A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Tuesday, April 21, 2020

Sanlam commits TZS 172,500,000 to flattening the COVID-19 curve in Tanzania

Minister for Health Community Development, Gender, Elderly and Children, Ummy Mwalimu (third left), receives a dummy cheque for Tsh 172,500,000 donated by Sanlam Life Insurance Tanzania and Sanlam General Insurance Tanzania to support government efforts in fighting against corona (covid-19) pandemic in Dar es Salaam recently. From Left are; Sanlam Life Insurance Head of HR and Corporate Services, Charles Mbaga, Sanlam Life Insurance Tanzania Chief Executive Officer, Khamis Suleiman, Sanlam Board Chairman, Ambassador Dr. Matern Lumbanga, Sanlam East Africa Regional Executive, Julius Magabe and Sanlam General Chief Executive Officer, Gift Noko.

By our staff reporter

As the number of Tanzanians who have tested positive for the corona (COVID-19) Virus continue to rise, Sanlam Life Insurance Tanzania and Sanlam General Insurance Tanzania, the leading providers of dynamic and innovative insurance solutions respectively, have stepped up to contribute to national efforts to reduce the impact of the disease, known technically as ‘flattening the curve’.

Sanlam Companies have donated TZS 172,500,000 to the National Relief Fund to fight COVID-19 to the Prime Minister of United Republic of Tanzania, Honorable Kassim Majaliwa (MP) and received by the Minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Hon. Ummy Mwalimu (MP) on behalf of the Prime Minister.

Speaking during the event, Mr. Julius Magabe, the company’s Regional Executive Officer for East Africa, explained that Sanlam is highly conscious of the fact that the prevailing situation is totally unprecedented and that the country has found itself needing to deal with a large-scale health and social behavior change intervention.

“We recognize that there are people are in urgent medical needs following circumstances precipitated by rising positive COVID-19 cases, and during this critical period, as responsible corporate citizens, we deem it important, to take part in supporting the government’s efforts in ensuing the health and safety of families, colleagues and communities at large,” said Mr. Magabe.

He explained that the Sanlam Group and its Tanzanians entities (Sanlam Life and Sanlam General), believe that it was important to ensure public awareness and compliance is desired behavior change for people to remain safe.

Hon, Ummy, on behalf of the Prime Minister, thanked Sanlam management for supporting the government’s efforts at the right time.

“Your support is highly appreciated as it arrived on the right time, when it is highly needed. With thanks, we urge other business entities as well as individuals to continue supporting the government on this fight. We promise we will not let you down,” said Hon Ummy.

In the meantime, the Sanlam companies have activated socially responsible protocols including establishing new working arrangements and where appropriate, reducing the number of staff at office premises with shorter working hours to minimize exposure.
Share:

Thursday, April 16, 2020

RC MAKONDA apatiwa SHEHENA ya VIFAA vya KUJIKINGA na CORONA kutoka kwa MFANYABIASHARA ROSTAM AZIZI

MFANYABIASHARA  maarufu nchini Rostam Aziz (pichani kushoto) akiwa sambamba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe.Paul Makonda wakipita kwenye mashine maalumu za kupuliza dawa ya kupambana na maambukizi ya virusi  vya Corona.

MFANYABIASHARA Maarufu Nchini Rostam Azizi chini ya Kampuni ya Taifa Gas leo amemkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda Shehena ya Vifaa vya Kisasa vya Kuwakinga Wananchi dhidi ya virusi vya Corona vyenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 600 ikiwa ni sehemu ya ahadi yake kwa Waziri Mkuu aliyoitoa wiki iliyopita ya kutoa Sh.bilioni moja kusaidia vifaa hivyo katika daladala za jiji la Dar es Salaam na Zanzibar.

Vifaa alivyopatiwa RC Makonda ni Mashine za kisasa 25 zenye uwezo wa kumtakasa mtu na kuua vijidudu mwili mzima, Barakoa 70,000 Dumu 600 za ujazo wa Lita 5 zenye Dawa ya kunawa mikono pamoja na Sanitizer 600.

RC Makonda amesema Mashine hizo 25 zitapelekwa kwenye maeneo yenye msongamano wa watu kama Vituo vya Daladala na Masokoni na Dawa za kunawia mikono zitagawanywa kwa Watu wa Daladala kwaajili ya kuhakikisha kila abiria ananawa mikono.

Aidha RC Makonda amemshukuru Mfanyabiashara Rostam Azizi kwa upendo na moyo wa kuwajali wananchi wa Dar es salaam ambapo amesema atahakikisha kila kifaa kinamfikia mlengwa.

Pamoja na hayo RC Makonda amewataka wananchi kuendelea kuchukuwa tahadhari dhidi ugonjwa wa Corona kwa kuhakikisha wanazingatia maelekezo yaliyotolewa na Wizara ya Afya.

Kwa Upande wake Mfanyabiashara Rostam Azizi amesema ataendelea kushirikiana na Serikali ya Mkoa huo katika mambo mbalimbali ya kijamii ambapo msaada aliotoa keo ni mwanzo tu wa ushirikiano.

Akizungumza baada ya kukabidhi msaada huo, Rostam amesema pamoja na vitakasa mikono hivyo na Barakoa alizotoa lakini leo ameongeza mchango wake kwa hospitali mbalimbali kwa wauguzi wote ambapo amejitolea barakoa 70,000 ili madaktari na manesi ambao ndiyo wako hatarini kuliko mtu yeyote.

Vingine ni galoni 6,000 za lita tano za vitakasa mikono na mashine maalumu za kupuliza dawa ya kupambana na maambukizi ya virusi hivyo.

“Kama nilivyosemna tuna janga. Janga hili la maradhi ya Corona haliko tu Tanzania lakini lipo sehemu zote duniani. Na kama sote tunavyojua ugonjwa huu hauna tiba, tiba pekee ni kujihami usiupate.

“Mheshimiwa Rais wetu Machi 22 mwaka huu, katika hotuba yake kwa taifa kuhusu janga hili, akitangaza maradhi ya Corona alitupa tahadhari, alituambia pamoja na kuchapa kazi na kuendelea na shughuli zetu za kila siku za kutafuta riziki lazima tuchukue tahadhari kwa kunawa mikono, kutokusanyika na mengineyo.

“Hivi sasa ni wazi kwamba tahadhari hizo inabidi tuzizingatie kuliko wiki iliyopita au wiki mbili zilizopita, leo hii kwa mara ya kwanza nimevaa hii kitu inaitwa barakoa na hii nimetengenezewa na mama yangu kwa hiyo huna haja ya kwenda kuinunua dukani unachukua shuka au foronya unaifunga na kamba,” amesema Rostam.

Akizungumza namna barakoa hiyo inavyofanya kazi, Rostam amesema inaweza kukuepusha na maradhi mengi, na kwamba jambo hilo linaweza kufanyika kwa kila mtu ambapo unaweza kuchukua nguo yako iliyochakaa ukatengeneza.

Amesema amezungumza na madktari wakamwambia ni vema kuvaa barakoa wakati unakwenda kwenye msongamano wa watu lakini pia watu wanaweza kutengeneza wenyewe si lazima kununua madukani.

Pamoja na mambo mengine, Rostam ametoa wito kwa wafanyabiashara wengine kuisaidia serikali kwa kutoa msaada wa vifaa vya kupambana na corona akitolea mfano kwa nchi nyingine wafanyabiashara walivyosaidia nchi zao.

“Kama kawaida yangu ningependa kuwaomba wafanyabiashara wenzangu hili si jukumu la serikali pekee, wafanyabiashara wengi duniani wameishaidia serikali, tumeona Amazon wamejitolea. Si lazima uwe mfanyabiashara mkubwa, hata mfanyabiashara wa duka unaweza kuweka ndoo ya maji dukani na ukaweka vitakasa mikono kwa wafanyakazi unaweza kuokoa maisha ya watu.

“Natoa mwito kwa wafanyabisahrawa wakubwa na wadogo kwa kikasi tunachoweza tusaidiane kuisaidia serikali mzigo huu mzito ili wananchi wengi zaidi wasipate maambukizi haya,” amesema Rostam.
Share:

Monday, April 6, 2020

RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema zoezi la kuwakamata wazururaji katika mkoa huo limeanza rasmi leo ambapo wazururaji watakaokamatwa watapewa adhabu mbalimbali ikiwemo Kusafisha mitaro, Kusafisha barabara, kufyeka nyasi na kulima bustani.

RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.


Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa na uwekezaji uliofanyika na wazawa jambo lililosaidia zaidi ya Vijana 205 kupata Ajira kwa Shoppers ya Mliman City pekee.

Aidha RC Makonda amesema uwepo wa Supermarket hiyo licha ya kuwezesha wananchi kupata mahitaji muhimu pia serikali inapata Kodi ambapo inaelezwa kwa kipindi cha miezi nane pekee ambayo Jengo hilo kikifungwa serikali ilikosa kodi ya shilingi Bilioni 28.

Pamoja na hayo RC Makonda amesema uwepo wa Supermarket hiyo pia utawezesha Wafugaji na Wakulima wa Mazao ya Matunda na Mbogamboga kupata sehemu ya kuuza Mazao yao.
Share:

Saturday, April 4, 2020

RC MAKONDA AWATAKA WANANCHI WASIJIFUNGIE NDANI KUSUBIRI CORONA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akizungumza na wakazi wa Kinondoni alipokwenda kukagua ujenzi wa barabara inayojengwa kwa maagizo ya Rais John Pombe Magufuli.



Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, akikagua barabara za mitaa zilizoko mtaa wa Kariakoo karibu na Ofisi za CCM Lumumba. (Picha na Brian Peter)







Na Mwandishi wetu,

Wananchi wanaingia hasara kwa kukwepa majukumu yao huku mambo yakienda tofauti wanaanza kuilalamikia serikali ili iweze kupatia msaada.

Amesema hayo leo mkuu wa mkoa wa Dar es Salaaam Mh Paul Makonda wakati akikagua mradi wa TARURA katika eneo la Kinondoni shamba ambapo kumekuwa na mgogoro baina ya TARURA na wananchi wa eneo hilo.

Pia amewataka wananchi kuacha kujifanya wajuaji wakati tatizo linapokuwa kubwa kwasababu wakati watu wanaingia katika eneo la mradi ambalo hawatakiwi kuvamia.

Vilevile amewataka wananchi kufanya kazi huku wakichukua tahadhari ya ugonjwa wa Corona wasikae ndani watafute hela ili wasije wakafa na njaa.

“Tokeni ndani mkafanye kazi Corona isiwe kigezo cha kujifungia ndani tumepambana na magonjwa mengi ikiwemo kipindupindu na magonjwa mengine tufanye kazi huku tukichukua tahadhari’amesema Makonda.

Aidha  Makonda amekukagua miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA katika wilaya ya Ilala na Kinondoni kujua maendeleo ya miradi hiyo.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive