A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


  • CRDB Bank Share up 16PC in three weeks

    CRDB bank share price has made an abrupt U-turn after appreciating by 16 per cent in the last three weeks.

  • TIB slashes losses, bad loans up!

    TIB Development Bank has considerably reduced its net loss 17 times to 582m/- in this year quarter two (Q2) after cutting expenses.

  • MALINZI blesses TFF elections

    THE ousted Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has expressed gratitude to the government, sponsors and football stakeholders in the country for their massive support.

  • Barrick, government talks next week

    BARRICK Gold will begin discussions with the government on the concentrate export ban and other issues next week

Thursday, November 30, 2017

BANK OF TANZANIA DISPELS ISLAMIC BANK CLOSURE RUMOURS


In Summary 

  • BoT Governor Florens Luoga said that Amana Bank and other lenders were stable and there was no cause for panic over deposits. 
  • The EastAfrican has established that Amana branches were open and continued to provide services. 
  • In May this year, BoT revoked the business licence of Mbinga Community Bank due to lack of capital, and placed it under compulsory liquidation. 
The Bank of Tanzania has moved to prevent a possible run on deposits at the sharia-compliant Amana Bank after reports circulated on social media of the financial institution’s imminent closure.

BoT Governor Florens Luoga said that Amana Bank and other lenders were stable and there was no cause for panic over deposits.

He said the bank continues with normal operations, and warned those spreading false information about the future of some banks, including Amana, that stern legal action would be taken against them.

Head of marketing and business Dassu Mussa said Amana Bank has “sufficient liquidity.”

“All we can do is to make sure that our business is running efficiently and properly and we are very confident it is doing so. “The rumour is false,” Mr Mussa said.

The EastAfrican has established that Amana branches were open and continued to provide services.

The bank has seven branches in Dar es Salaam, Arusha and Mwanza.

In May this year, BoT revoked the business licence of Mbinga Community Bank due to lack of capital, and placed it under compulsory liquidation. Mbinga, a microfinance institution had operations in Ruvuma in southern Tanzania. Its main customers were farmers.

The lender was licensed in 2003. Its total assets as at 2014 stood at Tsh383.4 million ($171,930).

Similar measures were taken against FBME Bank in July, following a report from the US Treasury’s Financial Crimes Enforcement Network (FinCEN) describing the bank as a “money laundering concern.”

The Tanzanian-registered bank mounted a legal challenge against the claims, but a US court ruled in favour of FinCEN in April, allowing it to shut the bank out of the American financial system.
Share:

Airtel enhance communications to Fire rescue Force

Airtel Tanzania boosted communication within the Fire and Rescue Force to ease communication has donating 29 handsets which will be used by in calling the 114 emergency numbers to report incidents.
The handsets have been handed over to all Fire and Rescue regions and   customers will be able to call the emergency number free of charge.
Handing over the handsets, the Airtel Tanzania Corporate Communications Director Beatrice Singano Mallya said they recognize the importance of the Fire and Rescue Force and believe that members of the public will now be able to get reliable services from the force.
“Airtel Tanzania now believes that through these handsets members of the public will be able to communicate with the Fire and Rescue Department on time whenever there is an emergency.
She said Airtel will continue cooperating with the Fire and Rescue Force to ensure that communication is eased to avert losses through fire incidents and other tragedies that need rescue services.
“We want to assure Airtel customers that the Airtel network is strong in all the regions covered and this donation should make good use of the emergency line,” Insisted Ms, Singano.
The regions that received the handsets include, Ilala, Kinondoni, Temeke, Coast, Morogoro, Dodoma, Iringa, Mbeya, Songwe, Njombe, Mwanza, Mara, Shinyanga, Tabora, Simiyu, Geita, Kagera, Katavi, Kigoma, Rukwa, Ruvuma, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Tanga, Mtwara, Lindi, Singida.
The Commissioner General of Fire and Rescue Thobias Andengenye thanked Airtel Tanzania for the donation saying it is a big boost to the Force and will increase efficiency to a great extent as customers will now be able to call easily and get services faster.
“We really appreciate this warm gesture that has been shown by Airtel Tanzania and we now believe that your customers will be able to reach the Fire and Rescue Force through the emergency number 114 which is free,” Commissioner General Thobias Andengenye said.
I urged other partners and stakeholders to join hands in assisting the Fire and Rescue Force in its endeavor to improve service delivery for the betterment of the security of the Nation.
 END
737, 742, 745, 838
The Commissioner General of Fire and Rescue Thobias Andengenye address journalists in Dar es Salaam after receiving 29 mobile phones from Airtel Tanzania aimed at boosting communications within the force through the 114 emergency number. He is flanked by Airtel Tanzania Director of Communications Beatrice Singano.
855, 858, 865
The Commissioner General of Fire and Rescue Thobias Andengenye receives part of 29 mobile phones donated by Airtel Tanzania to boost communications within the force through the 114 emergency number. The event took place in Dar es Salaam yesterday
Share:

Tuesday, November 28, 2017

NBC NA SANLAM WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) akisaini mkataba wa ushirikiano katika ya NBC na Kampuni ya Bima ya Sanlam, jijini Dar es Salaam wiki iliyopita. Kulia kwake ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Tanzania, Manasseh Kawoloka na kushoto kwake ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Tanzania, Khamis Suleman.  Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake ndani ya matawi ya NBC nchini kote Waliosisima kutoka kushoto ni, Meneja Uenezaji Biashara na Masoko wa Sanlam General, Jabir, Kigoda, Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Benjamin Nkaka na Meneja Mkuu Bima Binafsi wa Sanlam Life, Wilson Mnzava. 

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Tanzania, Manasseh Kawoloka (kushoto) na  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Tanzania, Khamis Suleman (kulia), wakifurahi baada ya utiaji saini makubaliano ya ushirikiano. Wa pili kutoka kushoto ni Meneja Uenezaji Biashara na Masoko wa Sanlam General, Jabir, Kigoda, Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Benjamin Nkaka na Meneja Mkuu Bima Binafsi wa Sanlam Life, Wilson Mnzava. Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake katika matawi ya NBC nchini kote

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubaliano ya ushirikiano katika ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Sanlam. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General, Manasseh Kawoloka na kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam Life, Khamis Suleiman. Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake katika matawi ya NBC nchini kote.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam General, Manasseh Kawoloka (kushoto), akisaini mkataba wa ushirikiano katika ya NBC na Sanlam. Katikati ni Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa NBC, Filbert Mponzi na kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam Sanlam Life Insurance, Khamis Suleiman.  Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake katika matawi ya NBC nchini kote

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Tanzania, Manasseh Kawoloka (kushoto) na  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Tanzania, Khamis Suleman (kulia), wakifurahi baada ya utiaji saini makubaliano ya ushirikiano. Wa pili kutoka kushoto ni Meneja Uenezaji Biashara na Masoko wa Sanlam General, Jabir, Kigoda, Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Benjamin Nkaka na Meneja Mkuu Bima Binafsi wa Sanlam Life, Wilson Mnzava. Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake katika matawi ya NBC nchini kote

Ni furaha tu baada ya Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Tanzania, Manasseh Kawoloka (kushoto) na  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Tanzania, Khamis Suleman (kulia), kusaini  mkataba wa ushirikiano. Wa pili kutoka kushoto ni Meneja Uenezaji Biashara na Masoko wa Sanlam General, Jabir, Kigoda, Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Benjamin Nkaka na Meneja Mkuu Bima Binafsi wa Sanlam Life, Wilson Mnzava. Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake katika matawi ya NBC nchini kote.

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) akisaini mkataba wa ushirikiano katika ya benki hiyo na Kampuni ya Bima ya Sanlam, jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Tanzania, Manasseh Kawokol na kushoto kwake ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Tanzania, Khamis Suleman.  Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake ndani ya matawi ya NBC nchini kote Waliosisima kutoka kushoto ni, Meneja Uenezaji Biashara na Masoko wa Sanlam General, Jabir, Kigoda, Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Benjamin Nkaka na Meneja Mkuu Bima Binafsi wa Sanlam Life, Wilson Mnzava.

Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Benki ya NBC, Filbert Mponzi (katikati) Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sanlam General Tanzania, Manasseh Kawoloka (kushoto) na  Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Sanlam Life Tanzania, Khamis Suleman (kulia), wakipiga picha baada ya kutia saini mkataba wa ushirikiano. Wa pili kushoto ni Meneja Uenezaji Biashara na Masoko wa Sanlam General, Jabir, Kigoda, Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Benjamin Nkaka na Meneja Mkuu Bima Binafsi wa Sanlam Life, Wilson Mnzava. Ushirikiano kati ya NBC na Sanlam utawawezesha wateja kupata huduma za kibenki pamoja na huduma za bima za bidhaa zake katika matawi ya NBC nchini kote.
Share:

Thursday, November 23, 2017

NBC YAENDESHA DROO YA KWANZA YA KAMPENI YA AKAUNTI YA MALENGO

Meneja Amana za wateja binafsi NBC Dorothea Mabonye na Meneja Mikopo ya wateja binafsi Mtenya Cheya wakimpigi mteja aliyeshinda katika droo ya kwanza ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ijulikanayo kama Malengo na Kirikuu, aliyejishindia zawadi ya shillingi milioni moja. Wanao shuhudia tukio hilo Kutoka kushoto. Meneja masoko wa NBC Alina Maria Kimaryo, na Msimamizi kutoka Bodi ya Bahati Nasibu ya Taifa Bakari Maggid. NBC iliendesha droo ya kwanza ambayo ilitoa jumla ya washindi 12 walijishindia shillingi milioni moja kila mmoja.
Meneja masoko wa NBC Alina Maria Kimaryo (katikati) akionyesha vipeperushi vya kampeni ya akaunti ya malengo ijulikanayo kama Malengo na Kirikuu kwenye droo ya kwanza. Kushoto ni Meneja mwandamizi wa mahusiano ya Umma William Kallaghe na kulia ni Meneja Amana za wateja binafsi NBC Dorothea Mabonye. NBC iliendesha droo ya kwanza ambayo ilitoa jumla ya washindi 12 walijishindia shillingi milioni moja kila mmoja. 
Meneja masoko wa NBC Alina Maria Kimaryo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa droo ya kwanza ya kampeni ya akaunti ya Malengo ijulikanayo kama Malengo na Kirikuu. Katika droo hiyo jumla ya washindi 12 walijishindia shillingi milioni moja kila mmoja. Wanao shuhudia ni Meneja Amana za wateja binafsi NBC Dorothea Mabonye (kati kati) na Meneja Mikopo ya wateja binafsi NBC Mtenya Cheya.

Share:

Monday, November 20, 2017

VIRTUAL ADVOCATE - A SOLUTION SET TO REVOLUTIONIZE OFFICE PRODUCTIVITY

Virtual Advocate Chief Executive Officer, Nzaro Kachenje (centre), addresses participants during the official launch of Virtual Advocate online document solutions application in Dar es Salaam yesterday. With him are, Virtual account manager, Asha Bura (right) and application’s administrator, Francis Lusinde. Application is said to cut down document processing time and operational costs by over 90 percent. 

Dar es Salaam, Saturday, November 18, 2017

‘Virtual Advocate’ is a revolutionary document solution platform that allows users to transform their frequently used documents and forms into intelligent templates, enabling super-fast production of tailor-made documents, increasing efficiency and productivity.

Departments such as legal, credit, human resources, sales and the like, whether in bank, real estate, insurance companies or education providers, can leverage from the myriad of benefits of the new platform.

By streamlining the documentation process, Virtual Advocate guarantees improved productivity by cutting down document processing time and operational costs by over 90 percent. The system reduces the need for multiple editing and dependency on lawyers and thus reduces costs and time spent.

Speaking to journalists, the CEO of Virtual Advocate, Mr Nzaro Kachenje, said that they found the existing traditional processes of drafting, monitoring and managing documents to be unnecessarily time consuming, costly, stressful and prone to errors. To counter this, they endeavored and succeeded to integrate modern technologies into the day-to-day documentation process to produce a robust, one stop center for most documentation needs, which they branded ‘Virtual Advocate’.

Pointing out a few key features of the system, Mr Kachenje said that the system has a dynamic dashboard, enabling quick real-time view of all activities in the system; a bulk document generation feature for the generation of similar documents to multiple addressees at once; a simplified user management module to control accesses of different users; a customer management module where all customer records are stored and easily accessible; and also security alerts to ensure no duplication of information in the system, which is best suited for Banks, as it would prompt the user if the Customer and/or the property pledged as security already exists in the system.

Virtual Advocate also offers complimentary support services such as round-the-clock customer service, training and consultancy to its clients.

Speaking on the novelty of the system, Mr Kachenje said that the system is first of its kind in East and Central Africa; and noted that they intend to export their revolutionary system to international markets, as their research has revealed a need for the product in all neighboring countries. He expressed jubilation to have pioneered such a technology that would put Tanzania in the limelight of innovation.

Share:

Tuesday, November 14, 2017

WAAJIRI WASHAURIWA KUPELEKA MICHANGO KWA WAKATI NSSF

Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Samwel Wangwe (kushoto), akikabidhi tuzo kwa Ofisa Malipo wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Fredrick Mbise baada ya kampunio hiyo kuibuka washindi kati ya makampuni ya uzalishaji yaliyolipa michango ya wafanyakazi wao kwa wakati katika Mfuko wa NSSF. Hafla hiyo ilifanyika mjini Arusha hivi karibuni. Wa pili kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi za Waziri Mkuu; Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Godius Kahyarara.

NA MWANDISHI WETU

WAAJIRI nchini wameshauriwa kufikisha michango ya wafanyakazi wao kwa wakati katika Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), ili kuwawezesha  wafanyakazi wao kunufaika na mafao yanayotolewa na mfuko huo.

Ushauri huo umetolewa na Meneja  Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Bi. Diana Malambugi wakati wa mahojiano maalumu yalifanyika mjini Tanga jana alipokuwa akizungumzia tuzo waliyopewa ya Muwasilisha Michango kwa Wakati katika Sekta ya Viwanda na Mfuko wa Taifa wa  Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakati wa mkutano wake mkuu mjini Arusha.

Meneja huyo alisema baadhi ya waajiri wanashindwa kupeleka kufikisha michango ya waajiwa wao kwa wakati au kutoipeleka kabisa kuwasababishia usumbufu mkubwa pindi wanapofika katika ofisi za mfuko huo kudai stahili zao.

“Kuna mafao mengi ya NSSF kwa wanachama wake mfano, mafao ya matibabu, uzazi na pensheni za uzeeni, urithi, ulemavu na mengineyo, mwanachama ambaye michango yake haifikishwi NSSF hawezi kunufaika na mafao haya,” alisema.

Akizungumzia siri ya kushinda tuzi hiyo, Bi. Diana alisema ni kutoka na na utaratibu mzuri kuanzia michango hiyo inavyokatwa kiutoka katika mishahara ya wafanyakazi mpaka inapowasilishwa katika mfuko huo.

“Ushindi wetu unaleta faraja kwa wafanyakazi wetu kuwa michango yao inafikishwa mahali panapotakiwa hivyo kuongeza imani na ari ya uzalishaji mali kwa wafanyakazi wetu,” aliangeza meneja rasilimali huyo.

Akizitaja baadhi ya sababu zinazoweza kuchangia baadhi ya waajiri kushindwa kabisa au kuchelewa kufikisha michango NSSF kwa wakati meneja huyo alibainisha kuwa ni baadhi ya waajiri kutokuwa na mfumo mzuri (mechanism) katika suala zima la uandaaji mishahara na uwasilishaji makato.

Aidha alitaja sababu nyingine kuwa ni utashi wa baadhi ya  waajiri katika kuhakikisha wanalipa asilimia 10 ya mshahara wa wafanyakazi wao ili kuongezea asilimia 10 ya mfanyakazi jambo ambalo pia kwa baadhi linachangiwa na biashara kutokwenda vizuri.

Kampuni ya Saruji Tanga inayofanya biashara yake kwa kutumia chapa ya Simba imeandikishwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam ina wanachama 124  katika mfuko wa NSSF.



Share:

Saturday, November 11, 2017

SYSTEM ENHANCEMENT NOTICES


Share:

Friday, November 10, 2017

ZANTEL LAUNCHES GRADUATE SALES FORCE PROJECT

Zantel’s Senior Manager for Sales & Distribution, Haidari Chamshama speaks to fresh University graduates working with the Telecom as Freelance Salesmen at the company headquarters in Dar es Salaam today before leaving with the students for field work to various places in the City. The students are under Zantel’s program dubbed ‘Graduate Sales project’ which aims to empower and fully train fresh University graduates in order to give them work experience before they enter into the Corporate World.
The project is set to run for the period of one month and 95 graduates from 15 Universities in Tanzania are participating in it.

Briefing reporters at the company headquarters in Dar es salaam today, Zantel’s Senior Manager for Sales & Distribution, Haidari Chamshama said The project aims to empower fresh graduates from various Universities in Tanzania to work in the Telecom's various departments including Sales which has attracted a bigger number of the graduates.
For her part, Zantel's Brand & Communications Manager, Rukia Mtingwa said Zantel has taken fresh graduates from various Universities across Tanzania's mainland and in the Isles to train and provide them with the much needed work experience which is highly needed in the corporate world.

She added that Apart from the graduates in Dar es salaam, there are 220 Zanzibar University students who work at Telecom Call Centres in ZNZ, this is part of an agreement with the University to give the students  field work experience while undertaking their studies. She said this is also an opportunity for the students to apply for permanent positions within Zantel after they graduate.
Share:

Airtel yaja na programu mpya ya U900 kuboresha huduma za Intaneti

Meneja Uhusiano wa AIRTEL Tanzania Jackson Mmbando akizungumza na waandishi wa habari leo katika uzinduzi wa programu mpya ya  Airtel U900 ambao lengo lake kuu ni kuimarisha ubora wa mtandao na kutoa huduma bora kwa wateja wake mahali popote nchini. Mradi Tayari ushazinduliwa na kuwasha mitambo kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza na Arusha. Kulia ni Meneja Ubora wa huduma za Mtandao Emmanuel Luanda
uzinduzi huo umefanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
Meneja Ubora wa huduma za Mtandao wa Airtel Tanzania Emmanuel Luanda (kulia) akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam baada ya kuzindua programu mpya ya Airtel U900 ambao lengo lake kuu ni kuimarisha ubora wa mtandao na kutoa huduma bora kwa wateja wake mahali popote nchini. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Jackson Mmbando. Teknolojia hii itaongeza upatikanaji wa mtandano wa 3G kwa Asilimia 50 zaidi pamoja na kuongeza ubora wa upatikaniji wa intaneti bila kujali maeneo mteja alipo uzinduzi huo umefanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
Meneja Chapa na Masoko Airtel Tanzania Anorld Mandale (katikati) akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuzindua programu mpya ya  Airtel U900 ambao lengo lake kuu ni kuimarisha ubora wa mtandao na kutoa huduma bora kwa wateja wake mahali popote nchini. Kampuni hiyo pia huduma ya Bando la OFA KABAMBE ambapo wateja wataweza kufaidi huduma hii kwa kupiga *150*60#  na kujipatia 1GB, dakika150 kwa muda wa siku saba uzinduzi huo umefanyika katika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
Meneja Chapa na Masoko Airtel Tanzania Anorld Mandale (katikati) akishika bango pamoja na maofisa wenzake wa kampuni hiyo baada ya kuzindua huduma ya Bando la OFA KABAMBE ambapo wateja wataweza kufaidi huduma hii kwa kupiga *150*60#  na kujipatia 1GB, dakika150 kwa muda wa siku saba. Kushoto ni Meneja Ubora wa huduma za Mtandao wa Airtel Tanzania Emmanuel Luanda na Meneja Uhusiano Airtel Tanzania Jackson Mmbando
 Teknolojia ya U900 kuwapatia watumiaji wa Airtel Intaneti yenye kasi  popote
•Airtel yawekeza kwenye teknolojia mpya ya intaneti kutoa mtandao bora hata ukiwa ndani ya jengo.

Airtel Tanzania Plc kampuni ya  mawasiliano iliyojikita katika huduma zenye ubunifu wa teknolojia zaidi nchini, leo katika muendelezo wake wa kutimiza dhamira yake ya kuwa mtandao bora zaidi imetangaza na kuzindua rasmi programu yake ya maboresho ya huduma za mtandao wake kupitia teknolojia ya iliyopewa jina la ‘Mradi wa U900’  ukiwa na lengo la kuimarisha ubora wa mtandao na kutoa huduma bora kwa wateja wake mahali popote nchini.

Mradi wa U900 ni uwekezaji mkubwa unaolenga kuhakikisha uhakika wa upatikanaji wa huduma ya 3G, ujazo wa data kamili pamoja na kuongeza kasi ya intaneti kwa kutumia teknolojia hii ya mawimbi ya mawasiliano ya masafa ya  900 Mhz. Teknolojia hii itaongeza upatikanaji wa mtandano wa 3G kwa Asilimia 50 zaidi pamoja kuongeza ubora wa upatikani wa intaneti bila kujali maeneo mteja alipo, Popote utapata Intaneti bora.

Akiongea leo jijini Dar es Salaam wakati wa kutangaza huduma hiyo, Meneja huduma wa mtandao Airtel Bw, Emanuel Luanda alisema kuwa Airtel imewekeza kwenye kuimarisha huduma ya mtandao kutokana na ongezeko la matumizi ya simu za smartphone na pia kutokana na uhitaji wa huduma mpya za ziada. Kutokana na uboreshaji wa mtandao wetu, wateja wote nchini watakuwa wakitapa huduma yenye kasi na hivyo kuwa na uhakika na huduma bora kutoka Airtel wakiwa popote.

Bw, Luanda alidokeza “ripoti ya hivi karibuni ya TCRA inayotoa mchanganuo wa matumizi ya huduma za Intaneti (Data)  inaweka wazi kuweko kwa ongezeko la watumiaji wa huduma za intaneti kutokea 34% kwa mwaka 2015 na kupaa hadi 40% kwa mwaka 2016.  Hali hiyo ndio inatoa msukumo hata kwetu Airtel kuendelea kuwekeza zaidi katika teknolojia mpya  ili kuwapatia wateja wetu huduma bora zaidi”.

“Tayari tushafanya maboresho kwenye miji ya Dar es Salaam, Arusha na Mwanza huku maboresho mengine yakiendelea kufanyika Dodoma, Morogoro na miji mingene yenye uhataji mkubwa wa huduma zetu hapa Tanzania.” Alieleza Luanda

Kwa upande wake, Meneja wa Masoko Airtel Tanzania Arnold Madale alisema, “kwa kuwa Airtel tunatambua mahitaji ya wateja wetu, hali ya soko tumekuwa tukifanikiwa kuleta bidhaa zenye ubunifu  na mpangilio wa huduma zinazozingatia mahitaji ya mteja, hii ni hatua kubwa sana hasa kwenye ushindani wa biashara. Tunao  wateja ambao wanatumia mtandao wetu kwa ajili ya intaneti tu, lakini pia kuna wale wanaotumia kwa kupiga na kupokea simu, tunazo bidhaa na huduma ambazo zinakidhi matakwa ya wateja hao kwa muda wote wakiwa mahali popote. Kwa sasa hivi tunaendelea pia kuboresha huduma yetu ya 2G ili kutoa huduma yenye uhakika wa hali ya juu ikiwemo huduma ya Airtel Money ili kuendelea kuwafikia Watanzania wengi waishio pembezoni  huduma za kibenki na huku tukitimiza sera ya serikali ya kushiriki katika uboreshaji wa huduma bora za kifedha vijijini.”

“Tunapotangaza huduma hii muhimu ya kuboresha mtandao wetu, tunayo furaha kutangazia huduma ya Bando la OFA KABAMBE ambayo inapatika kwa urahisi na kumfanya mteja kuwa na Uhuru zaidi wa kutumia Intaneti  yenye kasi kwa muda mrefu zaidi kwa kuwasiliana na ndugu, marafiki  au wadau katika biashara mahali popote. Wateja wetu wataweza kufaidi huduma hii ya bando kwa kupiga *150*60#  na kujipatia 1GB, dakika150 kupiga mitandao yote na kudumu nazo kwa muda wa siku saba, aliongeza Madale.

‘Nia yetu ni kuendelea kukua kupita Maelezo huku tukitengeneza ujuzi wa kuaminiwa na wateja wetu kwa kuwa na gharama nafuu. Mradi wa U900 unadhihirisha kuwa Airtel imeamua kuinua taifa letu kufikia lengo la kuishi kidigitali kwa kuwepo na huduma za kidigitali, aliongeza Madale.
Share:

Thursday, November 9, 2017

NBC YASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI YA SARATANI YA MATITI

01
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Kibenki cha Taasisi za Sekta ya Umma, Noelina Kivaria (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORCI), Dk. Julius Mwaiselage wakati wa matembezi ya hisani kuchangia juhudi za kupambana na saratani ya matiti jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Katikati ni Waziri wa Afya, Maendeleo  ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.
02
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakiwa na nyuso za furaha wakishiriki matembezi ya hisani  kuchangia juhudi za kupambana na taztizo la ugonjwa wa saratani ya matiti jijini Dar es Salaam hivi karibuni. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.

03
Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja cha NBC, Ngwitika Mwakahesya (kushoto), Waziri wa Afya, Maendeleo  ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk. Julius Mwaiselage (wa pili kulia), wakishiriki matembezi ya hisani  kuchangia juhudi za kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa saratani ya matiti. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.
04
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakipozi kwa picha ya kumbukumbu kabla ya kuanza kwa matembezi hayo. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.
05
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakilisikiliza kwa makini hotuba na shuhuda mbalimbali zilizokuwa zikitolewa muda mfupi baada ya kumalizika kwa matembezi hayo ya hisani kuchangia juhudi mbalimbali zinazoendelea za kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa sarani ya matiti. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.

06
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakipozi kwa picha ya kumbukumbu na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kabla ya kuanza kwa matembezi hayo ya hisani kuchangia harakati za kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa saratani. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.
07
Baadhi ya wafanyakazi wa NBC wakipiga picha pamoja na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu baada ya kumalizika  kwa matembezi hayo. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.
08
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Kibenki cha Taasisi za Sekta ya Umma, Noelina Kivaria (kushoto), akimsikiliza  Waziri wa Afya, Maendeleo  ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (katikati),  wakati wa matembezi ya hisani kuchangia juhudi za kupambana na saratani ya matiti jijini Dar es Salaam hivi karibuni. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road(ORCI), Dk. Julus Mwaiselage.
09
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Kibenki cha Taasisi za Umma, Noelina Kivaria (kushoto) akipokea cheti cha shukrani kutoka kwa Waziri wa Afya, Maendeleo  ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kwa kutambua mchango wa NBC katika kufanikisha matembezi ya hisani ya kuchangia juhudi za kukabiliana na tatizo la ugonjwa wa saratani ya matiti. NBC ilikuwa moja kati ya wachangiaji wakubwa waliofanikisha matembezi hayo.
Share:

Monday, November 6, 2017

MAENDELEO BENKI YAENDELEA KUUZA HISA HADI DESEMBA 4, 2017

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo Ibrahim Mwangalaba (kulia), akizungumza na waandishi wa habari katika hafla yakuongeza muda wa uuzwaji wa hisa katika benki hiyo hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam kushoto ni Mkuu wa Idara ya fedha wa benki hiyo Peter Tarimo.

Maendeleo Benki imeongeza muda wa mwezi mmoja wa kufanya manunuzi ya hisa kwenye Benki hiyo ili kuwafikia watanzania wengi zaidi. 
Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Ibrahim Mwangalaba ambapo amesema zoezi la uuzaji wa hisa litakamilika tar 4 Desemba 2017.
Mkurugenzi huyo ametoa wito kwa watanzania kuchangamkia fursa ya ununuzi wa hisa ambapo hisa Moja inauzwa shilingi 600 na kiwango cha chini cha kununua hisa ni hisa 100 thamani yake ni shilingi 60000 na zinapatikana kwenye Matawi yote ya Benki ya Maendeleo. Crdb bank, Uchumi Commercial Bank Moshi na mawakala wa hisa waliohidhinishwa na mamlaka wa mitaji na viwango Tanzania
Share:

Thursday, November 2, 2017

TDB Bank meets the stakeholders to celebrate the launches of its new brand name

Trade and Development Bank (TDB), ‎Director Syndications & Strategic Initiatives, Samuel Mugoya delivers his key note address to the audience from financial institutions, private sectors, government institutions and other invited dignitaries  at the function  to official launch the brand name from PTA Bank to TDB in Dar es Salaam recently.
Trade and Development Bank (TDB), Director Corporate Affairs & Investor Relations, Mary Kamari talking to the audience from financial institutions, government and other invited dignitaries at the function to official launch the brand name from PTA Bank to TDB.
Rand Merchant Bank Head, East Africa Loan Solutions, Misheck Chingaya (left) chats to some invitees attended the function organised by Trade and Development Bank (TDB)  to official launch the brand name from PTA Bank to TDB. From second left are, National Housing Corporations Director of Treasury and Business Development, David Shambwe, TDB Principal Project and Infrastructure Finance, Neema Siwingwa, FNB Head of Business Development, Mussa Mhando and NHC Business Planning Manager, Arden Kitomari.  
TDB Bank Principal Project and Infrastructure Finance, Neema Siwingwa (second left), National Housing Corporation Business Planning Manager, Arden Kitomari (left) together with other invited dignitaries admires a performance from Tanzanian local band.  
TDB Bank senior officials poses for a memento photograph with some invited guests.
Traditional ngoma artists entertain the audience during the official launching ceremony of the brand name from PTA Bank to TDB.
Share:

Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive