A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Thursday, June 20, 2019

Benki ya DCB kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa (kulia), akikabidhi cheti kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa kilichotokewa kwa kutambua udhamini wa benki hiyo katika kufanikisha Kongamano la nne la Kitaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililofanyika mjini Dodoma hivi karibuni. Wa pili kulia ni Waziri Ofisi ya Raia, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Jenista Mhagama na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng'i Issa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kulia) na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Rahma Ngassa (kulia kwake), wakionyesha cheti muda mfupi baada ya kukabidhiwa na Mheshimiwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwa kutambua mchango wao katika kufanikisha Kongamano la nne la Kitaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi  mjini Dodoma hivi karibuni.
Waziri Mkuu, Kassima Majaliwa (alitekaa kulia), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto aliyekaa), wakipiga picha ya kumbukumbu na baadhi ya wawakilishi wa taasisi zilizowezesha kufanyika kwa Kongamano ls nne la Kitaifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi lililoandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Mkoani Dodoma hivi karibuni. 
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive