A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Wednesday, March 27, 2024

BODABODA TANGA WAPATA MAFUNZO MAALUM YA UTOAJI WA HUDUMA YA KWANZA


Na Mwandishi Wetu,Tanga


MADEREVA bodaboda katika Jiji la Tanga wamepatiwa mafunzo ya huduma ya kwanza kwa lengo la kuwawezesha madereva hao kutoa msaada wa huduma ya kwanza inapotokea ajali

Mafunzo hayo ya huduma ya kwanza kwa madereva wa bodaboda inakwenda sambamba na elimu ya Usalama barabarani inayotolewa na Taasisi ya AMEND kwa kushirikiana na Ubalozi wa Uswisi ambao ndio wanaofadhili mradi wa utolewaji wa mafunzo hayo kwa madereva bodaboda.

Baadhi ya wadau ambao wanashirikishwa katika kutekeleza mradi huo wameeleza kwa kina kuhusu umuhimu wa mafunzo hayo kwa sababu yanakwenda kupunguza changamoto ya ajali za barabarani ambazo zimekuwa zikisababisha vifo na ulemavu kwa madereva wengi wa bodaboda na watumiaji wengine wa usafiri huo.


Akieleza zaidi kuhusu mafunzo hayo CPL Hamisi anayetoka Kitengo cha Elimu Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Tanga amesema wanaushukuru AMEND na Ubalozi wa Uswisi kwa kuona haja ya kutekeleza mradi huo kwani unakwenda kuongeza uelewa kwa madereva bodaboda kujiepusha na ajali pamoja na kutoa huduma ya kwanza inapotokea ajali.

Amesema ni muhimu kutolewa kwa huduma ya kwanza pale ajali inapotokea huku akisisitiza anapaswa kutoa hiyo ni mtu aliyepata elimu ya mafunzo ya jinsi ya kutoa huduma ya kwanza kwa mtu aliyepata ajali

"Mafunzo haya yatasaidia kuokoa maisha kwa mtu aliyepata ajali ya bodaboda,"amesema na kutoa mwito kwa baadhi ya bodaboda kuacha kujihusisha na vitendo vya uhalifu zinapotokea ajali na badala yake watumie elimu waliyoipata kuokoa maisha ya waliopatwa na ajali barabarani.

Kwa upande wake Ofisa Miradi kutoka AMEND Scolastica Mbilinyi ameeleza kwamba lengo la kutoa elimu ya huduma ya kwanza kwa bodaboda ni kusaidia kuokoa maisha ya watu pindi ajali zinapotokea.


Ameongeza wamekuwa na mradi huo wa kutoa mafunzo ya usalama barabarani kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wakiwemo Jeshi la Polisi na  Msalaba Mwekundu pamoja na wadau wote muhimu.

Aidha amesema AMEND miongoni mwa mambo wanayofanya ni pamoja na kutoa elimu ya usalama barabarani, ujenzi wa miundombinu ya barabara kwenye shule zilizopo maeneo hatarishi na kwa wakati huu huo wanatoa mafunzo ya huduma ya kwanza kwa madereva.

Pamoja na hayo amesema mpaka sasa  AMEND kwa ufadhili wa ubalozi wa Uswiswi wameshatoa elimu ya usalama barabarani katika mikoa ya Tanga na Dodoma na lengo ni kuwafikia madereva wa bodaboda 750.

Wakati huo huo Diana Kashmiry kutoka Kikosi kazi cha huduma ya kwanza- Shirika la Msalaba Mwekundu amesema elimu wanayoitoa inamuwezesha dereva bodaboda kufahamu changamoto aliyoipata mtu ajalini na jinsi ya kumsaidia kwa kumpa huduma ya kwanza

Aidha ametoa angalizo kutokana na mazingira hatarishi yanayokuwepo katika ajali, ni vema kwa mtu asiye na vifaa vya kutoa huduma ya kwanza asiye huduma hiyo ili kumuepusha na madhara yanayoweza kujitokeza yakiwemo ya magonjwa ya kuambukiza.
Share:

Monday, March 25, 2024

BENKI YA EQUITY TANZANIA YAFUTURISHA WATEJA WAKE ZANZIBAR

Zanzibar, 23 Machi 2024. Benki ya Equity katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani imefuturisha wateja wake katika mji mkongwe wa Zanzibar ikiwa ni ishara ya shukurani kwa wateja na wadau wake wa karibu kwa kuendelea kuichagua benki hiyo kama benki yao pendwa.

Akiongea kwenye hafla hiyo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo Bw. Rojas Mdoe amesema kwamba Benki ya Equity Tanzania inathamini mchango wa wateja wakekatika ukuwaji wa amana za benki na kwa kutumia huduma za benki. Akaendelea kusema, dhumuni kubwa la kuandaa Futari hii ni kuwashukuru wateja wake kwa kuwa bega kwa bega kuhakikisha tunabadilisha maisha ya kila Mtanzania.

Aliendelea na kusema kuwa benki yetu inaendelea kuboresha huduma zake na kuhakikisha kuwa inatanua wigo wake wa upatikanaji nchini ili kuweza kuwafikia wateja wote Tanzania na kuhakikisha kuwa inatimiza dhamira yake ya kubadilisha maisha ya kila Mtanzania.

Akizungumza katika hafla hiyo, Waziri Afisi ya Raisi Kazi, Uchumi na Uwekezaji Mh. Sharif A. Sharif alisema, nawapongeza sana benki ya Equity kwa kuunga mkono juhudi za serikali kwa kukuza uchumi wa taifa letu kwa kuhakikisha kuwa kila Mtanzania anatumia mifumo rasmi ya kifedha (financial inclusion). Vilevile kwa ubunifumkubwa wa kutoa huduma bora za kibenki za kidijitali.

Kuhusu Benki ya Equity

Equity Bank (T) ni Benki yenye matawi 16 nchini, mawakala zaidi ya 2,000 ikiwa na zaidi ya wafanyakazi zaidi ya 400 ikiwa ni moja ya uwekezaji mkubwa zaidi ulioanzia nchini Kenya na baadaye kusambaa katika nchi nyingine 5 za Afrika Mashariki, ikiwemo Tanzania, Uganda, Congo-DRC, Rwanda na Sudan ya Kusini.
Share:

Saturday, March 23, 2024

KAMPUNI YA ORYX TANZANIA YAWAKOMBOA WAKAANGA SAMAKI FERI YAKABIDHI MITUNGI 700 YA GAS BURE


KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeahidi kufunga mtambo mkubwa wa nshati safi ya kupikia katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri jijini Dar es Salaam ambapo wajasiriamali wa soko hilo watakuwa na urahisi wa kuipata nishati hiyo na kwa gharama nafuu kwa ajili ya kukaanga samaki.

Hatua hiyo imekuja baada ya wajasiriamali wa soko hilo kutoa ombi kwa Kampuni ya Oryx Gas pamoja na Mbunge wa Jimbo la Ilala ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge Muss Zungu baada ya kupokea ombi kutoka kwa wajasiriamali wa soko hilo walioomba kufungiwa mtungi mkubwa wa gesi wakiamini utawasaidia katika shughuli zao.

Ahadi ya kufungwa kwa mtungi mkubwa wa gesi imetolewa wakati wa hafla ya kukabidhi mitungi 700 ya gesi ya Oryx kwa Baba na Mama Lishe wa soko la Samaki la Kimataifa Feri jijini Dar es Salaam leo Machi 22,2024.

Wakati anazungumza mbele ya wajasiriamali hao,Zungu amewahakikishia Mama Lishi na Baba lishe katika Soko la Samaki la Kimataifa Feri kuwa watafungiwa mtambo wa nishati safi ya kupikia ili kuwaepusha kutumia fedha nyingi kununua gesi kupitia mitungi midogo.

Amesema hatua hiyo ni utekelezaji wa mkakati wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kulinda mazingira kuwaweka wanawake katika nafasi nzuri ya kujiendeleza kiuchumi.

Zungu kabla ya kueleza hayo alipokea maombi ya wafanyabiashara hao kupitia kwa kiongozi Zone Namba 7 katika soko hilo, Said Mpinji aliyelalamika kuwa wanalazimika kutumia sh. 110,000 kila siku kujaza gesi ya kuendeshea shughuli za baba na mama lishe.

Hivyo Zungu amesema tayari amezungumza na kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu wake, Benoit Araman na amekubali kufunga mifumo ya gesi ya kisasa kasha kusambaza huduma hiyo kwa wafanyabiashara hao kwa gharama nafuu.

“Mkombozi wetu ni Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ambaye ameanzisha kampeni ya nishati safi ya kupikia, kuhakikisha Watanzania wanaishi maisha mazuri.

“Oryx wamekubali kuweka mtungi mmoja mkubwa na mifumo ya usambazaji, kasha watasambaza huduma kwa mama na baba lishe waliopo hapa na kuwafungia mita halafu watakuwa wakilipia huduma kama wanavyofanya katika umeme,” amefafanua.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Oryx  Benoit Araman amesema Oryx wamewafikia wajasiriamali hao kwa lengo la kutekeleza mkakati wa Rais Dk. Samia wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kulinda mazingira na afya za wananchi.

"Tangu Julai mwaka 2021, tulianza mkakati huu baada ya Rais Dk Samia kutangaza kuwa Serikali yake inataka kuona hadi mwaka 2030 asilimia 80 ya Watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia."

Wakati huo huo Mwenykiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Abbasi Mtemvu aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, ameeleza kuwa ugawaji wa mitungi kwa baba na Mama Lishe hao ni utekelezaji wa Ilani huku akitumia nafasi hiyo kumpongeza Zungu kwa namna anavyowatetea wananchi wa jimbo lake.

 Aidha ameipongeza Serikali kwa kuendelea kupeleka maendeleo kwa wananchi.Pia amewataka mama na baba lishe wa sokoni hapo kujiandaa kupokea mitaji kutoka serikali ili kunua biashara zao. 

 Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ( wa pili kulia),Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ( wa kwanza kulia), Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle ( wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya Gasi ya Orxy, Benoite Araman ( wa pili kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi mama lishe na mfanyabiashara katika soko la Samaki la Kimataifa Feri, Happy Kiondo wakati wa makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa mama lishe na baba lishe wa soko hilo leo Machi 22, 2024.


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle ( wa kwanza kushoto), Meneja Mauzo wa Kampuni ya Gasi ya Orxy , Shaban Fundi (wa pili kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi ya kupikia ya Oryx Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Zone no.7 wa Soko la Samaki la Kimataifa Feri Jijini Dar es Salaam, Saidi Mpinji wakati wa makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa mama lishe na baba lishe wa soko hilo leo Machi 22, 2024. Anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo (kulia).


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ( wa pili kulia),Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ( wa kwanza kulia), Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle ( wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya Gasi ya Orxy, Benoite Araman ( wa pili kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi mama lishe na mfanyabiashara katika soko la Samaki la Kimataifa Feri, Happy Kiondo wakati wa makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa mama lishe na baba lishe wa soko hilo leo Machi 22, 2024.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ( wa pili kulia),Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ( wa kwanza kulia), Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle ( wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya Gasi ya Orxy, Benoite Araman ( wa pili kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi mmoja wa mama lishe na mfanyabiashara katika soko la Samaki la Kimataifa Feri wakati wa makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa mama lishe na baba lishe wa soko hilo leo Machi 22, 2024.

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu ( wa pili kulia),Mkuu wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo ( wa kwanza kulia), Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle ( wa kwanza kushoto), Mkurugenzi wa Kampuni ya Gasi ya Orxy, Benoite Araman ( wa pili kushoto) wakimkabidhi mtungi wa gesi mama lishe na mfanyabiashara katika soko la Samaki la Kimataifa Feri, Salma Mohammed wakati wa makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa mama lishe na baba lishe wa soko hilo leo Machi 22, 2024.



Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu akiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Gesi ya Orxy, Benoite Araman wakiwasikiliza wafanyabiashara wa samaki katika soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu ( kulia) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Kampuni ya Gesi ya Orxy, Benoite Araman katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu akizungumza katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Jijini Dar es Salaam, Mussa Zungu akizungumza katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.



Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu akizungumza katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.

Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo akizungumza katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Gasi ya Orxy, Benoite Araman akizungumza katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.Diwani wa Kata ya Kivukoni Sharik Choughle akizungumza katika hafla ya kukabidhi mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.Baadhi ya wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri wakiwa kwenye hafla ya makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali hao, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.Meneja Masoko wa Kampuni ya Gesi ya Orxy Peter Ndomba akitoa elimu ya matumizi sahihi ya mtungi wa kupikia wa gesi ya Orxy katika hafla ya makabidhiano ya mitungi ya kupikia ya gesi ya Orxy 700 kwa wajasiriamali wa soko la Samaki la Kimataifa Feri, Jijini Dar es Salaam leo Machi 22, 2024.
Share:

Sunday, March 17, 2024

Absa Bank continues to empower Tanzanian women's stories

Minister of State, Office of the President, Finance, and Planning Zanzibar, Dr. Saada Mkuya Salum (right), presenting an appreciation award to the Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (center), in recognition of the bank's contribution as the main sponsor in the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), during an event held in Kizimkazi, Zanzibar recently. On the left is the Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (left), receiving a token of appreciation from the Minister of State, Office of the President, Finance, and Planning of Zanzibar, Dr. Saada Mkuya Salum, in recognition of Absa's contribution as the main sponsor in the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), during an event held in Kizimkazi, Zanzibar recently. Seated to the left front is the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, who was the guest of honor.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Widow of the first President of the Revolutionary Government of Zanzibar (SMZ), Mrs. Fatma Karume (left), exchanging greetings with the Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (right), and the Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud, during the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), sponsored by Absa Bank and held in Kizimkazi, Zanzibar recently.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Some participants listening to the speech of the President of the United Republic of Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan, during the launch of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA) held in Kizimkazi, Zanzibar recently. Absa Bank was the main sponsor of the launch.This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Head of Branch Operations of Absa Bank Tanzania, Ms. Mwilongo Irene Msungu (third from the left), and Manager of Absa Zanzibar Branch, Ms. Rabia Aboud (third from the right), displaying the award given to the bank as the main sponsor at the launch event of the Tanzania Women in Finance Association (TAWiFA), held in Kizimkazi, Zanzibar recently. This is one of Absa Bank's initiatives to empower women economically, alongside the recently launched Absa She Account, a special account for women.
Share:

Monday, February 26, 2024

Absa Bank Tanzania announces its new brand promise

The Managing Director for Absa Bank Tanzania, Mr. Obedi Laiser (left), addresses a media conference during the media launch of the bank’s new brand promise dubbed ‘Your Story Matters’ in Dar es Salaam today. Looking is Absa Bank Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga.

Dar es Salaam, Monday, 26 February 2024 – Absa Bank Tanzania has announced its new brand promise which marks the next evolution to the Absa brand journey.

Absa Bank Tanzania made this announcement following a similar announcement made last week Friday by Absa Group Limited, its parent company, which is one of Africa’s largest diversified financial services groups that owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

Speaking during the official announcement, Mr Obedi Laiser, The Bank’s Managing Director, said “Today we are taking the next step on our business and brand journey, revealing our newfound vision as a purpose led and values driven business, and communicating our new brand positioning.

Since we launched the Absa brand in Tanzania four years ago, the brand has gown significantly and it has now evolved to better reflect where we are now, our global ambitions and to align with our new purpose. We are concentrating on what we do AND why we do it: our purpose and aspiration - to be a leading African bank, empowering Africa’s tomorrow, together … one story at a time.

The new brand promise which the bank has announced is encapsulated in a short and easy to remember phrase “Your Story Matters”.

When asked about what this new phrase means and what it promises to its stakeholders, Mr Aron Luhanga, the Bank’s Head of Marketing and Corporate Affairs, said “Your Story Matters is more than a phrase to us – it is a promise and a commitment. It reveals our customer-centric approach in which we listen to and care about the unique journey of each person and entity we serve. It speaks about how we as an organization value individual customers and want to be part of their personal and financial narratives. It defines us as a bank of the future; one that is more than just a financial services institution but also a partner on each customer’s life journey.

Mr Luhanga went on to state that the new brand promise represents the culmination of the bank listening and learning from its customers, staff, and community at large, planning, strategising, collaborating, and co-creating a powerful purpose, honourable values, a clear vision and an unwavering commitment to create an Empowered African future, together… one story at a time.

In his concluding remarks, the Managing Director, said “Our customers, communities, colleagues, and the public at large should brace themselves for seeing a much more human-centred bank that takes interest in the unique journeys of all its stakeholders and excited to being part of their unique stories. We are committed to solutioning the challenges our customers, communities, and colleagues face in their life journeys in such a way that builds a lifetime legacy of true friendship and partnership, because their stories matter to us.

For more information, please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking. Backed by its 21-year legacy in Tanzania and inspired by the people it serves, Absa is committed to finding local solutions to uniquely local challenges and everything we do is focused on bringing possibility to life.

Absa Bank Tanzania is part of Absa Group Limited (‘Absa Group’). Absa Group is listed on the Johannesburg Stock Exchange and is one of Africa’s largest diversified financial services groups.

Absa Group offers an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth and investment management and insurance.

Absa Group owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia and has insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa and Zambia. Absa also has representative offices in China, Namibia, Nigeria and the United States, as well as securities entities in the United Kingdom and the United States, along with technology support colleagues in the Czech Republic.

For more about Absa Bank Tanzania, its products and services, visit www.absa.co.tz
Share:

Wednesday, February 7, 2024

Absa Bank's Naomi Mafwiri Takes the Helm as President of ACI Tanzania Charter

Newly elected President of the ACI Financial Markets Association of Tanzania Charter, Ms. Naomi Mafwiri, who is also Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels, addresses the members of the association at an occasion of the Tanzania charter’s leadership exchanging ceremony held in Dar es Salaam recently.
Newly elected President of the ACI Financial Markets Association of Tanzania Charter, Ms. Naomi Mafwiri (second from the left), who is also Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels, chats with some members of the association at an occasion of the Tanzania charter’s leadership exchanging ceremony held in Dar es Salaam recently.

*Pledging to Elevate Financial Markets Practices and Ethical Standards

Absa Bank Tanzania Markets Sales CIB and E-Channels Senior Official, Naomi Mafwiri, has been elected as the new President of ACI Tanzania Charter, a position she will serve for the next two years. Formed in 2002, ACI FMA Tanzania is the standard bearer for financial markets professionals in Tanzania.

ACI FMA Tanzania is affiliated with ACI – Financial Markets Association, a Paris-based global umbrella body of financial markets associations, which is a non-profit-making association founded in the interests of the financial markets dealing profession, essentially international. ACI Tanzania abides by Tanzania's laws and regulations and the FX Global Code of Conduct recognized by ACI – The Financial Markets Association. ACI FMA is the largest trade association in the global financial markets with over 13,000 members in 60 countries.

Speaking in Dar es Salaam at the occasion of the Tanzania chapter’s exchanging of leadership, the new ACI President, Ms. Naomi, said the decision to contest for the position as ACI President was not taken lightly. ‘I had to consult some other members, and after deep thought, I realized the crucial role the financial markets community plays in shaping values and ethics among key players in Tanzania, and that fact compelled me to step forward to work on the key ACI Tanzania’s objective to influence industry behavior and uphold best market practitioners,’ said Ms. Naomi.

She said the current ACI Tanzania chapter includes four candidates from Absa Bank Tanzania, making a significant milestone and showcasing the trust and confidence placed in our bank by the financial markets community in Tanzania.

'Engaging with ACI aligns us with efforts to promote best financial markets practices, and we are excited about the journey ahead and the opportunities this collaboration will bring.'

Ms. Naomi added, ‘I want to take this opportunity to commend the previous committee for launching the ACI UDSM branch. However, we will aim at introducing more initiatives such as facilitating certification of our back office, middle office, risk, and front office members, citing that up to date, only 50% of financial markets participants are certified.

We will also be working on ACI identity, where we will enhance our visibility through office location and registration, which is crucial. Publicity is equally important, and our challenge is to ensure that our banking community recognizes and understands the fundamental role we play.'

She mentioned other key factors as stakeholder engagements, saying that acknowledgment of the transformation in markets, initiatives such as a move from being a money-based Monetary Policy approach to an Interest-based Monetary Policy Framework, issuance of circulars, and guidelines to promote stability in the financial sector, together with ongoing sessions among key players enhances confidence and transparency in our market. ‘I promise to continue with these engagements so as to create harmony and encourage an environment where business thrives and the economy excels,’ she added.

ACI Tanzania Charter is made among stakeholders, which include the banking sector, Ministry of Finance, Bank of Tanzania, DSE, CMSA, and TBA.
Share:

Thursday, February 1, 2024

Absa Bank Tanzania records remarkable financial performance in 2023

Jovial Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (centre), Acting Chief Financial Officer, Mr. Bernard Tesha (left), and Absa’s Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga (right), displays a pamphlet contains some details of the bank’s 2023 performances, during a media conference in Dar es Salaam today.

Performance snapshot:
  • 132% Profit before Tax growth year on year
  • 37% growth in Customer Deposit year on year
  • 19% growth in Total Assets from prior year
  • Return on Equity (ROE) of 32%
  • Cost to Income Ratio (CIR) of 53%
Dar es Salaam, Thursday 1 February 2024 – Absa Bank Tanzania has recorded a remarkable financial performance for the fiscal year 2023, marking a year of unprecedented growth and best ever success since its establishment in the country.

Despite the challenges posed by the global economic landscape, Absa Bank Tanzania has demonstrated resilience, adaptability, and unwavering commitment to its customers, stakeholders, and the community at large, seizing the opportunities presented in the market to deliver exceptional performance.

In 2023, Absa Bank Tanzania achieved record-breaking financial results, reflecting robust growth across key performance indicators. Profit Before Tax (PBT) surged to an all-time high of TZS 75billion, a staggering 132% increase from the previous year, which contributed to an impressive Return on Equity (ROE) of 32% in 2023. Overall revenue recorded an excellent annual growth of 30% on the back of a 21% growth in Net Interest Income (NII) and 41% increase in Non-Interest Income (NIR), with cost registering a very modest increase of 3% year on year - well below inflation, with all these contributing to a great improvement in the Cost to Income Ratio (CIR) to 53% in 2023, well within the regulatory threshold.

The bank’s total assets surged to an all-time high of TZS 1.42trillion, a 19% growth from prior year. This is accompanied by an exceptional growth in customer deposits of 37% year on year to TZS 1.1trillion and an impressive increase in customer loans and advances of 25% from previous year reaching TZS 784billion for the first time and the ratio of Non-Performing Loans (NPL) reducing to 4.5%, well within the regulatory threshold.

Commenting on the results, Bernard Tesha, The Bank’s Acting CFO, said “The significant growth in customer deposits is a true reflection of trust from our customers both existing and new to the bank. The bank continues to have a strong capital position and funding base and operates well above the regulatory and internal requirements. Our prudent risk management practices, strategic investments, and unwavering focus on customer-centric solutions have positioned us as a preferred banking partner in the financial services industry.

On his part, the Bank’s CEO and MD, Mr Obedi Laiser, said “Our outstanding financial performance in 2023 is a testament to our steadfast dedication to excellence, innovation, and sustainable growth. We have and will continue to leverage technological advancements, expand our product and service offerings, and foster strategic partnerships to better serve the evolving needs of our diverse customer base.

Furthermore, our commitment to corporate social responsibility and community engagement remains unwavering. Throughout 2023, we have continued our support for various initiatives aimed at driving positive change, fostering financial literacy, and empowering communities to thrive in a rapidly changing world.

As we look ahead, Absa Bank Tanzania remains resolutely focused on delivering value, fostering trust, and driving inclusive prosperity for all our stakeholders. We are deeply grateful for the unwavering support of our customers, the dedication of our employees, the understanding of regulators and policy makers and the confidence of our shareholders, which have been instrumental in our success.

For more information, please contact:

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is one of Tanzania’s leading financial institutions offering an integrated set of products and services across Corporate and Investment Banking, Business Banking with solutions for SMEs, and Retail Banking. Backed by its 21-year legacy in Tanzania and inspired by the people it serves, Absa is committed to finding local solutions to uniquely local challenges and everything we do is focused on bringing possibility to life.

Absa Bank Tanzania is part of Absa Group Limited, one of Africa’s largest diversified financial services groups. Absa Group employees approximately 40, 000 professionals operating in South Africa, Zambia, Botswana, Mozambique, Seychelles, Mauritius, Kenya, Tanzania, Uganda, Ghana. The Group has representative offices in Nigeria, Namibia, London and New York, as well as insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa, Tanzania and Zambia. Absa is a truly African brand, inspired by the people we serve and determined to be the financial services Group Africa can be proud of.

For more about Absa Bank Tanzania, its products and services, visit www.absa.co.tz
Share:

Wednesday, January 31, 2024

Serikali yaipongeza First United Takaful kuchangia maendeleo ya sekta ya bima nchini

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiea Dkt Saada Mkuya akipokea zawadi iliyotolewa na Kampuni ya Bima ya First United Takaful Kwa Gavana wa kutoka kaunti ya Kenya Issa Timamy kwenda kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine kutoka kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiwa Dk. Saada Mkuya (kushoto), akikabidhi zawadi kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Sheria wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Dk. Abdallah Tego wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam jana. Wengine pichani (kulia) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiwa Dk. Saada Mkuya, akikabidhi zawadi kwa Ofisa Mtendaji wa Shirikisho la Makampuni ya Bima Tanzania (ATI), Elia Kajiba wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), hafla hiyo umefanyika jijini Dar es Salaam jana. wengine kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful, Abdulnasir Ahmed Mohamed na Mwenyekiti wa Bodi, Dk. Kassim Hussein.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful Abdulnasir Ahmed Mohamed, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takaful pamoja na huduma ya Bima ya Takaful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), jijini Dar es Salaam jana.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi Zanzibar, Mheshimiea Dkt Saada Mkuya, akizungumza wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Kampuni ya Bima ya First United Takful pamoja ns huduma ya Bima ya Takful inayofuata misingi na kanuni za dini ya Kiislam (Shariah), jijini Dar es Salaam jana.

SERIKALI imeipongeza Kampuni ya Bima ya First United Takaful kwa kuanzisha huduma za kibima zitakazoweza kuchangia maendeleo ya uchumi wa Tanzania kwa ujumla pamoja na sekta ya fedha ya mwaka 2020 mpaka 2030 inayotoa dira kwa sekta ndogo ya bima sambamba na maelekezo ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Zanzibar.

Pongezi hizo zilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Uchumi wa Zanzibar, Dk. Saada Mkuya wakati akizindua kampuni hiyo pamoja na huduma ya bima ya Takaful inayofuata misingi ya dini ya kiislamu jijini Dar es Salaam jana akisema uzinduzi huo unaunga mkono juhudi za Rais wa jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi katika kukuza uchumi wa Taifa kupitia sekta ya bima.

Moja ya malengo ya kimkakati ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ni kuhakikisha tunakuwa na bidhaa mpya 10 hadi kufikia mwaka 2030, baadhi ya malengo ikiwa ni kuakikisha asilimia 90 ya watu wanapata bima ya afya ikiwa ni pamoja na kuwa na nia nane za kusambaza bima kwa bei nafuu."

Tuna pengo kubwa la watu kutokufahamu, nini maana ya bima, kutofikiwa ama kutojua nini faida ya bima, First United Takaful, mbali na malengo yenu, nataka muwe tunu ya kufikisha ujumbe kwa wananchi walio wengi kuona kuna umuhimu wa kuwa na bima hususan Takafula”, alisema Waziri Saada.

Aidha alisema Serikali zote mbili zimedhamiria kuendelea kuweka mazingira tulivu kwa ajili ya uwekezaji wa Takaful ambao una tija hivyo maendeleo na mageuzi katika sekta ya bima kutimia endapo sekta hiyo itapita katika ubunifu na matumizi ya kiteknolojia.

Tunaishukuru TIRA kwa kuchukua hatua hii ya kuruhusu huduma za bima inayofuata misingi ya kiislamu, ambayo ni muhimu kwa wateja wote waislamu na wasio waislamu, tuwashukuru sana sababu mmeshaweka msingi mzuri”, aliongeza mheshimiwa Waziri Saada.

Akizungumza katika hafla hiyo, Naibu Kamishna wa Bima, Bi. Khadija Issa Said aliipongeza kampuni ya First United Takaful kwa kuwa kampuni ya pili nchini kwa kupata leseni ya kutoa huduma za bima zinzzofuata misingi ya kiislamu ya Takaful.

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima nchini itafanya kazi kwa karibu na wadau wote wa bima na kuweka mazngira wezesha katika soko la bima hususan Takaful ili huduma hizo ziweze kuleta tija kwa wananchi”, alisema Bi. Khadija.

Awali akizungumza katika hafla hiyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa First United Bwana Abdulnassir Ahmed Mohamed alisema bima imekuwa ni kiunganishi muhimu sana kwenye maisha ya kila siku, kisheria, kijamii na kiuchumi kwani ukiwa na bima inakupa utulivu wa nafsi na ulinzi binafsi na mali katika vipindi mbalimbali vya changamoto.

Pamoja na hayo yote, bado pamekuwepo na changamoto kwenye upatikanaji wa huduma ya bima inayokidhi mahitaji ya Imani zao za kiroho, hivyo bima ya Takaful yenye mazingatio ya Sharia za Imani ya kiislam, ambayo msingi wake ni kanuni za ushirikiano, uchangiaji wa majukumu kwa pamoja, ulinzi wa pamoja kwa washiriki, wachangiaji, na ushirika wa manufaa kwa pamoja pale ambavyo mmoja wa wachangiaji hupata changamoto bila ya kutegemea itaenda kuwa mkombozi kwa wale wenye uhitaji wa bima hiyo."

Zipo aina mbalimbali za bima ya Takaful tunazotoa kama vile bima ya maisha, mali, na bima ya kawaida, na kuhakikisha kuwa wateja wetu wanapata bima kamili kulingana na mahitaji yao maalum, tukiwekeza katika rasilimali muhimu ya wafanyakazi wataalamu katika kukuza maeneo ya ubunifu na yenye kuzingatia wateja”, alisema Bwana Mohamed.

Naye Mwenyekiti wa Bodi wa kampuni hiyo, Dk. Kassim Hussein alisema wakiwa kama waanzilishi katika tasnia hiyo kwa Tanzania Bara katika kutoa bidhaa mbalimbali za Takaful zinazowapa usalama na amani Waislamu na wasio waislamu, wakijikita zaidi katika kuleta masuluhisho katika kanuni za ushirikiano na msaada wa pande zote kwa uwazi, usawa, na kuepuka mambo ambayo yanapingana na imani za Kiislamu.

Ni muhimu kutambua kuwa Takaful sio tu bidhaa, inawakilisha mabadiliko makubwa katika tasnia ya bima, ni uthibitisho wa azma yetu ya kuhudumia wateja wetu mbalimbali kwa uaminifu na uelewano, tunasadiki kwa dhati kuwa bima inapaswa kuwa inapatikana kwa wote, bila kujali imani zao za kidini, na Takaful inatuwezesha kufikia hili bila kuhatarisha maadili ya kiadili."

Tunapoanza sura hii mpya ya Takaful, tunatambua jukumu kubwa lililo mbele yetu, tunaelewa kuwa lazima tuwe na ubunifu wa mara kwa mara, kubadilika, na kukabiliana na changamoto zitazotukabili, tuwahakikishie kuwa, tutaendelea kujitoa na kubaki kwenye viwango vya juu vya weledi, wajibu wa fidia, na kuridhika kwa wateja”, aliongeza Dk. Hussein.
Share:

Tuesday, January 30, 2024

Absa donates TZS 10m to Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) in support of gender-based violence victims labs

Absa Bank Tanzania Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga, handover a dummy cheque or Tsh 10 million to Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA), Chief Executive Director, Ms. Tike Mwambipile (left) in Dar es Salaam today, to equip the association’s legal aid clinics in Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Arusha, Tanga and Dodoma to provide free and quality legal aid services to women and children victim of gender-based violence. Second left is TAWLA Head of Programs, Ms. Mary Richard and Absa Bank Citizenship Manager, Ms. Hellen Siria.

Absa Bank Tanzania has today donated TZS 10m to Tanzania Women Lawyers Association (TAWLA) to equip legal aid clinics in Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya, Arusha, Tanga and Dodoma to provide free and quality legal aid services to women and children victim of gender-based violence.

Speaking at the handover occasion ih Dar es Salaam today, the Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga

said that, “Our passion for our communities is as strong as ever and our commitment to serve and protect them is unwavering. Therefore, we continue to invest in people’s wellbeing while ensuring we play a role in the society we exist in and serve."

Mr. Luhanga also added by saying that the GBV victims are of no difference from all other women and children but there is a special need for their legal support and a proper welfare support while at the legal aid clinics.

Legal aid clinics for these women and children is very key for us at Absa considering these children have a greater impact into our country tomorrow and it will raise the families hope in taking care of the children but also empower women to have a voice in their communities and the children to have something better to look unto everyday as they aim to achieve their dreams,” said Mr. Luhanga.

Absa maintains a strong relationship with organizations such as TAWLA with purpose of bringing change to the community and providing support to the ongoing efforts the government still plays in developing the country at all levels.

Mr. Luhanga concluded by saying that Absa is a key role player in advancing several sectors in the country some of them being health, education, entrepreneurship, financial literacy, environment, and social wellbeing. The bank ensures that every society investment is aligned with strengthening our relationship with the community, the organization we work with and the government.

Speaking at the event, the TAWLA’s Chief Executive Director, Ms. Tike Mwambipile, expressed gratitude to Absa Bank, stating that the assistance provided would help the organization reach communities in need of legal aid, especially women and children.

"This support from Absa Bank will also enable us to actively participate in Mama Samia's Legal Aid campaign, which focuses on providing legal assistance on issues related to gender-based violence, land disputes, inheritance, and human rights," said Ms. Tike.

Addressing some of the challenges they face, the Director mentioned the difficulty of reaching remote and rural areas, which are more affected by gender-based violence challenges, also highlighted that many legal professionals are concentrated in urban areas.
Share:

Tuesday, January 23, 2024

Absa Bank Secures Top Employer Certification for the Third Consecutive Year

Absa, a leading financial institution, has once again earned the esteemed Top Employer designation for the year 2023, marking the third consecutive year of recognition by the prestigious Top Employer Institute, this accolade extends across five key markets, namely South Africa, Zambia, Ghana, Botswana, and Kenya.

The certification underscores Absa's steadfast commitment to upholding exemplary people practices and initiatives that consistently surpass rigorous global benchmarks. Notably, Absa has been commended for its exceptional performance in digital HR, learning, career development, ethics, and integrity, placing the Group above industry standards. This recognition emphasizes Absa's dedication to fostering a human-centered work environment, nurturing talent at all organizational levels, and continually optimizing employee experiences.

Jeanett Modise, Absa Group Chief People Officer, expressed pride in receiving this certification once again, emphasizing that it highlights Absa's unwavering commitment to cultivating a workplace where excellence thrives, setting the standard for the financial services industry. Modise stated, "This recognition is a testament to the dedication of our entire team and reaffirms Absa's position as a leading employer of choice."

In a strategic move towards building an empowering organization, Absa introduced a landmark Broad-Based Black Economic Empowerment (B-BBEE) staff scheme last year, this initiative includes a Colleague Share Scheme, providing colleagues in South Africa with equity ownership in Absa Group, colleagues in participating Absa Regional Operations (ARO) and other international entities will engage in a Colleague Phantom Share Scheme. In naming the scheme eKhaya, meaning "home" in isiZulu, the scheme allows each colleague to own a portion of the Absa home.

Modise emphasized that awarding employees with shares aligns with Absa's commitment to being an active force for good and reinforces the organization's mission of "Empowering Africa's Tomorrow, Together, One Story at a Time."

The Top Employer certification also reflects Absa's adoption of a flexible and hybrid work model, showcasing its adaptability to the changing Human Capital landscape. Absa's leaders are equipped and experienced in leading winning teams remotely.

A noteworthy achievement is the increasing number of boomerang employees within Absa's workforce, reflecting the organization's culture and confirming Absa as a place where employees find inspiration and continuously return. Boomerang employees are those who return to a former employer after working elsewhere, highlighting Absa's status as a great workplace.

Obedi Laiser, Managing Director of Absa Bank Tanzania, expressed pride in being part of the Top Employer Group in Africa, emphasizing the organization's commitment to empowering employees beyond their career aspirations.

In addition to the Top Employer designation, Absa received accolades such as being rated among the "25 Best Workplaces to Grow Your Career" by LinkedIn and recognition from Forbes as a top African organization championing women at work. Furthermore, Absa was featured in Forbes's World's Best Employers ranking.

Absa remains unwavering in its commitment to excellence, fostering diversity and inclusion, and empowering its workforce to shape a brighter future for Africa.
Share:

Monday, January 15, 2024

TANZANIA COMMERCIAL BANK PLC YATOA ZAWADI KWA GOLIKIPA BORA ZANZIBAR

DSC_1420Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akikabidhi cheti maalum kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo mmoja ya wadhamini wa mashindano ya Ligi ya Mapinduzi Cup ikiwa ni kutabua na kuthamini uwepo wa wadhamini mbalimbali na wadau wa michezo.DSC_1654%20(2)Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo (kushoto), akikabidhi zawadi ya shilingi 1,000,000/- kwa Mlinda Mlango bora wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023/2024 kutoka Timu ya Mlandege, Athuman Hassan, mara baada ya Timu hiyo kuibuka kidedea kwa kuikanda timu ya Simba SC kwa bao 1-0 wakati wa mchezo wa fainali wa kombe hilo. Mchezo huo umefanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya New Amani vilivyopo visiwani Zanzibar na mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mh. Hussen Mwinyi.

DSC_1216Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo (kuila) akifuiraha jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Profesa Mohamed Janabi, (kuila kwake) na wadau wengine wakati wakitazama mchezo wa fainali ya kombe la Mapinduzi Cup kati ya Timu ya Simba SC na Mlandege FC mchezo uliyofanyika visiwani Zanzibar viwanja vya New Amani.
DSC_1207
Baadhi ya Maofisa wa Tanzania Commercial Bank (TCB) wakiwa na watazamaji wengine visiwani Zanzibar katika kufuatilia mchezo wa fainali wa kombe la Mapinduzi Cup.

Tanzania Commercial Bank PLC (TCB) ambae ni Moja ya wadhamini wa mashindano ya ligi ya Mapinduzi Cup yanayofanyika visiwani Zanzibar kila mwaka Jumamosi iliyopita Benki hiyo ilikabidhi zawadi ya pesa kiasi cha shilingi milioni moja kwa golikipa bora wa ligi hiyo, Athuman Hassan kutoka klabu ya Mlandege FC. Makabidhiano ya zawadi hiyo yalifanyika muda mfupi baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali baina ya Mlandege FC na Simba SC uliofanyika katika Uwanja wa New Amani Visiwani Zanzibar ambapo mchezo ulikamilika kwa timu ya Mlandege kuibuka na ushindi wa Goli 1-0.

Akizungumza mara baada ya kukabidhi zawadi hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commercial Bank (TCB), Adam Mihayo amesema TCB itaendelea kutoa hamasa kwenye michezo mbalimbali hapa Nchini kwani michezo imekuwa ikiwakutanisha watu karibu pia michezo ni ajira.

“Zawadi hii tunazitoa kwa kuleta hamasa kwa wachezaji ili wafanye vizuri na kujitangaza kimataifa, pia kusaidia kuboresha mchezo huu mwanzo tu kwa Tanzania Commercial Bank kushiriki katika michezo wa soka hapa nchini” amesema Mihayo.

Tanzania Commercial Bank tumekuwa na utaratibu wa kujitolea sana katika jamii kwa kufauata misingi ya Benki yetu.  Tumeweza kusaidia sehemu mbalimbali Tanzania bara pamoja na visiwani katika sekta mbalimbali ikiwepo elimu, afya, michezo, biashara na kutoa elimu ya kifedha.

Hapa visiwani Zanzibar tumeshafanya mambo kadhaa ikiwepo kusaidia vikundi vya wanawake wajasiriamali kwa kuwapa vitendea kazi vikiwemo vyerehani na kuwawezesha vikundi vya kinamama wa Jimbo la Paje wanaolima zao la mwani kwa kuwajengea kisima Cha furahia ili kuwarahisishia shughuli zao za kilimo wa zao hilo ”

“Kwa upande wake Golikipa wa Mlandege Athuman Hassan alishukuru kupata zawadi hiyo na kuahidi kuwa atazidi kuongeza bidii kuwa kinara na kusaidia timu yake kupata ushindi wa kila mechi. “Napenda kuwashukuru TCB kwa kunipa zawadi hii kwani itakwenda kuongeza sana hamasa upande wangu na wa wachezaji wote na makocha pia.
Share:

Wednesday, December 27, 2023

BAYPORT YANOGESHA ROMBO MARATHON

Naibu Waziri Mkuu, Dk. Doto Biteko akikabidhi cheti cha shukurani kwa Meneja Rasilimali Watu wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport, Bi. Evalyn Hall (kulia), kutambua mchango wa kampuni hiyo kama mdhamini mkuu wa mbio za Rombo Marathon 2023 zilizotimua vumbi lake mjini Rombo mkoani Kilimanjaro jana. Kulia kwa Naibu waziri mkuu ni Waziri wa Elimu na Mbunge wa Rombo, Prof. Adolf Mkenda na kushoto kwake ni Waziri Biteko ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bwana Nurdin Babu.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport, Bwana Nderingo Materu (wa pili kushoto), Mkuu wa Mauzo wa kampuni hiyo, Bwana Lugano Kasambala (kushoto kwake), pamoja na wakimbiaji wengine, wakishiriki mbio za Rombo Marathon mjini Rombo, Kilimanjaro jana. Mbio hizo zilizodhaminiwa na Bayport, zina lengo la kuhamasisha vivutio vya utalii mkoani humo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bwana Nurdin Babu (kulia), pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport, wakishiriki mbio za Rombo Marathon mjini Romb, Kilimanjaro jana. Mbio hizo zilizodhaminiwa na Bayport, zina lengo la kuhamasisha vivutio vya utalii mkoani humo.

Na mwandishi wetu, Rombo, Kilimanjaro

TAASISI ya Kifedha ya Bayport imenogesha na kufanikisha mbio za Rombo Marathon 2023 zilizofanyika mjini Rombo, Kilimanjaro jana, zikiwa na lengo la kuhamasisha vivutio vya utalii wilayani humo.

Ikiwa ni mwaka wa pili sasa Rombo Marathon imefanyika ikihudhuriwa na viongozi wa kiserikali, wageni, na watu mashuhuri huku mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Dk. Doto Biteko.

Akizungumza wakati wa mbio hizo, Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Bayport, Bwana Nderingo Materu alisema Bayport ilikubali kuwa mdhamini Rombo Marathon ikiwa ni kuunga mkono juhudi za serikali pamoja na muasisi wa mbio hizo, Waziri wa Elimu na Mbunge wa Rombo, Prof. Adolf Mkenda katika kukuza utalii pamoja na suala zima la uhifadhi wa mazingira.

Kama mnavyofahamu sisi Bayport tumekuwa namba moja katika suala la utunzaji wa mazingira kwa njia ya upandaji miti, leo hii tumeamua kudhamini Rombo Marathon na tutaendelea kuunga mkono juhudi zozote nchini zenye lengo la kukuza utalii na kuhifadhi mazingira."

Lakini pia kama inavyofahamika umuhimu wa kufanya mazoezi ya mwili kwa ajili ya ubora wa afya za wafanyakazi na familia zetu, tunaamini mbio hizi zitaleta hamasa pia kwa watanzania kutilia mkazo umuhimu wa kufanya mazoezi ili kujiepusha na magonjwa yasiyo ya kuambukiza,” alisema Bwana Materu.
Katika hotuba yake, Naibu Waziri Mkuu, Mhe, Dk. Biteko alitoa pongezi kwa waandaaji na wadhamini wa mbio za Rombo Marathon akisema zimekuwa na mafanikio makubwa lakini kikubwa ikiwa ni kujifunza utamaduni wa wana Rombo pamoja ya vivutio vya utalii vinavyopatikana katika wilaya na mkoa huo.

Natoa pongezi nyingi kwa muasisi wa Rombo Marathon, Waziri wa Elimu na Mbunge wa Rombo, Prof. Mkenda, natoa pongezi kwa serikali ya Mkoa wa Kilimanjaro, Wilaya ya Rombo bila kuwasahau wadhamini wote waliojitolea rasilimali zao kufanikisha tukio hili."

Serikali chini ya Rais, Mhe, Dk. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuunga mkono juhudi yoyote inayofanywa yenye lengo la kuwaletea maendeleo watu wa Rombo na kwa watanzania kwa ujumla,” alisema Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu.

Naye Waziri wa Elimu, Mbunge wa Rombo na muasisi wa mbio hizo, Prof. Adolf Mkenda alitoa shukurani zake kwa Mhe. Naibu Waziri Mkuu, Dk. Biteko kwa kukubali kuwa mgeni rasmi pamoja na wadhamini wa mbio hizo Taasisi ya Kifedha ya Bayport kwa kufanikisha tukio hilo muhimu kwa maendeleo ya watu wa Rombo na wananchi wa Kilimanjaro.

Namshukuru sana Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu kwa kuungana na wana Rombo katika kushiriki tukio hili, natoa pia shukrani kwa wadhamini wote waliowezesha kufanya tukio hili kuwa lenye ubora ikiwemo Taasisi ya Bayport Financial Services,” alisema Prof. Mkenda.

Awali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bwana Nurdin Babu, alichukua nafasi hiyo kuwakaribisha wageni wote wanaotoka ndani na nje ya Tanzania kwenda kuangalia vivutio vya utalii mkoani humo akisema Kilimanjaro ipo salama na wapo tayari kuwapokea na kuwahudumia.
Mbio za Rombo Marathon zinazofanyika kwa mwaka wa pili sasa zimeshirikisha mbio za Km 21, Km 10 na mbio za kujifurahisa za kilomita 5.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive