kuwasaidia wateja kushinda changamoto za kifedha mwezi huu wa Januari kupitia zawadi mbalimbali" amesema Danford.
Wateja walionyesha furaha na shukrani kwa Benki ya Akiba kwa jitihada zake za kuimarisha huduma za kidijitali ambazo zimeboresha uzoefu wao wa kibenki kwa kuwapatia urahisi na wepesi wa kupata huduma za kifedha wakiwa mahali popote na wakati wowote.


Mmoja wa wateja wa waliokabidhiwa zawadi na Benki ya Akiba ni Alfayo Zephania ambaye alieleza jinsi alivyopokea furaha habari njema za kuibuka mshindi wa kampeni hiyo.


"Nilifurahishwa sana na tarifa ya ushindi wangu na ninaishukuru Benki ya Akiba kwa kujali wateja wake na kutoa huduma bora. Natoa rai kwa wateja wengine kujiunga na Benki ya Akiba ili kunufaika na huduma bora ikiwemo mikopo ambayo imenivusha pakubwa katika biashara zangu” alisema Zephania.


Mteja mwingine, Ezekiel Willium alielezea furaha yake kwa zawadi aliyoshinda, akisema ushindi huo umempa hamasa zaidi ya kushiriki kwa bidii ili kupata zawadi kubwa zaidi katika droo kuu ya mwisho wa kampeni hiyo ya 'Twende Kidigitali'.


Pia Benki ya Akiba imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni hiyo na kuwasihi waendelee kutumia huduma za kidijitali za benki hiyo ili kunufaika zaidi.


Meneja Mwandamizi Benki ya Akiba, Magreth Mwasumbi (kulia) akikabidhi zawadi kwa mmoja wa wateja wa benki hiyo walioibuka washindi wa kampeni ya 'Twende Kidigitali'.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive