A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Saturday, June 22, 2019

LIGI YA PROPHET SUGUYE WA WRM YAFIKA PAZURI

Beki wa Bodaboda FC, akipiga mpira kwakichwa kuokoa moja ya shambulizi wakati wakichuana na Kitinye FC, katika mchezo wa Ligi ya Prophet Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shuleya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kitinye iliibuka na ushindi wa 2-1. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mshambuliaji wa Bodaboda FC akihamisha mpira katika moja ya heka heka wakati wa mchezo wao na Kitinye FC, katika  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanjabvya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu ya Kitinye iliibuka na ushindi wa 2-1. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Kitinye FC, akikamata mpira dhidi ya mchezo wao na Bodaboda FC, wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kitinye iliibuka na ushindi wa 2-1. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la DaresSalaam ambapo timu ya Kitinye iliibuka na ushindi wa 2-1. Mchezo huo umepigwa leo viwanjani hapo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive