A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Friday, May 31, 2019

TP Malaika yaichabanga Airwing 2-1 Prophet Suguye Cup

Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Ibrahim Juma,  mwenye jezi ya bluu akijaribu kumtoka beki wa TP Malaika ya Machimbo, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1.
Mshambuliaji wa timu ya Airwing FC Mussa Maulidi (kushoto), akimkabili beki wa TP Malaika ya Machimbo, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1
Mshambuliaji wa timu ya TP Malaika ya machimbo Salum Machaku,  mwenye mpira akijaribu kuwatoka mabeki wa Airwing FC, wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwakuichapa Airwing mabao 2-1.
Golikipa wa timu ya Airwing Iddi Mohamedi, akijaribu kuokoa moja ya mashambulizi wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1.
Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya TP Malaika ya machimbo Candy Panya (wambele),  akiwania mpira wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1.
Beki wa timu ya Airwing FC Raymond Chaburu (aliepiga mpira kwa kichwa), akiokoa moja ya shambulizi wakati wa mchezo wa  ligi ya PROPHET SUGUYE CUP inayoendelea katika viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule nje kidogo ya Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya TP Malaika imeibuka kidedea kwa kuichapa Airwing mabao 2-1

Mashabiki waliofika kushuhudia mtanange huo.
Share:

Thursday, May 30, 2019

Benki ya NBC na Asasi ya Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS) zaingia makubaliano kusaidia Kilimo Biashara nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (wa pili kushoto), akibadilishana hati za mkataba wa makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitano na Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS), Nicomed Bohay, makabaliano yatakayoiwezesha NBC kusaidia mnyororo wa thamani wa  sekta ya kilimo biashara nchini. NBC pia ilipokea mfano wa hundi ya Dola 1,000,000 kutoka PASS zitakazotumika kama dhamana katika mikopo ya kilimo itakayotolewa na benki hiyo. Hafla ilifanyika jijini Arusha leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru na Ofisa Mtendaji Mkuu wa PASS, Anna Shenalingigwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (wa pili kushoto), akisaini hati za makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitano na Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS), Nicomed Bohay, makabaliano yatakayoiwezesha NBC kusaidia mnyororo wa thamani wa  sekta ya kilimo biashara nchini. NBC pia ilipokea mfano wa hundi ya Dola 1,000,000 kutoka PASS zitakazotumika kama dhamana katika mikopo ya kilimo itakayotolewa na benki hiyo. Hafla ilifanyika jijini Arusha leo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru na Ofisa Mtendaji Mkuu wa PASS, Anna Shenalingigwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (wa pili kushoto), akipokea mfano wa hundi wa Dola 1,000,000 kutoka kwa  Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS), Nicomed Bohay makabaliano yatakayoiwezesha NBC kusaidia mnyororo wa thamani wa  sekta ya kilimo biashara nchini. Kushoto ni Mkurugenzi wa Biashara wa NBC, Elvis Ndunguru na Ofisa Mtendaji Mkuu wa PASS, Anna Shenalingigwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS), Nicomed Bohay akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (wa pili kushoto, walioketi) na Mkurugemzi Mtendaji wa PASS, Nicomed Bohay (kushoto kwake), wakipozi kwa picha ya kumbukumbu pamoja na watumishi wa taasisi hizo mbili mara baada ya kumalizika kwa tuki hiyo mjini Arusha leo.

SEKTA ya kilimo na ufugaji  nchini kupitia Taasisi ya Kusaidia Sekta Binafsi ya  Kilimo (PASS) na Benki ya NBC Tanzania wameingia katika ushirikiano wa kuwawezesha wakulima nchini kupata mikopo ili kuongeza mnyororo wa thamani katika sekta hiyo.

Akiongea kwenye utiaji wa saini makubaliano ya ushirikiano huo wa miaka mitano,  kati ya PASS na NBC jijini Arusha leo,  Mkurugenzi Mtendaji wa NBC Theobald Sabi amesema kuwa ushirikiano huo utawezesha benki hiyo kutekeleza mipangokazi yao ya kuongeza mnyororo wa thamani katika kilimo biashara.

Ameeleza kuwa ushirikiano huo kati ya taasisi hizo mbili utawezesha wakulima wafugaji nchini kupata mafunzo bora yenye tija ya kuongeza mapato au mavuno, uandaaji wa maandiko ya kibiashara na uwekezaji kwenye kilimo,kupata huduma za kilimo kwa makundi,kujengewa uwezo wa kuendesha biashara kwa faida na dhamana ya mikopo hadi asilimia 60%.

Amesema kuwa hayo yote yanalenga kumwezesha mkulima na mfugaji kutoka pale alipo na kuendelea kukua ili aweze kutoa mchango wake katika kujenga uchumi imara wa nchi yetu na huduma hizi zinapatikana katika matawi yoteya NBC nchi nzima.

“Niwaombe wadau wa kilimo na mifugo nchini kuchangamkia fursa hii kwa kutembelea katika matawi yetu na makubaliano haya kati yetu na PASS ni kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia sasa na yatakuwa bora na yenye manufaa makubwa kwa wadau wa sekta ya kilimo kwa siku za usoni”alisisitiza Sabi.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Asasi ya kusaidia Sekta Binafsi ya Kilimo (PASS), Nicomed Bohay ameeleza kuwa taasisi hiyo imekuwa ikisaidia wateja katika kuandaa miradi bora ya uwekezaji ambayo inaweza kupatia faida kubwa na kuwezesha upatikanaji wa huduma za fedha kwa ajili ya ufadhili wa miradi kupitia udhamini wa mikopo kwa kushirikiana na benki za kibiashara.

Amesema kuwa wameshaingia makubaliano na benki za kibiashara 16 nchini na makubaliano hayo na benki ya NBC taasisi yao imetoa dola za kimarekani million 1 kwa ajili ya udhamini wa mikopo ambayo itatolewa kwa wakulima na wafugaji kupitia benki ya NBC.

“PASS imeendelea kuwa shirika la mfano, jumla ya wajasiriamali wa kilimo 929,172 wamefaidika na mikopo iliyodhaminiwa na PASS inayofikia shilingi bilioni 712 kati ya mwaka 2000 na 2018,” alisema.




Pamoja na hayo Mkurugenzi wa PASS aliongeza kuwa, mwaka 2019 ni mwaka wa pili wa mpango mkakati wao wa miaka mitano (2018-20220 wakilenga kuutengeneza ajira 700,000 kupitia sekta ya kilimo wakitarajia familia zipatazo 235,253 kunufuaika kupitia mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 210.6.
Share:

Wednesday, May 29, 2019

Benki ya Biashara ya DCB yazindua akaunti ya muda maalum ijulikanayo kama ‘DCB Lamba Kwanza’

Mkurugenzi wa Biashara wa Benki ya Biashara ya DCB , James Ngaluko (wa tatu kushoto) akizungumza jijini Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa akaunti mpya ya muda maalum ijulikanayo kwa jina la ‘DCB Lamba Kwanza’ inayomuwezesha mteja kupata riba ya hadi asilimia 14 papo hapo mara baada ya kuwekeza. Wengine kutoka kushoto ni; Meneja wa DCB Tawi la Temeke, Anna Kasyupa, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa DCB, Rahma Ngassa, Meneja wa Akaunti za Kidigitali, Fredrick Mwakitwange na Meneja wa Tawi la DCB Magomeni, Fortunata Benedict.
Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Biashara ya DCB, Rahma Ngassa (wa pili kushoto), akizungumza jijini Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa akaunti mpya ya muda maalum ijulikanayo kwa jina la ‘DCB Lamba Kwanza’ inayomuwezesha mteja kupata riba ya hadi asilimia 14 papo hapo mara baada ya kuwekeza. Wengine kutoka kushoto ni; Meneja wa DCB Tawi la Temeke, Anna Kasyupa, Mkurugenzi wa Biashara, James Ngaluko, Meneja wa Akaunti za Kidigitali, Fredrick Mwakitwange na Meneja wa Tawi la DCB Magomeni, Fortunata Benedict.

Benki ya biashara ya DCB imezindua bidhaa maalumu kwa ajili ya wateja wa akaunti ya muda maalum (Fixed Deposit) ijulikanayo kama ‘DCB LAMBA KWANZA’.

Bidhaa hii mpya itamuwezesha mteja wa DCB kuwekeza hadi miaka miwili na kupata riba ya hadi asilimia 14% ya amana atakayo wekeza na riba ya mwezi italipwa papo hapo pindi anapofungua akaunti.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa bidhaa hii jijini Dar es Salaam leo Mkurugenzi wa Biashara, James Ngaluko alisema Akaunti hii itamuwezesha mteja wetu kupata riba kila mwezi hivyo kufanya wateja wa DCB kufurahia maisha kwani kila mwezi ni mwezi wa faida.

Riba inalipwa mwanzo wa mwezi kila mwezi, malipo ya riba ni rafiki mteja anaweza kuwekeza kuanzia miezi mitatu (3) mpaka miaka miwili (2). Ni matumaini yetu wateja wetu watachangamkia fursa hii na watafurahia akaunti hii kwani tumeboresha maisha na uchumi’.

Alisema Lengo kubwa la kuanzishwa kwa akaunti hii ni kuwapa fursa wateja wa DCB kuweza kuwekeza kwa faida na manufaa. Wateja na wasio wateja wa DCB wanaweza sasa kufungua akaunti hii ya DCB Lamba Kwanza na kuweza kuwekeza.

‘Tumekuja na jina hili la ‘DCB Lamba Kwanza’ kama lilivo neno lenyewe, mteja wetu ataweza kulamba riba ya mwezi papo hapo pindi atakapofungua akaunti’ aliongeza mkurugenzi wa biashara.

Pamoja na hayo Bwana Ngaluko aliongeza kuwa akaunti ya DCB lamba kwanza HAINA STRESS kwani itamuwezesha mteja kupata kipato kikubwa kila mwezi kwa kipindi kirefu, hivo kuitofautisha na akaunti nyingine kama hizi…..’ukiwa na akaunti ya DCB lamba kwanza kila mwezi ni mwezi wa mshahara’.

Mteja anaweza kufungua akaunti katika tawi lolote la DCB ama kupitia huduma za kidigitali kwa kupiga *150*85# huku mteja akihakikishiwa usalama wa pesa zake wakati huohuo hakuna makato ya akaunti ya kila mwezi na hakuna gharama ya kufungua akaunti.

Ikumbukwe kuwa Benki ya Biashara ya  DCB ilianzishwa mwaka 2002 ikiwa kama Benki ya Jumuiya ya Wananchi “community bank” na Manispaa za Jiji la Dar es Salaam kufuatia kilio cha wakazi wengi wa Jiji kutokuwa na njia rahisi ya kupata mitaji midogo midogo ya biashara. Benki ya DCB imekuwa ni benki ya kwanza kuorodheshwa kwenye Soko la Hisa mwaka 2008, na imeweza kukuza mtandao wake wa matawi kufikia matawi nane likiwepo tawi la Dodoma, na inatarajia kuongeza matawi mengine mikoani katika miaka ya mbeleni.

Uboreshaji huduma na mahusiano ya wateja umekuwa ndio kigezo kikuu katika kuongeza amana nafuu na za muda mrefu hasa kutoka kwa wanahisa waanzilishi na mashirika mbalimbali yaliyoendelea kuwekeza na benki ya DCB.

Huduma za kidigitali zimekuwa chachu ya kuongeza ufanisi na kupunguza gharama za uendeshaji na gharama za riba. Akaunti hizi zinajumuisha akaunti ya kidijiti (DCB Digital Account), DCB Kibubu Digital Account, DCB FDR Digital account. Akaunti hizi zinamuwezesha mteja kufungua akaunti na kufanya miamala yote ya kibenki, Kutunza pesa na kuwekeza kwa kutumia simu yake ya mkononi.

Idadi ya wateja imeongezeka kutoka 144,475 mwaka 2017 kufikia 175,204 mwaka 2018 na hivyo kuchangia ongezeko kubwa la miamala ya kibenki.

1. Benki ya DCB ndio benki ya kwanza kuorodheshwa katika soko la hisa la Dar es Salaam.

2. Benki ya DCB ndio benki pekee iliyokua kutoka benki ya wananchi/jamii (community bank) na kufanikiwa kuwa benki ya biashara (commercial bank).

3. Benki ya DCB imefanikiwa kukuza mtandao wa matawi yake kufikia manane huku ikifungua tawi Dodoma na inaendelea na mchakato kufungua matawi na vituo vya huduma (service centers) katika mikoa mingine.




4. Benki ya DCB imefungua mtandao wa mawakala na huduma za kijiditali hadi kufikia 1000.
Share:

MAZOUK PRODUCTION - FOOD SAFETY TRAINING FOR HOTELS AND CATERS DAR ES SALAAM TANZANIA


 Food safety trainings came into existence in the late 1950s, being firstly invented by a US based food processing company in association with NASA during the space program.

The target was to create quality in food products that would ensure safety and health of consumers by controlling and monitoring food born illnesses.

The training was proposed to Food and Drugs Authority and National Health Association in a Food scientific conference in 1970, after which the Hazard Analysis Critical Control Point -HACCP and its 7/5 principles came into place to oversea organization, preparation, monitoring and presentation of food and food substances from the farm, to storage, to the kitchen, to the table of the final consumer so as to ensure cleanliness and observation of safety procedures.

 The Gap In Tanzania and The Focus: Currently, The Government of Tanzania through its relevant authorities do an outstanding work in ensuring safety and damage control resulted from food and drugs in the country. But nevertheless, it is not compulsory for food and drugs services organizations to have trained and certified personnel in implementation and observation of the HACCP plan and ita benefits.

 Thus, our focus is to import into the country the idea and technology of Food Safety training and the HACCP plan and its benefits so as to allow the government and the services providers to have a global standard of administration for food and drugs related products. 
The Economic Impact:

 This training shall result into numerous direct and indirect economic impact to both public and private sectors as following. It shall bring the global standard for hotels and caterers in terms of food service provision and administration and hence build, strengthen, and maintain goodwill and trustworthy in clients. 

Most importantly, it shall increase government taxes both from businesses and from employees through creation of new job opportunities and opportunities in training and food safety technology. Conclusion:


 The training shall be held at Hyatt Regency- The Kilimanjaro Hotel on the 16th of July 2019 from 8am to 5pm and it shall be instructed and supervised by Certified food safety experts by The US National Restaurants Association, Food And Drug Administration. The participation fee is TZS 230,000.00 (Inclusive of All taxes) per person. ------- ××× ------- For Inquiry: Call +255625019697 E-mail: kihembasalum@gmail.com

Share:

Azam yachabangwa 1-0 na Magereza Dar Prophet Suguye Cup 2019

Mshambuliaji machachali wa timu ya Magereza, Franki William, akijaribu kumtoka beki wa kushoto wa timu ya Azam Poly sacks Iddi Ramadhani, wakati wa mchezo wa ligi inayokwenda kwa jina la PROPHET SUGUYE CUP iliyoendelea jana tarehe 28.5.2019 katika viwanja vya Misitu Kivule nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya Magereza imeibuka kidedea kwakuinyuka timu ya Azam bao 1-0.
Mshambuliaji wa timu ya Magereza Moses Godfrey (katikati), akiwania mpira wakati wa mchezo na timu ya Azam Poly sacks, wakati wa mchezo wa ligi inayokwenda kwa jina la PROPHET SUGUYE CUP iliyoendelea jana tarehe 28.5.2019 katika viwanja vya misitu kivule nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya Magereza imeibuka kidedea kwakuinyuka timu ya Azam bao 1-0.
Beki wa timu ya Home Boys ya kitunda, Daniel Moses (wa pili kulia), akiokoa moja ya mpira uliopigwa na mshambuliaji wa timu ya Kitunda FC wakati wa mchezo wa ligi ya PROPHRET SUGUYE CUP, inayoendelea katika viwanja vya Misitu Kivule nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam katika mchezo huo Kitunda FC iliibuka kidedea kwakuichabanga Home Boys bao 2-1 ambapo timu itakayoweza kufanya vizuri siku ya fainali itajinyakulia kitita cha shilingi milioni mbili.

Baadhi ya watoto wakiwa juu ya mti wakishuhudia mtanange huo
Kikosi cha timu ya Home Boys wakiwa katika picha ya pamoja kabla yakuanza kwa mchezo wao dhidi ya Kitunda FC.
Kikosi cha timu ya Magereza Dar wakiwa katika picha ya pamoja kabla yakuanza kwa mchezo wao dhidi ya Azam Poly Sacks.
Kikosi cha timu ya Kitunda FC wakiwa katika picha ya pamoja kabla yakuanza kwa mchezo wao dhidi ya Home Boys.
Mshambuliaji wa timu ya Magereza Christopher Msikwe, alieruka juu akiipatia ushindi timu yake baada ya kupika mpira kwakichwa na ukaenda moja kwa moja nakutinga wavuni.

Mshambuliaji wa wa timu ya Azam Poly Sacks Selemani Aguero akimtoka beki wa timu ya Magereza wakati wa mchezo, wakati wa mchezo wa ligi inayokwenda kwa jina la PROPHET SUGUYE CUP iliyoendelea jana tarehe 28.5.2019 katika viwanja vya misitu kivule nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya Magereza imeibuka kidedea kwakuinyuka timu ya Azam Poly Sacks 1-0.
Kikosi cha timu ya Azam Poly Sacks wakiwa katika picha ya pamoja kabla yakuanza kwa mchezo wao dhidi ya Magereza Dar es Salaam, wakati wa mchezo wa ligi inayokwenda kwa jina la PROPHET SUGUYE CUP iliyoendelea jana tarehe 28.5.2019 katika viwanja vya misitu kivule nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam ambapo katika mchezo huo timu ya Magereza imeibuka kidedea kwakuinyuka timu ya Azam bao 1-0.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Prophet Suguye Cup, Robert Mujuni akijadiliana jambo na baadhi ya viongozi wa Kamati hiyo.
Share:

Tuesday, May 28, 2019

Lord Eyes FC yaichabanga Miyosha FC 4-1 wakati wa mechi ya mashindano ya PROPHET SUGUYE CUP


Mshambuliaji machachari wa timu ya soko ya Lold Ayes, Abdallah Sultani, akijaribu kumtoka kiungo wa timu ya  Miyosha FC wakati wa mechi ya mashindano ya PROPHET SUGUYE CUP,yanayoendelea katika viwanja vya misitu Kivule Matembele ya pili ambapo timu ya Lord Eyes FC iliibuka kidedea kwakuichabanda timu ya Miyosha FC kwa mabao 4-1 mchezo huo umefanyika jana.
Kocha wa timu ya  Lord Eyes Imani Mwaikonyole akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa  wa mchezo wao zidi ya Miyosha FC katika viwanja vya misitu Kivule Matembele ya pili ambapo timu ya Lord Eyes FC iliibuka kidedea kwakuichabanda timu ya Miyosha FC kwa mabao 4-1 mchezo huo umefanyika jana.
Baadhi ya mashabiki wa timu ya Lord Eyes wakishangilia ushindi wa timu yao kuibuka kidedea katika mchezo huo.
Kocha Msaidizi wa timu ya  Lord Eyes Joseph Mbezu akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa  wa mchezo wao zidi ya Miyosha FC katika viwanja vya misitu Kivule Matembele ya pili ambapo timu ya Lord Eyes FC iliibuka kidedea kwakuichabanda timu ya Miyosha FC kwa mabao 4-1 mchezo huo umefanyika jana.
Baadhi ya Viongozi na waandaaji wa michuano hiyo wakiwa viwanjani kushuhudia mtanange.
Mratibu wa Mashindano ya Suguye Cup Robert Mjuni akiwa na Katibu wa Kamati ya uwaandaaji wa michuano hiyo wakiwa katika harakati za kupitia ripoti mbalimbali za michuano hiyo.
Mapema wanafunzi wa shule ya msingi Misitu wakishiriki kuandaa uwanja wa Mashindano ya Prophet Suguye Cup kabla ya mtanange huo kuanza.
Mapema wanafunzi wa shule ya msingi Misitu wakishiriki kuandaa uwanja wa Mashindano ya Prophet Suguye Cup kabla ya mtanange huo kuanza.
Mapema wanafunzi wa shule ya msingi Misitu wakishiriki kuandaa uwanja wa Mashindano ya Prophet Suguye Cup kabla ya mtanange huo kuanza.
Mapema wanafunzi wa shule ya msingi Misitu wakishiriki kuandaa uwanja wa Mashindano ya Prophet Suguye Cup kabla ya mtanange huo kuanza.
Mapema wanafunzi wa shule ya msingi Misitu wakishiriki kuandaa uwanja wa Mashindano ya Prophet Suguye Cup kabla ya mtanange huo kuanza.
Share:

LSF announces plans to broaden legal aid services in Tanzania

Newly-appointed Chief Executive Officer of the Legal Services Facility (LSF), Ms. Lulu Ng’wanakilala speaking to the legal aid stakeholders in Dar es Salaam yesterday at the special function to welcome her to the organization (LSF). 
Legal aid stakeholders following proceedings of a special function held in Dar es Salaam to welcome a newly-appointed Legal Services Facility (LSF) Chief Executive Officer, Ms. Lulu Ng’wanakilala to the organization.



The newly-appointed Chief Executive Officer of the Legal Services Facility (LSF), Ms. Lulu Ng’wanakilala has reiterated the organization’s priority to ensure timely and extensive availability of legal aid services continues to be at the core of LSF’s agenda.

This goal is expected to be realized by broadening the delivery of these crucial services which, have provided access to justice for millions of Tanzanians since 2011 when the organisation was established.

Ms. Ng’wanakilala, said this in Dar es Salaam during an iftar event which was attended by key stakeholders from the government, development partners, the private sector and civil society organisations, to welcome her and bid farewell to the outgoing CEO Kees Groenendijk who served as head of the organisation since its inception.

“LSF has undoubtedly been very successful and its strong influence made a significant contribution towards the eventual enactment of the new Legal Aid Act, 2017 which is not only beneficial for LSF’s mission but, for legal aid in Tanzania in general. Our agenda now is to enhance collaboration with the Ministry of Constitutional and Legal Affairs in making sure the Act is implemented and from it a strong, reliable and effective legal aid community is established,” she said.

Drawing from the extensive work the organization has done in every district of both mainland Tanzania and Zanzibar, she added, Looking forward, our focus will be strategic particularly, focusing on how LSF can be more sustainable and build on what we have so far achieved. Our broad aim is to ensure the legal aid sector through our nationwide network of paralegals reaches every community while placing at its centre women empowerment, civic engagement, economic empowerment and poverty reduction. We will also work with other sectors, that LSF has traditionally not engaged including mining, agriculture, tourism/natural resources and the private sector, to ensure paralegals are able to help communities address every day legal issues that remain marginalizing obstacles to them”.

To date LSF has created a network of over 4,000 functional paralegals who are providing legal aid and legal education to communities across the country. Hundreds of thousands of women, men and children have benefited and continue to benefit from LSF-financed projects which are implemented by regional mentor organizations, paralegals units and other partner organizations.

“I am very optimistic that our collaborative efforts will propel LSF to expand our services and enable many more people to access justice and enrich their daily lives with the comfort of knowing they have legal aid available to them more than ever before and that it’s free”, she added.

Ms. Ng’wanakilala assumed office earlier this month and will lead an organization that has over the last 8 years cultivated and maintained strong relations with all levels of the government in helping ordinary citizens enjoy every day rights that were previously beyond their reach.


Share:

Monday, May 27, 2019

Uzinduzi wa Prophet Suguye Cup wafana

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi tarehe 25.5.2019




Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akimlisha keki mmoja wa wageni waliohudhuria ufunguzi wa mashindano hayo Diwani wa Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mh. Murshidi Hashimu Ngeze wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi ya tarehe 25.5.2019

Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akipiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP akitoka kupiga penati kuashiria uzinduzi rasmi wa mashindsano hayo yaliyoanza rasmi jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la WRM, Nabii Nicholaus Suguye, ambaye pia ndio Muanzilishi wa Mashindano ya ligi ya Mchezo wa mpira wa miguu iliyopewa jina la PROPHET SUGUYE CUP, akimlisha keki mmoja wa wageni waliohudhuria ufunguzi wa mashindano hayo Diwani wa Rukoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba Mh. Murshidi Hashimu Ngeze wakati wa ufunguzi rasmi wa mashindano hayo katika viwanja vya Misitu vilivyopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es Salaam jumamosi ya tarehe 25.5.2019
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Mamia ya mashabiki na wananchi wa Kivule waliomiminika viwanjani hapo kushuhudia mtanange huo. Mchezo ambao Kivule Forest Wametoka kidedea kwa magoli matatu dhidi ya magoli mawili ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional fc. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Baadhi ya viongozi wa mchezo referee pamoja na raise woman wakiwa kazini katika mchezo wa ufunguzi kati ya Kivule fc pamoja na Professional FC. Mchezo ambao Kivule wameibuka na ushindi wa magoli ma 3 kwa ma 2 ya Professional FC.
Manahoza wa timu ya Kivule Forest pamoja na Professional FC wakiwa katika picha ya pamoja na waamuzi siku ya kwanza ya mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Manahoza wa timu ya Kivule Forest pamoja na Professional FC wakisalimiana kuonyesha tendo la Fair Play huku waamuzi kwakishuhudia kitendo hicho siku ya kwanza ya mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Baadhi ya wachezaji wa Professional FC wakiwa ndani ya uwanja wa misitu ama kerezange tayari kuanza mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Prophet Suguye Cup.
Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.
Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.
Baadhi ya wachezaji wa Kivule Forest FC pamoja wakiwa ndani ya uwanja wa misitu ama kerezange tayari kuanza mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Prophet Suguye Cup.

Mtanange kati ya Kivule Forest dhidi ya Professional FC ndani ya viwanja vya Misitu. Kivule forest wameshinda 3 dhidi ya 2 ya Professional FC.

Mwangalizi mkuu wa WRM Church na Mwanzilishi wa Prophet Suguye Cup akiwasalimia wachezaji siku ya Ufunguzi wa mashindano.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive