A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Sunday, October 25, 2020

TWIGA A TRIUMPH OF PARTNERSHIP

Barrick President and Chief Executive, Mark Bristow addresses a media conference in Dar es Salaam, Tanzania on 23rd October this year about the success story of Twiga Mineral Corporation. Twiga is a joint venture between Barrick and the Government of Tanzania.
Members of international and Tanzania local media at work during the Barrick President and Chief Executive, Mark Bristow press conference in Dar es Salaam on 23rd October this year. Twiga is a joint venture between Barrick and the Government of Tanzania.

Dar es Salaam | Tanzania | Barely a year after it was established, Twiga Minerals Corporation has demonstrated the value-creating capacity of a true partnership between a mining company and its host nation, Barrick president and chief executive Mark Bristow said here today at a press briefing following his quarterly mine visits.

Twiga is a joint venture between Barrick and the Government of Tanzania, and oversees the management of Barrick’s assets in the country as well as the implementation of the economic benefit-sharing agreement. It was formed when Barrick took over the operations of the former Acacia Mining in September last year and subsequently entered into a framework agreement with the government. In terms of the agreement, Barrick will pay the government $300 million to settle past disputes with Acacia.

In addition to the first $100 million tranche of the settlement, Barrick’s assets in Tanzania have since paid more than $200 million to the government in taxes and royalties, and last week Twiga declared a maiden interim dividend of $250 million.

The fact that so much value has been delivered in such a short time is a tribute to the power of what I believe is the first partnership of its kind in Africa. With the framework agreement now fully implemented, we have settled most of the landowner disputes and are well on our way to ensure that we are fully compliant with our environmental permits as well as with the government’s local content legislation,” Bristow said.

A rehabilitated and re-energized North Mara is ahead of plan in the year to date and Bulyanhulu has resumed underground mining operations and is scheduled to restart processing of underground ore by the end of 2020 as a long-life underground mine. We are gearing up to potentially make North Mara and Bulyanhulu into a combined Tier One complex, capable of producing at least 500,000 ounces of gold annually for more than 10 years in the lower half of the industry’s cost profile1. We shall also be looking to expand the life of operations as well as other new Tanzanian opportunities within the Twiga framework.

Barrick has been awarded 10 new exploration licenses in Tanzania and plans to spend $8 million on exploration there this year.

The company’s commitment to stakeholder partnership encompasses its host communities and a community development committee has already been established at North Mara. On the environmental front, a comprehensive water management plan is being implemented. Since Barrick assumed operational control in 2019 some 50% of the water in the North Mara tailings dam has been removed to date.
Share:

Saturday, October 24, 2020

ABSA BANK TANZANIA DONATES TSHS 10 MILLION TO SUPPORT PACT WASH PROJECTS

Absa Bank Tanzania Director of Finance, Obedi Laiser (second left), hands over a dummy cheque for TShs 10 million to Pact Tanzania Country Director, Marianna Balampama in Dar es Salaam yesterday. Looking on from left are; Absa Bank Marketing and Corporate Relations Head, Aron Luhanga and the bank's Acting Corporate Director, Nellyana Mmanyi.

Absa Bank Tanzania has donated TShs 10 million to Pact Tanzania in support of WASH projects post the pandemic Covid 19.

Speaking about the donation, the bank’s Finance Director, Mr. Obedi Laiser, said “We realize that this has been the most difficult time for most of our communities and businesses whose financial means are being negatively affected. As such, being responsible financial partners we are happy to support our communities through Pact Tanzania in order to continue bringing their possibilities to life despite the present challenges.

The bank’s Head of Marketing and Corporate Relations, Mr. Aron Luhanga added by saying “Our passion for our communities is as strong as ever and our commitment to serve and protect them is unwavering. This is why we continue to invest in their wellbeing as we adhere with the guidelines and protocols set out by the Ministry of Health”.

Along this donation, the bank’s Acting Corporate Director, Ms. Nellyana Mmanyi said, “apart from this donation, Absa Bank Tanzania implemented a payment holiday programme to its customers spanning across Retail, Business Banking, and Corporate and Investment Banking segments.

The comprehensive debt relief programme was a three months’ loan repayment holiday, which comes alongside other efforts initiated by the bank to support its customers amidst covid19 pandemic. The programme, which started in April, was being conducted in full compliance with the Bank of Tanzania regulatory requirements.

For more information, please contact: 

Aron Luhanga
Head, Marketing & Corporate Relations
Absa Bank Tanzania Limited
+255 768 221 717

About Absa Bank Tanzania

Absa Bank Tanzania Limited is a leading commercial bank in Tanzania that currently boasts a network of 15 branches and 62 ATMs strategically located Tanzaniawide – 21 at all our branches and 49 offsite.

The Bank is a wholly owned subsidiary of Absa Group Limited.

Absa Bank Tanzania Limited, (registered number 38557), is regulated by the Bank of Tanzania.

About Absa Group Limited

Absa Group Limited (‘Absa Group’) is listed on the Johannesburg Stock Exchange and is one of Africa’s largest diversified financial services groups.

Absa Group offers an integrated set of products and services across personal and business banking, corporate and investment banking, wealth and investment management and insurance.

Absa Group has a presence in 12 countries in Africa, with approximately 40,000 employees.

The Group’s registered head office is in Johannesburg, South Africa, and it owns majority stakes in banks in Botswana, Ghana, Kenya, Mauritius, Mozambique, Seychelles, South Africa, Tanzania (Absa Bank Tanzania and National Bank of Commerce), Uganda and Zambia. The Group also has representative offices in Namibia and Nigeria, as well as insurance operations in Botswana, Kenya, Mozambique, South Africa, Tanzania and Zambia, and an international representative office in London and soon in New York.

For further information about Absa Group Limited, please visit www.absa.africa
Share:

AGIZO LA RC KUNENGE JUU YA UTOAJI WA KONTENA ZILIZOKUWA ZIMEKWAMA BANDARINI LATEKELEZWA

Kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge kuitaka taasisi ya TICTS kuhakikisha kontena Sita zenye Vifaa vya Ujenzi wa Stand mpya ya Mbezi Louis zilizokuwa zimekwama Bandarin kutoka ndani ya masaa mawili, hatimae Taasisi hiyo imetekeleza mara moja agizo hilo.

Mapema leo RC Kunenge amefika Stand mpya ya Mbezi Louis kujihakikishia Kama kontena hizo zimefika ambapo amethibitisha kujionea kontena zote sita zimefika na kufanya idadi kontena zilizotoka kufikia 14.


Aidha RC Kunenge amebainisha kuwa kontena zilizofika ndani yake Kuna Vifaa mbalimbali ikiwemo Vioo, Fremu za madirisha, Mabati na kueleza kuwa Vifaa hivyo vimeanza kutumika Mara tu vilipofika.

Hata hivyo RC Kunenge ameendelea kumtaka Mkandarasi kufanya kazi usiku na Mchana ili Stendi hiyo ikamilike kabla ya November 30 Kama alivyoagiza Rais Dkt. John Magufuli wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi.


Itakumbukwa siku ya Jana October 23 RC Kunenge alifanya ziara ya kustukiza kwenye Bandari ya Dar es salaam kufuatilia kinachokwamisha kutoka kwa kontena hizo na kubaini kasoro za kiutendaji na kuamua kutoa maagizo ya kutaka kontena hizo zitoke ndani ya masaa mawili.
Share:

Wednesday, October 21, 2020

Mazars Wiscon Associates yabadili chapa yake Rasmi

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mazars Tanzania inayotoa huduma za ushauri wa kodi, ukaguzi wa mahesabu na ushauri wa mambo ya fedha, Witness Shilekirwa (kushoto), na mmoja wa washirika wa kampuni hiyo, Ipyana Lazaro wakiwa katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo wakati wakitangaza kuzindua chapa na jina lao jipya ambalo awali waliitwa Mazars Wiscon Associates. 

Dar es Salaam, 21 Oktoba 2020: Mazars, kampuni ya kimataifa inayotoa huduma za ushauri wa kodi, ukaguzi wa mahesabu na ushauri wa mambo ya fedha. Leo tumefungua ukurasa mpya kote ulimwenguni katika nchi zaidi ya 90 ikiashiria hatua muhimu katika mageuzi ya kampuni hii. 

Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, mmoja wa wabia washirika wa Mazars Group Bw. Ipyana Lazaro alisema wanafuraha kubwa kuwa ni washirika wa kampuni ya ukaguzi wa mahesabu iliyoenea ulimwenguni kote.

Sisi kama washirika wa Mazars, tunajivunia sana chapa yetu mpya. Mazars imekuwepo Tanzania tangu mwaka 2017, ikihudumia wateja wa aina tofauti, wakubwa kwa wadogo. Chapa yetu mpya inatutambulisha na kutuweka kwenye mtazamo tofauti kitaifa na kimataifa, na kuendana na mabadiliko haya, leo tumebadili jina rasmi kutoka Mazars Wiscon Associates na kuwa Mazars Tanzania.”, alisema.

Mabadiliko haya ni miongoni mwa malengo ya Mazars kuleta mtazamo tofauti katika soko la biashara ya ukaguzi wa mahesabu, ushauri wa kodi, maswala ya fedha na uchumi kiujumla, na inathibitisha dhamira yake ya kujenga ulimwengu wa haki, ustawi na uendelevu.

Naye Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Mazars Group Bw. Hervé Hélias, katika ujumbe wa salamu zake alisema ana furaha sana kuzindua kitambulisho kipya baada ya miaka miwili ya mashauriano ya kina na mapana na washirika, wafanyikazi, wateja na wadau.

Uzinduzi huu wa chapa yetu mpya unaonesha sisi ni nani leo na kuthibitisha matarajio yetu kwa aina ya kampuni tunayotaka kuwa katika siku zijazo. Sisi ni timu moja iliyounganishwa kote ulimwenguni, na kiwango cha kuhudumia wateja wakubwa wa kimataifa na ni wepesi wa katika ubunifu na katika kuleta mabadiliko.” 

Bw. Helias aliongeza kuwa katika kila nchi ambayo kampuni ya Mazars inapofanya kazi, washirika na wafanyakazi huchanganya uelewa wa kitamaduni wa nchi husika na mtazamo wa kimataifa, ikihudumia wateja wa aina mbalimbali kwa ushirikiano wa kweli, ambao unawapa ujasiri katika biashara zao na kuwasaidia kufanikisha azma zao.

Chapa mpya inaashiria na inatambua mageuzi makubwa yaliyofanywa na Mazars kimataifa, ambapo kwa sasa Mazars ina uwepo katika nchi zaidi ya 90, na ina wataalam zaidi ya 25,000 duniani kote. Pia Mazars kupitia umoja unaojulikana kama “Mazars North America Alliance”, umeleta wataalamu wa ziada 16,000 wanaotoa huduma kwa wateja wa makampuni ya Amerika na Canada. Kwa jumla tuna wataalamu zaidi ya 40,000 wanaosaidia wateja wa Mazars ulimwenguni kote. 

Hervé Hélias akiendelea kutoa maoni yake alisema "Kwa miaka 75, kanuni zetu zinazotuongoza hazijabadilika, lakini kampuni yetu imebadilika. Tumekua mara dufu katika miaka kumi iliyopita na tumejitofautisha katika kuhudumia wateja wetu."

Mazars tunaendelea kuwekeza kwenye idara ya ukaguzi (Audit) – kwa kufundisha na kutoa wataalam (expertise), kuwekeza kwenye teknolojia na udhibiti wa ubora (quality control). Idara hii inahitaji kuwekeza kwenye utaalam na ubunifu.

Ili kuendana na matakwa na mabadiliko makubwa yanayoendelea duniani kote. Tumejitahidi sana kuwekeza kwenye ubunifu, usalama wa mifumo na udhibiti wa ubora ili kuendelea kuwa kwenye soko la leo” alimalizia Bw. Helias.

  • Sasa yapanua wigo wake katika nchi zaidi ya 90 ili kuleta mafanikio na mtazamo tofauti katika kazi ya ukaguzi, kutoa huduma za kodi na ushauri kwa ujumla
  • Mabadiliko ya chapa yanathibitisha mkakati wa kujenga ulimwengu wa haki na mafanikio
Share:

Tuesday, October 20, 2020

ABSA Bank Tanzania launches Bancassurance!

Absa Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (centre) addresses a media conference during the official launch of Absa Bank bancassurance proposition dubbed ‘Absa Bima’ in Dar es Salaam today. Looking on from left are; Absa Bancassurance-General Insurance Manager, Jumanne Mbepo, Absa Head of Retail Banking, Oscar Mwamfwagasi and Head of Absa Bancassurance, Sandeep Chavda.

Absa Bank Tanzania has launched its Bancassurance proposition dubbed "Absa Bima". The bank has partnered with the top insurance companies in the country to provide its customers with top notch insurance solutions spanning across motor insurance, home insurance, business insurance, medical insurance, travel insurance and life assurance all under one roof.

The bank has been licensed by Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA) to represent 10 insurance companies, namely; Sanlam Life, Alliance Life, Jubilee Life, Metropolitan Life, Alliance Insurance, Jubilee Insurance, Sanlam General, Britam Insurance, AAR Insurance and Phoenix as Bancassurance agents. 

Addressing the press at a press conference yesterday to announce the product launch, Head of Retail Banking, Oscar Mwamfwagasi said that “Absa is in a mission to improve the general wellbeing of its customers while providing convenience. Our customers no longer need to deal with multiple parties for their insurance and banking needs. They can get everything all under one roof.

Mwamfwagasi also added saying "Apart from mobilizing customers to Absa’s Bancassurance employees banking services, the major aim of the product is to help bring possibilities to life and make customers realize their ambitions, which we at Absa call this Africanacity".

We have included insurance partners for life insurance, general insurance and medical insurance but the same partners will who will cover both individual and corporate products”, said Mr. Sandeep Chavda, Absa Bank Tanzania Head of Bancassurance.

Sandeep also added that "there are more benefits of getting your insurance through Absa Bima, these include the timely renewal and follow up, avoiding fund transfer charges if one had to pay directly to insurers, price discounts, easy application process, premium financing and more, all these are made easy by leveraging on the existing banking systems."

"Furthermore, the solution is available to both existing customers with an account at Absa and new customers."
Share:

Sunday, October 18, 2020

RC KUNENGE AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA USIKU WA MANANE, ATOA MAAGIZO MAZITO KWA WAKANDARASI "WAZEMBE"


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amefanya ziara ya kustukiza Usiku wa manane kwenye miradi mitatu mikubwa ikiwemo ya Ujenzi wa Machinjio ya kisasa Vingunguti, Soko la Kisutu na ujenzi wa Stendi ya kisasa Mbezi Louis kujionea Kama agizo alilotoa la kufanya kazi usiku na Mchana linatekelezwa. 

Akiwa kwenye ujenzi wa Machinjio ya kisasa Vingunguti na Soko la Kisutu RC Kunenge amekuta agizo la kufanya kazi usiku na Mchana halijatekelezwa jambo linalopelekea Miradi hiyo kushindwa kukamilika ndani muda uliopangwa na kuleta kero kwa wananchi.


Kutokana ukiukwaji wa maagizo yayo RC Kunenge ametoa maagizo matatu mazito kwa Manispaa ya Ilala ikiwemo kuhakikisha Mkandarasi anapigwa faini kwa kushindwa kukamilisha ujenzi ndani ya muda kwa mujibu wa mkataba, Kumchukulia hatua za kinidhamu Msimamizi wa Mradi pamoja na kumuwajibisha Mhandisi Manispaa hiyo kwa kushindwa kusimamia kazi yake.


Aidha RC Kunenge amemuelekeza Mkurugenzi wa Manispaa hiyo kumpatia mapendekezo ya jinsi gani watakamilisha miradi hiyo kwa haraka ili iweze kuwa msaada kwa wananchi.

Pamoja na hayo RC Kunenge ametembelea ujenzi wa Stand Mpya ya Mbezi Louis na kukuta kazi inafanyika usiku na Mchana ikiwa ni utekelezaji wa Agizo la Rais Dkt. John Magufuli alilotoa wakati wa hafla ya uwekaji jiwe la msingi na kuagiza Mradi ukamilike kabla ya mwishoni mwa mwezi November.


RC Kunenge amesema siku ya kesho October 18 jumla ya Makontena 13 yenye Vifaa vya Ujenzi wa Stand ya Mbezi yaliyokuwa yamekwama bandarini yataanza kutoka baada ya kufanya mazungumzo na viongozi wa Wizara na Mamlaka ya Mapato TRA.

Sanjari na hayo ametoa Wito kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika kufanikisha miradi kuhakikisha wanafanya kazi kwa kushirikiana ili miradi iweze kukamilika kwa wakati.
Share:

Benki Ya CRDB Yazindua Kampeni Ya "Jipe Tano" Kuhamasisha Utamaduni Wa Kujiwekea Akiba Kwa Wateja

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Benki ya CRDB, Stephen Adili akizungumza na Waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya "Jipe Tano" inayolenga kuhamasisha wateja kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba. Benki ya CRDB imetenga Shilingi milioni 100 kama zawadi kwa wateja ambao watakuwa wakiweka akiba mara kwa mara katika akaunti zao, ambapo wateja 240 watakuwa wakijishindia fedha kila siku.

Benki ya CRDB imezindua kampeni maalum ya kuhamasisha wateja na Watanzania kwa ujumla kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba iliyopewa jina la “Jipe Tano”. Akizungumza katika uzinduzi huo Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Benki ya CRDB, Stephen Adili amesema kampeni hiyo inalenga kuwasaidia wateja kufikia malengo yao ya kimaisha pamoja na kumudu gharama mbalimbali za maisha kupitia utamaduni wa kujiwekea akiba.

Tunatambua wateja wetu wana malengo ambayo wamejiwekea katika maisha yao, na sisi kama Benki ya kizalendo tuna jukumu la kuhakikisha wateja wetu wanafikia malengo yao kupitia huduma na bidhaa bunifu zinazotolewa na Benki yetu ikiwemo huduma ya kuweka akiba kupitia akaunti mbalimbali,” alisema Adili.

Adili alisema kampeni hiyo ya katika kampeni hiyo ya “Jipe Tano”, Benki ya CRDB imetenga kiasi cha shilingi milioni 100 ambapo wateja watakuwa wakijishindia zawadi ya shilingi elfu tano kila watakapokuwa wakiweka akiba katika akaunti zao ikiwamo akaunti ya Watoto Junior Jumbo, Akaunti ya Malkia kwa ajili ya wanawake, Akaunti ya Scholar kwa ajili ya wanafunzi, Akaunti ya Tanzanite kwa ajili ya Watanzania waishio nje ya nchi, akaunti ya pensheni kwa ajili ya wastaasfu, Akaunti ya FahariKilimo kwa ajili ya wakulima na akaunti nyengine za uwekezaji kama Thamani, Dhahabu na akaunti za muda maalum.

Kila mteja atakapokuwa akiweka akiba kwenye akaunti yake atakuwa anapata nafasi ya kujishindia shilingi elfu tano kila siku, tunafanya hivi ili kuongeza hamasa kwa wateja kuweka akiba zaidi na kujenga utamaduni huu kwa watanzania,” aliongezea Adili huku akibainisha Benki hiyo itakuwa ikitoa zawadi kwa washindi 240 kila siku hadi mwishoni mwa mwezi Desemba kampeni hiyo itakapofikia kilele.

Mkuu wa Kitengo cha Masoko Benki ya CRDB, Joseline Kamuhanda akizungumza na Waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa kampeni ya "Jipe Tano" inayolenga kuhamasisha wateja kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba. Benki ya CRDB imetenga Shilingi milioni 100 kama zawadi kwa wateja ambao watakuwa wakiweka akiba mara kwa mara katika akaunti zao, ambapo wateja 240 watakuwa wakijishindia fedha kila siku.

Akielezea namna ambavyo wateja watakuwa wakijishindia katika kampeni hiyo, Mkuu wa Kitengo cha Masoko Benki ya CRDB, Joseline Kamuhanda alisema wateja watahitajika kuweka akiba kwenye akaunti zao mara kwa mara ili kushinda zaidi, huku akiwahamasisha wale ambao bado hawana akaunti Benki ya CRDB kufungua na kuanza kujiwekea akiba.

Kila unapoweka akiba kwenye akaunti yako yoyote iwe kwenye tawi, CRDB Wakala au kupokea salio kupitia SimBanking, Internet banking au kutoka mitandao ya simu na taasisi nyengine za fedha kuingia akaunti yako ya Benki ya CRDB, unajiwekea nafasi ya kushinda shilingi elfu tano kila mara, na ndiomana tunasema Jipe Tano,” alisisitiza Kamuhanda.

Kamuhanda alisema Benki ya CRDB imeendelea kuboresha huduma na miundombinu yake ya kutoa huduma hususan ile ya kidijitali, ambapo aliwataka wateja kutumia huduma za CRDB Wakala, SimBanking na Internet banking kufanya miamala yao ya kifedha, huku akiwataka wateja pia kuhamasishana kutumia akaunti za benki kupokea malipo na kuweka akiba.


Ukitaka kumlipa mtu muulize kwanza una akaunti Benki ya CRDB akisema hana mwambie afungue ili wakati unamtumia na yeye apate tano, wanasema vizuri kula na nduguyo,” aliongezea Kamuhanda.

Kampeni hii ya Jipe Tano nimuendelezo wa jitihada za Benki ya CRDB katika kutoa elimu ya huduma za fedha kwa Watanzania, ambapo mapema mwaka huu Benki hiyo iliendesha kampeni ya Popote Inatiki ikihamasisha wateja kutumia mifumo ya kidijitali kupata huduma kwa urahisi na usalama.
Share:

Saturday, October 17, 2020

BENKI YA DCB YATOA GAWIO KWA WANAHISA WAKE WAKUU

Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe; Selemani Jafo, akikabidhi mfano wa hundi yenye dhamani ya shilingi 138,603,889 ikiwa ni gawio la wanahisa kutoka Benki ya DCB kwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godrin Gondwe (wapilikushoto), na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Sarah Msafiri, kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Godfrey Ndalahwa, pamoja na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo Zawadia Nanyaro, hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe; Selemani Jafo (wa tatu kushoto), akikabidhi mfano wa hundi yenye dhamani ya shilingi 30,780,000 kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Bima ya Afya (NHIF) Bernard Konga ikiwa ni gawio la hisa za shirika hilo kutoka Benki ya DCB. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Godfrey Ndalahwa, pamoja na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi wa benki hiyo Zawadia Nanyaro, hafla hiyo imefanyika jana jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Godfrey Ndalahwa, akiwakaribisha Mkuu Wilaya ya Kigamboni Sarah Msafiri,na Mkurugenzi wa Jiji Bi Sipora Jonathan wakati wa hafla ya Benki ya DCB ilipokuwa ikitoa Gawio kwa wanahisa wake wakuu jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati), akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Uwekezaji (UTT) Simon Migangala wakati wa hafla ya benki ya DCB ya kutoa gawio kwa wanahisa wake wakuu jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi wa benki hiyo Zawadia Nanyaro.
Share:

Thursday, October 8, 2020

Absa Bank Tanzania recognizes its Esteemed Customers

  
Absa Bank Tanzania Chief Financial Officer, Obedi Laiser giving his keynote remarks at a function organized by ABT to recognize some of its long standing customers and external stakeholders being part of the bank's 2020 customer service month celebrations. A brief occasion was held in Dar es Salaam today.
Absa Bank Tanzania Chief Financial Officer, Obedi Laiser (centre), presenting certificate a appreciation to one of its long standing customer, Prudence Masaku at a function organized by ABT to recognize its long standing customers and external stakeholder being part of the bank's 2020 customers service month celebrations in Dar es Salaam today. Looking on is Absa Head of Corporate Client Service, Minal Sanghvi.
Absa Bank Tanzania Chief Financial Officer, Obedi Laiser (centre), presenting certificate a appreciation to one of its long standing customer, Julius Massawe at a function organized by ABT to recognize its long standing customers and external stakeholder being part of the bank's 2020 customers service month celebrations in Dar es Salaam yesterday. Looking on is Absa Head of Retail Products & Strategy, Heristraton Genesis. 
Absa Bank Tanzania Director of Compliance & Legal, Irene Sengati Giattas (centre), presenting a certificate a appreciation to one of its long standing stakeholder, Margaret Nyangusi at a function organized by ABT to recognize its long standing customers and external stakeholder being part of the bank's 2020 customers service month celebrations in Dar es Salaam today. Looking on is ABT Chief Financial Officer, Obedi Laiser.
Some members of Absa Bank Tanzania management team pose for a souvenir photograph with the bank’s external stakeholders during the ceremony.
Some members of Absa Bank Tanzania management team pose for a memento photograph with some of the bank’s long standing customers during the ceremony.

Today we kick off our Customer Service Month celebrations, as we honor the importance of providing our loyal and valued customers with outstanding service.  This is the first time Absa Bank Tanzania celebrates and recognizes the support we get from customers since the adaption of our new name.

Along with customers, Absa Bank Tanzania also recognize our external dream team that has shown their utmost dedication and provided extraordinary services that have enabled us to serve our customers better.Indeed, the celebrations are about recognizing our longstanding customers who have been part of the story of our growth and change since 2000 when we first opened doors in Tanzania.

We are taking this opportunity to remind our valued customers on our service delivery promise and commitment. The year 2020 has proven that times are changing fast, and we are ready to prove to our customers that our service quality will rise to the occasion. We promise to;

 

·        Improve our availability: Our customers can chat with us anytime, anywhere through our Chat box number +255 743 254 244.


·        Improve our turnaround time in service delivery


·        We are the only bank that can guarantee to issue debit cards in less than 20 minutes


Speaking on the Customer Service Month, Chief Financial Officer Mr. Obedi Laiser said: “Our ultimate aim and objective is to deliver the “One Absa” customer experience consistently and seamlessly by increasing our digital footprint by providing relevant products and services in these changing times.”

In the key highlights of the event, the Head of Retail Products & Strategy, Heristraton Genesis said: “We appreciate our customers as they are reason for our existence. We are having an ongoing initiative dubbed ‘Great Service Starts with Me’ to improve service delivery and turnaround time to our customer while increasing individual accountability. We are brave, passionate and ready to continuously provide customers with the best service

Echoed what was said by previous speakers, Absa Bank Tanzania Head of Business Banking, Mr. Melvin Saprapasen promised continued support along with partnership, ease of dealing and customized services to the SME and Commercial Segment customers.

Customer Experience and Digital front was represented by the Head of Customer Experience and Digital, Mr. Samuel Mkuyu, who said: “The banks strategy is to continually be relevant in the changing times. Several enhancements are being done to the services provided that allow us to boldly venture into the digital error.

The event was held at Absa Bank Tanzania head offices, Ohio Street in Dar es Salaam.
Share:

Benki ya DCB yazindua wiki ya huduma kwa wateja ikiahidi kuendelea kutoa huduma bora

 
Kaimu Mwenyekiti wa Bodi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (wa tatu kushoto), akikata keki kuashiriki uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja wa benki hiyo katika hafla iliyofanyika katika Tawi la DCB Uhuru, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendajiwa benki hiyo, Godfrey Ndalahwa, Mkuu wa Kitengo cha Mikopo, Isidori Msaki (wa pili kulia), na baadhi ya wateja.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati), akisalimiana na mmoja wa wateja wa benki hiyo, Joachim Kimanza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo katika Tawi la Uhuru, Kariakoo, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Meneja Uhusiano tawini hapo, Olen Misigaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kulia), akimsikiliza mmoja wa wateja wa benki hiyo, Amir Amirali, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo katika Tawi la Uhuru, Kariakoo, Dar es Salaam jana. Anayeangalia ni mteja mwingine, Joachim Kimanza.
Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya DCB, Zacharia Kapama (kulia), akisalimiana na mmoja wa wateja wa benki hiyo, Joachim Kimanza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo katika Tawi la Uhuru, Kariakoo, Dar es Salaam jana. Katikati ni maofisa uhusiano katika tawi hilo, Getrude Mziray (wa pili kushoto) na Olen Misigaro.
Mkuu wa Kitengo cha Mikopo wa Benki ya DCB, Isidori Msaki (wa pili kushoto), akisalimiana na mmoja wa wateja wa benki hiyo, Joachim Kimanza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo katika Tawi la Uhuru, Kariakoo, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Menea Uhusiano wa Benki ya DCB wa Tawi la Uhuru, Olen Misigaro (katikati), akizungumza katika hafla hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya DCB, Rahma Ngassa (kushoto), akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (wa pili kushoto), akimpa keki mmoja wa benki hiyo, Theresia Lyimo, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo katika Tawi la Uhuru, Kariakoo, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Zawadia Nanyaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kulia), Mkurugenzi wa Biashara, Zacharia Kapama na Meneja Uhusiano wa DCB Tawi la Uhuru, Olen Misigaro, wakisaliana na baadhi ya wateja tawini hapo wakati wa uzinduzi rasmi wa wiki ya huduma kwa wateja ya benki hiyo, Kariakoo, Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Geofrey Ndalahwa akizungumza na baadhi ya wateja katika tawi la Temeke kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo wakati wa maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo, ambapo viongozi wa benki hiyo walitumia muda wao kuhudumia wateja katika matawi mbalimbali ya benki hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Geofrey (kulia), Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa DCB, Francis Kafuku (wa tatu kulia) na Meneja wa benki hiyo tawi la Temeke, Anna Kasyupa (kushoto) wakikata keki pamoja na wateja wa benki hiyo wakati wa maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo, ambapo viongozi wa benki hiyo walitumia muda wao kuhudumia wateja katika matawi mbalimbali ya benki hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa akizungumza na baadhi ya wateja katika tawi la Temeke kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo wakati wa maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja jijini Dar es Salaam leo, ambapo viongozi wa benki hiyo walitumia muda wao kuhudumia wateja katika matawi mbalimbali ya benki hiyo.
Share:

Wednesday, October 7, 2020

ACB BENKI YAKUMBUKA WATEJA WAKE YAZINDUA WIKI YA MTEJA KWAKUTOA ZAWADI

Mteja wa Benki ya ACB, Tawi la Tegeta Jude Lymo, akitoa neno la shukrani kwa Benki hiyo wakati wa hafla ya uzinduzi wa wiki ya mteja iliyofanyika katika Tawi la Benki hiyo lililopo Tegeta  jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki ACB, Dora Saria (katikati), akizungumza na wateja wa benki hiyo wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja wa Benki ya ACB. Huku akiwahikikishia wateja kufanya kazi kama timu katika kufikia malengo ya kutoa huduma bora kwa kwa wateja hafla ya uzinduzi wa wiki ya mteja iliyofanyika katika Tawi la Benki hiyo lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Benki ya ACB, Tawi la Tegeta  Godlove Ernest (wapilikulia),  akimlisha keki moja ya mteja wa Benki hiyo wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja wa Benki ya ACB. Huku  Ikiwahakikishia wateja kufanya kazi kama timu katika kufikia malengo ya kutoa huduma bora kwa kwa wateja wake hafla ya uzinduzi huo uliyofanyika katika Tawi la Benki hiyo lililopo Tegeta  jijini Dar es Salaam.
Mneja wa Benki ya ACB, Tawi la Tegeta  Godlove Ernest, Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Benki  ACB, Dora Saria (wapili kulia) pamoja na maofisa wengine  na wateja wa Benki hiyo wakikata keki kuashiria uzinduzi rasmi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja  wa Benki ya ACB. ikihamsisha kufanya kazi kama timu katika kufikia malengo ya kutoa huduma bora kwa wateja wake hafla ya uzinduzi huo  uliyofanyika katika Tawi la Benki hiyo lililopo Tegeta  jijini Dar es Salaam.
Share:

BENKI YA CRDB YADHAMINI LIGI YA TAIFA YA MPIRA WA KIKAPU

Benki ya CRDB imetangaza udhamini wa shilingi milioni 200 kwa ligi ya mpira wa kikapu ya taifa 2020 itakayofanyika Dodoma katika viwanja vya Chinangali kuanzia tarehe 12 Novemba na kilele chake ni 21 Novemba, 2020. 

Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa amesema benki hiyo imefikia makubaliano na Shirikisho la Taifa la Mpira wa Kikapu (TBF) ya udhamini wa ligi hiyo ya taifa ya mpira wa kikapu ambayo imepewa jina la “CRDB Bank Taifa Cup”.

Mwambapa alisema udhamini wa ligi hiyo ya taifa ya mpira wa kikapu ni muendelezo wa jitihada za Benki ya CRDB katika kuwawezesha vijana wa Kitanzania kupitia michezo. Aliongezea kuwa Benki hiyo kupitia sera yake ya Uwezeshaji katika Jamii (CSI Policy) imekuwa ikiwekeza katika michezo ya vijana kwa kuamini kuwa inasidia kuongeza ushiriki wao katika shughuli mbalimbali za maendeleo katika jamii.


Akizungumzia kuhusu msukumo uliopelekea Benki hiyo kudhamini ligi hiyo ya taifa ya kikapu yenye kauli mbiu ya “Ni Zaidi ya Game, Ni Maisha”, Mwambapa alisema mchezo wa mpira wa kikapu umekuwa haupewi sana kipaumbele kulinganisha na michezo mingine, Hivyo kupelekea kiwakatisha tamaa vijana wengi ambao wamekuwa wakionyesha vipaji katika mchezo huo.

CRDB Bank Taifa Cup” inakuja kuleta hamasa si tu kwa vijana na wapenzi wa mpira wa kikapu bali kwa Watanzania wote kwa kuwaonyesha umuhimu wa kuwekeza katika michezo ya vijana na fursa zilizopo ikiwamo ajira,” alisema Mwambapa.

Mwambapa alisema mbali na zawadi zitakazokuwa zikitolewa kwa timu zitakazofanya vizuri katika “CRDB Bank Taifa Cup”, Benki ya CRDB pia imetenga kiasi cha shilingi milioni 50 kwa ajili ya “Scholarship” kwa wachezaji watakaofanya vizuri.


Tutakuwa pia na zawadi kwa ajili ya wapenzi wa mpira wa kikapu katika kila hatua za mashindano. Niwaombe watanzania waanze kutufuatilia kupitia Azam TV na mitandao yetu ya kijamii kujua namna ya kushiriki,” aliongezea Mwambapa.

Kwa upande wake Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania, Mike Mwita aliishukuru Benki ya CRDB kwa kudhamini ligi hiyo ya taifa ya mpira wa kikapu huku akisema udhamini huo utaongeza mapenzi ya mpira wa kikapu kwa vijana kama ilivyo kwa mpira wa miguu na michezo mingine.

Mwita alisema: "Tunafurahi sana kwa udhamini na ushiriki thabiti wa Benki ya CRDB katika jitihada hizi zinazolenga kukuzwa kwa mpira wa kikapu nchini. Sio tu kwamba udhamini wa Benki ya CRDB utaboresha kiwango cha ligi, lakini pia utavutia Watanzania wengi kufuatilia mchezo huu na kuhamasisha vijana wengi kushiriki."


Naye Msimamizi wa vipindi vya michezo Azam TV, Michael Maluwe amewataka Watanzania kuanza kufuatilia CRDB Bank Taifa Cup kupitia chaneli ya michezo ya Azam Sports 2, ambapo Benki hiyo imeanzisha kipindi maalum kuelekea mashindano hayo ya mpira wa kikapu. “Azam TV itaweka kambi Dodoma kuwaletea burudani Watanzania kuelekea mashindano haya, niwakaribishe Watanzania tujiunge na Azam TV ili kuwashangilia vijana wetu,” alisema Maluwe.

CRDB Bank Taifa Cup inatarajiwa kuhusisha timu 36 za mpira wa kikapu kwa upande wa wanaume na wanawake. Mashindano hayo pia yatatanguliwa na michuano ya timu za veteran zza Benki ya CRDB, Bunge, Pazi, Bahari na timu za walemevu. Pamoja na Benki ya CRDB kuwa mdhamini mkuu, CRDB Bank Taifa Cup pia imedhaminiwa na Azam TV, kampuni ya bima ya Sanlam na kampuni ya maji ya Cool Blue.


Share:

Monday, October 5, 2020

WIZARA YA KILIMO YAIPONGEZA BENKI YA NBC KATIKA UWEZESHAJI WA WAKULIMA

Ofisa Uhusiano wa Benki ya Biashara ya Taifa (NBC) tawi la Moshi, Neema Soka akipokea cheti kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya wakati wa maonesho ya Kawaha (Kahawa Festival) yaliyofanyika Moshi-Kilimanjaro. Kulia ni Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, Profesa Faustine Kamuzola. Benki hiyo ni mmoja wa wadhamini wakuu wa maonesho hayo ambayo yalifanyika kwa siku tatu.
Ofisa Uhusiano wa Benki ya Biashara ya Taifa (NBC) tawi la Moshi, Neema Soka akimueleza jambo Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Kusaya alipotembelea banda la benki hiyo kufahamau namna ambavyo benki hiyo inasaidia sekta ya kilimo wakati wa maonesho ya Kahawa yaliyofanyika mjini Moshi.
Ofisa Uhusiano wa Benki ya Biashara ya Taifa (NBC) tawi la Moshi, Neema Soka akitoa maelekezo kwa baadhi ya waliotembelea banda la NBC katika maonesho ya Kahawa (Kahawa festival) yaliyofanyika Moshi-Kilimanjaro. Benki hiyo ni mmoja wa wadhamini wakuu wa maonesho hayo ambayo yamefanyika kwa siku tatu mfululizo.

Na Mwandishi Wetu | Moshi | Wizara ya Kilimo imepongeza juhudi mbalimbali zinazofanywa na benki ya Biashara ya Taifa (NBC) katika uwezeshaji wa wakulima kupitia mikopo na bidhaa mbalimbali ikieleza kuwa hatua hizo zitawakomboa wakulima wengi dhidi ya umasikini hapa nchini.

Hayo yalisemwa wakati wa uhitimishaji wa maonesho ya kwanza ya Kahawa yaliyofanyika Mjini Moshi na kuhusisha wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo na fedha ili kusherekea siku ya kahawa Duniani (International Coffee Day).

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gelard Kusaya alisema taasisi za fedha zina mchango mkubwa katika kuendeleza sekta ya kilimo kupitia uwezeshaji kwa wakulima na wafanyabiashara kwa njia ya mikopo yenye riba nafuu.

Kusaya alisema Wizara imefurahishwa sana na huduma ya ‘NBC Shambani’ na kwamba itakuwa na msaada mkubwa kwa wakulima kufanya kilimo-biashara ili waweze kuona tija zaidi.

NBC Shambani ni huduma maalumu kwa wakulima inayowawezesha kufungua akaunti za vikundi (Amcos) au akaunti ya mkulima mmoja mmoja bila gharama za uendeshaji.

Mkulima anayetaka kujikita katika kilimo biashara ni lazima awezeshwe katika suala la fedha, mikopo mnayoitoa tunaamini inakuwa na faida kubwa kwa mkulima na mkulima ataweza kuzalisha zaidi,” alisema Kusaya.

Meneja wa NBC Tawi la Moshi, Lazaro Mollel alisema maonesho hayo yamekuwa na faida kubwa katika kufahamu mahitaji ya wakulima hasa wakulima wa zao la kahawai li kuongeza ubunifu wa bidhaa.

Alisema benki hiyo imeleta huduma maalumu kwaajili ya wakulima iitwayo NBC Shambani ambayo inawawezesha wakulima kufungua akaunti za vikundi (Amcos) pamoja na akaunti ya mkulima mmoja mmoja bila gharama za uendeshaji.

Huduma ya NBC Shambani inawalenga wadau wote wa kilimo wakiwamo wasambazaji, wakulima, wauzaji wa pembejeo na pia inatoa fursa kwa wakulima wanaofanya kazi kwenye vikundi vya ushirika (Amcos) kufungua akaunti ya kikundi kufungua akaunti ya pamoja na ya mtu mmoja mmoja ambazo uendeshaji wake ni bure,” alisema.

Katika maonesho hayo, NBC imeweza kukabidhiwa tuzo ya mdhamini mkuu wa maonesho hayo ambayo ni ya kwanza kufanyika nchini Tanzania.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive