A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Wednesday, June 27, 2018

USALAMA KUANZIA MWANZONI MWA MCHAKATO WA KUANDIKISHA MADEREVA WASHIRIKA WA UBER


Kampuni ya Uber imewekeza katika teknolojia ambayo imeiwezesha kuweka mkazo mkubwa kwenye usalama wa wasafiri na madereva kuanzia mwanzoni mwa safari hadi mwisho: kabla ya msafiri kuabiri gari, wakati wote wa safari na baada ya kufika mahali anakoenda. Kuanzia pale dereva anapoandikishwa kwenye mfumo, madereva wote washirika wanatakiwa kutimiza vigezo muhimu vya kiusalama sambamba na magari wanayotumia. Kampuni ya Uber pia inatoa msaada wa usalama kwa madereva kupitia Timu yake ya Kushughulikia Matukio mbalimbali inayofanya kazi usiku na mchana. Kampuni ina mpango endelevu wa kuendesha semina elekezi za kuwapa madereva washirika mafunzo muhimu yanayohusu usalama. 

Masharti ya Kujiandikisha jijini Dar es Salaam

·  Masharti ya kuwa Dereva:
o Leseni ya Dereva (Daraja la C, C1, C2, C3): Madereva wote wanaotumia app ya Uber wanatakiwa wasajili magari yao kwa shughuli za biashara na wawe na leseni ya biashara.

o Uchunguzi wa tabia ya dereva: Madereva wote hufanyiwa uchunguzi wa kina ili kujiridhisha na tabia na mienendo yao kubaini iwapo inaendana na masharti ya kutumia app ya Uber. Uchunguzi huu unajumuisha kupata stakabadhi ya jeshi la polisi kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani.

o Vikao vya mafunzo maalum: Vikao hivi vinahusu kusoma kozi fupi kwenye Kituo cha Dereva wa Uber, baada ya kufaulu, akaunti ya dereva itafunguliwa na baadaye anaweza kutumia app ya Uber. Madereva wanatakiwa kuhudhuria vikao vya mafunzo maalum, ambapo wafanyikazi wa Uber watawaelekeza kuhusu namna wanaweza kutoa huduma zinazotosheleza mahitaji ya wasafiri. Vikao hivi pia hutumika kufafanua Miongozo ya Jumuiya ya Uber, ambayo inaeleza waziwazi viwango vya ubora ambavyo kampuni ya Uber imeweka sambamba na kuanisha tabia na mienendo ambayo haikubaliki na sera ya Uber mtu anapotumia app hii na adhabu ya kufungiwa akaunti ya Uber kwa msafiri au dereva yeyote atakayeenda kinyume na miongozo  hii.

·  Gari:
o Kadi ya Gari Lililosajiliwa kwa Shughuli za Biashara:  Magari yote yanatakiwa yawe na kadi ya gari inayoonesha kwamba gari limesajiliwa kufanya shughuli za biashara kutoka kwa Mamlaka ya Mapato (TRA) 

o Bima:  Magari yote yanayotumia Uber lazima yawe na bima ya magari ya biashara na bima ya kinga ya umma.

o Kibandiko cha kuendeshea: Maderewa wanaotumia Uber jijini Dar es Salaam wanatakiwa walipie kibandiko kinachotolewa na Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam  kitakachosaidia maafisa wa halmashauri kuwatambua madereva washirika wa Uber.

·  Usaidizi kwa Madereva washirika:
o IRT: Timu yetu ya Kushughulikia Matukio (IRT) inapatikana usiku na mchana, siku 7 za wiki kwa ajili ya kushughulikia matukio au ajali yoyote punde tu inapotokea kote ulimwenguni.
  
o Namba za simu za dharura: Kampuni ya Uber imeingia ubia na kampuni ya Ulinzi ya SGA Security, kampuni ya humu nchini ili kuwapa madereva namba maalum za simu wanazoweza kutumia kuwasiliana kunapotokea dharura yoyote ya kiusalama.
Share:

Tuesday, June 12, 2018

Barclays hosts an iftar to its staff in Dar

Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (centre), talking to some banks workers to an iftar meal hosted by the bank for its staff  in Dar es Salaam recently.
Barclays Bank Marketing Manager, Joe Bendera (left), talks to some bank’s workers in an iftar dinner hosted by the bank to its members of staff  in Dar es Salaam recently.
Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (second left), is serving a meal during an iftar hosted by the bank for its staff in Dar es Salaam recently.
Some Barclays Bank staff having and iftar meal hosted by the bank in Dar es Salaam recently. 
Share:

WAITARA AFANYA UKAGUZI WA UJENZI WA MIUNDO MBINU UKONGA

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (kulia) akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wakazi wa Beach Pemba kata ya Mzinga jijini Dar es Salaam leo katika ziara yake ya ukaguzi wa miundo mbinu inayotengenezwa  pamoja na kusiliza kero za wakazi wa kata hiyo.Moja ya Miundo mbinu inayotengenezwa Beach Pemba ni ujenzi wa mifereji ya chini kwa chini ambayo inatoa maji ya mvua yanayotuama katika eneo hilo na kumwaga moja kwa moja katika bonde la mto Mzinga.Wanne kulia ni Diwani wa kata hiyo Job Isaack.

Diwani Viti maalumu Manispaa ya Ilala, Sara Katanga akizungumza jambo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo juu ya kero ya kutuama kwa maji ya mvua katika eneo la Beach Pemba kata ya Mzinga ambayo imefanyiwa utatuzi kwa kutengenezwa mifereji ya chini kwa chini  itakayo yaongoza maji hayo moja kwa moja katika Bonge la Mto Mzinga.

Mkazi wa Beach Pemba, Alhaji Hassani Magogwa akitoa shukrani za dhati kwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (hayupo pichani) baada ya kutatua kero ya maji ya mvua yanayotuama katika eneo hilo.

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (ailyevaa shati la kaki) akiongozana na wakazi wa kata ya mzingo baada ya kumaliza kukagua mradi wa Beach Pemba.

Mwenyekiti wa Kamati ya ujenzi wa kituo Kikubwa cha Polisi kata ya Mzinga, Godfrey Mujungu (kulia) akizungumza jambo na Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (watatu kushoto) baada ya kuwasili katika kata hiyo kwa aijli ya ukaguzi wa ujenzi wa Kituo hicho kinachotengezwa kwa nguvu ya wananchi kutoka katika mitaa mitatu ambayo ni Mwanagati,Mzinga na Magole.Wapili kulia ni Diwani wa kata hiyo, Job Isaack na Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Mzinga, Mussa Mtani.


Msimamizi wa ujenzi wa kituo Kikubwa cha Polisi upande wa wakazi wa kata ya Mzinga, Nasir Suleiman (kushoto) akimuonesha Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho ambacho kipo katika msingi.

Mafundi wakiendelea na ujenzi wa Kituo cha Kikubwa cha Polisi cha kata ya Mzinga.


Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara akifanya ukaguzi wa ujenzi wa Barabara inayounganisha Kitunda,Kivule na Msongola.

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara akizungumza na msimamizi wa ujenzi wa Barabara inayounganisha Kitunda,Kivule na Msongola baada ya kuwasili maeneo ya Matembele kata ya Kivule katika ziara yake ya ukaguzi wa miundo mbinu inayotengenezwa jimboni jijini Dar es Salaam leo.

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (wapili kulia) akiongozana na Diwani wa kata ya Kivule, Wilson Molel (watatu kulia) pamoja na viongozi wengine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuelekea katika ujenzi wa Daraja la Mto Mzinga katika hafla yake ya ukaguzi wa miundo mbinu inayotengenezwa jimboni.


 Daraja la Mto Mzinga likimaliziwa kuwekwa kifusi.

Mkazi wa Kata ya Kivule akitoa shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (kulia) kwa kutatua kero ya Daraja la Mto Mzinga ambalo lilikuwa ni kikwazo kikubwa cha shughuli za kiuchumi na kijamii kuwa ngumu kwa sababu gari zilikuwa hazivuki kutokana na kuvunjika kwa daraja hilo.Huu ni mwendelezo wa Mbunge kutimiza ahadi ambazo aliziahidi kwa wakazi wa jimbo la Ukonga.

Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara (kulia) akiongozana na Diwani wa kata ya Kivule, Wilson Molel katika ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa Daraja la Mto Mzinga.

Diwani wa kata ya Kivule, Wilson Molel (kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam katika ziara ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga.

Mkurugenzi wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara Mabibo Construction Company Limited, Charles Werongo akizungumza katika ziara ya Mbunge wa Jimbo la Ukonga.Mkurugenzi alisema baada ya wiki tatu Daraja litakuwa tayari kwa aijli ya matumizi ya wananchi.
Mkazi wa kata ya Kivule pia Katibu Mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wa kata hiyo, Bihimba Mpaya akitoa neno la Shukrani kwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Mwita Waitara pamoja na Diwani wa kata hiyo, Wilson Molel kutoka na juhudi walizozifanya juu ya kupambana na kero ya  Daraja la Mto Mzinga ambayo ilikuwa ni kikwazo kikubwa kwa wakazi wa kata hiyo pamoja na wafanyakazi wa Taasisi za Kijamii kama Walimu, Madaktari ilikuwa ni ngumu sana kufika maeneo ya kazi mapema kutokana gari kuishia kati kutokana na kukatika kwa Daraja hIvyo kwa Juhudi za Mbunge na Diwani wake kero imetatulika kwa muda mfupi.
Share:

Monday, June 11, 2018

ETIHAD AIRWAYS TO INTRODUCE BOEING 787 ON CAIRO ROUTE

Etihad%2BAirways%2BBoeing%2B787-9

  • State-of-the-art Dreamliner on one of four daily flights from Abu Dhabi
Abu Dhabi, United Arab Emirates – Effective 28 October 2018, Etihad Airways, the national airline of the UAE, will introduce a 299-seat next-generation Boeing 787-9 Dreamliner on its daily mid-morning EY653 / EY654 schedule from Abu Dhabi to Cairo.

Etihad Airways will operate four daily services, the most frequent number of flights operated by any UAE airline to the Egyptian capital, offering greater choice and optimised timings to benefit business and leisure customers travelling point-to-point between the two cities.

The convenient schedules also provide seamless East-bound connections through Abu Dhabi onto the airline’s network to the Gulf, Indian Subcontinent, North and Southeast Asia and Australia.

Mohammad Al Bulooki, Etihad Airways Executive Vice President Commercial, said: “Etihad Airways has been serving Cairo since 2004 and today it is one of the largest point-to-point markets on our global network, bolstered by the hugely important historic, economic, and cultural ties existing between the UAE and Egypt, and by the large Egyptian community in the emirates, which numbers over 750,000.

“In 2017 Etihad carried almost half a million guests on our multiple daily flights to and from Cairo. The introduction of the state-of-the-art 787 Dreamliner on the popular morning service from Abu Dhabi will provide guests with the latest innovation and technology, award-winning cabins, genuine hospitality and greater choice.”

In April 2018, Etihad Airways and EGYPTAIR expanded their codeshare partnership from Abu Dhabi and Cairo to include several African destinations served by the Egyptian flag-carrier from its Cairo hub, including Ndjamena in Chad, Khartoum in Sudan, Entebbe in Uganda, and Dar es Salaam in Tanzania, and subject to government approvals, Abuja and Kano in Nigeria, and Asmara in Eritrea
EGYPTAIR places its ‘MS’ code on Etihad Airways flights from Abu Dhabi to Seoul, Brisbane, Melbourne and Sydney, and subject to government approvals, on flights to China.

Etihad Airways’ two-class Boeing 787-9 features 28 Business Studios offering direct aisle access, a fully-flat bed of up to 80.5 inches in length, and an increase of 20 per cent in personal space.

Upholstered in fine Poltrona Frau Leather, the Business Studio is equipped with an in-seat massage and pneumatic cushion control system. Each Business Studio has an 18-inch personal touch-screen TV with noise-cancelling headsets. Guests can also enjoy mobile connectivity, onboard Wi-Fi and seven satellite channels of live TV.

271 Economy Smart Seats provide enhanced comfort with a unique ‘fixed wing’ headrest, adjustable lumbar support, a seat width of approximately 19 inches and an 11.1” personal TV monitor on each seat.

The airline’s 787 Dreamliner fleet is equipped with the latest inflight entertainment system featuring over 750 hours of movies and programmes, as well as hundreds of music choices and a selection of games for both adults and children.

- Ends -

Flight schedule: Abu Dhabi – Cairo, effective 28 October 2018 (all times local):

Flight No.
Origin
Departs
Destination
Arrives
Frequency
Aircraft
EY651
Abu Dhabi
03:10
Cairo
05:20
Daily
Airbus A321
EY650
Cairo
06:25
Abu Dhabi
11:45
Daily
Airbus A321
EY653
Abu Dhabi
09:35
Cairo
11:45
Daily
Boeing 787-9
EY654
Cairo
13:35
Abu Dhabi
18:50
Daily
Boeing 787-9
EY655
Abu Dhabi
14:35
Cairo
16:45
Daily
Airbus A320
EY656
Cairo
17:50
Abu Dhabi
23:15
Daily
Airbus A320
EY657
Abu Dhabi
21:45
Cairo
23:50
Daily
Airbus A320
EY658
Cairo
00:50
Abu Dhabi
06:15
Daily
Airbus A320
                                                             
                                                              -Ends-


About Etihad Aviation Group
Headquartered in Abu Dhabi, Etihad Aviation Group is a diversified global aviation and travel group driven by innovation and collaboration. Etihad Aviation Group comprises five business divisions – Etihad Airways, the national airline of the United Arab Emirates; Etihad Airways Engineering; Etihad Airport Services; Hala Group and Airline Equity Partners.

About Etihad Airways
From its Abu Dhabi base, Etihad Airways flies to 93 international passenger and cargo destinations with its fleet of 111 Airbus and Boeing aircraft. Etihad Airways, the national airline of the United Arab Emirates, was established by Royal (Emiri) Decree in July 2003. For more information, please visit: etihad.com.

For further details:
Duty Media Officer
Etihad Airways
Tel: +97150 818 9596
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive