A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Tuesday, June 11, 2019

AZAM YACHEZEA KICHAPO MASHINDANO YA PROPHET SUGUYE CUP


Mshambuliaji wa Kivule Forest FC  Kissa kisa, akijaribu kumtoka Beki wa Azam Poly Sacks katika mchezo wa Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Wachezaji wa timu hizo wakiwania mpira wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet  Suguye Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Mlinda mlango  wa Azam Poly Sacks akijaribu kuufuata  mpira dhidi ya mchezo wao na Kivule Forest  wakati wa mchezo wa  Ligi ya Prophet Suguye  Cup inayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Misitu Kivule, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam ambapo timu ya Kivule Forest  imeibuka na ushindi wa 7-1 Mchezo huo umepigwa saa nane mchana  leo viwanjani hapo.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive