A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Sunday, September 3, 2017

Tanga Cement yasaidia ukarabati wa sekondari ya Mpwapwa

Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Samwel Shoo (wa nne kushoto), akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 500 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya sh milioni sita kwa Kaimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mpwapwa, Omari Twakali (wa tatu kushoto) iliyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ukarabati wa shule hiyo ambayo ni moja ya shule kongwe za sekondari nchini. Hafla ya makabIdhiano ilifanyika katika eneo la kiwanda, Pongwe, Tanga juzi mwa wiki. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa TCPLC.


Meneja Machimbo wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Godwin Kamando akikabidhi sehemu ya msaada wa mifuko 500 ya saruji kwa Kaimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mpwapwa, Omari Twakali (wa tatu kushoto) ilyotolewa na kampuni hiyo kusaidia ukarabati wa shule hiyo ambayo ni moja ya shule kongwe za sekondari nchini katika. Hafla ya makabidhiano yalifanyika katika eneo la kiwanda, Pongwe, Tanga juzi.
Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive