A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Friday, May 17, 2019

SERIKALI YAIPONGEZA BENKI YA DCB KWA KUFANIKISHA ZOEZI LA UUZAJI WA HISA KWA UFANISI

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi. Wengine kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka, Meya wa Dar es Salaam, Isaya Mwita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.

Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive