A blog that gives out financial institutions news on time with accurate informations.


Thursday, December 2, 2021

BENKI YA DCB YASHIRIKI KONGAMANO LA UELEWA NA FURSA ZILIZOMO KATIKA MIRADI YA MAENDELEO YA KIUCHUMI

Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Fauzia Bairu (kushoto), akimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya Core Securities Limited, George Fumbuka wakati wa kongamano la wadau kuhusu utaratibu mbadala wa kugharamia miradi ya maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia hati fungani uliofanyika jijini Arusha jana. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa kushirikiana na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF).
Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Fauzia Bairu (kushoto), akisalimiana na Afisa Mtendaji Mkuu, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Nicodemus Mkama, wakati wa kongamano la wadau kuhusu utaratibu mbadala wa kugharamia miradi ya maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia hati fungani uliofanyika jijini Arusha jana. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF).
Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Fauzia Bairu (kulia), akibadilishana mawazo na Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa Mfuko wa Mendeleo ya Mitaji (UNCDF), Peter Malika wakati wa kongamano la wadau kuhusu utaratibu mbadala wa kugharamia miradi ya maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia hati fungani uliofanyika jijini Arusha jana. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF).
Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Fauzia Bairu (kushoto), akishikana mikono na Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Ofisi ya Rais TAMISEMI, John Cheyo, wakati wa kongamano la wadau kuhusu utaratibu mbadala wa kugharamia miradi ya maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia hati fungani uliofanyika jijini Arusha jana. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF).
Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Fauzia Bairu (kushoto), Mkurugenzi wa Sera na Mipango, Ofisi ya Rais TAMISEMI, John Cheyo, na Afisa Mtendaji Mkuu, Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Nicodemus Mkama wakifurahia jambo wakati wa kongamano la wadau kuhusu utaratibu mbadala wa kugharamia miradi ya maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia hati fungani uliofanyika jijini Arusha jana. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF).
Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Fauzia Bairu (kulia), akimsikiliza Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa Mfuko wa Mitaji ya Maendeleo (UNCDF), Peter Malika wakati wa kongamano la wadau kuhusu utaratibu mbadala wa kugharamia miradi ya maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia hati fungani uliofanyika jijini Arusha jana. Kongamano hilo liliandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa kushirikiana na Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa Maendeleo ya Mitaji (UNCDF).

Share:

0 comments:

Post a Comment


Propellerads

Search Brazuka Kibenki

FOLLOW US ON FACEBOOK

  • ()
  • ()
Show more

Labels

Blog Archive